Saturday 30 May 2015

Re: [wanabidii] Re: Nitagombea Ubunge "Mufindi kaskazini"-Godfrey Ngupula.

muhingo
tatizo la ccm ni mfumo,ccm imeoza,imekufa haipo hai hata kidogo

2015-05-30 11:01 GMT+01:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Ngupula nakuunga mkono. Nanyaro sio kweli CCM haijaoza kiasi hicho. Ikipata watu kama ngupula inaweza kufufuka. Wanahitaji kuingia kwa makini na uangalifu mkubwa wasije wakabatizwa na kupata kipaimara cha dini ya ufisadi. Mimi ni mwanaCCM ninayejua siku moja CCM itakuja kuwa chama cha wanyonge kama zamani na kitawasaidia kuutoka unyonge kupitia itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea katika mfumo huu wa soko huria.
Ngupula ni kweli kazi ya kupita kwenye mchujo ni kubwa. lakini Mungu akutangulie.
Tutamuomba atasikia
Elisa
--------------------------------------------
On Sat, 5/30/15, Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Re: Nitagombea Ubunge "Mufindi kaskazini"-Godfrey Ngupula.
 To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Saturday, May 30, 2015, 11:13 AM

 Ni hatari
 sana kupanda mtumbi mbovu huku ukijua kabisa hutomaliza
 safari yako kutokana na ubovu wa mtumbi.CCM ni chama mfu
 kabisa
 2015-05-30 5:18 GMT+01:00
 'Reuben Mwandumbya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Kila
 la kheri Ngupula.Nakutakia kila
 lililo jema na ukipata tumikia wananchi wako kama yalivyo
 mawazo yako sasa. Reuben



      On Friday, May 29,
 2015 1:44 PM, 'fhkipamila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:



  Karibu mtani
 ukishindwa kubali
 SENT FROM ALCATEL ONETOUCH
 TABLET

 'ngupula'
 via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

 >Kwenu ndugu
 zangu mnaonithamini, napenda kuwataarifuni kuwa nitagombea
 ubunge Mufindi kaskazini ili hatimaye niliongoze jimbo hilo
 kwa kipindi cha 2015 -2020....nitagombea ubunge huo kwa
 ticket ya Chama cha Mapinduzi( CCM). Kinachonisukuma haswa
 kugombea ni kuwa naona wananchi wa jimbo hilo tunastahili
 mema zaidi ya ukiwa mbaya tulionao...Lakini pia mambo mengi
 katika mustakhabali wa uongozi wa nchi yetu huwa
 yananisumbua sana...na nafikiri ni muda mwafaka wa mimi
 kujitosa huko kwa mapenzi mema ya nchi yangu. Nakumbuka
 Askofu Wa jimbo la Iringa..mhashamu Ngalalekumtwa aliwahi
 kusema...ukiona mtu anafundisha wakati wewe
 ukimsikiliza...halafu ukajisikia moyoni na akilini kuwa
 unaweza kufundisha vizuri zaidi yake....basi hiyo ni dalili
 nzuri ya kuwa wewe kipaji chako ni UALIMU...jimbo la Mufindi
 kusini liliwahi kuongozwa na Josef Mungai na kwa sasa mbunge
 wake ni Mahamud Mgimwa, ambaye pia ni naibu waziri wa
 maliasili na utalii..Zipo habari kuwa jimbo hilo litakuwa
 majimbo mawili...yaani jimbo la Mafinga na Mufindi
 kaskazini...mimi nitagombea Mufindi kaskazini.... elimu
 yangu ni  Bsc: Chuo kikuu cha Dar es salaam, Msc of Aquatic
 ecology, chuo kikuu cha Bremen Germany, Msc of fish farming,
 chuo kikuu cha Bergen Norway..Kikazi nipo Tanzania Fisheries
 Research institute (TAFIRI) kama senior research
 scientist...Nilizaliwa 1974...nina mke na watoto
 watatu...Dini ni mkristo hai...value zangu : Napenda heshima
 na kuthaminiana..naamini uongozi ni kazi maalumu..hivyo basi
 inastahili watu maalumu..nafikiri ni muda mwafaka sasa kwa
 nchi yetu kulitazama hilo na kuiponya nchi...Naombeni maombi
 yenu...muda si mrefu tutapita katika mchujo wa chama...sio
 kazi rahisi, rafu ni nyingi lkn naamini
 nitashinda...Ngupula.
 >
 >--
 >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 >Kujiondoa Tuma Email
 kwenda
 >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 >
 >Disclaimer:
 >Everyone posting to this Forum bears the
 sole responsibility for any legal consequences of his or her
 postings, and hence statements and facts must be presented
 responsibly. Your continued membership signifies that you
 agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
 and Guidelines.
 >---
 >You received this message because you are
 subscribed to the Google Groups "Wanabidii"
 group.
 >To unsubscribe from this group
 and stop receiving emails from it, send an email to
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 >For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




 --
 Ephata Nanyaro
 P.o.box 15359
 Arusha
 +255 754
 834152Skype.nanyaro.ephata
 "truth shall set you
 free"




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata

"truth shall set you free"

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment