Saturday 30 May 2015

Re: [wanabidii] Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.

Mtafiti Ngupula umeona jembe leoooo
Upo mafinga nataka kuja kukupiga tafu, ila achana na mwigula atakulostishA ATACHUKUA AFTER JEMBE LOWASA BAADAE



From: 'wilson kalumuna' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: "wanabidii@googlegroups com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Thursday, May 28, 2015 10:40 AM
Subject: Re: [wanabidii] Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.




From:"'ngupula' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date:Thu, May 28, 2015 at 7:54 PM
Subject:Re: [wanabidii] Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.

Fred..hakuna tena malumbano...ni muda sasa wa Mungu kuchukua mamlaka yake na kuamua...lkn, ninachojua mimi wanafiki na vibaraka hawatakuwa na nafasi katika urais wa 2015 to 2025..Amina.

'Fred Hans Kipamila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Ngupula, mazingaombwe hayatawasaidia kitu. Hivi kutumia ujanja wa kumhusisha Membe na JK ili wale wanaomchukia JK wamchukie na Membe unadhani itawasaidia kuingia ikulu? Kwa akili ya kawaida tu miaka ya 1950 mwela asiyemfanyakazi tena mke wa ndoa ya kikristo na mkwere mkulima walikutanaje hata wakazaa mtoto! Lakini yawezekana wanaozua haya ni watoto wa nje ya ndoa hivyo wanaamini kila mtu amezaliwa kama wao. Kweli mfa maji haachi kutapatapa.Njaa mbaya sana ndugu yangu


From: 'ngupula' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, May 27, 2015 11:48 PM
Subject: Re: [wanabidii] Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.

Now that Kigwa umekiri Kikwete ni mjombako nadhani kumpinga kwako Lowassa hakutakuwa ni juhudi za kumpigania mjombako mwingine Membe....take note of this....Tanzania ni yetu sote

'ekabwoto' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Kigwangala toka hadharani.waambie wananchi haya



Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: 'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date:
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.


(Ndugiu hii nimecopy tu kama ilivyoandikwa na mwenyewe)

Nilichokisema jana kutokana na kauli ya Mhe. LOWASSA.

Mimi nilianza kushiriki siasa toka nikiwa mdogo sana. Kuanzia Chipukizi, Greenguard wa UVCCM na baadaye UVCCM. Miaka ya mwanzo ya 90 nilivutiwa sana na mijadala ya mfumo wa vyama vingi ama kimoja. Nakumbuka, binafsi nilivutiwa zaidi na mfumo wa kutanua demokrasia, nakumbuka nilichangia hoja zangu kwenye mkutano wa tume pale Nzega mjini, viwanja vya parking pembeni ya jukwaa.

Wengi kwa hakika hawakuunga mkono mfumo wa vyama vingi. Waliamini katika chama kimoja. Nilijiunga rasmi CCM mwaka 1994. Mwaka 2005, niligombea Ubunge wa Jimbo la Nzega, kura hazikutosha kwenye mchakato wa maoni ndani ya CCM na vikao vilisema kuwa wakati wangu bado.

Niliendelea kufuatilia kwa ukaribu sana kilichokuwa kinaendelea kwenye duru za siasa. Mijadala ya Bungeni ilikuwa ya moto sana, mara nyingine ikitutia simanzi sisi vijana wa CCM haswa namna tulivyokuwa tukishuhudia wabunge wachache sana wa upinzani wakiishambulia serikali yetu ya CCM kuhusiana na wimbo mpya kwenye duru za siasa za miaka hiyo, 'ufisadi'. Ufisadi ikiwa ni order of the day.

Ufisadi ikiwa ni mtaji na ajenda kuu ya wapinzani Bungeni, of-course pia ajenda ya kikundi kidogo cha wabunge wa CCM waliojitambulisha kama vinara wa kupinga ufisadi. Miaka hiyo kila mtu akiuchukia ufisadi na mafisadi.

Mwaka 2008, mimi nikiwa kijana mwana mabadiliko na ninayechukia ufisadi na mafisadi, kama walivyokuwa vijana wenzangu wengi, kwenye duru za siasa na nje ya duru za siasa, nilivutiwa na mijadala iliyokuwa Bungeni kutokana na hoja iliyowasilishwa bungeni na Dr. Harrison George Mwakyembe kuhusiana na mchakato wa kununua umeme wa dharura, na zabuni hiyo kupewa kampuni ya Richmond Development Company LLC ikidaiwa kuwa mchakato huo ulikuwa na ubatilifu na mazingira ya rushwa ndani yake.

Nikiwa kama mwananchi mwenye strong affinity na siasa, uongozi na namna nchi yetu inavyoendeshwa, nilivutiwa sana na namna wabunge wengi wa CCM walivyoamka na kuonesha kwa dhati ya mioyo yao namna walivyokerwa na ufisadi wa Richmond. Nakumbuka Mbunge wangu Lucas Selelii alikuwa kinara mmojawapo.

Mwanzoni sikutarajia kama Waziri Mkuu niliyempenda sana na kumuamini, niliyemtazama kama kiongozi wa mfano kwangu
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment