Wednesday 27 February 2013

Re: [wanabidii] Tetemeko la ardhi mkoa wa kigoma

Duh! Hiyo kali. Sijui unawaza nini? Afadhali usingejisumbua kuwaza lolote kati ya hayo uliyotuandikia hapa, unless kama ulitaka tucheke kama nilivyofanya mimi.

Sent from my iPhone

On 27 Feb 2013, at 15:57, Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk> wrote:

Isije ikawa another Tsunami chini ya Ziwa au mabomu makubwa yaliotumbukia humo baada ya wapiganaji kuzama na mtumbwi wakihama toka eneo moja kwenda kwingine waacha yapotelee ziwani yanapasuka sasa au kimondo hakikuonekana kikidondoka au warukao kwa ungo wamepambana kugombania himaya?!


--- On Wed, 27/2/13, Ismael Kimirei <kiakimirei@gmail.com> wrote:

From: Ismael Kimirei <kiakimirei@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Tetemeko la ardhi mkoa wa kigoma
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, 27 February, 2013, 12:18

Asante Marcus. Basi lilikuwa dogo sana. Ngoja tusubiri riport zaidi labda twaweza pata na magnitude yake.
Kim
        On 2/27/2013 2:40 PM, Marcus FALINZUNGU wrote:
Ni kweli lilitokea muda huo. Mimi nilikuwa ofisini kwangu, Mnarani CARITAS HOUSE, ila sina hakika na ukubwa (Magnitude yake).    ------------------------------  Marcus Falinzungu  WFP Kigoma  Mob: +255 754 929460               +255 655 929460  -----------------------------    -----Original Message-----  From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On Behalf Of Ismael Kimirei  Sent: Wednesday, February 27, 2013 2:02 PM  To: wanabidii@googlegroups.com  Subject: Re: [wanabidii] Tetemeko la ardhi mkoa wa kigoma    Nipo Kigoma. Mida hiyo unayoisema nilikuwa maeneo ya Mwanga. Sikusikia hata tremor ya suruali. HIlo tetemeko gani linachagua eneo dogo tu kiasi hicho? Lilikuwa na uzito gani?    On 2/27/2013 1:03 PM, Juma Mzuri wrote:  
Tetemeko la ardhi limetokea saa 6.18 mchana MKOANI Kigoma, hasa maeneo   ya Ofisi za Mkuu wa Mkoa. Hamna madhara yaliyotokea hadi sasa    
--  Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com    Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha   wanabidii+ukishatuma    Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---  You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.      

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment