Tuesday 30 June 2015

[wanabidii] UN TANZANIA YAKUSANYA MAONI KUHUSU UTENDAJI WAKE NCHINI NDANI YA SABASABA, KARUME HALL

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapa chini


<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5730.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139454" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5730.jpg" alt="IMG_5730" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimwelekeza Mkurugenzi wa kampuni ya Events World, Dimo Debwe Mitiki,  jinsi ya kuwasilisha maoni yake kuhusiana na kazi za Umoja wa Mataifa na nini angependa Umoja huo ufanye zaidi kwa ajili ya watanzania kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama "Sabasaba". (Picha na Zainul Mzige wa<span style="color: #0000ff;"> <a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com">modewjiblog</a></span>).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5736.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139464" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5736.jpg" alt="IMG_5736" width="640" height="427" /></a></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5779.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139453" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5779.jpg" alt="IMG_5779" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimwelekeza mmoja wa wananchi aliyetembelea la Umoja huo jinsi ya kuwasilisha maoni yake kuhusiana na kazi za Umoja wa Mataifa na nini angependa Umoja huo ufanye zaidi kwa ajili ya watanzania.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5793.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139452" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5793.jpg" alt="IMG_5793" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Laurean Kiiza (kushoto) kutoka kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), akimsimia Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com/">Modewjiblog</a></span>, Zainul Mzige kuwasilisha maoni (GeoPoll) yake moja kwa moja kwenye simu ya kiganjani, alipotembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye maonyesho ya sabasaba yanayoendelea kutimua vumbi jijini Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5772.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139455" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5772.jpg" alt="IMG_5772" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mdau wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Lemmy Hipolite (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi na Meneja mradi wa TUBEGA ART ambaye ni mtaalamu wa sanaa za uchoraji, Amos Mtambala, jinsi alivyowezeshwa na Umoja huo kupitia Shirika la Kazi Duniani (ILO) kupata elimu inayomwezesha kuwa mjasiriamali kwa kuuza michoro hiyo ndani ya banda la Umoja wa Mataifa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5710.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139462" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5710.jpg" alt="IMG_5710" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi na Meneja mradi wa TUBEGA ART ambaye ni mtaalamu wa sanaa za uchoraji, Amos Mtambala, akionyesha baadhi ya kazi zake kwa wananchi waliotembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama "Sabasaba".</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5764.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139458" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5764.jpg" alt="IMG_5764" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu  akitoa maelezo ya maeneo mbalimbali yaliyofanikiwa katika utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya Umoja wa Mataifa (UNDAP) kwa mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Umoja wa Mataifa na kutaka kufahamu shughuli mbalimbali za UN Tanzania.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5744.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139459" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5744.jpg" alt="IMG_5744" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimkabidhi makabrasha na vipeperushi mbalimbali vya Umoja Mataifa, Mwandishi wa <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.issamichuzi.blogspot.com">Michuzi blog</a></span>, Chalila Kibuda aliyetembelea banda hilo kwenye maonyesha ya sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5701.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139465" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5701.jpg" alt="IMG_5701" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Sophia Mataro (wapili kushoto) kutoka Shirika la UNESCO Tanzania, akitoa maelezo ya shughuli mbalimbali za Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini kwa mmoja wa wananchi alitembelea banda la Umoja wa Mataifa lililopo Karume Hall ndani ya viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama "Sabasaba".</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5717.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139456" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5717.jpg" alt="IMG_5717" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akizungumza na kituo cha Televisheni cha Channel Ten kilichotembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye maonyesho ya Sabasaba yanaoendelea kutimua vumbi jijini Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5802.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139457" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5802.jpg" alt="IMG_5802" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Timu ya wafanyakazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa "Delivering as One" wanaotoa huduma kwenye banda la Umoja wa Mataifa lililopo Karume Hall kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara kimataifa maarufu kama "Sabasaba" yanayoendelea kurindima jijini Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5738.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139461" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5738.jpg" alt="IMG_5738" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Muonekano wa nje wa banda la Umoja wa Mataifa lililopo Karume Hall katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na <a style="color: #000000;" href="http://www.modewjiblog.com/">Modewji blog</a> team</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania limetoa nafasi ya kipekee kwa watanzania kutoa maoni yao wakati wa kipindi hiki cha maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam, yaliyoanza kurindima Juni 28, huku wakikusanya maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi juu ya utendaji wake kwa wanaotembelea kwenye maonyesho hayo kila siku.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha, katika kupokea maoni hayo, UN imeweka utaratibu wa moja kwa moja kwa wananchi kufika kwenye banda lao na kutoa maoni yao,  ambayo yanaenda moja kwa moja kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini  Alvaro Rodriguez.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Njia nyingine ya kuwasilisha maoni ya moja kwa moja ni kupitia mtandao wa (Online) kwa kuingia <span style="color: #0000ff;"><em><a style="color: #0000ff;" href="http://gpl.cc/UN2">http://gpl.cc/UN2</a></em></span></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kupitia linki hiyo,  mtumiaji anaweza kutumia  simu yake  ya smartphone, laptop  na vifaa vingine vya kielektroniki.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Njia nyingine ni ya kutumia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS), ambapo kwa  watumiaji wa mtandao wa  <span style="color: #0000ff;">Airtel</span> watatuma ujumbe wao kwenda namba <span style="color: #0000ff;">15453,</span> kwa watumiaji wa mtandao wa <span style="color: #0000ff;">Tigo </span> wanatuma kwenda 15055 au <span style="color: #0000ff;">15453</span> na kwa <span style="color: #0000ff;">Vodacom</span> ni namba <span style="color: #0000ff;">15055.</span></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na kwa njia ya tatu ni kuwasilisha namba ya simu na majina na ujumbe unaotaka na UN wataufanyia kazi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha, maoni hayo yatakuwa yakipokelewa kwa kipindi chote cha SabaSaba, hivyo wananachi wameombwa kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao ya nini UN wakifanye nchini pamoja na mambo mengine.</strong></span></p>


KAWAIDA

IMG_5730

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimwelekeza Mkurugenzi wa kampuni ya Events World, Dimo Debwe Mitiki,  jinsi ya kuwasilisha maoni yake kuhusiana na kazi za Umoja wa Mataifa na nini angependa Umoja huo ufanye zaidi kwa ajili ya watanzania kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama "Sabasaba". (Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

IMG_5736

IMG_5779

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimwelekeza mmoja wa wananchi aliyetembelea la Umoja huo jinsi ya kuwasilisha maoni yake kuhusiana na kazi za Umoja wa Mataifa na nini angependa Umoja huo ufanye zaidi kwa ajili ya watanzania.

IMG_5793

Laurean Kiiza (kushoto) kutoka kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), akimsimia Meneja mwendeshaji wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Zainul Mzige kuwasilisha maoni (GeoPoll) yake moja kwa moja kwenye simu ya kiganjani, alipotembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye maonyesho ya sabasaba yanayoendelea kutimua vumbi jijini Dar es Salaam.

IMG_5772

Mdau wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Lemmy Hipolite (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi na Meneja mradi wa TUBEGA ART ambaye ni mtaalamu wa sanaa za uchoraji, Amos Mtambala, jinsi alivyowezeshwa na Umoja huo kupitia Shirika la Kazi Duniani (ILO) kupata elimu inayomwezesha kuwa mjasiriamali kwa kuuza michoro hiyo ndani ya banda la Umoja wa Mataifa.

IMG_5710

Mkurugenzi na Meneja mradi wa TUBEGA ART ambaye ni mtaalamu wa sanaa za uchoraji, Amos Mtambala, akionyesha baadhi ya kazi zake kwa wananchi waliotembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama "Sabasaba".

IMG_5764

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu  akitoa maelezo ya maeneo mbalimbali yaliyofanikiwa katika utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya Umoja wa Mataifa (UNDAP) kwa mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Umoja wa Mataifa na kutaka kufahamu shughuli mbalimbali za UN Tanzania.

IMG_5744

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimkabidhi makabrasha na vipeperushi mbalimbali vya Umoja Mataifa, Mwandishi wa Michuzi blog, Chalila Kibuda aliyetembelea banda hilo kwenye maonyesha ya sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

IMG_5701

Sophia Mataro (wapili kushoto) kutoka Shirika la UNESCO Tanzania, akitoa maelezo ya shughuli mbalimbali za Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini kwa mmoja wa wananchi alitembelea banda la Umoja wa Mataifa lililopo Karume Hall ndani ya viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama "Sabasaba".

IMG_5717

Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akizungumza na kituo cha Televisheni cha Channel Ten kilichotembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye maonyesho ya Sabasaba yanaoendelea kutimua vumbi jijini Dar es Salaam.

IMG_5802

Timu ya wafanyakazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa "Delivering as One" wanaotoa huduma kwenye banda la Umoja wa Mataifa lililopo Karume Hall kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara kimataifa maarufu kama "Sabasaba" yanayoendelea kurindima jijini Dar es Salaam.

IMG_5738

Muonekano wa nje wa banda la Umoja wa Mataifa lililopo Karume Hall katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

Na Modewji blog team

Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania limetoa nafasi ya kipekee kwa watanzania kutoa maoni yao wakati wa kipindi hiki cha maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam, yaliyoanza kurindima Juni 28, huku wakikusanya maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi juu ya utendaji wake kwa wanaotembelea kwenye maonyesho hayo kila siku.

Aidha, katika kupokea maoni hayo, UN imeweka utaratibu wa moja kwa moja kwa wananchi kufika kwenye banda lao na kutoa maoni yao,  ambayo yanaenda moja kwa moja kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini  Alvaro Rodriguez.

Njia nyingine ya kuwasilisha maoni ya moja kwa moja ni kupitia mtandao wa (Online) kwa kuingia http://gpl.cc/UN2

Kupitia linki hiyo,  mtumiaji anaweza kutumia  simu yake  ya smartphone, laptop  na vifaa vingine vya kielektroniki.

Njia nyingine ni ya kutumia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS), ambapo kwa  watumiaji wa mtandao wa  Airtel watatuma ujumbe wao kwenda namba 15453, kwa watumiaji wa mtandao wa Tigo  wanatuma kwenda 15055 au 15453 na kwa Vodacom ni namba 15055.

Na kwa njia ya tatu ni kuwasilisha namba ya simu na majina na ujumbe unaotaka na UN wataufanyia kazi.

Aidha, maoni hayo yatakuwa yakipokelewa kwa kipindi chote cha SabaSaba, hivyo wananachi wameombwa kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao ya nini UN wakifanye nchini pamoja na mambo mengine.



--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment