Sunday 28 June 2015

[wanabidii] NJOO SABASABA UJUE UMOJA WA MATAIFA, MIAKA 70 YA KUTETEA USTAWI WA DUNIA

Habari za asubuhi, tafadhali pokea CODES, hapo chini.



<iframe src="https://www.youtube.com/embed/bwueEmmKsNU" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>

<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_0598.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139284" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_0598.jpg" alt="DSC_0598" width="600" height="356" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Muonekano wa nje wa Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania lililopo ndani ya Karume Hall wanaoshiriki katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam ya sabasaba yaliyoanza kurindima jana kwenye katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa <a href="www.modewjiblog.com">modewjiblog</a>).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong><a style="color: #000000;" href="http://www.modewjiblog.com/">Modewji blog</a> team, Sabasaba</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong> Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania wapo katika maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza kurindima mapema jana.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>UN Tanzania ambao wapo katika banda la Karume ndani ya mabanda hayo ya Sabasaba, kutoa elimu inayolenga kuionyesha jamii mafanikio, changamoto na fursa zilizopo katika Umoja wa Mataifa ambapo mwaka huu unafikisha miaka 70 tangu shirika hilo lianzishwe.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong> "Huu ni mwaka muhimu  sana kwani safari ya Umoja wa Mataifa ilianza mwaka 1945, hadi kufikia sasa kuwa umefikia wapi,  tupo wapi na tunaelekea wapi  katika kushughulikia changamoto za kidunia ikiwemo Amani na usalama, changamoto za maendeleo,  changamoto za mabadiliko ya tabia nchi, na changamoto zingine", alieleza Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha, alibainisha kuwa,  UN  ambayo imeweza kufikisha miaka 15 ya malengo ya Milenia yaliyokubaliwa na nchi wanachama wa Umoja huo mwaka 2000, yanafikia kilele hapo  Desemba 30, mwaka huu  hivyo wakuu  hao wanchi watakutana tena  mwezi Septemba mwaka huu, kupanga malengo mapya ya Maendeleo endelevu (SDGs) ambayo yatakapokubalika  yataanza kutumika mwakani.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong> "Huu ni mwaka muhimu sana. wa kuonyesha hayo mabadiliko,  tumekuwa na miaka 15 ya milenia kuna vitu tumefanikiwa na tumekuwa na changamoto.  Kwa hiyo malengo hayo yalikuwa ni shirikishi kutoka kwa kada zote"alieleza.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pia alieleza kuwa katika mkutano mkubwa wa mabadiliko ya tabianchi ambao utakuwa mkutano mkubwa wa 21, utakaofanyika Paris-Ufaransa  Disemba mwaka huu. Wakuu wa nchi watakuja na makubaliano ya kuona watafanya nini hivyo makubaliano hayo ni muhimu sana.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong> Nchi zote duniani zimeona suala la mabadiliko ya tabianchi si la nadharia tena bali ni la wote kuungana kupambana nalo kwani wote tunaathirika.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Hivyo tunawakaribisha sana watanzania kutembelea katika banda letu kujionea na kufahamu na kujifunza na kwa Tanzania mwaka huu tunamalizia program yetu ya kwanza  ambayo tunashirikiana mashirika yote kufanya kazi kwa pamoja (Delivering as one) katika kutatua changamoto zinazotukabili hapa Tanzania kwa kushirikiana na serikali.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_0611.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139286" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_0611.jpg" alt="DSC_0611" width="640" height="427" /></a>

&nbsp;
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akitoa maelezo ya taarifa mbalimbali zilizoorodheshwa kwenye jarida la vijana lililoandaliwa na Shirika linaloshughulikia idadi ya watu Duniani (UNFPA) kwa mmoja wa wakinamama aliyetembelea banda kwa ajili ya kufahamu shughuli mbalimbali na mchango wa shirika la Umoja wa Mataifa kwa serikali Tanzania.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5248.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139288" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5248.jpg" alt="IMG_5248" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akisikiliza swali kutoka kwa raia wa kigeni mwenye asili ya asia aliyetembelea banda la Umoja wa Mataifa katika maonyesho ya sabasaba yaliyoanza kurindima jana </strong></span><strong><span style="color: #000080;"><em>katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar</em></span>.</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5271.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139290" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5271.jpg" alt="IMG_5271" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5240.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139289" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5240.jpg" alt="IMG_5240" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akiendelea kuwapiga msasa raia hao wa kigeni waliotembelea banda la shirika la Umoja wa Mataifa Tanzania.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5291.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139295" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5291.jpg" alt="IMG_5291" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5286.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139291" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5286.jpg" alt="IMG_5286" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akisaidiana na mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye maonyesho ya sabasaba kukusanya machapisho na vipeperushi mbalimbali vinavyoelezea shughuli za Umoja wa Mataifa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5300.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139292" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5300.jpg" alt="IMG_5300" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania katika hatua za mwisho za kuandaa program mbalimbali zitakazokuwa zikitoa elimu kwa wananchi wakataotembelea banda hilo katika maonyesho ya sabasaba yaliyoanza kutimua vumbi jana </strong></span><strong><span style="color: #000080;"><em>katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar</em></span>.</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5148.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139293" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5148.jpg" alt="IMG_5148" width="640" height="337" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Pichani juu na chini ni meza zilizosheheni ripoti, vitabu na majarida mbalimbali ya Umoja wa Mataifa kwa ajli ya watanzania kujisomea na kuelimika kuhusiana na shughuli na taarifa mbalimbali za ustawi wa kidunia zinazofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5146.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139294" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5146.jpg" alt="IMG_5146" width="640" height="341" /></a></p>


KAWAIDA



DSC_0598

Muonekano wa nje wa Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania lililopo ndani ya Karume Hall wanaoshiriki katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam ya sabasaba yaliyoanza kurindima jana kwenye katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Modewji blog team, Sabasaba

 Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania wapo katika maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza kurindima mapema jana.

UN Tanzania ambao wapo katika banda la Karume ndani ya mabanda hayo ya Sabasaba, kutoa elimu inayolenga kuionyesha jamii mafanikio, changamoto na fursa zilizopo katika Umoja wa Mataifa ambapo mwaka huu unafikisha miaka 70 tangu shirika hilo lianzishwe.

 "Huu ni mwaka muhimu  sana kwani safari ya Umoja wa Mataifa ilianza mwaka 1945, hadi kufikia sasa kuwa umefikia wapi,  tupo wapi na tunaelekea wapi  katika kushughulikia changamoto za kidunia ikiwemo Amani na usalama, changamoto za maendeleo,  changamoto za mabadiliko ya tabia nchi, na changamoto zingine", alieleza Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama.

Aidha, alibainisha kuwa,  UN  ambayo imeweza kufikisha miaka 15 ya malengo ya Milenia yaliyokubaliwa na nchi wanachama wa Umoja huo mwaka 2000, yanafikia kilele hapo  Desemba 30, mwaka huu  hivyo wakuu  hao wanchi watakutana tena  mwezi Septemba mwaka huu, kupanga malengo mapya ya Maendeleo endelevu (SDGs) ambayo yatakapokubalika  yataanza kutumika mwakani.

 "Huu ni mwaka muhimu sana. wa kuonyesha hayo mabadiliko,  tumekuwa na miaka 15 ya milenia kuna vitu tumefanikiwa na tumekuwa na changamoto.  Kwa hiyo malengo hayo yalikuwa ni shirikishi kutoka kwa kada zote"alieleza.

Pia alieleza kuwa katika mkutano mkubwa wa mabadiliko ya tabianchi ambao utakuwa mkutano mkubwa wa 21, utakaofanyika Paris-Ufaransa  Disemba mwaka huu. Wakuu wa nchi watakuja na makubaliano ya kuona watafanya nini hivyo makubaliano hayo ni muhimu sana.

 Nchi zote duniani zimeona suala la mabadiliko ya tabianchi si la nadharia tena bali ni la wote kuungana kupambana nalo kwani wote tunaathirika.

Hivyo tunawakaribisha sana watanzania kutembelea katika banda letu kujionea na kufahamu na kujifunza na kwa Tanzania mwaka huu tunamalizia program yetu ya kwanza  ambayo tunashirikiana mashirika yote kufanya kazi kwa pamoja (Delivering as one) katika kutatua changamoto zinazotukabili hapa Tanzania kwa kushirikiana na serikali.

DSC_0611


Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akitoa maelezo ya taarifa mbalimbali zilizoorodheshwa kwenye jarida la vijana lililoandaliwa na Shirika linaloshughulikia idadi ya watu Duniani (UNFPA) kwa mmoja wa wakinamama aliyetembelea banda kwa ajili ya kufahamu shughuli mbalimbali na mchango wa shirika la Umoja wa Mataifa kwa serikali Tanzania.

IMG_5248

Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akisikiliza swali kutoka kwa raia wa kigeni mwenye asili ya asia aliyetembelea banda la Umoja wa Mataifa katika maonyesho ya sabasaba yaliyoanza kurindima jana katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

IMG_5271

IMG_5240

Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akiendelea kuwapiga msasa raia hao wa kigeni waliotembelea banda la shirika la Umoja wa Mataifa Tanzania.

IMG_5291

IMG_5286

Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akisaidiana na mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Umoja wa Mataifa kwenye maonyesho ya sabasaba kukusanya machapisho na vipeperushi mbalimbali vinavyoelezea shughuli za Umoja wa Mataifa.

IMG_5300

Baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania katika hatua za mwisho za kuandaa program mbalimbali zitakazokuwa zikitoa elimu kwa wananchi wakataotembelea banda hilo katika maonyesho ya sabasaba yaliyoanza kutimua vumbi jana katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.

IMG_5148

Pichani juu na chini ni meza zilizosheheni ripoti, vitabu na majarida mbalimbali ya Umoja wa Mataifa kwa ajli ya watanzania kujisomea na kuelimika kuhusiana na shughuli na taarifa mbalimbali za ustawi wa kidunia zinazofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa.

IMG_5146

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment