Sunday 28 June 2015

[wanabidii] MO ASSURANCE YAJIPANGA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATANZANIA MAONYESHO YA SABASABA

Habari za asubuhi, msaada tutani tafadhali


Pokea CODES hapa chini.

<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5136.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139274" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5136.jpg" alt="IMG_5136" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meneja mwendeshaji wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE),  Ravinshankar Venkatrama ( wa pili kushoto) akiwa na timu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo watakaokua wanatoa huduma katika Banda la MO ASSURANCE lilipo ndani ya mabanda ya MeTL Group kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza kurindima jana kwenye mabanda ya Sabasaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere,  barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni <b>Afisa wa kampuni ya MO ASSURANCE, Mariot Ndomba, Ofisa Mtendaji Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack pamoja na  M<b>eneja masoko msaidizi wa kampuni ya MO ASSURANCE, Esther Moringi.</b></b></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>MO Assurance kampuni ya bima inayohudumia nchi nzima kwa kutoa huduma mbalimbali za bima za majanga ikiwemo ajali ya moto, bima ya wizi, bima za ajali mbalimbali.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"MO Assurance tunapatikana ndani ya jengo la CRDB  gorofa ya nane, mtaa wa Azikiwe ambapo tunatoa huduma mbalimbali za bima." alibainisha meneja masoko msaidizi, Esther Moringi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha, kwa sasa MO Assurance yenye kauli mbiu ya 'Amani zaidi, Uhakika zaidi' ina matawi sehemu mbalimbali nchini ikiwemo Mwanza, Singida, Arusha na kwingineko.  Pia kwa sasa ni miongoni mwa makampuni ya  bima nchini yaliyofanikiwa ikiwemo kutoa huduma kwa wateja wa aina tofauti wakiwemo wa ndani na nje wanaoishi nchini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kampuni ya MO Assurance ni kampuni Mama ya MeTL Group ambapo unaweza kuwasiliana nao kupitia barua pepe: <em><span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="mailto:infomoa@moassurance.co.tz">infomoa@moassurance.co.tz</a></span></em> ama kutembelea mtandao wao kupitia : <span style="color: #0000ff;"><em><a style="color: #0000ff;" href="http://www.moassurance.co.tz/">moassurance.co.tz</a></em></span> </strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5122.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139273" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5122.jpg" alt="IMG_5122" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kutoka kushoto ni Meneja mwendeshaji wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE),  Ravinshankar Venkatrama, Meneja masoko msaidizi wa kampuni ya mo ASSURANCE, Esther Moringi, Afisa wa MO ASSURANCE, Mariot Ndomba pamoja na Ofisa Mtendaji Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack katika picha ya pamoja wakiwa tayari kutoa huduma kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza kurindima jana kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere,  barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5118.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139277" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5118.jpg" alt="IMG_5118" width="427" height="640" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Ofisa Mtendaji Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack akipiga 'selfie' na wafanyakazi wenzake.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5210.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139276" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5210.jpg" alt="IMG_5210" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong> Ofisa Mtendaji wa Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack katika picha ya pamoja na mbunifu wa mavazi nchini, Ally Rehmtulah alipotembelea banda la MO ASSURANCE.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5234.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-139275" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5234.jpg" alt="IMG_5234" width="640" height="421" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Muonekano wa nje wa banda la kampuni ya MO ASSURANCE ndani ya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa yalioanza kurindima katika viwanja vya Sabasaba katika barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. </strong></em></span></p>

KAWAIDA

IMG_5136

Meneja mwendeshaji wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE),  Ravinshankar Venkatrama ( wa pili kushoto) akiwa na timu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo watakaokua wanatoa huduma katika Banda la MO ASSURANCE lilipo ndani ya mabanda ya MeTL Group kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza kurindima jana kwenye mabanda ya Sabasaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere,  barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Afisa wa kampuni ya MO ASSURANCE, Mariot Ndomba, Ofisa Mtendaji Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack pamoja na  Meneja masoko msaidizi wa kampuni ya MO ASSURANCE, Esther Moringi.

MO Assurance kampuni ya bima inayohudumia nchi nzima kwa kutoa huduma mbalimbali za bima za majanga ikiwemo ajali ya moto, bima ya wizi, bima za ajali mbalimbali.

"MO Assurance tunapatikana ndani ya jengo la CRDB  gorofa ya nane, mtaa wa Azikiwe ambapo tunatoa huduma mbalimbali za bima." alibainisha meneja masoko msaidizi, Esther Moringi.

Aidha, kwa sasa MO Assurance yenye kauli mbiu ya 'Amani zaidi, Uhakika zaidi' ina matawi sehemu mbalimbali nchini ikiwemo Mwanza, Singida, Arusha na kwingineko.  Pia kwa sasa ni miongoni mwa makampuni ya  bima nchini yaliyofanikiwa ikiwemo kutoa huduma kwa wateja wa aina tofauti wakiwemo wa ndani na nje wanaoishi nchini.

Kampuni ya MO Assurance ni kampuni Mama ya MeTL Group ambapo unaweza kuwasiliana nao kupitia barua pepe: infomoa@moassurance.co.tz ama kutembelea mtandao wao kupitia : moassurance.co.tz 

IMG_5122

Kutoka kushoto ni Meneja mwendeshaji wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE),  Ravinshankar Venkatrama, Meneja masoko msaidizi wa kampuni ya mo ASSURANCE, Esther Moringi, Afisa wa MO ASSURANCE, Mariot Ndomba pamoja na Ofisa Mtendaji Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack katika picha ya pamoja wakiwa tayari kutoa huduma kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza kurindima jana kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere,  barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.

IMG_5118

Ofisa Mtendaji Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack akipiga 'selfie' na wafanyakazi wenzake.

IMG_5210

 Ofisa Mtendaji wa Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack katika picha ya pamoja na mbunifu wa mavazi nchini, Ally Rehmtulah alipotembelea banda la MO ASSURANCE.

IMG_5234

Muonekano wa nje wa banda la kampuni ya MO ASSURANCE ndani ya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa yalioanza kurindima katika viwanja vya Sabasaba katika barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. 


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment