Monday 18 July 2016

Re: [wanabidii] KUWAFUNGIA MATABIBU CLINIC ZAO: NI mkakati wa kukuza ubunifu au tunafanya tusichokijua?

labda tungeenda mbali kujua zaidi kwanini hawa watu wamefungiwa kuliko kulaumu. kuna wataalamu wa tiba mbadala ambao consultation fee tu ni zaidi ya 100,000. na hiyo ni single visit kitu ambacho hakina uhalisia  na hali halisi ya maisha ya mtanzania. Sidhani kama wizara ilikurupuka..kwanini hao tu wakati wapo wengi na wapo kila kona ya nchi hii?

2016-07-18 16:02 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Nimemaliza kujifuta machozi. Umenikosea sana Misango. Umenikumbusha ya Dr. Masau. Baada ya kummbaliza wakajiita majina ya hospitali ambayo alikuwa anataka iwasaidie watanzania. Mungu apishe mbali hata siku moja nisilale katika hospitali hiyo Kila ikitamkwa taasisi ya moyo na nanihii nasikia ki9chefuchefu.
--------------------------------------------
On Mon, 7/18/16, 'Charles Misango' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] KUWAFUNGIA MATABIBU CLINIC ZAO: NI mkakati wa kukuza ubunifu au tunafanya tusichokijua?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Monday, July 18, 2016, 3:24 PM

 Naungana
 nawe Elisa kwa maoni yako. Kinachotusumbua watanzania wengi
 naweza sema ni 'ushamba' uliopitiliza ukawa
 'ujinga'.. Ujinga uliotusukuma wengi kuwa na wivu wa
 kipuuzi uliozaa roho mbaya.

 Enzi ya
 Mwalimu, utawala wake na hasa yeye mwenyewe alikuwa na moyo
 wa kuwainua watanzania. kuwaonyesha wazungu kwamba ngozi
 nyeusi sio laana wala kukosa akili, ujuzi na maarifa. Yeye
 katika umri mdogo aliwahenyesha na wanalijua hilo. Kitendo
 cha kumteua kijana mdogo kwa umri wakati huo, Salim Ahmed
 Salim kuwa balozi kilishangaza wengi. Au alipomtuma kijana
 mdogo wakati ule kwenda israel kusomea uhandisi, marehemu
 Beda Amuri kilikuwa ni kitendo cha kuutambulisha ulimwengu
 kuwa ipo siku tutakwenda huko kwa weupe kuwafundisha
 kazi.Mzee
 kaondoka na ujasiri huo. Nyuma wakabaki wasaidizi wake
 waliohusudu sana, wageni. Jambo likifanywa na mtanzania
 mwenye uchu wa kuchuma mali za halali kwa bidii yake,
 atakwamishwa sana. Reginard Mengi hata kama ana matatizo
 yake, kama sio kusimama imara asingefika hapo alipo.
 Serikali iseme imeweka mkono gani kwake kufika hapo? Dk
 Masau, mtaalamu bingwa wa magonjwa ya moyo alitendewa unyama
 wa kutisha na waliotakiwa kumuunga mkono kwa nguvu zote.
 Nina uhakika Dk Masau angekuwa mweupe, angelambwa hata miguu
 na kupewa kila ambacho angetaka. Lakini mswahi wa Majita,
 wapi na wapi.Mzee wa
 kikombe cha Loliondo, alikimbiliwa kwa sababu aliegemea
 mambo ya Imani na Kanisa lake akiwemo askofu wake,
 wakamuunga mkono.Kumbe
 akina Mwaka walitakiwa kusaidiwa pale walipokosea, kusudi
 waweze sasa kutenda vyema. sio kufungia bila kuangalia mtu
 huyu kasota vipi kufanikisha kazi yake


    On Saturday, July 16,
 2016 6:40 PM, 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com> wrote:



 Kuna dreva mmoja wa chuo kikuu Dar (UDSM)
 katibiwa cancer ya mguu kwa dawa ya miti shamba. Maisha yake
 yamekuwa mapya kwani hata kutembea alikuwa hawezi wakati
 Muhimbili na Ocean road wanatumia miale na mbinu sa kisasa.
 Hebu fikiria ni raha na furaha kiasi gani Tiba Asili
 imemponya! Full doze ni 450,000/= kwa matibabu ya miezi
 3.

 Cha kufanya ni Wizara ya
 Afya na Jinsia kutafuta mwekezaji au hela kujenga kiwanda
 cha kufyatua dawa ziwe katika unga, maji, mafuta etc na kuwa
 packaged kama inavyotakiwa. Mbona zinafanyiwa utafiti na
 kuthibitishwa na Muhimbili na Taasisi ya Utafiti wa Tiba
 asili kuthibitishwa na NIMR na TFDA? Zipo za kutoka nchi
 mbali mbali zinauzwa kariakoo. Baadhi ya tabibu hawakusoma
 kabisa wamerithi kutoka wazazi, bibi na babu na watu
 wanatibiwa wanapona. Madaktari wa Tanzania walipelekwa China
 kusomea barefoot doctors na kujua masuala ya Tiba Asilina
 Mbadala na ndio wapo wizarani kitengo cha Tiba Asili. Ulaya
 unanunua dawa asili packaged. Wajenge kiwanda kifyatue dawa
 kiusalama zaidi. Badala ya kushindana na kufungiana-dialogue
 inahitajika. Mbona Baraza la Wizara la Tiba Asili lipo na
 Vyama vya Waganga au Tabibu Asili vipo na vimeandikishwa
 kisheria. Wanakutana na Wizara kupitia wawakilishi wao ktk
 Baraza-dialogue inashindikana kivipi.

 Kwenye waganga wa Tiba Asili kuna
 specialization pia-kutibu magonjwa mbali mbali na wengi
 wamesaidiwa kwa bei nafuu badala ya kwenda India kutibiwa 
 matibabu ya kisasa. Wanaotibu  pumu, malaria, parkinsons,
 uzazi, kupooza, kichwa kuuma etc kwa miti shamba/miti dawa
 na madini asilia au dawa asilia.

 Tutatue matatizo kwa majadiliano na makubaliano
 kabla ya wahusika wa kuwafungia hawajaanza kwenda mwendo
 kazi barabarani na kuyapita magari ya sasa ya jiji ya mwendo
 kasi ili Tiba Asili aje kuonyesha mfano wa kumtibu ili apate
 kuheshimiwa!

 Kama Kawa

 --------------------------------------------
 On Sat, 16/7/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
 wrote:

  Subject: Re:
 [wanabidii] KUWAFUNGIA MATABIBU CLINIC ZAO: NI mkakati wa
 kukuza ubunifu au tunafanya tusichokijua?

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Saturday, 16 July, 2016, 16:53

  Elisa,Nakuunga mkono. We are
 our own worst
  enemy.em

 2016-07-16 3:30 GMT-04:00
  'ELISA
 MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
  Zamani
  fulani niliwahi
 kuandika makala katika moja ya magazeti

 iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho: Wabunifu wetu
 wa
  magobole wamo magerezani wakilindwa na
 magobole ya wabunifu
  wenzao kutoka
 India.

  Nilichosema ni
 kuwa Tanzania imewakamata watengeneza

 magobole ambayo (magobole) yalikuwa hayakutengenezwa kwa
  kibali. Na India hivyohivyo. Sisi
 watengenezaji hao wa
  magobole tukawashtaki
 kwa kutengeneza magobole hayo bila
  kibali
 cha serikali. India wa kwao ikawatafutia nyenzo
  wakaendelea kutengeneza magobole na (India)
 kuanza kuyauza
  nje. Sisi kwa kuwa tulikuwa
 tunatafuta bunduki za kulinda
  magereza yetu
 tukagundua kuwa zile zinazouzwa India

 zinatufaa. Tukazinunua na zikasaidia maaskari magereza
 wetu
  kulinda wafungwa wetu wakiwemo
 wabunifu wetu wa magobole.
  Nilipokuwa
 naandika makala hiyo kulikuwa na kesi mahakamani
  na watu hao walihukumiwa vifungo kweli. Siyo
 India peke yake
  inayogeuza 'uhalifu'
 kuwa Fursa. Uganda enzi za Obote
  ilikuwa na
 shida ya waganda kutengeneza gongo wakati gongo
  hilo ni haramu. Baadaye uongozi wa Obote
 ukachemsha kichwa
  (okufumba omutwe).
 Wakawageuza wapika gongo kuwa wakala wa

 'Uganda Waragi'. (kwetu ni Konyagi) hivyo Uganda
 waragi
  ikawa inanunua Gongo na kulichuja na
 kuliweka kwenye chupa
  hivyo tatizo
 likapungua, (halikuisha).


 Tanzania ina dira yake sasa. Tunataka kujenga uchumi wa
 kati
  ifikapo 2025. Njia moja wapo ni kukuza
 viwanda. Huo ni
  mpango wa Taifa. Si
 serikali peke yake inayotekeleza pango
  huo.
 La! Serikali, Taasisi za kidini, Wananchi, wataalamu wa
  kila sekta, wanasiasa-wote tunatekeleza hilo.
 Ndiyo maana
  wanaoona; vyama vya siasa
 walipofungiwa kufanya mikutano ya

 kikampeni-tuliunga mkono. Tunaona wanataka kutupotezea
 muda
  kwa kisingizio cha demokrasia.

  Moja kati ya mikakati ya
 kutekeleza lengo hilo la taifa
  wakajitokeza
 watanzania wenzetu wasomi wa mambo ya afya

 katika ngazi ya kati (Matabibu) wakafanya utafiti kwa
  kuoanisha magonjwa wanayoyajua kitabibu; na
 matibabu ya
  kienyeji (Kiasili). Serikali
 kwa kutambua hilo ikawawekea
  utaratibu.
 Waitwe watoa tiba ya asili au tiba mbadala.


  Dawa ya kutibu malaria (kwa mfano) kwa
 dawa ya kienyeji, ni
  bakuli moja ya lita
 moja mara mbili kwa siku. Wao kwa
  kuangalia
 ukubwa wa lita na uwezo wa kuitumia wakajitahidi
  wakaiweka katika unga na sasa wamefikia hatua
 ya kutumia
  unga wa kijiko kimoja kwenye
 glass ya maji. Ni hatua
  hiyo.

  Watu hawa wameendelea na
 sasa wana clinics nyingi na
  zinatibu
 magonjwa ambayo baadhi yameshindikana katika
  hospitali zinazoitwa za kisasa.

  Dawa zao zimepiga hatua
 kutoka kibakuli cha lita moja mpaka
  glass
 moja. Wamepiga hatua kiasi cha kutengeneza vifungashio
  vizuri tu vya kisasa. Wakasema sasa huduma zao
 ni za
  'kisasa'. Kwa neno hilo
 wakafungiwa.

  Majuzi rais
 wetu amewakaribisha wahindi kuja kuwekeza katika
  viwanda vya madawa, badala ya kuendelea
 kutuuzia dawa.
  Ukienda India baadhi ya
 viwanda vinavyotuuzia madawa hayo
  viko
 uwani mwa nyumba za kuishi. Wanachofanya ni kutumia
  majina ya viwanda vikubwa na luweka
 'label' zao na
  kuwalipa kamisheni.
 Ndizo tunazotumia na huwezi kujua labda

 Mwijage (waziri wa viwanda) akienda huko. (Namuamini ana
  uwezo wa kugundua hilo. Wengine hamna).

  Miti inayotumika kutengeneza
 dawa ya Malaria ni Cinchona na
  imezagaa na
 ndiyo Bukoba wanatengeneza dawa za

 'Omushana' lakini China wanatuletea Malaraquine. Dawa
 za
  Dr Mwaka tunasema za asili na akisema za
 kisasa tunamfungia
  lakini za Mchina
 tunazikubali na kuziita za kisasa. Tofauti

 ya dawa hizi ni moja: za wachina hatujui
 wanakozitengenezea.
  Ndiyo tofauti. Kumbe
 akina 'Dr. Mwaka' wa China
  walisaidiwa
 na serikali yao na sasa wanatuuzia dawa na sisi
  tumefaulu kuwanyamazisha wabunifu wetu sasa
 tunataka 'Dr.
  Mwaka' wa kichina na wetu
 tunaua. Dr. Mwaka akikosea
  akaenda china na
 kuanzisha kiwanda akaiita 'hwa ngwi

 chi', dawa zake zitanunuliwa tena kwa garama kubwa na
  kutumika katika hospitali zetu za kisasa.

  Hivi muda tunaotumia
 kumlaumu Dr. Mwaka na wenzake kwa
  kutumia
 neno 'matibabu ya kisasa' badala ya

 'asili/mbadala' kwa nini tusiutumie kumsaidia
 kuzifanya
  dawa zake za kisasa? Kama
 tumehakikisha zinatibu; kama
  tumehakikisha
 zinaboreshwa kutoka bulkiness mpaka small

 packages; Kama amefikia hatua ya kuzifungasha
  vizuri-tunashindwa nini kumpeleka mbele akawa
 wa kiwango cha
  kisasa?

  Kwa kuzima ubunifu Tanzania inaweza kusifika.
 Ukiondoa swala
  la magobole, tunakumbuka
 jinsi Mafuta ya Ubuyu ulivyozimwa.
  Ukienda
 Dodoma vijijini kukutana na mzee wa myaka 120
  anakimbizana na mbuzi kama kijana ni jambo la
 kawaida.
  'Watafiti' wa
 kyenyeji/asili/mbadala wa kitanzania

 wakahusishaa matumizi ya mbegu za ubuyu na uzee mwema
 huo.
  Wakafanya utafiti; wakayakamua na
 yakaanza kuwasaidia
  watanzania kiafya na
 kiuchumi. Akakurupuka huko mtu na
  kusema
 mafuta hayo ni 'hatari kwa binadamu'. Kulikuwa na
  uvumi kuwa kuna mtu mmoja alitaka kuhodhi soko
 la mafuta
  hayo na akaanza kwa kuzima
 wanaoyauza. Kwamba ni kweli au
  sio hiyo
 siri kubwa.

  Sipendi
 kuamini kuwa katika amri hii ya matibabu kufungiwa
  ina swala la mahusiano ya mtu na mtu kwa
 makusudi ya
  kukomoana. Tunafahamu kuwa
 kuliwahi kutokea mzozo kati ya
  uongozi mpya
 wa wizara ya Afya na Clinic ya Dr. Mwaka.

 Lakini nadhani hakuna mahusiano na si kusudi la makala
 hii
  kulijadili. Kalamu imeteleza tu.

  Ninachosema ni kuwa Tanzania
 inahitaji kufanya zaidi ili
  kukuza sayansi.
 Lazima tujipe nafasi ya kutumia akili

 zetu.

  Nimesikia habari za
 uanzishwaji wa ''Jiji la sayansi'.

 Nilisikiliza sana nikahofu tunaanza jiji hilo na kosa la
  msingi ambalo litatupoteza njia. Mpango wa
 jiji hilo ni kuwa
  Mtu mwenye degree akiwa
 na wazo la ubunifu atapeleka wazo
  hilo.
 Wataalamu wenzake watalipitia na lifanyiwe kazi.
  Najiuliza Wasomi wetu wenye degree wamewahi
 kubuni nini
  kinachosaidia jamii.
 Waliofungiwa wote wako ngazi ya kati.

 Matabibu; yaani Clinical officers (au Clinical
 Assistants).
  Kama tutajikita kuwatumia
 wenye degree tu basi kukwama kwa
  kutimiza
 lengo la kuanzisha jiji hilo kutaanzia hapo.



  Elisa Muhingo

  0767 187 507



  --



   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



   Kujiondoa Tuma Email
 kwenda




   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya

   kudhibitisha ukishatuma



    



   Disclaimer:



   Everyone
 posting to this Forum bears the sole

 responsibility

   for any
 legal consequences of his or her postings, and
  hence


  statements and facts must be presented responsibly.
  Your


  continued membership signifies that you agree to this

   disclaimer and pledge to
 abide by our Rules and
  Guidelines.



   ---



   You received this message
 because you are subscribed to
  the

   Google Groups
 "Wanabidii" group.



   To
 unsubscribe from this group and stop receiving
  emails


  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



   For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.



  --

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and
  Guidelines.


  ---

  You
 received this message because you are subscribed to the
  Google Groups "Wanabidii" group.

  To unsubscribe from this
 group and stop receiving emails
  from it,
 send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.






  --

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma

   

  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and
  Guidelines.


  ---


 You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii"
 group.

  To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment