Friday 22 July 2016

[wanabidii] Re: [TPN] Re: looking for contacts za Yona Kilagane

Aisee mbona supervisor hajaiona kazi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Shalom,
Wineaster 

On 22 Jul 2016, at 11:49 AM, Rosemary Mwakitwange <rosemarymwakitwange@gmail.com> wrote:


Ndugu zangu nawasalimu, Ninatafuta contacts za mzee wetu Baba Yona Kilagani/e aliyekuwa mkurugenzi wa TPDC kwa muda mrefu na kufanyakazi ya kutukuka. Ninahitaji busara zake katika jambo muhimu kwangu ili kunisaidia kuelewa zaidi habari fulani juu ya sekta ambayo naandikia research ya udaktari katika enero hilo, hususan katika maswala ya negotiation na mikataba ya makampuni makubwa. Naomba mwenye contacts zake anitumie humu ama kuni text kupitia simu yangu ya mkononi

Off-site
--
Rosemary Mwakitwange
Phd candidate 
Executive Chair 
East Africa Media for Development Initiative
P.O Box: 5659 
Dar Es Salaam, Tanzania
Tel: +255 222 602408
Cel:+255 717 190 856

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanataaluma wa Tanzania" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanataaluma+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment