Monday 18 July 2016

[wanabidii] Ngoma Africa Band Yawadatisha washabiki Bayreuth Festival,Ujerumani




NGOMA AFRICA BAND YAWADATISHA AKILI WASHABIKI BAYREUTH,UJERUMANI


Bendi maarufu ya muziki wa dansi Ngoma Africa Band aka FFU juzi siku ya jumamosi 16 Julai 2016 ilifanikiwa kwa mara nyingine kudhiirishia ulimwengu kwa kuwatia kiwewe washabiki katika onyesho kubwa la muziki lilifanyika katikati ya mji wa Bayreuth,ujerumani ya kusini,bendi ikiongozwa na mkuu wake Kamanda Ras Makunja ilikwea jukwaani majira ya saa tatu usiku na kuunza kudatisha maelfu ya washabiki ,watayarishaji wa onyesho hilo kubwa kampuni ya Tropical Internaiment wamesema haijawai kutokea bendi kama hii Ngoma Africa band ambayo mudundo wake umewachangaya akili watu wote hapa!!

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment