Wednesday 13 July 2016

Re: [wanabidii]

Ni kweli kabisa Elisa,

Ukiangalia ilani ya chama cha mapinduzi ni nzuri imeandikwa vizuri na ina mambo mengi sana mazuri. shida ilikuwa kwenye utekelezaji ambao ulikuwa haufuati sera cha chama. Upinzani ulipoingia waliona gap katika utekelezaji wa ilani za chama tawala. watu wakaona kuwa huo ndio mbadala wa katika kuelekea kwenye maboresho. 

Ku-copy na ku-paste sio dhambi ili mradi manufaa yawe kwa watu wote!

2016-07-13 10:21 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Hatari kukujibu. Hatari kutokujibu.
Nachagua moja. Tunaposema hawana sera ni baada ya kuitelekeza sera hiyo unayosema imeporwa kuanzia walipopokea wahamiaji toka CCM. Kwamba CCM inacopy na kupaste sera za CDM hakuna dhambi japo ukiwa mkweli sera za vyama vingi ziliznzia CCM. Cha msingi ni kuwa kadri watanzania wanavyoachana na kuvutiwa na T shirts na sahani ya Pilau ndivyo vyama vinavyostahili kuangalia viongozi wake wanatamka nini. Nimekutana na watu wanaohoji kama kweli CDO walikusudia kuisaidia Police kuzuia mkutano wa CCM. Wakasema kama kweli viongozi wa CDM walikusudia kufanya hivyo basi hakuna chama hapo. Walikuwa wanasema kwa sababu ya matamshi ya mwenyekiti wa chama ngazi ya taifa kusema wameamua kusitisha msaada wao kwa polisi.
--------------------------------------------
On Wed, 7/13/16, 'Lesian' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii]
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Wednesday, July 13, 2016, 2:59 AM

 Sera za cdm ndio anazozifanyia kaz
 Rais hv sasa wee mzee vp,ccm hawakua na sera za kupambana na
 ufisadi, wala watumishi lege lege zote zinazotekelzwa hv
 sasa ni copy and paste though modality imekosewa ndio maana
 makelele ni mengi,'watu hawana pesa, wala sukari,wala watoto
 w chuon kutolipwa on time...wanakosea,'wawaone cdm wenye
 sera yao
 Dira navyooona mm kiukweli ccm ndio imezimishwa haswaaa, its
 like died maana hata wanaotumbuliwa wote ni wa ccm na ndio
 maaana makelele yote kimyaa,cjaona tumbua ikiikuta cdm saana
 naona wanaogopwa wakikutana sehem tyr wanapelekewa police
 kutishiwa eti wanafanya siasa....this is un
 imaginable......its real terrible
 Kua chama cha siasa maana yake nn, kwa kua ccm imepora sera
 za cdm na kuanza kutekeleza, hv sasa cdm imejipanga
 kivingine....ila hawatak kuwapa nafas maana kilichopo hapa
 ni kupumbazwa tu watu ccm ni ile ile, ya mizuka ......dodoma
 wapo na police wote wanalindwa nn maana yake...

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

 >yama hivyo vinavyopokea kukosa dira na kukosa misimamo.
 Ni kweli kama CDM sio kuwa ilipokea makada wa CCM na
 kubadili mifumo yao ya kuchagua wagombea bali hata sera
 zilibadilika na hadi sasa haijulikani inapigania nini.
 >Umesahau CUF ilivyompoteza James Mapalala. Ipo haja ya
 katika katiba kuweka taratibu zitakazo hakikisha vyama
 vinapingana kwa sera na si makelele
 >--------------------------------------------
 >On Tue, 7/12/16, 'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:
 >
 > Subject: [wanabidii]
 > To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>
 > Date: Tuesday, July 12, 2016, 7:57 PM
 >
 > 1.
 > Kwanini kada yeyote wa CCM, anayejiona maarufu
 kisiasa,
 > anapoamua
 > kuhamia upinzani, anawadharau viongozi wote wa vyama
 vya
 > upinzani?
 >
 >
 >
 > 2.  Kwanini katika dharau hiyo, kada wahuyo wa CCM
 anapoamua
 > kuhamia
 > upinzani, yeye ndiye hujiona pekee alfa na omega, kwa
 kutoa
 > masharti
 > ambayo kila kiongozi wa upinzani lazima ayatii na
 > kuyatekeleza?
 >
 >
 >
 > 3.  Kwanini makada hao wa CCM, wakishajiunga na
 upinzani,
 > hawataki
 > kusikia tena wala kuheshimu  dhana nzima ya
 demokrasia, bali
 > demokrasia
 > inapaswa kufata mawazo yao?
 >
 >
 >
 > 4.  Kwanini kila kada wa CCM  anayejiona ni
 maarufu wa
 > kisiasa, kila
 > anapoamua kuhamia upinzani, basi anataka ajimilikishe
 yeye
 > miaka yote
 > nafasi ya urais hadi kifo?
 >
 >
 >
 > 5.  Kwanini kila kada wa CCM, anayejiona maarufu
 akihamia
 > upinzani
 > anadai kwamba huko aliotoka CCM amekimbia kwa kuwa
 hakuna
 > demokrasia,
 > lakini akikaribishwa na kupewa fursa kanuni na misingi
 ya
 > demokrasia
 > inakuwa kazi ngumu kwake, hivyo hutaka yeye kuwa alfa
 na
 > omega?
 >
 >
 >
 > 6.  Kwanini vyama vyote vikubwa vya upinzani hapa
 nchini,
 > vilivyokubali
 > kuwapokea makada maarufu wa CCM na kuwafanya kuwa
 wagombea
 > wao wa urais
 > mfano vyama vya NCCR Mageuzi, TLP vya mlema, hatma ya
 vyama
 > hivyo
 > inakuwa kupotea katika ramani siasa nchini kama
 inavyoelekea
 > kuwa hivyo
 > kwa Chadema muda mchache ujao baada ya kumpokea
 Lowassa?
 >
 >
 >
 > Wadau ili kujua ninachomaanisha angalia ujio wa Mrema
 > alipojiunga na
 > NCCR Mageuzi 1995 na Mafuriko yake yanavyofanana na
 Ujio
 > Lowassa
 > alipojiunga Chadema 2015 na mafuriko yake hali ya kuwa
 wote
 > wawili ni
 > zao la CCM, Walilelewa na kujengwa kisiasa na CCM na
 wote
 > wawili
 > waliingiwa na mdudu wa tamaa , anayetamani kweli kweli
 > nafasi ya urais.
 >        
              
 >
 >
 >
 > --
 >
 > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 >  
 >
 > Kujiondoa Tuma Email kwenda
 >
 > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya
 > kudhibitisha ukishatuma
 >
 >  
 >
 > Disclaimer:
 >
 > Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
 > for any legal consequences of his or her postings, and
 hence
 > statements and facts must be presented responsibly.
 Your
 > continued membership signifies that you agree to this
 > disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 >
 > ---
 >
 > You received this message because you are subscribed to
 the
 > Google Groups "Wanabidii" group.
 >
 > To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails
 > from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 >
 > For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.
 >
 >--
 >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 >Kujiondoa Tuma Email kwenda
 >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 >
 >Disclaimer:
 >Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility for any legal consequences of his or her
 postings, and hence statements and facts must be presented
 responsibly. Your continued membership signifies that you
 agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
 and Guidelines.
 >---
 >You received this message because you are subscribed to
 the Google Groups "Wanabidii" group.
 >To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 >For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment