Habari za mchana,
-- Tafadhali pokea CODES hapa chini
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wakiwa kama wakaguzi wa huduma za afya na usalama kwa wafanyakazi katika maeneo ya kazi, Wakala wa Afya na Usalama sehemu za Kazi (OSHA) wameeleza kuwa wataboresha ukaguzi wao hasa kwa wafanyakazi walio na UKIMWI jinsi wanavyohudumiwa na waajiri wawapo kazini.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Akizungumza na Mo Blog katika mafunzo ya jinsi ya kufanya kaguzi sehemu za kazi kwa watu walio na UKIMWI, Kaimu meneja usajili na takwimu za afya na Usalama OSHA, Dk. Abdalssalaam Omary, alisema kupitia mafunzo hayo wanataraji kuboresha ukaguzi zao ambazo zifanywa katika maeneo ya kazi ambazo zinakuwa zinawahusu watu walio na UKIMWI.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">"Tunaamini kuwa baada ya mafunzo tutakuwa na maboresho katika kaguzi zetu sababu tumepata nafasi ya kukutana na wenzetu kutoka sehemu nyingine na kubadilishana uelewa kwahiyo tutakuwa tofauti na awali," alisema Dk. Omary.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema pamoja na kujipanga kuboresha kaguzi zao alisema kuwa bado wamekuwa wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo kwa muda mwingine zinaweza kuwa zinawafanya wakwame na kueleza changamoto hizo ni pamoja na fedha na madaktari kwa ajili ya kuwafanyia uchunguzi wafanyakazi.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kwa upande wa serikali kupitia Kaimu Kamishna wa Kazi Msaidizi, Rehema Moyo alisema kuna sheria ambazo zimewekwa ambazo zinakataza waajiri kufanya vitendo vya ubaguzi kwa wafanyakazi na hivyo kama kuna waajiri wanawafanyia vitendo ambavyo havikubaliki kisheria basi watachukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakani kujibu mashitaka yanayowakabili.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">"Sera zipo utekelezaji ndiyo mgumu kuna vitendo vya ubaguzi lakini kujua ndiyo inakuwa changamoto maana ni mpaka muhusika aseme na sheria zipo kama mwajiriwa akikutwa na hatia anaweza hata kufungwa gerezani au kupigwa faini," alisema Bi. Moyo.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Nae Mratibu wa maswala yanayohusiana na UKIMWI maeneo ya kazi kutoka Shirika la Kazi (ILO), Getrude Sima, alisema kupitia mafunzo hayo wanaamini washiriki wataweza kupata kitu kipya ambacho kitawasaidia katika kaguzi wanazozifanya ili waweze kutambua zaidi matatizo yanayowakuta wagonjwa wa UKIMWI wawapo kazini na jinsi ya kuwasaidia.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img height="425" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEggQcyLfvb9403G1x7TDg1ckiBNA3S9EYqoMiB9HwrC2lZxJcR6qXR8MdMjjkk6w4HVEmcF1us3o2gZp2o3jJkQTk2dLpC0xGmQY5WFCWzaAt6Z_hxYqteO4LG0BEcjcvpTtRLJlceNNNiQ7O6BEnj_mTM01Y8sSz0zUZJL=" width="640" /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Washiriki wa mafunzo hayo wakimsikiliza mwendeshaji wa mafunzo hayo, Andrew Christian ambaye yupo Geneva, Switzerland aliyekuwa akitoa elimu kuhusu ukaguzi kwa wafanyakazi.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img height="398" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEgr7Wu0_AT3LxXKaKC9BMwf2RX6ezr0mLs3RrDyYoeDsmH4j_etYmC3OmQSIUhJFtVGk2NRfghj290DvBMl4LGgiwQStAgzMu6E9WOLunRN3darqWTVeHl3l-Jv3eL0qY8kcpvvTZ9Pjl76eFHx-mIa0PSJZp7GU7CmCSA8=" width="640" /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img height="425" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEjEV6hdQLGeXxfwn2WicpF4rRKbRiOR86-gDu8OFC-HIXz90ed1BigHiOfn0Y5ib_2MR5pbB0FhPu4GBs4Xj1h6nS-m1M7AGbkixaU-pjIkrRGRFtpMRKLidfeUMAtI9rqSuWaZ0skcE3Dn4A4dxFW7QKD-_mIfI3WxHOpG=" width="640" /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img height="425" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEj6TpijKzb7WNKV42CA29PRKQAMPMwFAbhyphenhyphenG4Jgc-tCSw2vSgEdHHb0ni5h0ZN8uJc23ikXAgusMmx8vuUDaMf-07NGECjL_3BRV05U3amYLe7rEmULNNZgtz8-frTIkHIjXZ5eSnL4mpJ22unlbspm9AkxT5f1E49VweIq=" width="640" /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img height="425" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEjdCyi-B8mgkoKnKfJmvOnJKqkmXwM2fV8F1eryjBsJHOiGFurmD-4pdt6a7sihCMtj_i_VbEkVczfSjKiGrktqrnMCDpMMg8kfg0AnWQW6uhs0uPIq1cYULKJlVycp1EfHd3fxOT0Da-o70pqNpUaWCB-2a-wBgaAZSHTu=" width="640" /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwendeshaji wa mafunzo, Andrew Christian akiwa Geneva, Switzerland ambaye alikuwa akitoa elimu kuhusu ukaguzi kwa wafanyakazi.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img height="425" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEhZuOyNzt1gtcnKlIhp5aHk74QJqmktQsXyItfHG50ptqnd9qTqZvJLGGbO38hqblvp4lB38CM57L42p5DB0LWBqUczhoNTPOa1BLumjDxzTtNpSNhj5Eoh_bjMemz4yYNiVC-bmiaqGvVwoxZHnxCjIsuE8BI7L4jlq1rp=" width="640" /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wafanyakazi wakiwa katika picha ya pamoja.</span></div>
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment