Thursday 30 June 2016

Re: [wanabidii] MATAMSHI YA LISU: MADAKTARI WA MILEMBE WALITOA KWA LUSINDE SIRI ZA MGONJWA?

Elisa na wewe uliyoyasema kuhusu Tindu Lissu yanapitiliza. Je, na wewe mfumo wako wa kufikiri una matatizo na pia una faili Milembe?

2016-06-30 12:01 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mpejirani yako atakwambia ninacholenga! Si kosa kutokiona maana kama hakiko wazi kiko ndani.
--------------------------------------------
On Thu, 6/30/16, Atu Mwangomale <acanemwango@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] MATAMSHI YA LISU: MADAKTARI WA MILEMBE WALITOA KWA LUSINDE SIRI ZA MGONJWA?
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Thursday, June 30, 2016, 11:38 AM

 "Hoja na haja yangu ndogo
 ni kujadili kama Madaktari wa Hospitali ya Milembe wametoa
 siri za mgonjwa kwa Lusinde? Nini implication yake kwa
 kuzingatia kuwa mgonjwa mwenyewe ni mwanasheria nguli
 nchini"?
 Elisa, unataka
 tujadili kweli au unatania? kitu gani cha maana hapa cha
 kujadili?
 2016-06-30 10:39 GMT+03:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Baada ya
 matamshi tata fulani ya Tundu Lissu Mbunge wa Mtera Lusinde
 alitoa matamshi mengine ambayo wengi tuliyachukulia kama
 mizaa ya kisiasa. Lusinde alisema Tundu Lisu ana file
 Milembe. Milembe ni hospitali maalum kwa wagonjwa walio na
 matatizo katika  mifumo yao ya akili. Kwa kawaida
 watqnzania wanaichukulia kama hospitali ya vichaa. Kitaalamu
 sio lazima mtu awe kichaa ndiyo ahudumiwe Milembe lakini
 vichaa na matatizo mengine ya mifumo ya akili.

 Moja kati ya njia za kutambua matatizo katika mifumo ya
 akili ni matamshi. Sio mpaka kuvua nguo. Matamshi
 yaliyopitiliza au yasiyoendana na mazingira ni dalili za
 matatizo katika mifumo ya akili.



 Kuanzia Bunge Maalaum la Katiba Tundu lisu amekuwa akitoa
 matamshi yanayopitiliza. Mfano hai ni Matamshi ya Lisu
 kuhusu Baba wa Taifa. Matamshi yake hayakutosha kufikiri
 kuwa Lisu ana file Milembe ndiyo maana Lusinde aliposema
 Lisu ni mgonjwa wa akili wengi tulimpinga na kusema ametia
 chumvi katika kumtathmini Lisu. Kuanzia hapo ufuatiliaji
 umekuwepo na kwa kweli matamshi ya Lisu kuhusu kiongozi wa
 Taifa (Rais) majuzi, yamedhihurisha pasipo mashaka kuwa
 mfumo wa ubongo wa Tundu Lisu unaweza kuwa na matatizo, kwa
 hiyo si ajabu kukuta ana file katika Hospitali ya taifa ya
 wagonjwa wa akili. Hoja na haja yangu ndogo ni kujadili kama
 Madaktari wa Hospitali ya Milembe wametoa siri za mgonjwa
 kwa Lusinde? Nini implication yake kwa kuzingatia kuwa
 mgonjwa mwenyewe ni mwanasheria nguli nchini?

 Elisa Muhingo



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment