Friday 24 June 2016

Re: [wanabidii] MWANDISHI WA HABARI ZA WIZI WA KIFARU:

Lessian,tazama
Unasema viongozi wengine wa chadema siyo bora isipokuwa eddo. Tazama wakati Mwenyekiti wenu alishasema sababu zilizopelekea mkashindwa uchaguzi, wewe unaongelea porojo.
Wako wapi akina Ole Medeye? Mlikuwa mnawasifu juzi leo wanasema hakuna demokrasia CHADEMA.
Juzi nilimuona Mzee Msindai akihangaika kupanda daladala. Jamani CHADEMA hii!!!!
  Katikati ya hayo wewe unasema ni vichwa. Ama kweli, mapenzi upofu

On 25 Jun 2016 01:22, "'Lesian' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Ludo
Kuhama kwa wana siasa ni ja bo la kawaida mzee, au kwako ni jambo geni....mm si nimeamua kuingia cdm baada ya edo kunishawishi lakin pia nilikua nasapot cdm b4
Chama ni watu, kama chama hakima viongoz bora hukosa wafuasi, sasa cdm kuna mgombea bora alieshinda urais akaporwa mh edo, kuna majembe ya ukweli kina lissu,kina lema ambao ni tishio anaposimama tu mmmoja ni michango ya wabunge wa upande ule kama 30 hv ndio upate point yake..
Nipo cdm sijuti najiskia raha sana make kuna vichwa vya ukweli.


J L Kamala <jlkamala@gmail.com> wrote:

Kwani wale  failure sio vilaza? Siwalifeli?

On Jun 24, 2016 12:00 PM, "Joseph Ludovick" <josephludovick@gmail.com> wrote:

Lessian
Najua wewe mapenzi yako ni kwa mtu wala siyo chama. Record zako zikohapahapa.
Kwanza ongelea namna gani kuna demokrasia huko kwenye vyama vinavyolilia demokrasia. Ole medeye kashatuonyesha. Mpendazoe kashatuonyesha.
Aidha bila hoja upinzani imekuwa ni kelele tuuuu

On 24 Jun 2016 07:26, "'Lesian' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Bro muganda come down ndg yangu, usiwatukane wasamehe
Hawa vijana kama kina ludo, naonaga kama ni vibaraka flan na wkt mwingine wanaandika ovyo tu kinachokuja akilin mwake, ni wengi humu utadhani vichwani mwao kuna tope......
Nashaur achana nao,endelea na mambo yako, siasa za hapa ni za kutafutiana kashfa za kuforce nandio maana hata kiongoz akikamata madaraka hata kama akifanya vitu vya ovyo ilmradi tu ni chama tawala watu wamwone poa, lazima tupinge, suala la kuua demokrasia ili kujifagilia 2020 hakuna chama hata kimoja kitakua tyr kukubali watu watakomaa nao .....siasa lazima ifanyike as long as mtu ni mwanasiasa....
Ukitaka kujua ujinga juz nikawa nashanga police wameamriwa vijna woote wa chadema wanograduate na kupewa vyeti na viongozi wao walipe
Ekewa police na mbwa ilhali kule iringa walikua wanafanya the same business vijna wa ccm wakiwaalika wazir wa uhusiano wa kimataifa na ma dc 2 pole pole na kasesera...wao wakaambiwa ruksa.....where is fairness......
Bungeni nako madudu matupu.....ccm hata wakomae vipi 2020 wataondoka

Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Ludo,
Acha uongo na upumbavu. Nipe nukuu hata moja tu hapa kwenyre jamvi ambapo umeona nashabikia mambo ya mashoga. Pumbavu sana wewe.
em

2016-06-23 15:53 GMT-04:00 Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com>:

Muganda anapenda sana mambo ya mashoga. Ndiyo demokrasia. Yule ndugu yake kwenye kasaccos haoni udikteta anaofanya. CHADEMA wakiulizwa sababu ya udikteta wao watakwambia usipofanya hivyo CCM wataingiza mamluki. Kwa CHADEMA udikteta sawa, kwa wengine nongwa. Huyu anazeeka vibaya

On 23 Jun 2016 19:55, "'salhabakari' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Wee Kamala si bendera tu fata upepo. Inaonekana unamind sana ushoga. Wapi Muganda ameongelea ushoga? .
SB

On Jun 23, 2016 7:05 PM, J L Kamala <jlkamala@gmail.com> wrote:

Mwisho wa siku magufuri ndio rais wa Tanzania tena mwenye nia njema. Tukaneni muwezavyo will change nothing than kusonga mbele. Hao walimu wenu wa demokrasia ya haki za mashoga waambie wakaenazo huku ni heshima kwa wakuu wetu. Kusema kuwa rais hajiheshimu kwa kuwaagiza polisi kunyofoa matairi ya wavunja sheria shauri zako. Sheria zivunjwe kisa wavunjaji wanalipa Faini sasa wakomeshwe. Au hujui presidential decree ninini? Nasisitiza lazima tuburuzwe kwanza ndo tutatia akili. Marekani unakokusifia huwakuanzaga hivyo. Ni stage

On Jun 23, 2016 6:57 PM, "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com> wrote:
Unadhani interpol hawana kazi? Hawawezi kunifuata sijavunja sheria ya kimataifa na wala sijavunja sheria ya Marekani. Kama ni kumwita bwege mbona ameshaitwa?
You want me to re-invent the wheel? Kule kwetu kama mtu mzima hajiheshimu ni ruksa kumtusi tu. Kama rais anatoa ushauri wa kibwege kuwa polisi waondoe matairi kwenye magari yanayovunja sheria huyo hana jina jengine linalomfaa. Na Tanzania nitakuja tu ni nyumbani kwetu. Hamuwezi kunifungia akili zangu na mtazamo wangu. Actually si ubwege tu kuna element pia ya  u con artist.
em

2016-06-23 11:50 GMT-04:00 J L Kamala <jlkamala@gmail.com>:

Tamka basi  kuwa ni bwege harafu ufie hukohuko au ufuatwe na Interpol. Sio political brilliant kwahiyo ni political nini sasa? Tamka ukomeshwe. Udikteta unashida gani kwa Tanzania ya sasa? Mbona Nyerere alikuwa na chembe za udikteta lkn alifanya vizuri tu? Magufuri anapaswa kuwa dikteta zaidi ya hapo ili twende.

Hawezi kuendeleza nchi hii wakt muganda anataka tumwone sio brilliant kama Obama. Soma historia ya mataifa yako hayo ya marekani uingereza ujerman uchina nk uone yalivyopitia udikteta wa hatari ili yaweze kupiga hatua zilizopigwa. Demokrasia inakuja baada ya maendeleo yanayotokana na udikteta wa kutisha ambao magufuri hawezi kuufikia kiurahisi

Angalia hata chadema inavyoendeshwa kidikteta kwa kutawaliwa na mtu mmoja wanaombishia akina zito slaa nk wanatimuliwa. Hiyo ndio demokrasia yetu. Unayoitaka wewe ipo hukohuko uliko kaanayo haitufai ya kufungisha mashoga ndoa hadharani na kuwatukana viongozi wenu

Kama umesahau ulikotoka shauri zako au unataka kuniambia kule kwenu mtoto anaweza kumtusi mtu mzima kama marekani kisa demokrasia. So demokrasia ya kigeni changanya ya kiafrika. Nchi gani imeendelezwa na manenomaneno?

Tuheshimiane kwanza

On Jun 23, 2016 6:26 PM, "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com> wrote:
Kamala,
Chavez alimwita Bush shetani ndani ya ukumbi wa Umoja wa mataifa. Hakuamriwa kuondoka Marekani. Hata Ahmedininajad wa Iran aliwaita Wamarekani na Wayahudi majina ya ajabu ajabu alipokuwa New York lakini hakuamriwa kuondoka Marekani. Kuna kitu tunaita freedom of speech na freedom of perception. Inaheshimika katika nchi zote za
kidemokrasia na zenye kulinda haki za binadamu. Unaona shwari Mkapa akituita wapumbavu lakini inakuuma tunapomwita rais wako bwege. Ni kweli politically Magufuli si
brilliant. Sikiliza tu matamshi yake hadharani utabaini ana chembe za udikteta. Huyu ameshawaamuru polisi wavunje sheria eti wakikuta gari kwenye njia za mwendo kasi wang'oe
matairi yake na aambiwe gari lilikuja hivyo. Ameingilia utendaji wa mahakama. Yeye ni kila kitu kama village chief vile anaamulia kila mtu. Lakini rangi zake halisi zimedhihirika alipomwambia Kikwete asihofu madhambi yote aliyoyafanya serikali yake itamfichia. Huyo ndiye rais unayetaka kutuaminisha kuwa ni brilliant?
em

2016-06-22 23:06 GMT-04:00 J L Kamala <jlkamala@gmail.com>:

Unafahamu kweli maana ya neno bwege? Unajaribu kukubaliana na yule mtukanaji kwa kuwa rais wetu sio brilliant? Kinyume cha brilliant ndo bwege? Unamanisha watz tulimchagua asiye brilliant? <

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment