Wananchi wanapolalamika kuonewa kuzuiwa biashara yao ya kuuza nyama watakula wapi, ni hao watakaolalamika ikiwa watakuwa na cholera na kukuta wanalala chini hospitali, wagonjwa wengi na dawa pungufu ndugu zao wanakufa.
Aljazeera wametoa takwimu za Cholera TZ pamoja na ktk kambi za wakimbizi wa kutoka Burundi walio TZ. Ni sawa na wale wanaokataa kuhama maeneo hatarishi, halafu mafuriko yakiwakumba-wanataka serikali iwaokoe. Kuhama-tumezoea kuishia hapa hatuhami mafuriko ni ya muda. Wakiachwa waathirike-serikali haitujali, kura tumewapigia sasa wanatuacha tufe!
--------------------------------------------
On Sat, 23/1/16, zainul mzige <zainul.mzige21@gmail.com> wrote:
Subject: [wanabidii] WAZIRI UMMY MWALIMU ATEMBELEA MNADA WA NYAMA CHOMA DODOMA
To:
Date: Saturday, 23 January, 2016, 21:00
Habari za jioni
tafadhali pokea CODES hapa chini
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0051.jpg"
rel="attachment wp-att-156485"><img
class="aligncenter wp-image-156485" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0051.jpg"
alt="IMG-20160123-WA0051" width="602"
height="338" /></a><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe.
Ummy Mwalimu akizungumza na wafanyabiashara wa eneo la
Msalato lililopo mkoani Dodoma sehemu ambayo inatumika
kufanyia mnada wa nyama choma ikiwa ni moja ya ziara zake
kufatilia hali ya ugonjwa wa kipindupindu katika maeneo
mbalimbali ya nchi, akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya
hiyo, Dkt. Jasmine Tiisekwa (mwenye skafu shingoni) pamoja
na Afisa Afya Mkuu wa Manispaa ya Dodoma Bw. Alek Barakena
(mwenye suti
nyeusi).</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Na Rabi
Hume,
Modewjiblog</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Waziri wa
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea eneo la Msalato lililopo
mkoani Dodoma sehemu ambayo inatumika kufanyia mnada wa
nyama choma ikiwa ni moja ya ziara zake kufatilia hali ya
ugonjwa wa kipindupindu katika maeneo mbalimbali ya
nchi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Baada ya
kutembelea mnada huo, Mhe. Ummy aliwataka wananchi wa eneo
hilo kutambua kuwa bado ugonjwa wa kipindupindu upo na
unaendelea kusambaa maeneo mbalimbali ya nchi hivyo ni
wajibu wao kama wananchi kuweka mazingira yao katika hali ya
usafi ili kutokomeza uonjwa
huo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aidha ili
kuzidi kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu, Waziri
Ummy ameagiza kuendelea kutekelezwa kwa agizo la Mkuu wa
Wilaya hiyo, Dkt. Jasmine Tiisekwa ambaye aliagiza
kusimamishwa kwa shughuli za kuuza nyama nyoma katika eneo
hilo la Msalato mpaka uongozi wa wilaya hiyo
utakapojiridhisha kuwa ugonjwa wa kipindupindu umetoweka
mkoani
Dodoma.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>"Kipindupindu kimesambaa
sehemu nyingi nchini ikiwepo hapa Dodoma na hivyo naagiza
katazo la Mkuu wa Wilaya, Dkt Jasmine Tiisekwa liendelee
kuwepo hadi ugonjwa wa kipindupindu uishe Dodoma na niwajibu
wa kila mwananchi kuhakikisha kipindupindu kinakwisha,"
alisema Waziri Mhe.
Ummy.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Pamoja na
hayo pia Waziri huyo wa Afya ameutaka uongozi wa Manispaa ya
Dodoma kufanya kikao cha pamoja na wafanyabiashara hao wa
nyama choma ili kuona ni jinsi gani wanaweza kuendelea na
biashara zao huku wakizingatia kanuni za usafi wa afya na
mazingira bila kusababisha kuzidi kusambaa kwa
kipindupindu.</strong></span></p><a
href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0050.jpg"
rel="attachment wp-att-156489"><img
class="aligncenter size-full wp-image-156489"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0050.jpg"
alt="IMG-20160123-WA0050" width="640"
height="360" /></a><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe.
Ummy Mwalimu akifafanua jambo kwa wafanyabiashara wa eneo
hilo.</strong></em></span></p><a
href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0045.jpg"
rel="attachment wp-att-156488"><img
class="aligncenter size-full wp-image-156488"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0045.jpg"
alt="IMG-20160123-WA0045" width="360"
height="640" /></a><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu akitoa maagizo ya wafanyabiashara hao kusitisha
shughuli zao mara moja katika eneo hilo la Msalato mpaka
uongozi wa wilaya hiyo utakapojiridhisha kuwa ugonjwa wa
kipindupindu umetoweka mkoani
Dodoma.</strong></em></span></p><a
href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0043.jpg"
rel="attachment wp-att-156486"><img
class="aligncenter wp-image-156486" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0043.jpg"
alt="IMG-20160123-WA0043" width="607"
height="341" /></a>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0044.jpg"
rel="attachment wp-att-156487"><img
class="aligncenter wp-image-156487" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0044.jpg"
alt="IMG-20160123-WA0044" width="602"
height="338" /></a><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe.
Ummy Mwalimu (wa pili kushoto), Mkuu wa Wilaya hiyo, Dkt.
Jasmine Tiisekwa (wa tatu kulia) na Afisa Afya Mkuu wa
Manispaa ya Dodoma Bw. Alek Barakena (kushoto) wakisikiliza
hoja kutoka kwa mmoja wa wafanyabiashara wa eneo hilo
(hayupo
pichani).</strong></em></span></p><a
href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0046.jpg"
rel="attachment wp-att-156490"><img
class="aligncenter size-full wp-image-156490"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160123-WA0046.jpg"
alt="IMG-20160123-WA0046" width="640"
height="360" /></a><p
style="text-align:
center;"><em><strong><span
style="color: #000080;">Waziri wa Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu akisikiliza hoja kutoka kwa mmoja wa wafanyabiashara
wa eneo la Msalato lililopo mkoani Dodoma sehemu ambayo
inatumika kufanyia mnada wa nyama choma ambaye jina lake
halikupatikana alipofanya ziara ya katika eneo
hilo.</span></strong></em></p><p
style="text-align:
center;"></p>
KAWAIDA
Waziri wa Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu akizungumza na wafanyabiashara wa eneo la Msalato
lililopo mkoani Dodoma sehemu ambayo inatumika kufanyia
mnada wa nyama choma ikiwa ni moja ya ziara zake kufatilia
hali ya ugonjwa wa kipindupindu katika maeneo mbalimbali ya
nchi, akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Dkt.
Jasmine Tiisekwa (mwenye skafu shingoni) pamoja na Afisa
Afya Mkuu wa Manispaa ya Dodoma Bw. Alek Barakena (mwenye
suti nyeusi).Na Rabi Hume,
ModewjiblogWaziri wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu ametembelea eneo la Msalato lililopo mkoani Dodoma
sehemu ambayo inatumika kufanyia mnada wa nyama choma ikiwa
ni moja ya ziara zake kufatilia hali ya ugonjwa wa
kipindupindu katika maeneo mbalimbali ya
nchi.Baada ya kutembelea mnada
huo, Mhe. Ummy aliwataka wananchi wa eneo hilo kutambua
kuwa bado ugonjwa wa kipindupindu upo na unaendelea kusambaa
maeneo mbalimbali ya nchi hivyo ni wajibu wao kama wananchi
kuweka mazingira yao katika hali ya usafi ili kutokomeza
uonjwa huo.Aidha ili kuzidi kuzuia
kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu, Waziri Ummy ameagiza
kuendelea kutekelezwa kwa agizo la Mkuu wa Wilaya hiyo, Dkt.
Jasmine Tiisekwa ambaye aliagiza kusimamishwa kwa shughuli
za kuuza nyama nyoma katika eneo hilo la Msalato mpaka
uongozi wa wilaya hiyo utakapojiridhisha kuwa ugonjwa wa
kipindupindu umetoweka mkoani Dodoma."Kipindupindu kimesambaa
sehemu nyingi nchini ikiwepo hapa Dodoma na hivyo naagiza
katazo la Mkuu wa Wilaya, Dkt Jasmine Tiisekwa liendelee
kuwepo hadi ugonjwa wa kipindupindu uishe Dodoma na niwajibu
wa kila mwananchi kuhakikisha kipindupindu kinakwisha,"
alisema Waziri Mhe. Ummy.Pamoja na hayo pia Waziri
huyo wa Afya ameutaka uongozi wa Manispaa ya Dodoma kufanya
kikao cha pamoja na wafanyabiashara hao wa nyama choma ili
kuona ni jinsi gani wanaweza kuendelea na biashara zao huku
wakizingatia kanuni za usafi wa afya na mazingira bila
kusababisha kuzidi kusambaa kwa
kipindupindu.Waziri wa Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu akifafanua jambo kwa wafanyabiashara wa eneo
hilo.Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu akitoa maagizo ya wafanyabiashara hao kusitisha
shughuli zao mara moja katika eneo hilo la Msalato mpaka
uongozi wa wilaya hiyo utakapojiridhisha kuwa ugonjwa wa
kipindupindu umetoweka mkoani
Dodoma.Waziri wa Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu (wa pili kushoto), Mkuu wa Wilaya hiyo, Dkt.
Jasmine Tiisekwa (wa tatu kulia) na Afisa Afya Mkuu wa
Manispaa ya Dodoma Bw. Alek Barakena (kushoto) wakisikiliza
hoja kutoka kwa mmoja wa wafanyabiashara wa eneo hilo
(hayupo pichani).Waziri wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy
Mwalimu akisikiliza hoja kutoka kwa mmoja wa wafanyabiashara
wa eneo la Msalato lililopo mkoani Dodoma sehemu ambayo
inatumika kufanyia mnada wa nyama choma ambaye jina lake
halikupatikana alipofanya ziara ya katika eneo
hilo.
--
Zainul A.
Mzige,Operation
Manager,MO BLOG,www.modewjiblog.com+255714940992.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment