Wednesday, 7 October 2015

Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI

Nkya. Sijawa na uhakika juu ya ufisadi wa serikali na namna ya kuipata serikali hiyo na kuiwajibisha.
Lakini nina uhakika na ufisadi wa binadamu (individuals) walioko na waliokuwa serikalini ambao waliufanya ufisadi huo. Hao ndio tunataka kulia nao. Wengine walizuia mawazo ya wananchi kupita na kutuletea katiba bandia. Ninajua tunahitaji mtu ambaye ataliongoza taifa kuipata Katiba hiyo. Bila shaka awe yule mwenye historia isiyotiliwa shaka. Tunayemtilia shaka tutaendelea kumtilia shaka popote atakapokuwa. Kama tutag'ang'ania CCM bila kuingia ndani ya CCM kuona kulikuwa na nani wakati fulani na sasa kuna nani ipo siku tutaendelea kuinyooshea vidole CCM na wanyooshaji wakubwa wakiwa CCM ya zamani na sisi tukawaona wasafi kwasababu tu wamehama CCM. Hii nayo wananchi wameiona na itadhibitika 25 October kwa wale ambao hawajaona.
Elisa
--------------------------------------------
On Wed, 10/7/15, 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, October 7, 2015, 12:56 AM

Elisa, fisadi papa ni serikali ya CCM
yenyewe (rejea EPA na Tegeta Escrow). Hivyo CCM ikingolewa
madarakani  kisha Katiba Mpya inayotokana na maoni ya
wananchi ikiandika--mazingira yanayofanya serikali kuwa
fisadi yatakuwa yameondolewa. Unang'ang'ana na Lowassa bure
unajidanganya wananchi wenyewe wanajua mzizi wa ufisadi uko
wapi na ndiyo sababu wameamua kufanya mabadiliko kwa
kuongozwa na Lowassa. Patamu hapo.
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Tue, 10/6/15, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, October 6, 2015, 6:49 PM

Hakuna kilichoisha ili mradi
kinachangia kufanya uamuzi tarehe 25 October. sauli
alibadilishwa. baada ya kubadilishwa hakuendelea kutetea
msimamo wake wa kuwaua wanafunzi wa Yesu. hakuna
aliyejitokeza kuyaanika madhambi yake ili tumlinganishe na
Sauli
--------------------------------------------
On Tue, 10/6/15, 'Paschal Leon' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject: Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Tuesday, October 6, 2015, 6:13 AM
 
  achana na
  mambo yaliyopita, nani alijua Sauli (Paulo)
angebadilika
na
  kuhubiri Injili? 
 
 
 
     On Monday, October
  5, 2015 10:42 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
 
   
 
  Mike.
  Wewe naweza kupata pa kuanzia kukujibu. Ni
  kweli viongozi wa CCM wameharibu. Njia pekee ilikuwa
ni
  kuiondoa CCM madarakani na kuweka chama kingine
makini.
  Baada ya mambo mawili kutokea
  1) Chama
  kilichokuwa kinaonekana kuwa makini kushindwa kumpa
nafasi
  mtu ambaye watanzania walimuona kama mtu makini;
badala
yake
  akachaguliwa mtu aliyenyomwa nafasi hiyo toka CCM na
huku
  akiandamwa na tuhuma lukuki za ufisadi. NA
  2) baada ya kuona CCM imeanza kusoma alama za
  nyakati na kuwanyima nafasi mafisadi kugombea urais,
badala
  yake ikamteua mtu anayejitegemea na mwenye rekodi
nzuri
  katika uadilifu na utendaji wake tena katika
mazingira
  magumu-Watanzania wameamua kuchagua mabadiliko
kupitia
CCM.
  Ni kweli hii inawafanya watu waliokwisha ichukia CCM
na
wale
  walio na sababu za kutaka kuchagua kwa kutumia
misingi
  yajiografia ya nchi kuungana kuendelea kuikataa CCM
na
  mgombea wake. lakini mazingira yanaonyesha magufuli
  atashinda. ikiwa hivyo si kuwa CCM itamdhibiti
Magufuli
bali
  Magufuli anaizika CCM na kuibuka na CCM nyingine
ambayo
  ilikuwepo enzi za mwalimu. Tuisubiri. haiepukiki.
  Tutaishuhudia.
  --------------------------------------------
  On Mon, 10/5/15, 'Mike Zunzu' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
  Subject: Re:
  [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
  To:
  "wanabidii@googlegroups.com"
  <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Monday, October 5, 2015, 8:05 PM
 
  Cha
 
  kufurahisha kuliko vyote ni kuli CCM kujitambua kuwa
  wamenyea kambi, kiasi kwamba wanaogopa hata
  kutamka kuwa
  chama hicho kinamtu anaomba
  urais kwa ridhaa ya chama
  hicho.Bahati
  mbaya sana watu wetu siyo wote wanawezanua
  vitu kama hivyo,
  baada ya kuona wanaogopa
  kutumia jina basi wananchi
  wangelikuwa
  anajiuliza kulikoni? Mbona safari hii haiombi
  kuchaguliwa, wamejificha chini ya mgogo wa
  mgombea
  wao.Kama
  unataka
  kufahamu CCM wapo puta, acha Mgufuli ashinde,
  watamwambie wewe kazi yako ni kukaa mlangoni,
  wenye funguo
  ni sisi. Hao aliodhani
  atawadhiti, yeye ndiye
  watakayemdhibiti.
  Tuombee
  isije ikatokea
  mbahati mbaya kama hiyo. 
 
 
 
       On
  Monday, 5 October
  2015, 17:55,
  'ananilea nkya' via Wanabidii
 
  <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
     
 
    MAGUFULI AKICHAGULIWA
  UFIDADI NA UMASKINI VITAONGEZEKA
 
  Ananilea  Nkya
 
  Watu wanaokampeni kushawishi
  Watanzania 
  wamchague John  Magufuli kuwa
  Rais wa tano wa Tanzania 
  kwa kutumia
  kigezo cha uadilifu wanadhani ataweza  kuzuia 
  serikali ya CCM kuwa fisadi na hivyo umaskini
  wa wananchi
  kupungua.
 
  Kimsingi 
  wanajidanganya
  maana  Magufuli akichaguliwa  ufisadi  wa
  kimfumo unaofanywa na serikali ya CCM ili
  chama hicho 
  kibaki madarakani utaendelea
  kwa kasi na hivyo  pengo kati
  ya watawala
  wachache kutajirika kufuru   na mamilioni ya
  wananchi  maskini wa kutupa litaongezeka mara
  dufu.
 
  Nchi yetu ilipopata
  uhuru
  maadui wa ustawi wa wananchi walikuwa
  ni watatu—adui mkuu
  ujinga—  na adui 
  wengine wawili  wanaotokana na
 
  ujinga---adui  umaskini na adui maradhi.
 
 
  Lakini  katika zama hizi  za
  utandawazi  na demokrasia ya vyama vingi vya
  siasa 
  ameongezeka adui mwingine hatari
  nchini kwetu--adui 
  ufisadi. Ufisadi 
  ameshamiri nchini baada ya mfumo wa vyama
 
  vingi vya siasa kuanza mwaka 1992.
 
  Chanzo cha ufisadi  nchini  ni CCM
  kung'ang'ania madaraka  kwa kutumia nguvu
  ya fedha  na
  hivyo serikali yake kila
  inapochaguliwa   hugeuka kuwa
  fisadi na
  kuiba fedha  na mali za umma.
 
  Hivyo, ikitokea  Magufuli akichaguliwa 
  wananchi wengi wataendelea kuwa maskini  kwa
  sababu
  inaelekea  Magufuli mwenyewe au
  hajui  au aamini kwamba
  chanzo  cha 
  umaskini  nchini ni serikali ya  CCM  kuwa
  fisadi  na kuendekeza rushwa, ubabe, giliba,
  uongo na siasa
  za maji taka kushinda
  uchaguzi.
 
  Inaelekea
  Magufuli hajatambua  kuwa kuzuia
  ufisadi
  unaozaa mafuriko ya wananchi maskini Tanzania
  kunahitaji  nchi iweke misingi ya kikatiba,
  lakini CCM
  kwa  kukataa Katiba Mpya
  inayotokana na maoni ya wananchi 
 
  isiandikwe 2014 iliikataa  misingi hiyo  kwa
sababu 
  kinajua kinanufaika  kubaki madarakani 
  kutokana na
  udhaifu wa kikatiba uliopo
  sasa.
 
  CCM inachofanya
  sasa ni Magufuli kuwapumbaza 
  wananchi
  kwamba  eti baada ya yeye kuteuliwa kugombea Urais
  kwa tiketi ya CCM, mafisadi  wameanza
  kuikimbia CCM.
 
  Magufuli
  anataka 
  kuwaaminisha Watanzania kuwa 
  umaskini  unakabili
  mamilioni ya
  Watanzania  umesababishwa na wanaCCM
 
  walioondoka kwenye chama hicho baada ya yeye
kuteuliwa
  kugombea Urais!
 
  Pengine
  ndiyo sababu
  Magufuli  anaahidi kwenye kampeni zake kwamba
  akichaguliwa Rais  ataanzisha mahakama ya
  mafisadi kama
  alivyokaririwa kwenye
  mikutano yake ya  kampeni huko
  Dodoma.
 
  Ninanukuu:
 
  ''Baadhi ya mafisadi wezi wameanza kukimbia baada
ya
  CCM
  kuniteua mgombea urais lakini nikiingia
  Ikulu, nitawafuata
  huko waliko ili
  niwashughulikie vizuri ndiyo maana nimesema
 
  nitaunda mahakama ya mafisadi''
 
  Wananchi wanajiuliza kama ufisadi wa fedha 
  na
  mali za nchi unafanywa na serikali
  inayopewa  dhamana ya
  kuwa mlinzi wa fedha
  na mali za Watanzania endapo Magufuli
 
  atachaguliwa na serikali yake  kuunda mahakama ya
  mafisadi,  je majaji wa mahakama hiyo 
  watapata wapi
  ujasiri wa kumtia hatiani
  fisadi mkuu  (serikali) wakati
  kiongozi
  mkuu wa serikali  (Magufuli) ndiye atakuwa
 
  amewateua majaji wa mahakama hiyo?  Je serikali
inaweza
  kujihukumu yenyewe?
 
  Aidha
  wananchi
  wanajiuliza   je  serikali  ya CCM imekuwa
  ikishindwa  kuchukua hatua za kisheria
  kudhibiti  ufisadi
  wa  fedha na mali za
  umma unaofanywa na  serikali ya kwa
  vile
  nchi haina  mahakama maalumu ya kushughulikia kesi
za
  ufisadi au ni kwa vile chama chao ni mnufaika
  wa ufisadi?
 
  Wananchi
  wanauliza swali hili
  kwa sababu  ipo 
  mifano mingi  kuonyesha serikali ya
  CCM 
  ni fisadi .
 
  Mfano wa
  kwanza: Ufisadi wa EPA kuiba kwenye  Akaunti
  ya EPA benki
  kuu jumla ya shilingi bilioni
  133  mwaka 2005/6.  Wananchi
  walishangaa
  kuona Rais wa Jamhuri yetu  alivyopata
 
  kigugumizi  kwenye ufisadi huo.
   
  Wananchi wanajiuliza  ilikuwaje mlinzi
  mkuu
  (serikali ya CCM) kama kweli 
  haikunufaika na ufisadi wa 
  EPA
  haikuchukizwa na kitendo hicho cha aibu na kuchukua
hatu
  za kisheria? 
 
  Kadhalika
  wananchi
  wanajiuliza, kama kweli wizi huo wa EPA
 
  haukuhusisha serikali yenyewe kunufaisha CCM ni kwa
nini
  serikali ya CCM ilisema waliokwapua fedha hizo
  wamepewa muda
  wa kuzirejesha benki  na
  hadi leo (miaka 10 baadaye)
  haijawatangazia
  Watanzania  hatma ya fedha hizo?
 
  Mfano wa pili: Ufisadi wa
 
  Richmond. Kukotana na ukosefu wa umeme nchini
serikali ya
  CCM iliingia mkataba na kampuni ya kigeni
  Richmond ili nchi
  ipate  umeme.
 
  Kabla
 
  kampuni hiyo kuanza kuzalisha umeme zilitoka tuhuma
  kwamba
  Richmond  ilikuwa ni kampuni feki.
 
 
  Wakati huo Edward
  Lowassa  alikuwa Waziri
  Mkuu,  kimamlaka
  hakuwa  Waziri wa  Nishati, lakini
 
  aliamua kujiuzulu kulinda heshima ya serikali. 
  Lakini cha kushangaza baada ya kujiuzulu
  Lowassa  kampuni  ya Dowans iliyoirithi
  Richmond
  iliendelea kulipwa fedha nyingi
  kila mwezi hadi zikafikia
  bilioni 172.
 
  Wananchi
 
  wanajiuliza  kama CCM  ilikuwa hainufaiki  na 
  mabilioni
  hayo yaliyokuwa yanalipwa 
  Dowans  na kwamba mnufaika wa
  ufisadi huo
  alikuwa ni Lowassa  ni kwa nini Dowans
 
  waliendelea kulipwa baada ya Lowassa kuachia ngazi?
Ni
  kwa
  nini Lowassa hajafikishwa mahakamani
  hadi leo kama tuhuma
  dhidi yake zina
  ushahidi?
 
  Mfano wa tatu:
  Ufisadi  wa  kuuza kwa bei
  chee  nyumba
  za Watanzania zenye thamani ya mabilioni ya
 
  shilingi huku  leo hii  serikali ikitumia fedha
nyingi
  za
  umma  kuwapangishia makazi  hotelini 
  watawala.
 
  Wananchi
  wanafahamu kuwa 
  msimamizi  wa  
  uuzwaji wa nyumba  hizo ulifanyika 
 
  wakati  Magufuli akiwa na Waziri nyumba na makazi.
 
  Karibu nyumba za umma
  elfu
  kumi ziliondoka mikononi mwa umma na
  hadi leo Watanzania
  hawajaelezwa
  zilipatikana shilingi ngapi kwenye mauzo ya
 
  nyumba hizo  na zilitumika kufanya jambo gani la
  kuwaondolea wananchi umaskini. 
  Aidha
  katika uuzaji wa nyumba
  za umma Magufuli anatuhumiwa 
  kuwauzia
  baadhi ya ndugu zake .
  Wananchi
  wanajiuliza kama Magufuli na Lowassa wote
  walikuwa ni
  watendaji katika serikali ya
  CCM, na  wote  ufisadi
  umefanyika 
  kwenye maeneo ambayo walikuwa na dhamana,  ni
  kwa nini   leo  Magufuli anashabikiwa na
  CCM kuwa ni
  mwadilifu  ili hali  Lowassa
  akipakaziwa   ufisadi ?
 
 
  Aidha, wananchi wanauliza 
  ufisadi   kwa
  Magufuli katika kusimamia kwa niaba ya
 
  serikali ya CCM  uuzaji kwa bei poa nyumba za umma
  umetoweka  kwa vile tu anagombea Urais kwa
  tiketi ya CCM na
  tuhuma za ufisadi kwa
  Lowassa mkataba wa Richmond umebaki
  kwa
  sababu tu ameamua kuondoka CCM na kugombea Urais  
kwa
  tiketi ya CHADEMA --chama kinachowakilisha
  vyama vinne vya
  upinzani vinavyoundwa Umoja
  wa Katiba ya Wananchi-UKAWA?
 
  Mfano wa Nne: Ufisadi wa
 
  Tegeta escrow 2014, serikali ya CCM ilifisadi
bilioni
  306. 
  Watuhumiwa wa ufisadi huo walienea
  ofisi mbali mbali za
  serikali  hadi 
  ofisi kuu  ya  ya  nchi --Ikulu 
 
  inayopaswa kuwa mahali patakatifu ilihusishwa na
ufisadi
  huo!
 
  Tena
  wananchi
  walielezwa jinsi mabilioni  ya 
  fedha hizo
  zilivyokwapuliwa  kibabe 
  nyingine zikibebwa  kwa magunia
  na
  tandarusi mchana kweupe.
 
 
  Watawala wa CCM waliopaswa kujiuzulu kama
 
  Lowassa alivyojiuzulu  na kisha kupakaziwa ufisadi
  tuliona
  jinsi walivyosafishwa  na serikali
  ya CCM yenyewe!
 
  Wananchi
  wanajiuliza kama
  ufisadi wa Richmond
  haukuwa mkakati wa CCM wa kutumia siasa
  za
  maji taka kumtoa Lowassa  kafara wa ufisadi 
kudanganya
  wananchi kwamba  serikali ya CCM siyo
  fisadi  bali fisadi
  ni Lowassa ni kwa
  nini   Magufuli  kwa dhamana yake kama
 
  Waziri wa Nyumba  alisimamia ufisadi wa  nyumba za
  umma 
  CCM inamuona mwadilifu na Waziri wa
  nishati  Muhongo 
  aliyekuwa na dhamana
  wakati wa ufisadi wa Tegeta escrow
 
  alisafishwa ili hali Lowassa   aliyesimamia
ufisadi
  wa 
  mkataba wa Richmond  anapakaziwa
  ufisadi?
 
  Zaidi wananchi
  wanajiuliza
  kama chanzo cha ufisadi 
  nchini kama vile Magufuli na CCM
  wanayotaka
  kuaminisha umma ni LOwassa na wengine walioondoka
  CCM,  je  ni kwa nini  serikali ya CCM
  imekumbwa na
  ufisadi wa Tegeta escrow 
  miaka saba baada ya Lowassa
  kujiuzulu
  uwaziri mkuu?
 
  Hakika ziko
  fisadi nyingi  zilizohusisha
  viongozi wa
  serikali ya CCM  iwe ni kwenye miradi ya
 
  kitaifa au kwenye halmashauri  na  mikataba ya mali
za
  nchi kama vile madini  kuonyesha kwamba 
  umaskini  wa
  wananchi unasababisha na 
  ufisadi wa serikali ya CCM.
 
  Ndiyo  sababu  kwa kutumia
 
  mifano hii minne wananchi wanajiuliza  ni kwa
nini  
  CCM
  imtoe  Edward Lowassa  kafara wa 
  ufisadi  ili  hali
  serikali ya CCM ndiyo
  fisadi? 
 
  Kadhalika
  wananchi  wanajiuliza ni kwa nini
  Edward
  Lowassa ambaye ameamua  kuondoka CCM kutumia haki
  yake ya kikatiba  kutimiza ndoto yake ya
  kugombea Urais , 
  CCM inamuona tishio na
  hafai kuwa Rais?
 
  Kama
  alikuwa hafai kuwa Rais  kutokana na
 
  ufisadi ilikuwaje alipewa dhamana kubwa  ndani ya
  serikali
  ya CCM kuanzia uwaziri hadi Waziri
  Mkuu na akajiuzulu
  uwaziri mkuu ili kuzuia
  serikali ya chama chake isianguke
  kutokana
  na ufisadi?
 
  Wananchi
  wanajiuliza hivi tatizo hapa ni
  ufisadi wa
  Lowassa kweli au ni CCM  kutaka
 
  kung'ang'ania madaraka ya kuongoza  hata kama
  wananchi
  whawakitaki tena chama hicho
  kiongoze nchi?
   
 
  Wananchi pia wanajiuliza hivi
  tatizo ni
  Lowassa ambaye anao uzoefu mkubwa wa kuongoza
  serikali na ambaye rekodi yake  inaonyesha
  kuwa ni mchapa
  kazi au tatizo ni  kwa vile
  anagombea   Urais kupitia
  CHADEM-UKAWA 
  na  wananchi  wamemkubali ingawa CCM
 
  ilidhani umma ungemkataa kutokana na kuchafuliwa
  kimkakati 
    kwa  ufisadi?
 
  Wananchi
 
  wanajiuliza  kama  Magufuli  ni mwadilifu 
kuliko
  Lowassa na kwamba  CCM  siyo inayonufaika na
  ufisadi
  unaofanywa na  watumishi wa
  serikali yake ni kwa nini CCM
  wamekataa
  kuandika Katiba Mpya inayotokana na maoni ya
  wananchi  ili kuweka misingi ya kikatiba
  kuziba mianya 
  kwa  serikali ya chama
  chochote  kuwa fisadi wa fedha na
  mali za
  wananchi?
 
  Wananchi
  wanajiuliza ni kwa nini CCM  inahaha 
  kumzuia Lowassa 
  kuwa Rais  wa Jamhuri 
  kama CCM  haiogopi   hatari ya
  kuachia
  chama kingine kuingia madarakani wakati nchi
  haijaweka misingi ya kuzuia serikali kuwa
  fisadi na hivyo
  wanaogopa kuwa  serikali
  ya CHADEMA  na UKAWA nayo itakuwa
  fisadi
  kama ilivyokuwa serikali ya CCM?
 
  Wananchi wanajiuliza  kama  Magufuli  ni
  mwadilifu  kuliko Lowassa na kwamba  CCM 
  siyo
  inayonufaika na ufisadi unaofanywa na
  serikali yake ni kwa
  nini CCM wamekataa
  kuandika Katiba Mpya inayotokana na maoni
 
  ya wananchi  ili kuweka misingi ya kikatiba
itakayoziba
  mianya   serikali ya chama chochote  kuwa
  fisadi wa fedha
  na mali za wananchi?
 
  Vile
  vile
  wananchi wanajiuliza, kama Rais Jakaya Kikwete
ambaye
  mwaka 2005 alipigiwa kampeni na   CCM  kuwa
  ni mwadilifu,
  kama anavyonadiwa  Magufuli
  sasa  lakini kwa miaka 10
  umaskini wa
  wananchi umeongezeka –deni la taifa 
 
  limeongezeka kila Mtanzania  anatakiwa kulipa
shilingi
  800,000/-—je Magufuli atakuwa na ubavu gani
  wa kuifanya
  CCM na serikali yake 
  isiendelee kuwa fisadi?
 
 
  Ni kutokana na hoja hizi ndiyo
  sababu
  wananchi wengi wanaona kumchagua Magufuli kuwa Rais
  wa Tanzania ni kuchagua ufisadi na  ni
  kuchagua mamilioni
  ya watanzania waendelee
  na umaskini. HAIKUBALIKI.
 
 
  Tena  wakati mamilioni ya
  wananchi
  wanaendelea kuwa maskini watawala wa serikali ya
  CCM, familia zao, wapambe wao kwenye kampeni
  na marafiki
  zao   wataendelea
  kujitajirisha kufuru na kwa kujigawia
  fedha
  na mali  zinazopaswa kunufaisha Watanzania wote.
   
  Ndiyo sababu wananchi
  sasa
  wanahamasishana kutambua kuwa
  kumchagua Magufuli ni
  kuichagua CCM na  ni
  kama  kumpa  tena  ya ulinzi mlizi
 
  mwizi!
 
  Wananchi wanaona
  ni
  afadhali kuichagua CHADEMA-UKAWA  kwa
  sababu kwanza
  mgombea  wake wa Urais 
  Lowassa  huenda akaonyesha
  uadilifu na
  uchapakazi  wa hali ya juu  kuwathibitishia
  Watanzania kwamba CCM amepakaziwa na kutolewa
  kafara ufisadi
  ili CCM iendelee kubaki
  madarakani bila kujulikana kwamba
  serikali
  yake ndiye malkia wa ufisadi nchini.
 
  Wananchi wanatambua kuwa
 
  kuirejesha CCM  Ikulu   kasi ya  umaskini
itaongezeka
  kwa
  wananchi wengi  kuaendelea kukosa 
  kipato, kukosa elimu
  bure na bora hadi chuo
  kikuu kuondoa adui ujinga na 
  wizi, 
  biashara chafu, uvunjifu wa haki za binadamu  na 
  serikali kuwa mbabe, dikteta mminya
  demokrasia 
  vitaongezeka na hivyo kuvuruga
  amani ya nchi yetu.
 
 
  Hivyo   ni muhimu serikali ya
  CCM ikaacha
  sauti na maamuzi ya wananchi isikike katika
 
  uchaguzi mkuu  tarehe 25 Oktoba 2015  ili endapo 
  wananchi wataamua  kumchagua  Lowassa kama
  Rais wao
  kupitia CHADEMA  inayowakilisha
  vyama vinavyounda   Umoja
  wa Katiba ya
  Wananchi (UKAWA),   waandike Katiba Mpya 
  inayotokana na maoni ya wananchi na
  wasipofanya hivyo
  uchaguzi wa  2010 
  wananchi wawanyang'anye madaraka.
 
  Katiba mpya siyo tu 
 
  itampunguza madaraka ya Rais kuhusu uteuzi wa
watendaji
  ikiwa ni pamoja na majaji wa mahakama, bali
  pia  itaweka
  misingi ambayo  mihimili 
  mitatu ya utawala wa nchi
  ---Serikali,
  Bunge na Mahakama  vitakuwa haviingiliani.
 
 
  Kwa hivyo serikali ya chama
  chochote ikiiingia madarakani na ikafanya
  ufisadi
  itawajibishwa na wananchi nao
  wataacha na wizi na ujambazi
  wa kutumia
  silaha kujitajirisha kama watawala wao wanavyoiba
  fedha za umma kwa kutumia ujambazi wa
  kalamu.
   
  Katiba Mpya ya
  wananchi
  ikiandikwa, serikali ikifisadi
  fedha na mali za wananchi
  itashtakiwa 
  na  majaji hawataogopa  kuihukumu serikali
  bila  kuipendelea kwa sababu hawatakuwa na
  woga wa 
  kupoteza ajira.
 
 
    Hayo ndiyo
  mabadiliko
  wanayotaka wananchi  wa Tanzania katika
 
  kukomesha ufisadi wa kimfumo ili kuepusha  ongezeko
la
  wananchi masikini wa kutupa kunakohatarisha
  amani  na umoja
  wa  kweli  katika nchi
  yetu.
 
  Lakini CCM na
  serikali yake vikitumia rushwa,
  ubabe na
  uchakachuaji  katika uchaguzi wa tarehe 25 na 
  kushinda uchaguzi, tuendako serikali ya CCM
  itafanya 
  ufisadi  mkubwa zaidi,  tena
  ikitumia  ubabe, udikteta na
  dharau kubwa
  kwa  vyama vya upinzani na wananchi kwa
 
  ujumla.  Mungu ibariki Tanzania.
 
  Note: Ninaruhusu  yeyote anayetaka kutumia
  ,
  kuchapisha au kusambaza andiko hili
  afanye hivyo.
 
 
  Ananilea
  Nkya
   E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
 
  --
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email
  kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
  this Forum bears the
  sole responsibility for any legal
 
  consequences of his or her postings, and hence
statements
  and facts must be presented responsibly. Your
  continued
  membership signifies that you
  agree to this disclaimer and
  pledge to
  abide by our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message
 
  because you are subscribed to the Google Groups
  "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe
  from this group and stop
  receiving emails from it, send an
  email to
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 
  https://groups.google.com/d/optout.
 
      
 
 
  --
 
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
  responsibility
  for any legal consequences
  of his or her postings, and hence
 
  statements and facts must be presented responsibly.
Your
  continued membership signifies that you agree
  to this
  disclaimer and pledge to abide by
  our Rules and
  Guidelines.
 
 
  ---
 
 
  You received this message because you are subscribed
to
  the
  Google Groups "Wanabidii"
  group.
 
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails
 
  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.
 
 
  --
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
  Everyone posting to
  this Forum bears the sole responsibility for any
legal
  consequences of his or her postings, and hence
statements
  and facts must be presented responsibly. Your
continued
  membership signifies that you agree to this
disclaimer and
  pledge to abide by our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message
  because you are subscribed to the Google Groups
  "Wanabidii" group.
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails from it,
send an
  email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.
 
     
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
  statements and facts must be presented responsibly.
Your
  continued membership signifies that you agree to
this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this message because you are subscribed
to
the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment