Wednesday, 7 October 2015

Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI

Kuna wakati Mollel unanikumbusha hotuba za Idi amin alipokuwa akijieleza kama kiongozi maarufu Africa. Najua siku inafika Inzi atajipongeza kwa kushirikiana na tembo kulitingisha daraja mpaka likakaribia kuvunjika kwa sababu tu wakati tembo akivuka daraja nzi alikuwa mgongoni mwa tembo. Sina taabu kuelewa maelezo haya chini licha ya kukosa ceherency. Ninaamini unafuatilia kqmpeni zote unasikiliza ya maana na utumbo unaosemwa na viongozi wetu wagombea. Na wapiga kura wengi wanasikiliza na wengi zaidi wanafafanuliana. Hayo najua yanapuuzwa na watakaokuja kusema tumeibiwa kura na kuanza kusaidia ulimwengu kufikiri ulinzi wa taifa hili utapatikana ICC. Ukishindwa kuelewa usipayuke. Nyamaza tu. Hakuna atakayeuelewa mwisho wa uelewa wako.
--------------------------------------------
On Wed, 10/7/15, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
To: "'Leticia Maruma' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, October 7, 2015, 2:44 AM

Mama nkya huyo mzee elisa
hua nahis anakremu,haelew anaongea nn,yeye ni kTi ya mijitu
isioona mbele na baht mbaya hata mia hawajampa basi
anakariri tu,kwake yeye anavokariri mbay tanzania hii ni
lowasa,wkt cc kaama wananchi tushaaamua baada ya
kung'amua ukweli kua lowasa si mwizi wala fisadi hata
kidogo ccm ndo ina majizi na mfisadi papa....
Cha kumsaidia tu ni kwamba kama alivyo dada
yake happyness katabaz,wanaoamini kua mungu yupo mtakuja
kuona trh 25 oct....lowasa ni chaguo la mungu,uyoke mapovu
utukuane cc na watanzania tushaamua kumpa lowasa....marufuku
kutoa lugha chafu kwakiongozi wetu mpendwa,kama kina kuuuma
kaa kimya,shut uuuup..kila siku lowasa lowasa...kakukosea
nn,mbn hutaji kina jk,kina chenge,kina tibaijuka,kina
ngeleja na muhonga au kwako hawa ninwaakatifu...kasha ipi
kubwa'escrow,epA....sukar,kashfa kibao..mbn hao jamaa
leo ni wagombea ubunge na mmewabriki na kuwaita wabrikiwa na
mashujaaaaa....mama tibaijuka ashakataliwa live na wananchi
lakin mmempitish a au hujui ni watuhumiwa wakubwaaa...achana
na mzee elisa aishie na hoja zako zisizo na mashiko za
kukariri na chuki binafsi'uzuri yeye si mungu
Lesian

'Leticia Maruma' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:



Sent
from Yahoo Mail on Android From:"'ananilea
nkya' via Wanabidii"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date:Wed, 7 Oct, 2015 at 12:56 AM
Subject:Re: [wanabidii] MAGUFULI NA
UFISADI

Elisa, fisadi papa ni serikali
ya CCM yenyewe (rejea EPA na Tegeta Escrow). Hivyo CCM
ikingolewa madarakani  kisha Katiba Mpya inayotokana na
maoni ya wananchi ikiandika--mazingira yanayofanya serikali
kuwa fisadi yatakuwa yameondolewa. Unang'ang'ana na
Lowassa bure unajidanganya wananchi wenyewe
wanajua mzizi wa ufisadi uko wapi na ndiyo sababu wameamua
kufanya mabadiliko kwa kuongozwa na Lowassa. Patamu hapo.
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Tue, 10/6/15, 'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii]
MAGUFULI NA UFISADI
To: wanabidii@googlegroups.com

Date: Tuesday, October 6, 2015, 6:49 PM

Hakuna kilichoisha ili mradi

kinachangia kufanya uamuzi tarehe 25 October. sauli
alibadilishwa. baada ya kubadilishwa
hakuendelea kutetea
msimamo wake wa kuwaua
wanafunzi wa Yesu. hakuna
aliyejitokeza
kuyaanika madhambi yake ili tumlinganishe na
Sauli

--------------------------------------------
On Tue, 10/6/15, 'Paschal Leon' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

 
Subject: Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Tuesday, October 6, 2015, 6:13 AM
 
  achana na
  mambo yaliyopita, nani alijua Sauli (Paulo)
angebadilika
na
  kuhubiri
Injili? 
 
 
 
     On Monday,
October
  5, 2015 10:42 PM, 'ELISA
MUHINGO' via Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
 

   
 
  Mike.
  Wewe naweza kupata pa kuanzia kukujibu.
Ni
  kweli viongozi wa CCM wameharibu. Njia
pekee ilikuwa ni
  kuiondoa CCM madarakani
na kuweka chama kingine makini.
  Baada ya
mambo mawili kutokea
  1) Chama
  kilichokuwa kinaonekana kuwa makini
kushindwa kumpa nafasi
  mtu ambaye
watanzania walimuona kama mtu makini; badala
yake
  akachaguliwa mtu
aliyenyomwa nafasi hiyo toka CCM na huku
 
akiandamwa na tuhuma lukuki za ufisadi. NA
  2) baada ya kuona CCM imeanza kusoma alama
za
  nyakati na kuwanyima nafasi mafisadi
kugombea urais,
badala
 
yake ikamteua mtu anayejitegemea na mwenye rekodi nzuri
  katika uadilifu na utendaji wake tena katika
mazingira
  magumu-Watanzania wameamua
kuchagua mabadiliko kupitia
CCM.
  Ni kweli hii inawafanya watu waliokwisha
ichukia CCM na
wale
 
walio
na sababu za kutaka kuchagua kwa kutumia misingi
  yajiografia ya nchi kuungana kuendelea
kuikataa CCM na
  mgombea wake. lakini
mazingira yanaonyesha magufuli
  atashinda.
ikiwa hivyo si kuwa CCM itamdhibiti Magufuli
bali
  Magufuli anaizika CCM
na kuibuka na CCM nyingine ambayo
 
ilikuwepo enzi za mwalimu. Tuisubiri. haiepukiki.
  Tutaishuhudia.
 
--------------------------------------------
  On Mon, 10/5/15, 'Mike Zunzu' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 

  Subject: Re:
  [wanabidii] MAGUFULI NA
UFISADI
  To:
  "wanabidii@googlegroups.com"
  <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Monday, October 5, 2015, 8:05 PM
 
  Cha
 

  kufurahisha kuliko vyote ni kuli CCM
kujitambua kuwa
  wamenyea kambi, kiasi
kwamba wanaogopa hata
  kutamka kuwa
  chama hicho kinamtu anaomba
  urais kwa ridhaa ya chama

  hicho.Bahati
  mbaya sana watu wetu
siyo wote wanawezanua
  vitu kama hivyo,
  baada ya kuona wanaogopa
 
kutumia jina basi wananchi
 
wangelikuwa
  anajiuliza kulikoni? Mbona
safari hii haiombi
  kuchaguliwa,
wamejificha chini ya mgogo wa
  mgombea
  wao.Kama
  unataka
  kufahamu CCM wapo puta, acha Mgufuli
ashinde,
  watamwambie wewe kazi yako ni
kukaa mlangoni,
  wenye funguo
  ni sisi. Hao aliodhani
 
atawadhiti, yeye ndiye
 
watakayemdhibiti.
  Tuombee
  isije ikatokea
  mbahati
mbaya
kama hiyo. 
 
 
 
       On
  Monday, 5 October
  2015,
17:55,
  'ananilea nkya' via
Wanabidii
 
  <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
     
 
    MAGUFULI AKICHAGULIWA
 
UFIDADI NA UMASKINI VITAONGEZEKA
 
  Ananilea  Nkya
 
  Watu wanaokampeni kushawishi
  Watanzania 
  wamchague
John  Magufuli kuwa
  Rais wa tano wa
Tanzania 
  kwa kutumia
  kigezo cha uadilifu wanadhani ataweza 
kuzuia 
  serikali ya CCM kuwa fisadi na
hivyo umaskini
  wa wananchi
  kupungua.
 
  Kimsingi 
 
wanajidanganya
  maana  Magufuli
akichaguliwa  ufisadi  wa
  kimfumo
unaofanywa na serikali ya CCM ili
  chama
hicho 
  kibaki madarakani
utaendelea
  kwa kasi na hivyo  pengo
kati
  ya watawala
 
wachache kutajirika kufuru   na mamilioni ya
  wananchi  maskini wa kutupa litaongezeka
mara
  dufu.
 
  Nchi yetu ilipopata
 
uhuru
  maadui wa ustawi wa wananchi
walikuwa
  ni watatu—adui mkuu
  ujinga—  na adui 
 
wengine wawili  wanaotokana na
 
  ujinga---adui  umaskini na adui maradhi.
 
 
 
Lakini  katika zama hizi  za
 
utandawazi  na demokrasia ya vyama vingi vya
  siasa 
  ameongezeka adui
mwingine hatari
  nchini kwetu--adui 
  ufisadi. Ufisadi 
 
ameshamiri nchini baada ya mfumo wa vyama
 

  vingi vya siasa kuanza mwaka 1992.
 
  Chanzo cha ufisadi 
nchini  ni CCM
  kung'ang'ania
madaraka  kwa kutumia nguvu
  ya fedha 
na
  hivyo serikali yake kila
 
inapochaguliwa   hugeuka kuwa
  fisadi
na
  kuiba fedha  na mali za umma.
 
  Hivyo, ikitokea 
Magufuli akichaguliwa 
  wananchi wengi
wataendelea kuwa maskini  kwa
  sababu
  inaelekea  Magufuli mwenyewe au
  hajui  au aamini kwamba
 
chanzo  cha 
  umaskini  nchini ni
serikali ya  CCM  kuwa
  fisadi  na
kuendekeza rushwa, ubabe, giliba,
  uongo
na siasa
  za maji taka kushinda
  uchaguzi.
 
  Inaelekea
  Magufuli
hajatambua  kuwa kuzuia
  ufisadi
  unaozaa mafuriko ya wananchi maskini
Tanzania
  kunahitaji  nchi iweke misingi
ya kikatiba,
  lakini CCM

  kwa  kukataa Katiba Mpya
  inayotokana
na maoni ya wananchi 
 
  isiandikwe 2014 iliikataa  misingi hiyo 
kwa sababu 
  kinajua kinanufaika 
kubaki madarakani 
  kutokana na
  udhaifu wa kikatiba
uliopo
  sasa.
 
  CCM inachofanya
  sasa ni
Magufuli kuwapumbaza 
  wananchi
  kwamba  eti baada ya yeye kuteuliwa
kugombea Urais
  kwa tiketi ya CCM,
mafisadi  wameanza
  kuikimbia CCM.
 
  Magufuli
  anataka 
  kuwaaminisha
Watanzania kuwa 
  umaskini  unakabili
  mamilioni ya
 
Watanzania  umesababishwa na wanaCCM
 
  walioondoka kwenye chama hicho baada ya yeye
kuteuliwa
  kugombea Urais!
 
  Pengine
  ndiyo sababu
  Magufuli 
anaahidi kwenye kampeni zake kwamba
 
akichaguliwa Rais  ataanzisha mahakama ya
  mafisadi kama
 
alivyokaririwa kwenye
  mikutano yake ya 
kampeni huko
  Dodoma.

 
  Ninanukuu:
 
  ''Baadhi ya mafisadi wezi wameanza
kukimbia baada ya
  CCM
 
kuniteua mgombea urais lakini nikiingia
 
Ikulu, nitawafuata
  huko waliko ili
  niwashughulikie vizuri ndiyo maana
nimesema
 
  nitaunda
mahakama ya mafisadi''
 
  Wananchi wanajiuliza kama ufisadi wa
fedha 
  na
  mali za
nchi unafanywa na serikali
  inayopewa 
dhamana ya
  kuwa mlinzi wa fedha
  na mali za Watanzania endapo Magufuli
 
  atachaguliwa na serikali
yake  kuunda mahakama ya
  mafisadi,  je
majaji wa mahakama hiyo 
  watapata
wapi
  ujasiri wa kumtia hatiani
  fisadi mkuu  (serikali) wakati
  kiongozi
  mkuu wa
serikali  (Magufuli) ndiye atakuwa
 
  amewateua majaji wa mahakama hiyo?  Je
serikali inaweza
  kujihukumu yenyewe?
 
  Aidha

  wananchi
  wanajiuliza   je 
serikali  ya CCM imekuwa
  ikishindwa 
kuchukua hatua za kisheria
  kudhibiti 
ufisadi
  wa  fedha na mali
za
  umma unaofanywa na  serikali ya
kwa
  vile
  nchi haina 
mahakama maalumu ya kushughulikia kesi za

  ufisadi au ni kwa vile chama chao ni mnufaika
  wa ufisadi?
 
  Wananchi
  wanauliza swali
hili
  kwa sababu  ipo 
  mifano mingi  kuonyesha serikali ya
  CCM 
  ni fisadi .
 
  Mfano wa
  kwanza: Ufisadi wa EPA kuiba kwenye 
Akaunti
  ya EPA benki
 
kuu jumla ya shilingi bilioni
  133  mwaka
2005/6.  Wananchi
  walishangaa
  kuona Rais wa Jamhuri yetu  alivyopata
 
  kigugumizi  kwenye
ufisadi huo.
   
 
Wananchi wanajiuliza  ilikuwaje mlinzi
 
mkuu
  (serikali ya CCM) kama kweli 
  haikunufaika na ufisadi wa 
  EPA
  haikuchukizwa na
kitendo hicho cha aibu na kuchukua hatu
 
za kisheria? 
 
 
Kadhalika
 
wananchi
  wanajiuliza, kama kweli wizi
huo wa EPA
 
 
haukuhusisha serikali yenyewe kunufaisha CCM ni kwa nini
  serikali ya CCM ilisema waliokwapua fedha
hizo
  wamepewa muda
  wa
kuzirejesha benki  na
  hadi leo (miaka 10
baadaye)
  haijawatangazia
  Watanzania  hatma ya fedha hizo?
 
  Mfano wa pili: Ufisadi
wa
 
  Richmond. Kukotana
na ukosefu wa umeme nchini serikali ya
 
CCM iliingia mkataba na kampuni ya kigeni
 
Richmond ili nchi
  ipate  umeme.
 
  Kabla
 
  kampuni hiyo kuanza
kuzalisha umeme zilitoka tuhuma
  kwamba
  Richmond  ilikuwa ni kampuni feki.
 
 
 
Wakati huo Edward
  Lowassa  alikuwa
Waziri
  Mkuu,  kimamlaka
  hakuwa  Waziri wa  Nishati, lakini
 
  aliamua kujiuzulu
kulinda heshima ya serikali. 
  Lakini
cha
kushangaza baada ya kujiuzulu
  Lowassa 
kampuni  ya Dowans iliyoirithi
 
Richmond
  iliendelea kulipwa fedha
nyingi
  kila mwezi hadi zikafikia
  bilioni 172.
 
  Wananchi
 
  wanajiuliza  kama CCM  ilikuwa
hainufaiki  na 
  mabilioni
  hayo yaliyokuwa yanalipwa 
  Dowans  na kwamba mnufaika wa
  ufisadi huo
  alikuwa ni
Lowassa  ni kwa nini Dowans
 
  waliendelea kulipwa baada ya Lowassa kuachia
ngazi? Ni
  kwa
  nini
Lowassa hajafikishwa mahakamani
  hadi leo
kama tuhuma
  dhidi yake zina
  ushahidi?
 
  Mfano wa tatu:
  Ufisadi 
wa  kuuza kwa bei
  chee  nyumba
  za Watanzania zenye thamani ya mabilioni
ya
 
  shilingi huku 
leo hii  serikali ikitumia fedha nyingi
 
za
  umma  kuwapangishia makazi 
hotelini 
 
watawala.
 
 
Wananchi
  wanafahamu kuwa 
  msimamizi  wa  
 
uuzwaji wa nyumba  hizo ulifanyika 
 
  wakati  Magufuli akiwa na Waziri nyumba na
makazi.
 
  Karibu
nyumba za umma
  elfu
 
kumi ziliondoka mikononi mwa umma na
  hadi
leo Watanzania
  hawajaelezwa
  zilipatikana shilingi ngapi kwenye mauzo
ya
 
  nyumba hizo  na
zilitumika kufanya jambo gani la
 
kuwaondolea wananchi umaskini. 
 
Aidha
  katika uuzaji wa nyumba
  za umma Magufuli anatuhumiwa 
  kuwauzia
  baadhi ya ndugu
zake .
  Wananchi
 
wanajiuliza kama Magufuli na Lowassa wote
 
walikuwa ni
  watendaji katika serikali
ya
  CCM, na  wote  ufisadi
  umefanyika 
  kwenye
maeneo ambayo walikuwa na dhamana,  ni
 
kwa nini   leo  Magufuli anashabikiwa na
  CCM kuwa ni

  mwadilifu  ili hali  Lowassa
 
akipakaziwa   ufisadi ?
 
 
  Aidha, wananchi
wanauliza 
  ufisadi   kwa
  Magufuli katika kusimamia kwa niaba ya
 
  serikali ya CCM  uuzaji
kwa bei poa nyumba za umma
  umetoweka 
kwa vile tu anagombea Urais kwa
  tiketi ya
CCM na
  tuhuma za ufisadi kwa
  Lowassa mkataba wa Richmond umebaki
  kwa
  sababu tu ameamua
kuondoka CCM na kugombea Urais   kwa
 
tiketi ya CHADEMA --chama kinachowakilisha
  vyama vinne vya
  upinzani
vinavyoundwa Umoja
  wa Katiba ya
Wananchi-UKAWA?
 
 
Mfano wa Nne: Ufisadi wa
 
  Tegeta escrow 2014, serikali ya CCM
ilifisadi bilioni
  306. 

  Watuhumiwa wa ufisadi huo walienea
 
ofisi mbali mbali za
  serikali 
hadi 
  ofisi kuu  ya  ya  nchi
--Ikulu 
 
  inayopaswa
kuwa
mahali patakatifu ilihusishwa na ufisadi

  huo!
 
  Tena
  wananchi
  walielezwa
jinsi mabilioni  ya 
  fedha hizo
  zilivyokwapuliwa  kibabe 
  nyingine zikibebwa  kwa magunia
  na
  tandarusi mchana
kweupe.
 
 
  Watawala wa CCM waliopaswa kujiuzulu kama
 
  Lowassa alivyojiuzulu 
na kisha kupakaziwa ufisadi
  tuliona
  jinsi walivyosafishwa  na serikali
  ya CCM yenyewe!
 
  Wananchi
  wanajiuliza
kama
  ufisadi wa Richmond
  haukuwa mkakati wa CCM wa kutumia siasa
  za
  maji taka kumtoa
Lowassa  kafara wa ufisadi  kudanganya
 
wananchi kwamba  serikali ya CCM siyo
 
fisadi  bali fisadi
  ni Lowassa ni
kwa
  nini   Magufuli  kwa dhamana yake
kama
 
  Waziri wa
Nyumba  alisimamia ufisadi wa  nyumba za
  umma 
 
CCM inamuona mwadilifu na Waziri wa
 
nishati  Muhongo 
  aliyekuwa na
dhamana
  wakati wa ufisadi wa Tegeta
escrow
 
  alisafishwa
ili hali Lowassa   aliyesimamia ufisadi
 
wa 
  mkataba wa Richmond 
anapakaziwa
  ufisadi?
 

  Zaidi wananchi
 
wanajiuliza
  kama chanzo cha ufisadi 
  nchini kama vile Magufuli na CCM
  wanayotaka
  kuaminisha
umma ni LOwassa na wengine walioondoka
 
CCM,  je  ni kwa nini  serikali ya CCM
 
imekumbwa na
  ufisadi wa Tegeta
escrow 
  miaka saba baada ya Lowassa
  kujiuzulu
  uwaziri
mkuu?
 
  Hakika
ziko
  fisadi nyingi  zilizohusisha
  viongozi wa
  serikali ya
CCM  iwe ni kwenye miradi ya
 
  kitaifa au kwenye halmashauri  na 
mikataba ya mali za
  nchi kama vile
madini  kuonyesha kwamba 
  umaskini 
wa
  wananchi unasababisha na 
  ufisadi wa serikali ya CCM.

 
  Ndiyo  sababu  kwa kutumia
 
  mifano hii minne
wananchi wanajiuliza  ni kwa nini  
 
CCM
  imtoe  Edward Lowassa  kafara
wa 
  ufisadi  ili  hali
  serikali ya CCM ndiyo
 
fisadi? 
 
 
Kadhalika
  wananchi  wanajiuliza ni kwa
nini
  Edward
  Lowassa
ambaye ameamua  kuondoka CCM kutumia haki

  yake ya kikatiba  kutimiza ndoto yake ya
  kugombea Urais , 
  CCM
inamuona tishio na
  hafai kuwa Rais?
 
  Kama
  alikuwa hafai kuwa Rais  kutokana na
 
  ufisadi ilikuwaje
alipewa dhamana kubwa  ndani ya
 
serikali
  ya CCM kuanzia uwaziri hadi
Waziri
  Mkuu na akajiuzulu
  uwaziri mkuu ili kuzuia
 
serikali ya chama chake isianguke
 
kutokana
  na ufisadi?
 

  Wananchi
 
wanajiuliza hivi tatizo hapa ni
  ufisadi
wa
  Lowassa kweli au ni CCM  kutaka
 
  kung'ang'ania
madaraka ya kuongoza  hata kama
 
wananchi
  whawakitaki tena chama hicho
  kiongoze nchi?
   
 
  Wananchi pia wanajiuliza
hivi
  tatizo ni
 
Lowassa ambaye anao uzoefu mkubwa wa kuongoza
  serikali na ambaye rekodi yake 
inaonyesha
  kuwa ni mchapa
  kazi au tatizo ni  kwa vile
  anagombea   Urais kupitia

  CHADEM-UKAWA 
  na  wananchi 
wamemkubali ingawa CCM
 
  ilidhani umma ungemkataa kutokana na
kuchafuliwa
  kimkakati 
    kwa  ufisadi?
 
  Wananchi
 
  wanajiuliza  kama  Magufuli  ni
mwadilifu  kuliko
  Lowassa na kwamba 
CCM  siyo inayonufaika na
  ufisadi
  unaofanywa na  watumishi
wa
  serikali yake ni kwa nini CCM
  wamekataa
  kuandika
Katiba Mpya inayotokana na maoni ya
 
wananchi  ili kuweka misingi ya kikatiba
 
kuziba mianya 
  kwa  serikali ya
chama
  chochote  kuwa fisadi wa fedha
na
  mali za
 
wananchi?
 
 
Wananchi
  wanajiuliza ni kwa nini CCM 
inahaha 
  kumzuia Lowassa 
  kuwa Rais  wa Jamhuri 
 
kama CCM  haiogopi   hatari ya
 
kuachia
  chama kingine kuingia madarakani
wakati nchi
  haijaweka misingi ya kuzuia
serikali kuwa
  fisadi na hivyo
  wanaogopa kuwa  serikali
  ya CHADEMA  na UKAWA nayo itakuwa
  fisadi
  kama ilivyokuwa
serikali ya CCM?
 
 
Wananchi wanajiuliza  kama  Magufuli  ni

  mwadilifu  kuliko Lowassa na kwamba  CCM 
  siyo
  inayonufaika na
ufisadi unaofanywa na
  serikali yake ni
kwa
 
nini CCM wamekataa
  kuandika Katiba Mpya
inayotokana na maoni
 
 
ya wananchi  ili kuweka misingi ya kikatiba itakayoziba
  mianya   serikali ya chama chochote 
kuwa
  fisadi wa fedha
 
na mali za wananchi?
 

  Vile
  vile
  wananchi
wanajiuliza, kama Rais Jakaya Kikwete ambaye
  mwaka 2005 alipigiwa kampeni na   CCM 
kuwa
  ni mwadilifu,
 
kama anavyonadiwa  Magufuli
  sasa 
lakini kwa miaka 10
  umaskini wa
  wananchi umeongezeka –deni la taifa 
 
  limeongezeka kila
Mtanzania  anatakiwa kulipa shilingi
 
800,000/-—je Magufuli atakuwa na ubavu gani
  wa kuifanya
  CCM na
serikali yake 
  isiendelee kuwa fisadi?

 
 
 
Ni kutokana na hoja hizi ndiyo
  sababu
  wananchi wengi wanaona kumchagua Magufuli
kuwa Rais
  wa Tanzania ni kuchagua
ufisadi na 
ni
  kuchagua mamilioni

  ya watanzania waendelee
  na umaskini.
HAIKUBALIKI.
 
 
  Tena  wakati mamilioni ya

  wananchi
  wanaendelea kuwa maskini
watawala wa serikali ya
  CCM, familia
zao, wapambe wao kwenye kampeni
  na
marafiki
  zao   wataendelea
  kujitajirisha kufuru na kwa kujigawia
  fedha
  na mali 
zinazopaswa kunufaisha Watanzania wote.
 
 
  Ndiyo sababu wananchi
  sasa
  wanahamasishana
kutambua kuwa
  kumchagua Magufuli ni
  kuichagua CCM na  ni
 
kama  kumpa  tena  ya ulinzi mlizi
 
  mwizi!
 
  Wananchi wanaona
  ni
  afadhali kuichagua CHADEMA-UKAWA  kwa
  sababu kwanza
  mgombea 
wake wa Urais 
  Lowassa  huenda
akaonyesha
  uadilifu na
  uchapakazi  wa hali ya juu 
kuwathibitishia
  Watanzania
kwamba CCM amepakaziwa na kutolewa
 
kafara ufisadi
  ili CCM iendelee
kubaki
  madarakani bila kujulikana
kwamba
  serikali
  yake
ndiye malkia wa ufisadi nchini.
 
  Wananchi wanatambua kuwa
 

  kuirejesha CCM  Ikulu   kasi ya 
umaskini itaongezeka
  kwa

  wananchi wengi  kuaendelea kukosa 
 
kipato, kukosa elimu
  bure na bora hadi
chuo
  kikuu kuondoa adui ujinga na 
  wizi, 
  biashara chafu,
uvunjifu wa haki za binadamu  na 
 
serikali kuwa mbabe, dikteta mminya
 
demokrasia 
  vitaongezeka na hivyo
kuvuruga
  amani ya nchi yetu.
 
 
 
Hivyo   ni muhimu serikali ya
  CCM
ikaacha
  sauti na maamuzi ya wananchi
isikike katika
 
 
uchaguzi mkuu  tarehe 25 Oktoba 2015  ili endapo 
  wananchi wataamua  kumchagua  Lowassa
kama
  Rais
wao
  kupitia CHADEMA  inayowakilisha
  vyama vinavyounda   Umoja

  wa Katiba ya
  Wananchi (UKAWA),  
waandike Katiba Mpya 
  inayotokana na
maoni ya wananchi na
  wasipofanya hivyo
  uchaguzi wa  2010 
 
wananchi wawanyang'anye madaraka.
 
  Katiba mpya siyo tu 
 

  itampunguza madaraka ya Rais kuhusu
uteuzi wa watendaji
  ikiwa ni pamoja na
majaji wa mahakama, bali
  pia  itaweka
  misingi ambayo  mihimili 
  mitatu ya utawala wa nchi

  ---Serikali,
  Bunge na Mahakama 
vitakuwa haviingiliani.
 
 
  Kwa hivyo serikali ya
chama
  chochote ikiiingia madarakani na
ikafanya
  ufisadi
 
itawajibishwa na wananchi nao
  wataacha na
wizi na ujambazi
  wa kutumia
  silaha kujitajirisha kama watawala wao
wanavyoiba
  fedha za umma kwa kutumia
ujambazi
wa
  kalamu.
   
  Katiba Mpya ya
 
wananchi
  ikiandikwa, serikali
ikifisadi
  fedha na mali za wananchi
  itashtakiwa 
  na 
majaji hawataogopa  kuihukumu serikali
 
bila  kuipendelea kwa sababu hawatakuwa na
  woga wa 
  kupoteza
ajira.
 
 
    Hayo ndiyo
 
mabadiliko
  wanayotaka wananchi  wa
Tanzania katika
 
 
kukomesha ufisadi wa kimfumo ili kuepusha  ongezeko la
  wananchi masikini wa kutupa
kunakohatarisha
  amani  na umoja
  wa  kweli  katika nchi
 
yetu.
 
  Lakini CCM
na
  serikali yake vikitumia rushwa,
  ubabe na
  uchakachuaji 
katika uchaguzi wa tarehe 25 na 
 
kushinda uchaguzi, tuendako serikali ya CCM
  itafanya 
  ufisadi 
mkubwa zaidi,  tena
  ikitumia  ubabe,
udikteta na
  dharau kubwa
 
kwa  vyama vya upinzani na wananchi kwa
 

  ujumla.  Mungu ibariki Tanzania.
 
  Note: Ninaruhusu 
yeyote anayetaka kutumia
  ,
  kuchapisha au kusambaza andiko hili
  afanye hivyo.
 
 
  Ananilea
  Nkya
   E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
 
  --

  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com

 
  Kujiondoa Tuma Email
  kwenda
 

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
  this Forum bears the
 
sole responsibility for any legal
 
  consequences of his or her
postings, and hence statements
  and
facts must be presented responsibly. Your
 
continued
  membership signifies that
you
  agree to this disclaimer and
  pledge to
  abide by our
Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message
 
  because you are
subscribed to the Google Groups
 
"Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe
  from this
group and stop
  receiving emails from it,
send an
  email to
 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 

  https://groups.google.com/d/optout.
 
      
 
 
 
--
 
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com

 
   
 
  Kujiondoa
Tuma Email kwenda
 
 

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
 
kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
 
Disclaimer:
 
 
  Everyone posting to this Forum bears the
sole
  responsibility
 
for any legal consequences
  of his or her
postings, and hence
 
 
statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you
agree
  to this
 
disclaimer and pledge to abide by
  our
Rules and
  Guidelines.
 

 
  ---
 
 
  You
received this message because you are subscribed to
  the
  Google Groups
"Wanabidii"
  group.
 
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails
 
 
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit
 
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
  --
 
Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email
kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
  Everyone posting to
  this
Forum bears the sole responsibility for any legal
  consequences of his or her postings, and
hence statements
  and facts must be
presented responsibly. Your continued
 
membership signifies that you agree to this disclaimer
and
  pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
  ---
  You
received this message
  because you are
subscribed to the Google Groups
 
"Wanabidii" group.
  To
unsubscribe
  from this group and stop
receiving emails from it, send an
  email
to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 
https://groups.google.com/d/optout.
 
     
 
 
  --
 

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
 
kudhibitisha
ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her
postings, and
hence
 
statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you
agree to this
  disclaimer and pledge to
abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 

  You received this message because you
are subscribed to
the
 
Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
  from it,
send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com


Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For
more options, visit

https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment