Ninaomba kurudia tena, kwamba kwa mazingira yetu hakuna msafi hapa Tanzania kwani kama kunayo msafi ni asili mia chini ya 20 tu. Iliyopo ni lazima tukubali tuna matatizo, tutafute njia muafaka wa kutatua tatizo hilo hasa la ufisadi. Tatizo la ufisadi litaweza kutatuliwa kwa njia mbali mbali na mojawapo ni njia ya kutengeneza katiba mpya ambayo inajali rasimali zilizopo ni kwa ajili ya Watanzania wote regardless ni mwanachama wa chama gani au sio mwanachama wa chama chochote.
Tunachopishana hapa ni njia ipi sahihi ya kutuletea katiba ya Watanzania kwa ajili ya Watanzania. Kwa Maoni yangu binafsi ningefurahi sana kama Mheshimiwa Magufuli anakuwa Rais, na Ukawa wakapata wabunge wa kutosha kujenga hoja bungeni ili tukapata katiba mpya. Hii itawezekana kwa urahisi zaidi ikiwa Ukawa watapata wabunge zaidi ya asilimia 50 na kuwa na uwezo wa kuchagua Spika kutoka Upinzani au Spika ambaye hataegemea chama chochote au kuwa kwenye kokasi ya chama chochote. Ikiwa hivyo itabidi tuwe na Serikali ya Mseto. Na ili Serikali ya Mseto ifanye kazi itabidi tubadilishe Katiba.
Kwa vile tunayo rasimu ya Katiba ya Warioba ambayo inaungwa mkono na Watanzania wengi wakiwepo wana CCM wenye mapenzi mema na Wana Ukawa na Wasio na Chama chochote kwa Watanzania tunaweza kuipitia na kuipitisha ili tuwe na Serikali tatu. Kutengeneza katiba ya serikali hizi mbili za Unguja na Tanganyika itakuwa rahisi kwani msingi wa Sheria mama ya Shirikisho tunao. Tanzania bila umaskini ule uliokithiri inawezekana tututimize wajibu wetu.
Mungu ibariki Tanzania ibariki Afrika
Herment A. Mrema
Date: Sun, 2 Aug 2015 13:24:10 +0300
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS
From: tamimugillo@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
huyu lowassa anataka nini hasa ikulu????,,,kasahau nini alipokuwa waziri mkuu hakuchukua??..
Songea,Tanzania.
+255753337420
"Vijana kwanza"
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Tunachopishana hapa ni njia ipi sahihi ya kutuletea katiba ya Watanzania kwa ajili ya Watanzania. Kwa Maoni yangu binafsi ningefurahi sana kama Mheshimiwa Magufuli anakuwa Rais, na Ukawa wakapata wabunge wa kutosha kujenga hoja bungeni ili tukapata katiba mpya. Hii itawezekana kwa urahisi zaidi ikiwa Ukawa watapata wabunge zaidi ya asilimia 50 na kuwa na uwezo wa kuchagua Spika kutoka Upinzani au Spika ambaye hataegemea chama chochote au kuwa kwenye kokasi ya chama chochote. Ikiwa hivyo itabidi tuwe na Serikali ya Mseto. Na ili Serikali ya Mseto ifanye kazi itabidi tubadilishe Katiba.
Kwa vile tunayo rasimu ya Katiba ya Warioba ambayo inaungwa mkono na Watanzania wengi wakiwepo wana CCM wenye mapenzi mema na Wana Ukawa na Wasio na Chama chochote kwa Watanzania tunaweza kuipitia na kuipitisha ili tuwe na Serikali tatu. Kutengeneza katiba ya serikali hizi mbili za Unguja na Tanganyika itakuwa rahisi kwani msingi wa Sheria mama ya Shirikisho tunao. Tanzania bila umaskini ule uliokithiri inawezekana tututimize wajibu wetu.
Mungu ibariki Tanzania ibariki Afrika
Herment A. Mrema
Date: Sun, 2 Aug 2015 13:24:10 +0300
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS
From: tamimugillo@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
mzee muhingo nakupongeza kwa kujadili hoja hasa na kuuacha vihoja vya wanaombeba lowassa..
hivi kwani lowassa tope lake ni richmond tu???mbona tunahadaana mchana kweupe,,nani asiyejua kuwa usafi wa lowassa ni wenye shaka kubwa ????....kama taifa linakumbatia watu wa aina ya lowassa basi taifa hili limekwisha ...Tamimu Adamu Gillo.
Young Journalist.
Young Journalist.
+255753337420
"Vijana kwanza"
2015-08-02 13:03 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Kazi inayofanyika katika mijadala hii ni kubwa sana. Makosa kama hayo ya tongue slip yanastahili kupita bika kuonwa na tukaenda na maana tu hata hivyo ni uungwana wa kutosha kuliombea radhi.
--------------------------------------------
On Sun, 8/2/15, Ireneus Kakuru Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS
To: "wanabidii@googlegroups com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Sunday, August 2, 2015, 11:31 AM
Mike na
wanajamvi wengine,
Nimefuta
usemi wa Mkasikazini kwenye comment zangu, nisiwakwaze
tafadhali.
Jumapili
Njema.
Omukunirwa
Ireneus
2015-08-02 2:53 GMT+03:00
'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Wewe mtoto unalala saa
ngapi, kwingineko bado mapema. kisa ujibu hoja za
watu. Nakumbuka tukiwa shule ya
msingi tulifundishwa sheria za afya, moja wapo, "Lala
mapema kwa kadiri ya ushauri wa wataalamu wa
afya."
On Sunday, 2 August
2015, 0:44, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Mushongi and muhingo
Sasa
kwann slaa hakupeleka ushahud huo mahakamani wazee,it was a
fake politics,hakuna kitu hapo acheni kujiondoa
ufaham....nendeni ccm kwa wenzenu,nyie hata week 4
hamtaelewa na mtabakiw wenyewe ,mnafirce hoja,mkikosa hili
mnakuja na lile 'kwani makanisani wanasali nani si
watanzania,umeambiwa ni kosa kufundrise kwa ajili ya kanisa
au msikiti mzee,
Mhingo hujui siasa umejaa
chuki na fitina za kijinga kabisa,huna hoja
Lesian
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
>Kama Lowasa
akipona la Richmond anaweza kujiosha na fedha alizokuwa
akizisambaza makanisani na misikitini na kwingineko??
alipoulizwa akasema anachangiwa na rafiki zake. lakini
hakujibu lengo la marafikizake hao ni nini. Bado anaungwa
mkono kwa saabu ya kujibu la richmond?
>--------------------------------------------
>On Sat, 8/1/15, Ireneus Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com>
wrote:
>
> Subject:
[wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA
KUGOMBEA URAIS
> To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
> Cc: "WANA BIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
> Date: Saturday, August 1, 2015, 10:45
AM
>
> Mama
> Nkya
> Haya yote Ni
marudio Tu. Tumeshayasikia
> tokea vinywa
mbali mbali.
>
>
Kwanini mnapindisha ukweli? Huyu huyu Dr Slaa
> alisema kuwa Ana ushahidi kuhusu Richmond
Na Yuko tayari
> kuuwasilisha
mahakamani kama tu ENL atapelekwa kwa
>
pilato.
>
> Mbona
hamuhoji hayo
> tena au siyo ya msingi
sababu Mkaskazini huyu keshakuwa
>
malaika na automatically msafi kwa kubadili jezi? Hawa
jamaa
> ni wajanja wamecheza na nyakati
wamehit kwenye msumari wa
> moto ukiwa
haujapoa. Watu wamecheza na fursa adimu. Kimsingi
> wana malengo tofauti. Huyu ana hasira ya
kuikomoa CCM hawa
> wanacheza na akili
hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani
>
popularity itaongezeka, status itapanda, watavuna wafuasi
> wengi at ago na si lazima waingie ikulu
but watakuwa
> wamegain sana hata
kuongeza wabunge 50 from the current
>
number.
>
> Next
move atakuja
> Chenge. Ukihama CCM si
unatakasika automatic? Huyu bwana ana
>
team oliyojiuzuru naye. Sijawasikia wao kuhama au
wanapima
> upepo bado hadi ufanyike
uchaguzi. Hawa wote ndani ya Ukawa
> ni
watukufu na wasafi hivi karibuni watajoin majeshi na
> kubadili jezi. Hawa hawa waliokuwa
wanawaponda
> watawashangilia sana na
kuwaita majembe!
>
>
Ninaamini Mbowe, Slaa,
> Lipumba,
Mbatia, na UKAWA top yote hawampendi ENL ila
> wametumia fursa hii kuachieve strategy zao
za kisiasa. Time
> will tell. Kumsafisha
au kutomsafisha haihusu sana.
> Washasema
ilikuwa ni mambo ya kisiasa zaidi so watapima
> matokeo baadaye! Muhimu ni kugain tu kwa
sasa kabla ENL
> hajarudi kwenye normal
senses.
>
> Tutaona
mwisho wa haya... Heri sisi
>
tusiofungamana na kipande yoyote.... Tunahitaji
mabadiliko
> ya kweli sio ya kinafiki.
Msituchanganye! Jana mlikuja
> kivingine,
Leo mnakuja hivi kesho hatujui mtakuja na lipi.
> Tuonyeshe dira na dhamira sio mikakati ya
fursa za zimamoto.
>
> Umesababisha mke wa mtu aachwe,
alipopewa
> talaka tu, eti ndio na wewe
unatangaza ndoa halafu eti
> tukuchangie.
Tutafika? Siasa mchezo mchafu!From:
>
'ananilea
> nkya' via Mabadiliko
Forum
> Sent:
>
01/08/2015
> 01:21
> To:
> mabadilikotanzania@googlegroups.com
> Cc:
> WANA
> BIDII
> Subject:
> [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO
> LOWASSA KUGOMBEA URAIS
>
> Mimi Ananilea Nkya
tatizo langu kubwa kwa
> Lowassa lilikuwa
ni ufisadi wa Richmond uliotafuna zaidi ya
> shilingi bilion 172 za wananchi. Baada ya
kusikia kauli yake
> alipohojiwa na
wanahabari siku alipojiunga na CHADEMA, na
> baada ya kujiridhisha kuwa kama alikuwa
amehusika na ufisadi
> wa Richmond leo
angelikuwa jela kama Yona na Mramba,
>
namuunga mkono kugombea Urais. Naamini hata Dr Slaa
> amemkubali Lowassa kuwa mgombea Urais wa
vyama vinanyounda
> UKAWA baada ya
kujiridhisha kuwa mamlaka ya juu ilimbebesha
> Lowassa kashfa ya Richmond ili kunusuru
serikali nzima
> kuanguka.
>
> Lakini zaidi
> nimeongeza imani yangu kwa Lowassa baada
ya kubaini kuwa
> hata Baba wa Taifa
Julius Kambarage Nyerere alimuona kama
>
kijana makini mwenye maono na dhamira safi ya kuwatumikia
> Watanzania. Mwaka 1995 wakati Rais mstaafu
Ali Hassan Mwinyi
> anamaliza muda wake
mwandishi wa habari Mwita Matinyi
>
alimuliza Mwalimu Nyerere alikuwa anafikiri ni nani
angeweza
> kumrithi Mwinyi kuiongoza
Tanzania. Mwalimu alijibu Matinyi
> hivi.
Nanukuu:
> Ni kweli Mzee Mwinyi
> anaondoka lakini ndani ya CCM kuna
viongozi wengi wenye sifa
> za kuwaongoza
Watanzania, kikubwa tu awe na dhamira kwa
> mfano wapo wakina Warioba, Mzee Msuya na
Mark Bomani na wapo
> vijana hodari na
wenye upeo mkubwa sana kama Mkapa, Kikwete
> na Lowassa ni jambo la heri sana CCM kuwa
na watu kama hawa
> (Majira 26/5/1995)
ukurasa wa 3; na Nipashe 26/5/95 ukurasa
> wa 3).
>
> Pia nikiwa ripota
>
Radio Tanzania Dar es Salaam niliwahi kufanya kazi na
> Lowassa katika miaka ya 90. Nilivyouona
utendaji wake wa
> kazi zama hizo
nashawishika kwamba anafaa kuwa kiongozi wa
> nchi yetu. Nilishuhudia akijituma kweli
kweli kwenye kazi za
> umma zama hizo.
>
> Kadhalika
> namuunga mkono Lowassa kwa sababu hagombei
Urais kupitia
> chama cha CCM ambacho
kinakumbatia mfumo wa kuwadhawau na
>
kuwafukarisha wananchi huku watawala wachache wakineemeka
> kwa kutumia rasilimali za nchi kama vile
nchi hii ni mali ya
> watawala, familia
zao na marafiki za. Ninaamini kwa kugombea
> Urais kupitia UKAWA, CCM itapunguziwa
dharau na jeuri yake
> dhidi ya wananchi
ambao ndio wenye mamlaka ya mwisho kuhusu
> hatma ya nchi yetu. Mfano CCM mwaka jana
2014 ilionyesha
> dharau kubwa sana kwa
wananchi kwa kuizika Rasimu ya Katiba
>
iliyotengenezwa kwa kutumia maoni ya wananchi wakati
fedha
> zaidi ya bilioni 130 zilitumika.
Kwa kutumia mabilioni hayo
> bila Katiba
Mpya kupatikana ni kufisadi mali za wananchi
> mchana kweupe. Haikubaliki.
>
> Vile vile namuunga
mkono Lowassa kwa kwa sababu
> anaukataa
hadharani umaskini wa kuchongwa ambao watawala
> wanautumia kwa faida yao ili waendelee
kuwanunua wananchi
> mafukara wakati wa
uchaguzi na wakishapata madaraka
>
waendelee kujineemesha na mali za nchi.
>
> Nchi yetu siyo
maskini bali watawala
> wanaendekeza
matakwa ya wawekezaji (wakoloni wa zama hizi za
> utandawazi wizi) ambao wanaliibia taifa
rasilimali nyingi na
> na hatimaye nchi
za wawekezaji hao (donors)wanawapoza
>
watawala kwa vijimisaadaa uchwara. Ni aibu sana kwa
kiongozi
> wa Tanzania kijipitisha nchi
moja hadi nyingine Marekani,
> Ulaya,
China, India na Ausralia n.k kutembeza bakuli (omba
> omba kama matonya vile) huku nchi yetu
ikiwa na rasilimali
> tele. Tena wakati
watawala wanakwenda kuomba eti wanapanda
> ndege daraja la kwanza. Huu ni wenda
wazimu. Ni kuiaibisha
> Tanzania na
Afrika.
>
> Sina
> chama cha siasa ninachofungamana nacho kwa
sasa, lakini
> namuunga mkono Lowassa
kugombea Urais kupitia UKAWA kwa
> sababu
naamini akiwa Rais wa nchi yetu upuuzi huu wa
> kuendekeza umaskini kwa kuomba omba nchi
za nje huku tukitoa
> mali za nchi honyo
hovyo kwa wageni na kuamini kuwa
>
maendeleo ya nchi yetu yataletwa kwa misaada kutoka nje,
> kutakomeshwa. Naamini hata hao wakoloni wa
zama hizi za
> utandawazi wizi wanajua
Lowassa hatachekacheka nao.
>
> Lakini zaidi namuunga mkono
> Lowassa kwa sababu Watanzania wakiridhia
kwenye sanduku huru
> la kura hapo Oktoba
awe Rais wa Tanzania, vyama vinavyounda
>
UKAWA vitasimamia kuhakikisha kuwa mamlaka ya wanannchi
> hayaporwi hivyo hovyo tena. Kwa hiyo
Rasimu ya Katiba ya
> wananchi
itaheshimiwa na nchi yetu itapata Katiba Mpya
> inayotokana na maoni ya wananchi. Kwa
kufanya hivyo taifa
> hili litaanza
kupiga hatua kubwa ya kuondoa ufukarishwaji wa
> wananchi walio wengi unaofanya na watawala
wa CCM kwa
> kushirikiana na wakoloni wa
zama hizi za utandawazi wizi.
>
> Naridhia andiko langu hili
> lichapishwe na yeyote anayetaka
> Ananilea
> Nkya
> E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
>
> --
> Unapokea
> Email hizi
kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>
'Mabadiliko'.
> Kuchangia mada tuma
kwenye
> Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>
>
> For more
> options,
visit this group at:
> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
> ---
> You received
this message
> because you are subscribed
to the Google Groups
> "Mabadiliko
Forum" group.
> To
> unsubscribe from this group and stop
receiving emails from
> it, send an email
to
> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
> To post to this group, send email to
> mabadilikotanzania@googlegroups.com.
> Visit
> this group
at
> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
> To view this discussion on the web
visit
> https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1438381307.95951.YahooMailBasic%40web121006.mail.ne1.yahoo.com.
> For more options, visit
> https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> --
>
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>
>
> Kujiondoa Tuma Email
kwenda
>
>
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
> kudhibitisha
ukishatuma
>
>
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility
> for any legal consequences of his or her
postings, and hence
> statements and
facts must be presented responsibly. Your
> continued membership signifies that you
agree to this
> disclaimer and pledge to
abide by our Rules and
> Guidelines.
>
> ---
>
> You received this
message because you are subscribed to the
> Google Groups "Wanabidii"
group.
>
> To
unsubscribe from this group and stop receiving emails
> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
> For more options,
visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email
kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the
sole responsibility for any legal consequences of his or her
postings, and hence statements and facts must be presented
responsibly. Your continued membership signifies that you
agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
and Guidelines.
>---
>You received this message because you are
subscribed to the Google Groups "Wanabidii"
group.
>To unsubscribe from this group
and stop receiving emails from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment