Usicheke sana wasikuone
--------------------------------------------
On Mon, 8/3/15, amour chamani <abachamani@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] katika hili la Richmond Dr. Mwakyembe atadumu katika mioyo ya watanzania wazalendo
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, August 3, 2015, 12:29 PM
Kaka
Muhingo,
Mbavu zangu jamani.
Walewale
On Aug 3, 2015 12:23 PM,
"'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Wewe Wewe
Wewe Mtalika. Una maana gani kuwakumbusha watanzania habari
hizi??? Unataka wafanye nini sasa??? Unaona Mollel anataka
kujiua kwa maneno yetu halafu unaleta ukweli walioanza
kuusahau baadhi yetu? unawezaje kuleta habari hizi kabla ya
tarehe 4 siku Chadema itakapofanya uteuzi wa mwisho wa
mgombea wa urais. Ingekuwa zamani wakati Yona ni moderator
ningerpendekezwa ufungiwe kama nilivyofungiwa kwenye mtandao
fulani ambao siruhusiwi kuweka comment. Umeharibu sana.
ngoja uwasikie wanaojadili kwa hoja wakishaisoma hii hadithi
chafu. Mogittu. Twende shule ya marketing labda
itasaidia.
--------------------------------------------
On Mon, 8/3/15, 'mpombe mtalika' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: [wanabidii] katika hili la Richmond Dr. Mwakyembe
atadumu katika mioyo ya watanzania wazalendo
To: "ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, August 3, 2015, 12:03 PM
(16) Uhuru mkubwa
ambao viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini
waliutumia
bila wasiwasi katika
kuhakikisha kwamba kampuni waliyoitaka, Richmond
Development
Company LLC,
inapewa zabuni ya umeme wa dharura; maelekezo ya mara
kwa
mara ya Waziri Mkuu
kwa Wizara katika kila hatua ya mchakato huo; upendeleo
wa
dhahiri ambao
Richmond Development Company LLC iliupata kutoka
taasisi
mbalimbali za Serikali
k.m Kituo cha uwekezaji (TIC) ambacho kilifikia hatua
ya
kufumbia macho baadhi
ya taratibu zake za msingi ili kuipa kampuni tanzu ya
Richmond Development
Company LLC cheti cha uwekezaji haraka iwezekanavyo;
kutotimiza masharti ya
Bodi za Makandarasi na Wahandisi na Wizara ya Nishati
na
Madini kuikingia kifua
kampuni hiyo isichukuliwe hatua za kisheria; uteuzi wa
mwisho wa Richmond
Development Company LLC kuwa mkandarasi kufanywa na
Waziri
Mkuu mwenyewe tarehe
21 Juni 2006;
uamuzi wa kuiteua Richmond
Development Company LLC kuwa
mkandarasi kusafishwa na TAKURU ( sasa TAKUKURU) kuwa
ulikuwa wa wazi na wa
haki; uamuzi wa Serikali kuizuia TANESCO isivunje mkataba
na
kampuni hiyo licha
ya sababu zote kisheria kuwepo, ni baadhi tu ya
viashiria
vya nguvu kubwa iliyo
juu ya Wizara ya Nishati na Madini kutumika katika
suala
hili na Kamati Teule
kutokana na ushahidi wa kimaandishi, kimazingira na wa
mdomo, inaiona nguvu
hiyo kuwa ni Waziri Mkuu.
Ibara ya 52 ya
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977
inatamka wazi kuwa
Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti,
usimamiaji, utekelezaji
wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za Serikali ya
Jamhuri
ya Muungano na
ndiye Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni.
Kamati Teule
haikufurahishwa hata kidogo na taarifa hizo zinazomgusa
moja
kwa moja Mhe.
Waziri Mkuu katika kuipendelea Richmond Development
Company
LLC. Hata hivyo
Kamati Teule imetimiza wajibu wake kwa uwazi na ukweli
kama
ilivyoagizwa na
Bunge letu Tukufu.
Kwa kuzingatia
umuhimu wa nafasi aliyonayo Mhe. Waziri Mkuu katika
uendeshaji wa shughuli za
Serikali na uongozi wa nchi kwa ujumla, ni wajibu wake
yeye
mwenyewe kupima
uzito wa matokeo ya uchunguzi huu na wajibu wake
kikatiba
ndani na nje ya
Bunge. Vile vile ni wajibu wa Bunge ambalo
linathibitisha
uteuzi wake kwa
mujibu wa Ibara ya 51 inayothibitisha uteuzi wake.
Kuangalia ikiwa
matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito
wake
ndani ya Bunge.
Mheshimiwa Spika, kwa kumalizia Kamati
Teule ya Bunge
ilifadhaishwa sana na tabia ya baadhi ya watendaji wa
Serikali ya kukaidi amri
ya kuwasilisha nyaraka zinazohitajika na Kamati Teule.
Kamati Teule inaliomba
Bunge litafakari kitendo cha aina hii na kufikiria hatua
za
kuchukua dhidi ya
watendaji wa namna hiyo.
Mhe. Dk. Harrison G. Mwakyembe
MWENYEKITI
KAMATI TEULE YA BUNGE
06 Februari 2008
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment