Wednesday 19 June 2013

Re: [wanabidii] RE: BOMU LA ARUSHA. MWIGULU NCHEMBA

Mungu wangu, ndiyo tumefika hapo?yesu na maria!------------------------------ On Sun, Jun 16, 2013 6:09 AM PDT paul lawala wrote: >Kama kambi za mafunzo ya kijeshi zinatengenezwa hata hizi njama zingine >zitakuwepo tu > > >2013/6/15 Samwel Olenaiko <solenaiko@hotmail.com> > >> Hii habari imesambazwa sana. inasemekana moja ya wana Usalama nidye >> msambazaji. Kila inapopostiwa Jamiiforums, MODS wan Jamani kama huyu ndiye >> Mwigulu, basi ni bora akamatwe >> >> >> FYI....................... >> >> Wili iliyopita Niliweka habari ambayo ilikuwa ni moja ya mbinu chafu za >> CCM lakini Mods Waliiondoa ghafla. Niliwaambia waziwazi habari za >> kiinteligensia ambazo Mwigulu Nchemba alizisimamia. >> Katika kikao hicho ambacho kilihudhuriwa na Mkuu wa mkoa, usalama taifa >> wawili pamoja na makada watatu wa CCM Juliana Shonza na Mwigulu Nchemba. >> Jumla ilikuwa watu 8. Haya mambo ilikuwa ni katika kukidhoofisha CHADEMA >> katika uchaguzi unaokuja. Tukio la leo
halikujadiliwa ila kikubwa ilikuwa >> ni kumhusisha Lema na Mauaji. Na kisha mupoteza moja kwa moja >> >> >> >> Mpango ilikuwa ni kwamba, polisi wamkamate kibaka, kisha wamvalishe sare >> za makamanda wa UVCCM. Baada ya kukamatwa akatwe katwe mapanga, damu yake >> na simu wapewe polisi ambao wangemfuata Lema na kuyapandikiza ndani ya gari >> lake (yaani kwenye boot ya gari lake pindi angefuatwa) baadaye mwili wa >> marehemu ungetupwa barabarani eneo la Kimandolu. Lengo ilikuwa ni kuwapa >> wananchi sababu ya kutokuichagua CDM. Hizi ni baadhi ya mbinu ambazo >> Mwigulu amezisomea UCHINA. >> >> >> >> Bomu lilijadiliwa lakini halikupewa kipaumbele, nashangaa ndio >> iliyotumika. Mtu wa kwanza kuhojiwa hapa ni Mwigulu Nchemba. Kati ya hawa >> watu nane nilikuwepo. Mkuu wa mkoa Arusha naye aandike Statement kuhusiana >> na hili tukio….. >> >> >> >> Mods Tafadhali msiondoe hi thredi. Naombeni muiunganishe na ile ya Arusha…… >> >> -- >> Send Emails to
wanabidii@googlegroups.com >> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha >> ukishatuma >> >> Disclaimer: >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. >> --- >> You received this message because you are subscribed to the Google Groups >> "Wanabidii" group. >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. >> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. >> >> >> > >-- >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com > >Kujiondoa Tuma Email kwenda >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma > >Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. >--- >You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. >To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. >For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. > >

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment