Friday 28 June 2013

[wanabidii] Historia Ya Kombe La Dunia ( V) Kocha Mbrazil aliyefanya kituko cha kihistoria...


Pimentas; kocha wa Brazil aliyefanya kituko cha kihistoria

Na Maggid Mjengwa,

Leo tutaziangalia fainali za tatu za Kombe la Dunia za mwaka 1938
nchini Ufaransa. Tumeona, kuwa huenda FIFA ilitumia "hila"
kuifanya Ufaransa kuwa mwenyeji wa fainali za mwaka 1938.

Ikumbukwe, Ufaransa ndiko alikotoka Rais wa FIFA wa wakati huo, Bw.
Jules Rimet. Mara tu FIFA ilipotoa uamuzi wa kuzipeleka fainali hizo
Ufaransa, hapo hapo Argentina wakatangaza kususia fainali hizo. Nchi
nyingine kadhaa za Marekani ya Kusini ziliungana na ......Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/michezo/item/3580-historia-ya-kombe-la-dunia-v-pimentas-kocha-mbrazil-aliyefanya-kituko-cha-kihistoria.html#.Uc2RWJyNCAg

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment