Wednesday 11 March 2015

Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Kufukuzwa Kwa Zitto Chadema: Nimepokea Taarifa Kwa Masikitiko..

Kama katiba hii ilifahamika kwa Zitto tukubali kuwa Zitto amevunja katiba ya chama chake kwenda mahakamani. Nilikuwa wa kwanza kuomba wakae pembeni wasameheane lakini ki ukweli kama katiba inasema mwanachama asiende mahakamani basi kwenda mahakamani ni kuvunja katiba na lazima itekelezwe hivyo. Nafasi ya Zitto kupinga kipengele hicho si sasa kinapoanza kumshughulikia ila kabla au asubiri akibahatika ku-reconsile aanzishe mjadala. Kifungu hiki hakikuanza kuwa kandamizi baada ya kumbana.
--------------------------------------------
On Wed, 3/11/15, Kitila Mkumbo <kitilam00@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Kufukuzwa Kwa Zitto Chadema: Nimepokea Taarifa Kwa Masikitiko..
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, March 11, 2015, 1:33 PM

Ambokege: Hebu twende
mbele kidogo na tujiulize maswali kadhaa katika muktadha wa
demokrasia. Je, unaunga mkono udola na ufalme wa chama cha
siasa dhidi ya wapiga kura? Kwamba vyama vimepewa mamlaka
makubwa dhidi ya wapiga kura? Ni sawa chama cha siasa kuwa
na kipengele kinachozuia wanachama wake kwenda mahakamani?
Ni sawa hiyo? Zitto alikata rufaa ndani ya vikao vya chama
lakini wakuu wa chama wakataa kuwasilisha rufaa yake katika
vikao husika. Mlitaka aende wapi kama sio mahakamani?
Tunashabikia chama cha upinzani kuwa na taratibu
na sheria za chama dola kama CCM? Huu ndio mbadala
tunaoutafuta?
 




2015-03-11 13:28
GMT+03:00 Kitila Mkumbo <kitilam00@gmail.com>:
jbifabusha: Unaamini mapinduzi yanaweza kufanyika
katika chama cha siasa? 
 




2015-03-11 11:15
GMT+03:00 amour chamani <abachamani@gmail.com>:
Kazi kweli kweli


Walewale
On Mar 11, 2015 11:13
AM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Watanzania tunaitarajia UKAWA iliyo
imara.

Hebu tujadili hili: Zitto akifukuzwa CHADEMA akaenda CUF. Na
CUF ikaja naye kama mgombea wa jimbo fulani. Nini mwelekeo
wa mjadala wa kumpitisha kwa mwelekeo huo au msimamo wa
CHADEMA wakati wa kuwajadili wagombea? Nini maana yake kwa
wanachadema kuendelea mgombea wa CUF ndani ya UKAWA? Mambo
haya yanahitaji kuangaliwa kwani yanaweza kutumiwa na hasimu
wao kuwavuruga wapiga kura.

--------------------------------------------

On Wed, 3/11/15, George Fumbuka <fumbuka1953@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Kufukuzwa Kwa
Zitto Chadema: Nimepokea Taarifa Kwa Masikitiko..

 To: "Hildegarda Kiwasila khildegarda@yahoo.co.uk
[Wanazuoni]" <Wanazuoni@yahoogroups.com>,
wanabidii@googlegroups.com

 Cc: Wanazuoni@yahoogroups.com

 Date: Wednesday, March 11, 2015, 9:50 AM







             Pole kwa

 masikitiko. As a matter of fact Zitto anajiunga ‎na
CUF.

 Alitaka kwenda ACT lakini it seems wamemtibua waliposema

 Hamadi Rashidi ndiyo awe Mwenyekiti.











                                       
               
 Sent from my BlackBerry 10 smartphone.





                                       
                                       
 From: Hildegarda

 Kiwasila khildegarda@yahoo.co.uk

 [Wanazuoni]Sent: Wednesday, 11 March 2015

 07:55To:

 wanabidii@googlegroups.comReply To:

 Wanazuoni@yahoogroups.comCc:

 Wanazuoni@yahoogroups.comSubject:

 [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Kufukuzwa Kwa Zitto Chadema:

 Nimepokea Taarifa Kwa

 Masikitiko..































  



















       Hapo sasa jimbo la Zitto Kabwe litachukuliwa na
CCM

 au chama kingine ili kulipiza kisasi kuikomoa Chadema.
Hii

 imetokea pia kwa CCM kupoteza uongozi ktk serikali ya
Mtaa

 katika Mitaa mbalimbali kwa kuweka viongozi au wagombea

 uongozi ambao hawakutakiwa na wananchi. Hivyo wana CCM

 wakaamua kumpigia kiongozi mwingine yeyote wa chama
kingine

 chochote kuikomoa CCM na vijambo vyake ingawaje
wanakipenda

 chama chao walifanya hivyo ili viongozi wake wabadilike

 wazingatie wanachama wao/raia wanataka nini ktk eneo lao
na

 wanamtaka nani wampendae. Tukiwasikia wapiga kura
wakisema

 hivi wakitoka kupiga Kura-Tumewakomoa, tumempigia CUF,

 Chadema eti wamemuweka fulani ambaye kura za awali

 hakushinda, hatumtaki mla rushwa, hatumtaki mbona huyu si

 mkazi wa mtaa huu hatumjui....Haya ya Mh Zitto-ni mazito;

 chuki binafsi na umimi zitatumaliza. Hapa CCM itavuna
Jembe.

 Kama budi aendelee na wadhifa wake bungeni jee
haitowezekana

 kuwa mbunge wa kuteuliwa na JK haraka sana? Hapa



  sasa Chadema imeruka tope la kinyesi Jangwani Mtaa wa
Sunna

 na kuangukia katika tope la mchanganyiko kinyesi cha

 nguruwe, mbuzi na ng'ombe Tandale kwa Mtogole.







 --------------------------------------------



 On Wed, 11/3/15, Maggid Mjengwa

 <mjengwamaggid@gmail.com>
wrote:







 Subject: [wanabidii] Kufukuzwa Kwa Zitto Chadema:
Nimepokea

 Taarifa Kwa Masikitiko..



  To: "wanabidii"

 <wanabidii@googlegroups.com>,

 "mabadilikotanzania"

 <mabadilikotanzania@googlegroups.com>,

 Wanazuoni@yahoogroups.com



  Date: Wednesday, 11 March, 2015, 6:28







  Nimepokea



  kwa masikitiko taarifa kuwa ndugu yangu Zitto Kabwe



  amefukuzwa kwenye chama cha Chadema. Ni habari ya



  kusikitisha unapotafakari demokrasia tunayojitahidi



  kuijenga.Zitto



  amekuwa mwanachama wa Chadema tangu akiwa kijana mdogo.



  Mwenyekiti wa chama hicho , Freeman Mbowe, amenukuliwa

 mara



  kadhaa akikumbushia jinsi alivyoshirikiana na Zitto



  kuhamasisha vijana wengine waliokuwa vyuoni kujiunga na



  Chadema.Kwenye



  siasa za vyama kuna kutofautiana kifikra na kimitazamo.

 Na



  mara



  nyingine migongano huwa inahusu kugombania nafasi za



  uongozi. Haya ni mambo ya kawaida kwa chama cha siasa.



  Hayapaswi kuwa sababu za viongozi wa vyama kuwafukuza



  wanachama.Kwenye siasa tofauti humalizwa



  kwa hoja, kwenye vikao. Na anayekiuka taratibu za chama



  kumfukuza kwenye chama ni adhabu kubwa na kali kama ya

 kifo.



  Maana, anayejiunga na chama hufanya hivyo kwa mapenzi.



  Anapokosea anaweza kuonywa au kuadhibiwa, lakini,

 kufukuzwa



  kwa misingi ya kutofautiana kifikra na kimitazano si

 hulka



  njema.Zitto Kabwe ni



  mwanasiasa kijana na mahiri. Chadema ilipaswa imvumilie

 na



  ishindane nae kwa hoja, lakini, si kumtupa nje kwa

 staili



  tuliyoishuhudia.Chadema, kama



  chama cha siasa, isijiandalie mazingira ya wanachama

 wake



  kuwa na hofu ya kufukuzwa pindi wanapotofautiana na

 viongozi



  wa juu. Itapoteza kisiasa.Na



  hili la Zitto Kabwe linatukumbusha kile ambacho binafsi



  nimeandika mara kadhaa, juu ya udhaifu kwenye Katiba

 yetu.



  Kwamba Mbunge aliyechaguliwa na Wananchi anaishi kwa
hofu

 ya



  rungu la chama.Kwamba leo



  Wananchi wa Kigoma Kaskazini wanampoteza Mbunge wao



  waliyemchagua kwa maamuzi ya Chama anachotoka Mbunge

 wao.



  Haya ni mapungufu makubwa. Wananchi hapaswi kuadhibiwa

 kwa



  maamuzi ya vyama.Nachukua



  fursa hii kumtakia kila la heri ndugu yangu Zitto Kabwe,



  nikimuasa asikate tamaa, akipata fursa nyingine,
aendelee

 na



  siasa na hususan uongozi wa uwakilishi wa wananchi.

 Aendelee



  kuwa sauti ya wasio na sauti, popote pale.Maggid

 Mjengwa,Dar Es Salaam.















  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings, and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly. Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving emails



  from it, send an email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







  For more options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.



















     __._,_.___





















         Posted by: Hildegarda Kiwasila

 <khildegarda@yahoo.co.uk>









                           Reply

 via web post

                       •



                Reply to sender

           •



               Reply to group

           •

             Start a New

 Topic

           •

                             Messages in
this

 topic

                 (2)

































     Visit Your Group





       New Members

       5













    • Privacy • Unsubscribe • Terms of Use













































   .















 __,_._,___















 #yiv2382806505 #yiv2382806505 --

   #yiv2382806505ygrp-mkp {

 border:1px solid #d8d8d8;font-family:Arial;margin:10px

 0;padding:0 10px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mkp hr {

 border:1px solid #d8d8d8;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mkp #yiv2382806505hd {

 color:#628c2a;font-size:85%;font-weight:700;line-height:122%;margin:10px

 0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mkp #yiv2382806505ads {

 margin-bottom:10px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mkp .yiv2382806505ad {

 padding:0 0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mkp .yiv2382806505ad p
{

 margin:0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mkp .yiv2382806505ad a
{

 color:#0000ff;text-decoration:none;}

 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-sponsor

 #yiv2382806505ygrp-lc {

 font-family:Arial;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-sponsor

 #yiv2382806505ygrp-lc #yiv2382806505hd {

 margin:10px

 0px;font-weight:700;font-size:78%;line-height:122%;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-sponsor

 #yiv2382806505ygrp-lc .yiv2382806505ad {

 margin-bottom:10px;padding:0 0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505actions {

 font-family:Verdana;font-size:11px;padding:10px 0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505activity {

 background-color:#e0ecee;float:left;font-family:Verdana;font-size:10px;padding:10px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505activity span {

 font-weight:700;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505activity span:first-child {

 text-transform:uppercase;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505activity span a {

 color:#5085b6;text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505activity span span {

 color:#ff7900;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505activity span

 .yiv2382806505underline {

 text-decoration:underline;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505attach {

 clear:both;display:table;font-family:Arial;font-size:12px;padding:10px

 0;width:400px;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505attach div a {

 text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505attach img {

 border:none;padding-right:5px;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505attach label {

 display:block;margin-bottom:5px;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505attach label a {

 text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 blockquote {

 margin:0 0 0 4px;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505bold {

 font-family:Arial;font-size:13px;font-weight:700;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505bold a {

 text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 dd.yiv2382806505last p a {

 font-family:Verdana;font-weight:700;}



 #yiv2382806505 dd.yiv2382806505last p span {

 margin-right:10px;font-family:Verdana;font-weight:700;}



 #yiv2382806505 dd.yiv2382806505last p

 span.yiv2382806505yshortcuts {

 margin-right:0;}



 #yiv2382806505 div.yiv2382806505attach-table div div a {

 text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 div.yiv2382806505attach-table {

 width:400px;}



 #yiv2382806505 div.yiv2382806505file-title a,
#yiv2382806505

 div.yiv2382806505file-title a:active, #yiv2382806505

 div.yiv2382806505file-title a:hover, #yiv2382806505

 div.yiv2382806505file-title a:visited {

 text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 div.yiv2382806505photo-title a,

 #yiv2382806505 div.yiv2382806505photo-title a:active,

 #yiv2382806505 div.yiv2382806505photo-title a:hover,

 #yiv2382806505 div.yiv2382806505photo-title a:visited {

 text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 div#yiv2382806505ygrp-mlmsg

 #yiv2382806505ygrp-msg p a span.yiv2382806505yshortcuts {

 font-family:Verdana;font-size:10px;font-weight:normal;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505green {

 color:#628c2a;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505MsoNormal {

 margin:0 0 0 0;}



 #yiv2382806505 o {

 font-size:0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505photos div {

 float:left;width:72px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505photos div div {

 border:1px solid

 #666666;height:62px;overflow:hidden;width:62px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505photos div label {

 color:#666666;font-size:10px;overflow:hidden;text-align:center;white-space:nowrap;width:64px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505reco-category {

 font-size:77%;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505reco-desc {

 font-size:77%;}



 #yiv2382806505 .yiv2382806505replbq {

 margin:4px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-actbar div a:first-child
{

 margin-right:2px;padding-right:5px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mlmsg {

 font-size:13px;font-family:Arial, helvetica, clean,

 sans-serif;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mlmsg table {

 font-size:inherit;font:100%;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mlmsg select,

 #yiv2382806505 input, #yiv2382806505 textarea {

 font:99% Arial, Helvetica, clean, sans-serif;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mlmsg pre,
#yiv2382806505

 code {

 font:115% monospace;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mlmsg * {

 line-height:1.22em;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-mlmsg #yiv2382806505logo
{

 padding-bottom:10px;}





 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-msg p a {

 font-family:Verdana;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-msg

 p#yiv2382806505attach-count span {

 color:#1E66AE;font-weight:700;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-reco

 #yiv2382806505reco-head {

 color:#ff7900;font-weight:700;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-reco {

 margin-bottom:20px;padding:0px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-sponsor
#yiv2382806505ov

 li a {

 font-size:130%;text-decoration:none;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-sponsor
#yiv2382806505ov

 li {

 font-size:77%;list-style-type:square;padding:6px 0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-sponsor
#yiv2382806505ov

 ul {

 margin:0;padding:0 0 0 8px;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-text {

 font-family:Georgia;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-text p {

 margin:0 0 1em 0;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-text tt {

 font-size:120%;}



 #yiv2382806505 #yiv2382806505ygrp-vital ul li:last-child
{

 border-right:none !important;

 }

 #yiv2382806505























 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.








--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment