Sunday 29 March 2015

Re: [wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO

Mtu unapohoji kitu usionekane fulani na fulani hawampendi Lowasa. Tunahoji-kama ni jembe, ana uwezo mkubwa wa kutawala na kufanikisha maendeleo-kwa nini hatumii uwezo huo (i) Kuongea na nduguze wamasai-pamoja na wewe mkafuga kisasa, kusaidia kufufua boreholes waliojenga wakoloni zipo huko ktk former plantations za ngano, shayiri etc akaweka livestock dips, watering points kwa wafugaji, wakajenga nyumba za kisasa, madarasa na madeski, wakala chakula shule; akaweka cold storage facilities za kukusanya na kuuza maziwa na za red meat (beef)? wapo jirani na airport na government livestock multiplication centres wakabadilika? Wanalima maeneo ambayo ni kavu na ya kufuga, overstocking ni tatizo Monduli mpaka Loliondo (Mayara na Arusha Regions) na huvamia wildlife protected areas kuathiri malisho ya wanyama pori.

(ii) Kuna matajiri wakubwa umasaini wenye hela kutokana na mifugo na mining mererani. Pamoja na ukimwi na STDs kuwa rampant huko bado kuna kuoa wake wengi na vitoto umri mdogo, FGM ni tatizo-mbona havibadiliki? huo uhodari wa uongozi Mollel usihojiwe vipi. Akili na habari za kuambiwa-changanya na zako.

(iii) Misaada mingi ya mashuleni kwa Wamasai hutoka nje: Hii inatoka kwa NGO za wazungu nchi za nje na chache nchini. Kwenye utajiri hata jiko la shule ni kibanda kama cha kufugia kuku wa kienyeji. Nimesimamia mradi unaohisaniwa na Michigan State University nina picha za hivyo vibanda na tumefanya kazi kubwa ya kujengesha jiko la chuo, cattle dip, watering point na maji ya kijiji. Baada ya kukamilisha kujenga jiko-sisemi nani alikuwa kujifanya msaada huo kaleta yeye katika kijiji hicho cha Naitolia Monduli!! kuna tafiti nilizohusika kwenye livelihood, water supply, land use land cover change, water supply and sanitation kuanzia 1989 hadi 2007 Wilaya ya Monduli, Babati, Simanjiro, Loliondo na kuhusika na kupanga miradi ya NCAA. Sihoji na kuuliza nisivyo vijua. Wanalima hao ndani ya livestock grazing areas, ndani ya NCAA na wildlife protected areas nyingine. Wanakaribisha wageni kutoka kenya wanaishi na kujaza mifugo nchini kwetu katika maeneo yao.
Degradation ni kubwa vijiji ndani ya NCAA na adjacent Serengeti N.Park. Land degradation ukitoka Arusha mjini kwenda Monduli inaonekana korongo kibao, Loibor Sirret Tarangire, Simanjiro kote ni obvious mpaka wazee wa mila wanashindwa kuzuia uharibifu wa mito na vyanzo vya maji kwa overgrazing na overstocking na ujenzi wa majumba ya ufahari ya matajiri unapamba na kulima kwa plau na trekta eka 10-100+ ndani ya wildlife conservation area na livestock keeping. Viongozi wa serikali na vyama vya makabila hayo wapo-Usibughudhi wapiga KURA ndio sera yao. Kwa nini tusihoji, ukihoji uonekane unamchukia mtu?

(iv) Uonevu calculated wa watu wa kabila lake: Ukifika walikohamia kuanzia 1880 hao Il Baraguyo (Parakuyo Maasai-whatever the name) wapo Chalinze, Upareni na vijiji vya Morogoro walikopewa maeneo ya makazi. Lakini wanahama wanaingia kwa wenzao kulishia mashamba, kupiga, kuua. Wanapolima wao katika maeneo yao (pamoja na wasukuma) hawalishii mifugo yao mashambani mwao. Bali it is calculated kulishia ya wenzao kwa makusudi eti ng'ombe itoe maziwa mengi ikila mahindi, nyanya etc. Mifugo inazurura mpaka Mikumi Mjini kunywa maji ktk ndoo za mama ntilie. Mkoa wa Morogoro miji ipo bondeni kutokana na kuzungukwa na milima. Mashamba yapo bondeni, viwanja vya nyumba nyumba zinapimwa bondeni ambako watu nao hujilimia mashamba na bustani. Mifugo nayo inajazwa humo kulishiwa na kukatiza barabara. ni kutesa wananchi wa Mkoa wa Morogoro na sasa ni coast region na wilaya zake na kusini wamekausha mito, kulishia mashamba, kupiga watu, kuua mpaka kubaka hadi vibibi vizee
vinapofukuza mifugo kisha kuhonga hela kutoroka. wamekausha mto Ruvu Ngerengere-Kidunda, Ruvu ya Makurunge na kuvuruga kilimo maeneo kando ya Saadan N.Park. Mbona hawagombani na kupigana na next door neighbour?-Mchaga Moshi na kuelekea international Airport ya Kilimanjaro next to Manyara na Monduli au vita na Mpare? Ni uonevu ambao Mh Lowassa anautazama au kuutetea. Tunahoji-ndugu zetu wanateseka na yeye hao ni watu wa kabila lake yeye na wenzake akina Mollel etc. Kiboko yao ni Waikoma. Walipoona hoteli kubwa na maendeleo yapo Ikoma Robanda-wamekwenda kuweka udugu wa kikabila kunyonyesheana watoto maziwa ya akina mama muikoma kunyonyesha wa kimasai na mmasai kunyonyesha wa kiikoma. sasa wamejaa Ikoma Robanda na Mifugo na mzungu akija anawaona wao juu. Overpopulation, degradation imekamilika na eneo hilo ni tata kwa maji ni haba, ni kame kutokana na nature ya soil formation-limestones kina kirefu ardhini. Toka zama hizo za 1980s STD na TB ni leading
diseases sasa ndio muongezeko wa balaa la HIV/AIDS na vifo fikiria 2+2 huja ngapi-akili za kuazima tuongeze na za shule. Waikoma wameshakuwa overshadowed.

Mtu akihoji ubora wa mtu kwa vigezo kwa yanaoonekana-haimaaninshi unamchukia mtu. Sawa na kuhoji mahakama ya Kadhi wakati kila dini ina mahakama yake ndani ya madehehebu. Unadai wanawake kuonewa na kudai haki wakati ni wao wanaocheza jukwaani huku wamevaa vichupi; unadai ambulance hupati kwa haraka wakati unaona uchungu umeanza huwahi hospitali unasubiri mpaka dakika za mwisho kisha unapoteza maisha au unakosa mtoto. Tunalaumu viongozi wote wanaoona yanayoonekana lakini hawachukui hatua. Na tunalaumu wananchi pia wanaolaumu lakini wanaendelea kuwachagua wabovu wale wale wanaowalaumu. Njaa, kujipendekeza upate cheo, bendera fuatia upepo, ukabila na udugu, woga ktk kuhoji masuala muhimu, woga wa kujaribu na kukabili mabadiliko vitatumaliza. Kiongozi wa kuondoa rushwa (tunayoitoa wenyewe kuzima kesi mpaka za ubakaji na mauaji, wizi); kutupa ajira-wakati tunahama vijijini tunakimbilia mijini wenyewe; kutaka maendeleo-unafuga beyond land's carrying capacity
hutaki kubadilika kufuga kisasa au kupanda mazao yanayohimili climate change effects eti ladha hata kama yatakufa; hutaki kuweka mizinga ya nyuki tembo wasile mazao kwa sababu unasafirisha wahamiaji haram na mazao kinyume cha sheria nyuki zitakuuma unakaribisha tembo na wanyama wengine kuingia kula mazao. Unauza ardhi ukipimiwa, uliyorithi unauza kwa mabilioni, unalewa kisha unahamia mabondeni mfano DSM. Mafuriko kila mwaka au baada ya miaka 2 bado hayakufundishi kitu. Maji yanajaa yanakuulia watoto, wazazi, kinyesi vyombo vyote hadi juu ya paa-Serikali itusaidie, Jibu letu ni Lowassa!! Hela ulizouza nyumba ya 60,000/= mwaka 1974 ukapata billion 2-3 umecheza ngoma, umekwenda michepuko, ukahamia bondeni; ukapelekwa mabwepande ukapauza na hati yake umerudi kinyesini. Akili haitaki mabadiliko, upo barazani kutwa unasubiri vishuke kama mvua-Jibu-Mh Lowassa! EXCUSE me Mollel! hata aje mwenye mapembe 7 kichwani na macho ya pweza-hatoimudu TZ ambayo inabidi
viboko vya mjerumani virudi ili vichwa vifanyekazi inayotakiwa. Hii statement ina killer effects lakini mbona kwake hakuna tunayotegemea kuyaona? Tunahoji-anataka kuficha nini kwa kugombea cheo cha juu kabisa kule chini hoi? Ninaomba nami nigombee!! Anyway-sorry, huwa mgumu kuelewa na kukubali vitu kirahisi rahisi bila kuvihoji.



--------------------------------------------
On Sun, 29/3/15, 'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Sunday, 29 March, 2015, 22:52

Elisa utaaibika
nakuambia labda ukimbie kama Nape nje ya nchi maaana umejaaa
kashfa tu hakuna lolote la maaana kumbe hata enzi za jk wewe
uliattack na hukufanikiwa? Sasa kwann uaattackk watu
usiowaweza mzeeElisa, better shut you   bowl kuliko
kushinda na kukaa kujenga hoja za kuokoteza mzeee wangu
zzilizojaa chuki but at the end of the day u remain a
loser......nakuonea huruma , umechemsha, Wataanzania
hatawaka kukueelewa washalewa na uzr na ubora wa ENL



From:
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To:
wanabidii@googlegroups.com
Sent: Saturday, March
28, 2015 12:39 PM
Subject: Re:
[wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO

Kitu kikubwa ninachoweza kufanya kwa bahati
mbaya akiingia urais ni kunyamaza. Akibadilika na kufanya
mema nitasema kuwa nashangaa. Nitakubaliana na hayo ambayo
ni nadra kutokea. Ungekuwa unasoma habari za nyuma ungeona
tuliyoyaandika kuhusu JK. Huna akiba ya magazeti ya siku
hizo najua.
Tulimpongeza na kumshambulia.
Haya ni maoni yaliyo mawazoni mwetu hayataisha yataendelea
kuwepo tu. Kutoyatoa au kuyatoa kutategemea. Ukiona hayaji
ujue si kuridhika ila mazingira ya uhuru yamebadilika
--------------------------------------------
On Fri, 3/27/15, Xavery.L.K Chikatizo Njovu
<njovucom@gmail.com>
wrote:

Subject: Re:
[wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, March 27, 2015, 4:42 PM

tulivyo

 kigegeugeu   
ENL  na

 kashfa zake  akifanikiwa kuingia ikulu.  Kila mtu
 atasema yaliyopita si ndwele tugange yajayo
 na kutoa
pongezi mingi.  na kukimbilia
kusema " TUVUNJE
 MAKUNDI  TUIJENGE
NCHI ".  wakati  sasa ndio
mabingwa
 wa kumchafua mtandaoni.  Jamani hizi attack za
wazi ni  mbaya. Oh kafanya hivi  kafanya
vile. akichukua
nchi unaweza  kuyasema
hayo.   Mi  yangu
 macho.
chaooo
2015-03-27 15:33
GMT+03:00
'lesian mollel' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Fimbo uko very
rightndio
maaana kila mara nawauliza
kila muhungo,
reuben na hilder hv nyie kwani Lowasa pekee

ndio alieonesha nia why him .....jibu mti wenye matunda
ndio
unaorushiwa mawe.......Richmaond
tushatolea maelezo asietaka
aje na ushahid
wakeMzee Muhingo jana
kasema atatoa page 6
za shutuma nzito dhidi ya lowasa
nazisubiri
am sure ni zile fake za kikafara na anatumika
nahis vibayaUkweli watanzania

hawadanganike tena enyi watu washajua mchawi ni nani na
mwema ni yupo thats why wamegeuka na wanakesha
getin kwa
Lowasa wakimshinikiza aingie
ikulu......oole wao watawala
wafanye makosa
naamini kutakua na mambo mabaya sana watu

watagoma na kura hazitatosha na sijui naomba tu busara
zitumike kuwapa wananchi mtu waoTuacheni
porojo tusimamie maslahi za nchi ili
kuleta
upendo na amani


        From: 'Kitilu

Mganga' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  To: wanabidii@googlegroups.com

  Sent: Friday, March 27,
2015 5:14 AM
  Subject:
Re:
[wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS
TUSIPOKUWA MACHO
   

Kenya
kulikuwa na mambo kama haya ya
kashifa ya kuwa UHURU
KENYATTA NA WILLIAM
RUTO wamefanya mabo mabaya kwa wakenya ,

lakini  mwisho wake wanatawala. acheni hila za watawala,
Lowasa hajafanya Ufisadi wa RICHMOND ni Mbiuzi
wa Kafara tu.
na Mwisho atatawala kwa
ridhaa ya wananchi wanano muomba
agombee,
hawatakubari kupangiwa wa kuchagua. acheni wote
washindane kwa uwazi, kuliko kumshambulia mtu
mmoja kana
kwamba kaomba kugombea peke
yake. mimi naona mjadala wote
huu hauna
tija badala yake ni kumpa sifa na huruma mgombea
mmoja. kwani kumshambulia kwa aina yoyote
Lowasa ni
kudhibitisha kuwa ni tishio kwa
watyawala wenye kujali
kulindana na kupeana
madaraka kwa urafiki. Hilo Halikubariki

safari hii. mambop yamebadilika.

Poleni kwa mahangaiko yote haya. mwisho wa
yote
MUNGU NDIYE ATOAYE MTAWALA WALA SI
CHAMA  AU UTAWALA ULIOPO
MADARAKANI.


  Joshua
Fimbo





--------------------------------------------
On Tue, 3/24/15, 'Hildegarda
Kiwasila'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

 
Subject: Re:
[wanabidii] RICHMOND
ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
  To:
wanabidii@googlegroups.com
  Date: Tuesday, March 24, 2015, 9:12 PM
 
  Hata kwenye sherehe za
Arusi
siku
  wapo ambao
wanajinunulia zawadi kisha
kuwaandaa
marafiki zao
  kuja kutoa zawadi
hizo ili waonekane wana marafiki wengi

wanaowapenda na kushirikiana
vema na kutoa hayo mavitu
kama
  zawadi kushangaza ndugu na majirani
ambao kila mtu ajae
  huleta
kikombe au glasi
ya bei poa (shs 1000)
kutoka
  mitanzado ya

biashara barabarani. Maharusi kujaza makapo ya
  glasi au vikombe na vijiko hakuna
kingine.
 
  Huyu nae ni
kama hao.
January Makamba kamwambia ukweli.
Sasa

akiukosa uongozi
jina lisipitishwe atahamia ACTS au

Chadema
  au kuingia msituni na vijana
wake
wa pikipiki huku akiombewa
  na viongozi wa
dini ili
ashinde vita kama vya Konyi huko

Uganda ambae hajashinda hadi leo? Hivi kuna
nini huko
juu?
  Ndugu na
jamaa wapo wapi kushauri
ndugu zao hawa.
Yakushinde
  jimboni kwako

pale ambapo kuna kila kitu kinachobaki ni wewe
  kuwahamasisha to na huwezi (usiwasumbue
wapiga
kura wangu,
 
serikali inawajibu wa kuleta
hiki,
kuwapatia kile etc)
  ukaweze huko juu
kama Rais. Wazungu walete misaada ya

kuwajengea shule, kuwapa
vitanda wasilale mlundikano,
  kufufua
visima vya maji vya mkoloni vipo huko
kwako
ktk
  mashamba ya zamani ya wakoloni na
mamlaka mbalimbali, huwezi
 
ukatoa hela
kurekebisha haya bali ni kutoa
hela za watu

waandamane
kukupongeza au kukusifia. Ingefaa tuache

ukabila,
  udugu, urafiki, ujinga ktk
uchaguzi ujao. Tusichague
 
viongozi
madiwani, wabunge ambao toka
  wachagulie
hawajahamasisha
na kufanikisha maendeleo yoyote
  ma
hawajaonekana jimboni. Tuokoke ili tufanye

kweli kulinda
  haki zetu sio
kupelekeshwa
hata kama unadhiki. Usikubali
ule
  usemi

usemao-Masikini Hanithi (Ashakum). Yaani utakubali
  kufanyiwa na kulazimishwa kufanya
usiyoyapenda
kwa
 
kupewa-vijisenti???! Mtazamo chanya ni
huu
kama wa akina
  Nabii Elisa
Muhingo.Tusichaguliwe Rais na Richmond!!


--------------------------------------------
  On Tue, 24/3/15, 'ELISA MUHINGO'
via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 

 
Subject: [wanabidii] RICHMOND
ITATUCHAGULIA RAIS
TUSIPOKUWA
  MACHO
  To: wanabidii@googlegroups.com
  Date: Tuesday, 24 March, 2015, 23:34
 
  TUSIPOANGALIA
RICHMOND
ITATUCHAGULIA
 
RAIS
 
Ambaye hakijui
kisa cha mtoto mdogo kumuumbua mfalme kuwa

  anatembea uchi mbele ya watu wazima

waliokuwa wanaogopa
  kumsema
'vibaya'
mfalme anisamehe maana
sitakieleza.
 
Lakini
ningependa kusema mimi katika utoto wangu
 
nawaonyesha
  watu wazima

habari za mfalme anayetembea uchi mbele zetu.
  Nadhibitisha kuwa mimi ni mtoto mdogo
sana
nilizaliwa saa
  9
  usiku
wa kuamkia 5
September 1952 katika zahanati ya
 
Kashasha. I am a young boy of 63 years

now.
 
  Mfalme
mwenyewe
ni watu hawa wazima walioitikia
kwa
 
kupotosha wito wa
Rais wetu Dr. Jakaya Kikwete kuwa
 
Inawezekana kumpata rais kwa kumshawishi

mmoja wetu ambaye
  hata kama hataki
lakini
kama anaweza kunamshawishi.
 
  Watanzania wote
tunajua kuwa wapo wanachama
wa CCM ambao
  wanatumikia adhabu ya

kuangaliwa mwenendo wao baada ya
 
kuonekana wanapiga kampeni ya kugombea uRais
kabla ya
  wakati. Waliofungiwa kufanya
hivyo ni pamoja
na waziri
  Mkuu
 

aliyejiuzuru kwa Kashfa Mpendwa wetu Edward Lowasa,
Benard
  Membe, January
Makamba, Wasira na
kadhalika.
 
  Moja kati
ya matendo waliyokuwa wanafanya ni
kujipitisha
  kwenye makanisa na misikiti
kujidai wanatoa
michango. Watu
  wenye akili wakatafsiri

matendo hayo kuwa ni rushwa ya
  kutaka
waungwe mkono wakati wa kugombea urais
 
Tamko la rais kuwa
tunaweza kumshawishi mmoja wetu ambaye
 
japo hajajitokeza na labda hataki kujitokeza
bila shaka
  yoyote kwa mtu
mwenye akili za
kawaida (kila mtu ana
akili
  lakini si
kila
mtu anzo za kawaida) anajua kuwa rais
 
aliowasema sio wale waliokwisha kujitokeza

na kuonyesha
  nia
 
ya
kuutaka urais mpaka kufikia hatua ya
kufungiwa kuutaka
  urais. Haiingii
akilini.
 
Kitu cha ajabu
na cha kushangaza watu wazima, viongozi wa

  dini eti wameenda kumshawishi mwenzetu

Edward Lowasa,
  'kumuomba'
'akubali' kugombea urais. Haiingii
 
akilini katika maeneo
mengi.
  Tuanzia
hapa:
  i    Yapo maazimio ya Bunge
kuhusu kashfa ya
  Richmond
ambayo nadhani
hayajatekelezwa na serikali.
Kama
 
yakitekelezwa
huwezi kujua kama hayawezi kudhibitisha
 
uchafu
  wa wahusika akilwemo
Lowasa wetu.
  ii   
Kashfa muhimu na
kubwa ni kuwa capacity
  charges
zilizotamkwa ndani
ya ripoti ya tume ya bunge ina
  mgao wa
wahusika na haijulikani kama EL
hayumo
  iii    Katika michango ambayo
EL alikuwa
  akitoa
makanisani misikitini
na kwingineko
inadhaniwa kuwa
  huenda

sehemu yake inatokana na mgao huo.
 
iv    Kulionekana dalili kuwa kuna mambo
tume
  ya Bunge chini ya Dr. Mwakyembe
ilibakiza
mambo fulani
 
ambayo ingeyatoa kuna watu
wangepata shida.
Tunakumbuka
  aliposema

aliwahi kufuatwa na mke wa mtu fulani kumsihi
  afiche ukweli wa ripoti. EL hakuacha
kutajwa
katika hilo.
 
V    Na kadhalika.
 

  Taifa letu lina matatizo
makubwa sana.
Mengine ni nyufa
 

alizozieleza Mwalimu Nyerere mwaka 1995. Sasa zimemeguka
  na
  kuwa kubwa zaidi.
Rushwa
sasa imezidi na kupata jina
  advanced
tunaiita
UFISADI.
  Kila mwenye akili
timamu yuko anaumiza kichwa akitaka

kujua
 
tufanyeje ili tupate kiongozi bora
na
tumjueje ambaye si
  fisadi. Kila
mwenye
akili sawasawa anajua kuwa
aliyekwisha
 
tajwa kwa
hilo hafai hata akitaka kutumia njia zake
 
kuupata
  urais.
 
 
 
   
Sasa katika mazingira hayo:
  1.   
Viongozi wetu ambao walikuwa
wakipokea
  michango hiyo haramu

wajisafisheje mtu akisema
  walinunuliwa
  na kuandaliwa kwa wakati kama huu?
  2.    Viongozi wetu hao wana upeo
kiasi
gani
  kukubali
kutumiwa kihuni namna hii?
Kweli walilenga
kwenda
  kumshawishi Lowasa
agombee kwa sababu wameona amekaa kimya
 
yaani hafurukuti kugombea?
Yaani viongozi wetu walidhani
 
hawatajulikana kuwa lazima wamehongwa

kufanya kazi hiyo?
  3.    Wanaweza
kusimama na kujitetea mbele ya
  waumini
wao kuwa
walifikiri Lowasa hatajitokeza kugombea
 
ndiyo maana waliamua kumshawishi na

kumchangia fedha?
  Wameona
wamejitokeza
wangapi mpaka wakahofu kuwa
huenda
 
asijitokeze?
  4.    Wanataka Lowasa aje
alisaidie taifa
  hili
kufanya nini?
Wanaona taifa halina nini?
Wengine
 
tunaona taifa
ni tajiri, Lina raslimali, lina watu wapole

  waelekevu. Shida linakosa kiongozi wa

kuukabili ulafi na
  kujilimbikiza mali
ili
mali iliyopo itumike vizuri. Kweli
  mtu
mwenye kashfa ya namna
iliyo kwenye ripoti ya Tume ya
  Bunge
anaweza kupendekezwa na viongozi wa
dini?
Hii balaa.
  Viongozi hao ambao ni
waombezi wa Taifa hili kweli wana
  dhamira
njema?
  Siwaelewi. Viongozi hawa wamejua
jinsi ambavyo Lowasa
 
ameleta mgogoro
katika viongozi wa kimila
wa kimasai? Na
 
kuwa
mgogoro huo ni uimla wa kutaka kuwabambikizia
  wanaMonduli mtu anayetaka amrithi ubunge
yeye atakapo kuwa
  rais?
Ndiye wanayetaka
aongoze taifa hili?
 
 

Lowasa anaweza kuwa rais lakini nafikiri viongozi wa dini
  wasingependa kuwa sehemu ya
waliomsaidia.
Lowasa amesemwa
  sana. Kwa hiyo anaweza

kuwa rais na akawa mzuri sana hivyo
 
kutukomesha tunaomsema. Lakini akiwa mbaya
kuna
  atakayeshangaa?
 

  Rais Kikwete alipoupata urais wakati
watu
wakitabiri nani
 
atakuwa waziri Mkuu wapo
waliomtaja Lowasa.
Wako waliosema
 

haiwezekani akawa Lowasa. Sababu zilikuwa kwa sababu ni
  rafiki wa JK basi (JK) atashindwa
kumdhibiti. Waliosema
 
anaweza kuwa Lowasa
walisema atajitahidi
kutomudhalilisha
 
rafiki
yake? Nini kilitokea? Unawezaje kumwamini Lowasa?
  Mimi nawashangaa viongozi wa dini . si
viongozi wa siasa
  wa
 
chama chake. Hayo
tumeyazoea. Mitandao ilikotufikisha ni
 
wao
  hakuna zaidi.

Siwashangai wanafunzi. Wao ndivyo

wameelekezwa
  na
wanamtandao na ni haki
yao. Wanakomea hapo.
Siwashangai
  vijana
wa
bodaboda. Hao tumewazoea. Tunawakuta

wakishajaziwa
  mafuta ya
pikipiki zao
basi. Nini zaidi. Lakini
viongozi
  wa
  dini????
Nitaendelea kuwashangaa.
 
  Elisa Muhingo
 
 
 
   

    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
   
     
   

   
Kujiondoa Tuma Email kwenda
   
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
   
kudhibitisha ukishatuma
   

     
   
   
Disclaimer:
   
   

Everyone posting to this Forum bears the sole
  responsibility
    for
any
legal consequences of his or her
postings,

and
  hence
    statements
and facts must be presented responsibly.

Your
   
continued membership signifies that
you
agree to
  this
   
disclaimer and pledge to abide by our Rules
and
  Guidelines.
   

    ---
   

  You received this message
because you are subscribed
  to
  the
   

Google Groups "Wanabidii" group.


 
    To unsubscribe
from this group and
stop receiving
  emails
   
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
   
    For more
options,
visit
 
https://groups.google.com/d/optout.
 
  --
 

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma
Email
kwenda
 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
  Everyone posting to this Forum bears the
sole
  responsibility
  for
any legal consequences
of his or her postings, and
  hence
  statements and facts
must
be presented responsibly. Your
 
continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide
by our Rules
and
 
Guidelines.
  ---
  You
received this message because you are

subscribed to
  the
 
Google
Groups "Wanabidii"
group.
  To
unsubscribe
from this group and stop receiving emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit

 
https://groups.google.com/d/optout.
 
  --
 
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email
kwenda

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:

Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences

of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented
responsibly. Your
  continued membership
signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
 
---
  You received this message because
you are
subscribed to the
  Google Groups

"Wanabidii" group.
  To
unsubscribe
from this group and stop
receiving emails

from it,
send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 
https://groups.google.com/d/optout.a
hivyo kwa Uhuru



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email
kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:

Everyone posting to
this Forum bears the
sole responsibility for any legal

consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your
continued
membership signifies that you
agree to this disclaimer and
pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message

because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.

To unsubscribe
from this group and stop
receiving emails from it, send an
email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

 
 



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda


wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:


Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.


---


You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.

To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--
XAVERY  LANGA
KAPECHA NJOVU
0783 662681
" Smooth seas don't make skilful
sailors.
"




--

Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda


wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:


Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.


---


You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.

To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.


--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment