Sunday 21 August 2016

[wanabidii] CODES; Wakili Ringia akanusha taarifa iliyotolewa na vyombo vya habari kuhusu Dk. Mengi kupandishwa kizimbani

Habari za jioni, tafadhali pokea CODES hapa chini


<span style="color: #000080;"><em><img class="size-full wp-image-15083 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Dr.-Reginald-Mengi-MOAT.jpg" alt="Dr. Reginald Mengi, MOAT" width="1404" height="936" /></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Kufuatia vyombo vya habari mbalimbali nchini kutoa habari ambayo inamhusu Mkurugenzi wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi kuwa anatakiwa kufika mahakamani Agosti, 24 mwaka huu kujieleza kwanini asifungwe kwa kushindwa kutekeleza hukumu ya kulipa Dola 598,750 (Bil. 1.20), wakili wa Dk. Mengi, Deogratias Ringia amekanusha habari hiyo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Katika taarifa ambayo imetolewa na wakili Ringia, amesema kuwa akiulizwa na watu mbalimbali kama ni kweli kuna hati imetolewa na Mahakama Kuu ikimtaka mteja wake Dk. Mengi kufika mahakamani kujieleza kwanini asifungwe baada ya vyombo mbalimbali kuripoti kuwa anatakiwa kufika mahakamani lakini jambo hilo halina ukweli.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Mhusika mkuu katika kesi hiyo ni kampuni nayoitwa KM Prospecting Limited ambayo Dk. Mengi siyo mwanahisa wala mkurugenzi katika kampuni hiyo. Kampuni hiyo ndiyo iliingia kwenye mkataba na wadai iliyopelekea kesi hiyo ya madai," alisema Ringia.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Ringia alisema hatua ya kumuunganisha Dk. Mengi katika kesi hiyo lilikuja baada ya mahakama kuamua hoja mbili zinazohusu kesi hiyo ndipo wadai ambao ni wafanyabiashara Muganyizi Lutagwaba, Eric Mshauri na Charles Mgweo kumuingiza Dk. Mengi katika kesi licha ya kuwa hausiki.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Baadhi ya vyombo vya habari vilivyoandika habari hiyo ni pamoja na gazeti la Jambo Leo, Daily News, The Citizen na mtandao wa Habari Leo Online.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-27221 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/08/Jambo-Leo.jpg" alt="Jambo Leo" width="1500" height="2111" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-27222 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/08/Barua-ya-Mwanasheria-wa-Mengi-21-Aug-2016-14-39-27-page-001.jpg" alt="Barua ya Mwanasheria wa Mengi 21-Aug-2016 14-39-27-page-001" width="1218" height="1754" /></p>
<p style="text-align: center;"></p>

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment