Tuesday 23 August 2016

Re: [wanabidii] Dola zote kubwa zilizowahi kujengwa duniani zilijengwa na watawala kama Mhe. Magufuli.

Kaka Muhingo

Una hakika na unalosema?
Tunaanza kuhesabu mipango na ahadi? Mbona JK alikuwa hodari zaidi?
Mambo mengine ni Multiplayer za kiuchumi hivyo athari yake haipo kabisa.
Sema tu sasa kanda ya ziwa tunaongezewa Uwanja wa Ndege hapo nitaelewa.
Hayo yakiendelea si vibaya kuangalia hali ya mtu wa kawaida na hata mfanyakazi alieongezewa punguzo 2% ya PAYE na tukapiga makofi.
Wakati mwingine huwa nashindwa kuelewa.

Walewale


On Aug 23, 2016 12:53 AM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Kazi gani? ngazi ipi? Serikli imeanza. Nilipita Mtera majuzi. Mvua ya mwaka mmoja bwawa limejaa na nyingine ya nwaka huu litaanza kumwaga. Jamaa walikuwa wanamwaga ili Dowans iendelee kuzalisha wa dharura. Kazi kubwa hyo.

Kodi zinakusanywa sasa na wakwepa kodi sasa haba.

Reli itatengenezwa na hujuma ili malori ya mafisadi yafanye kazi sasa historia. Meli ziwa victoria iliyohujumiwa ili mabasi na malori yafanye kazi sasa tunaelekea kuvuka.

Uwajibikaji serikalini.
Watumishi hewa wameondolewa Bado tu hazzionekani?
Mazingira rafiki kwa wengi. Subiri uone eeneo litakalolimwa mwaka huu mazao mbalimbali kubwa zaidi
Mengi tu tunayohitaji kufanya na yanatengenezwa na yaliyokwisha kufanywa na serikali Miaka miwili tutaona. Kama yakishindikana basi maandamano yaje. Sio sasa
--------------------------------------------
On Mon, 8/22/16, amour chamani <abachamani@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Dola zote kubwa zilizowahi kujengwa duniani zilijengwa na watawala kama Mhe. Magufuli.
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Monday, August 22, 2016, 4:02 PM

 Kufanya kazi gani
 labda?



 Walewale

 On Aug 22, 2016 4:00
 PM,  <haha12@poczta.fm>
 wrote:

 Hebu tujaribu kutekeleza motto ya raisi Magufuli
 -"KAZI TU" angalau kwa miaka 2 na mtaona matunda
 yake. Nchi inahitaji sauti moja na sio ulanguzi na kelele
 tu. Upinzani unatakiwa uwepo sio kwa manufaa tu ya viongozi
 wake bali kwa taifa zima. LAKINI, iwapo upinzani unatakiwa
 kuwa constructive na wenye kueleweka. Kususia miswada
 Bungeni sijui kama ni jambo zuri. Maandamano ya kila mara
 pia hayana maana wakati Tanzania inafahamika duniani kuwa ni
 nchi stable na yenye usalama. Tunachotakiwa ni kuendeleza
 nchi chini ya katiba yetu na kila mwananchi aelewe kuwa
 anawajibu katika kuleta maendeleo nchini kwa kadri ya uwezo
 wake. UMASIKINI, UJINGA na MARADHI hatutaweza kuyashinda
 iwapo saa zote tutakuwa mitaani to strike badala ya kufanya
 kazi

 Mtanganyika

 Od: "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com>
 Do: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>;

 Wysłane: 18:15 Niedziela 2016-08-21
 Temat: Re: [wanabidii] Dola zote kubwa zilizowahi kujengwa
 duniani zilijengwa na watawala kama Mhe.
 Magufuli.Marekani ilijengwa kwa katiba
 madhubuti. Ingawa kuna wakati ilikuwa inakiukwa lakini
 katiba hiyo hiyo ilitumiwa kuirudisha nchi kwenye mstari wa
 mwelekeo wake.Bila katiba ndugu zangu weusi
 wangeendelea kuishi maisha ya kunyanyaswa. Bila katiba
 wanawake wasingeruhusiwa kupiga
 kura.em,
 2016-08-21 12:07
 GMT-04:00 Edgar Mbegu <embegu@hotmail.com>:



 Hakuna jipya hapa! Mbona hujasema
 mandeleo ya Zimbabwe wakati huu wa Mugabe? Mbona hujasema
 maendeleo ya Malawi wakati wa Kamuzu Banda? Mbona hujasema
 maendeleo ya Uganda wakati wa Idd Amin? Maendeleo ya Kongo
 (DRC) wakati wa Mobutu? Husemi maendeleo ya Burundi sasa ?
 Maendeleo ya Marekani kabla ya Demokrasia maana yake nini?
 Husemi yaliyotokea DDR (Ujerumani Mashariki) wakati wa
  Erich Hönecker ukilinganisha na BRD (Ujerumani Magharibi)
 wakati wa Helmut Kohl? Husemi Jugoslavia wakati wa Tito,
 Husemi Romania wakati wa Nikolai Ciausescu ukilinganisha na
 sasa? Husemi Philipines wakati wa Ferdinand Marcos? 

 Date: Sun, 21 Aug 2016 15:22:48 +0000
 From: wanabidii@googlegroups.com
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Subject: [wanabidii] Dola zote kubwa zilizowahi kujengwa
 duniani zilijengwa na watawala kama Mhe.
 Magufuli.




 Fuatilia
 nchi zote zilizoendelea anzia, Marekani, China, Urusi na
 kwinginepo
 walitanguliza maendeleo kabla ya Demokrasia. Kwan chi nyingi
 za Afrika
 tulitanguliza Demokrasia badala ya maendeleo.

 Kwa sasa
 nchi yenye mafanikio makubwa katika ukanda wa Afrika
 Mashariki ni Rwanda.

 Ukiambiwa miaka ya
 1990 kulikuwepo na vita vya wenyewe kwa wenyewe hutokubali
 kwa jinsi inavyokimbia kimaendeleo. Unajua kwa nini? Ndani
 ya Rwanda kuna baba
 mmoja tu kwa sasa akisema wakalime wanaenda kulima kulima,
 hakuna atakaebaki
 kwa kucheza pooltable au kuandamana, akisema rushwa stop
 watu wanafunga wallet
 zao.


 Tanzania
 tumezoea kubembelezana sana, JK alituparuhusa ya kuzurura
 zurura usiku na
 mchana tunapiga domo. Kwa miaka yote kumi ni maandamano tu,
 mara operation
 sangara kama si sato au M4C na kadhalika, hata wapinzani
 wenyewe walidiliki
 kusema tunahitaji rais  mkali zaidi ya JK
 na yeye mwenyewe alituahidi  kuwa atakuja
 na leo tumempata tunaanza kutafuta kick za hovyo 
 hovyo kabisa wakati shida kubwa ya sisi
 watanzania ni maendeleo wala si UKUTA kama wanavyotaka
 kutuaminisha.


 Nani
 aliyekuwa anaifahamu Libya ya mliyekuwa mnamuita dikteta??
 Ni Libya hipi ya
 kukumbukwa hii ya leo inayoruhusu maandamano ya vurugu kila
 leo na kushindwa
 kuyadhibiti na kulinda usalama wa raia wake na mali zao au
 ile Libya ya
 aliyekuwa akiitwa dikteta Gadafi?


 Nendeni
 Misri ya leo nao kuanzia January hadi decemba 
 wapo mitaani wanaandama pamoja na kutafutana kwa
 mitutu ya bunduki
 halafu linganisheni na Misri ya aliyekuwa akiitwa dikteta
 Mubarak akiwa
 madarakani.


 Dola zote
 kubwa zilizowahi kujengwa duniani zilijengwa na watawala
 kama Mhe. Magufuli.
 Tafuta dola yeyote kubwa ya zamani halafu tafuta staili zao
 za uongozi
 iliyokuwepo na maendeleo wanayojivunia leo.


 Lakini leo
 hii wanasiasa wetu wanataka na kutamani kufanya damu za
 watoto wa masikini kuwa
 daraja la wao kupata umaarufu, Serikali imeruhusu maandamano
 kwa sharti la
 Mbowe mna Lowassa pamoja na familia zao ikiwemo wake na
 watoto wao kuwa mstali
 wa mbele katika maandamano, natamani tulione hilo September
 1 lakini
 hawatathubutu ni waoga, wanapenda kuonyesha ujasiri katika
 kamera za wanahabari
 huku wakiwafanya watoto wa masikini kuwa chambo cha wao
 kupata front page za
 magazeti na umaarufu.


 Natamani
 maandamano yao ya Septemba mosi  yaanzie
 kule Hai mkoani kililimanjaro, Mbowe awaitekina Sugu,
 Msingwa, Lema, Prof
 Baregu na wengineo pale nyumbani kwake au hotelini kwakwe
 Protea kule Machame.


 Namshangaa
 sana Mbowe, anahubirije demokrasia wakati wakati yeye haishi
 katika yale
 anayoyazungumza? Kama Kitilya,Mwigamba na Zitto watu watau
 hao waliandika
 waraka na kuusevu kwenye PC zao ila waliishia kufukuzwa kama
 mbwa hiyo ndiyo
 demokrasia anayoihubiri?


 Hivi Mbowe
 anapogombeaga uenyekiti wa chama huwa anashindanisahwa na
 nani? Lowassa
 alipopewa nafasi yay a kugombea urais Chadema mwaka jana
 alishindanishwa na
 nani?


 Watanzania
 wenzangu kwa kweli atakayekutana na mkono wa dola kwenye
 maandamno ya tarehe
 1/9/2016 shauri yake na msianze kutusumbua kwa kututumia
 picha mikiwa mmelowa
 damu nahilo ndilo wanalolitaka Mbowe na
 Lowassa.


 Ndudu zangu
 Watanzania hakuna hoja yeyote ya msingi ya kutufanya
 tuandamane nchi nzima hiyo
 tarehe 1/9/2016 hili ni jaribio la UHAINI.

 Kama
 swala
 la Tulia walimkimbia wenyewe na kama hakufuata kanuni
 zilizotungwa na bunge,
 hicho chombo kina taratibu zake za kudili naye na si kuja
 kutusumbua wananchi.


 "Kila mmoja
 afanye siasa kwenye eneo alilochaguliwa, Kingu mbunge wa
 Ikungi Magharibi
 afanye mikutano yake ale pale kwake alipoahidi shughuli za
 maendeleo, Mbowe
 afanye siasa pale pale Hai aliochaguliwa na kuahidi kuwapa
 maendeleo, kila
 mmoja aliyechaguliwa afanye siasa eneo lake."


 "Sitaki
 kuona mtu anatoka HAI kwenda KAHAMA kufanya mikutano n.k
 Mbunge au diwani wa
 HAI au Mbeya  hana mamlaka ya kuingia
 ndani ya majimbo ya yao. Huwezi kuwa mbunge wa Ubungo
 ukaenda kufanya vikao vya
 maendeleo kwenye eneo ambalo si lako".


 "Wanaotaka
 kuandamana au kufanya mikutano kiholela kwanini wasubiri
 mwezi wa 9? Wafanye mikutano
 hata leo ili wajue mimi ni nani. Siwezi kuigeuza hii nchi ya
 sisa, nataka nchi
 ya maendeleo tu. Siasa zilishakwisha wakati wa KAMPENI muda
 huu ni wa KAZI TU".

 Hiyo
 ndiyo kauli
 Rais Magufuli, nafikiri ndio siku Mbowe atabatizwa kwa moto
 kama atakuwa mstari
 wa mbele, ikiwa hawezi kuwa mstari wa mbele aache kuwafanya
 chambo watoto wa
 masikini manufaa yao ya kisiasa na kupata
 umaarufu.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.







 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment