Monday 29 August 2016

[wanabidii] Hii ndio ndege ya ATCL iliyokamilika, tayari kwa kuja Tanzania

Hii ndio moja ya ndege mpya ya Air Tanzania iliyo tayari kwa kila kitu.Hapa ipo kwenye Hangar(eneo la matengenezo ya ndege) nchini Canada tayari kwa kuanza safari ya kuja Tanzania.Wakati wowote na siku itakayotajwa ya mwanzoni mwa mwezi September ndege hizi mbili zitatuwa katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dsm.

Katika picha ni ndege hiyo ikiwa na rangi ya ATCL na picha nyingine ni kabla ya kuwa na rangi yoyote ya kampuni na nembo.Nchini Canada ndege hiyo imepewa Reg # ya C-FIFG...kwa mujibu wa ICAO kila nchi huwa na usajili wake tofauti,mfano kwa ndege zote zilizosajiliwa Kenya lazima zianze na 5Y-(then hufuata herufi za ndege husika ambazo hazitafanana na ndege nyingine yoyote)-,ndege zilizosajiliwa Uganda huanza na 5X-..ndege zenye usajili wa Afrika Kusini huanza na ZS- na hivyo ndege zenye usajili wa Canada huanza na 5H-,nilitembelea Kigali,wao huanza na 9XR-..

Hivyo ndege hii ambayo Tanzania imenunua huko Canada ilitambulika kwa usajili wa C-FIFG,na hivyo itakavyotua Tanzania itabidi tubadili na tuipe usajili wa Tanzania utakaoanza na 5H- .

Kwa hili nimpe hongera Rais Magufuli na Serikali yake,kwani hakika ukiangalia historia ya ndege hii ina mwaka mmoja tu toka ianze kutengenezwa kiwandani.Lakini pia ukiangalia flight movement records zake inaonyesha imeruka Mwezi August 2016 kwa muda wa saa moja na dakika tisa kama sehemu ya majaribio.Hii ni dalili kuwa tunaenda kuwa na ndege mpyaaa,ingekuwa enzi za ujana wetu miaka ya 80 tungesema "ndege mmaaaaaa"!!PONGEZI KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA TANO.

Nimeambatanisha "details" za ndege hiyo,ambapo ili watu wasione tumeingizwa chaka bado ina Reg# ya Canada ambayo sisi tutaibadilisha vile tunavyotaka.Hakika ndege hizi ni rafiki kwa mazingira ya viwanja vya Tanzania na usafiri wa ndani.Itasaidia kutua hata katika viwanja "korofi" kama Mtwara,Kigoma,Tabora,Iringa,Songea,Dodoma(japo nasikia inafanyiwa ukarabati) na viwanja vingine kama Arusha,Mwanza,Znz,Tanga na Mbeya.
WELCOME TO THE MARKET ATCL.....THE WINGS OF THE KILIMANJARO

Hii ndio moja ya ndege mpya ya Air Tanzania iliyo tayari kwa kila kitu.Hapa ipo kwenye Hangar(eneo la matengenezo ya ndege) nchini Canada tayari kwa kuanza safari ya kuja Tanzania.Wakati wowote na siku itakayotajwa ya mwanzoni mwa mwezi September ndege hizi mbili zitatuwa katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dsm.

Katika picha ni ndege hiyo ikiwa na rangi ya ATCL na picha nyingine ni kabla ya kuwa na rangi yoyote ya kampuni na nembo.Nchini Canada ndege hiyo imepewa Reg # ya C-FIFG...kwa mujibu wa ICAO kila nchi huwa na usajili wake tofauti,mfano kwa ndege zote zilizosajiliwa Kenya lazima zianze na 5Y-(then hufuata herufi za ndege husika ambazo hazitafanana na ndege nyingine yoyote)-,ndege zilizosajiliwa Uganda huanza na 5X-..ndege zenye usajili wa Afrika Kusini huanza na ZS- na hivyo ndege zenye usajili wa Canada huanza na 5H-,nilitembelea Kigali,wao huanza na 9XR-..

Hivyo ndege hii ambayo Tanzania imenunua huko Canada ilitambulika kwa usajili wa C-FIFG,na hivyo itakavyotua Tanzania itabidi tubadili na tuipe usajili wa Tanzania utakaoanza na 5H- .

Kwa hili nimpe hongera Rais Magufuli na Serikali yake,kwani hakika ukiangalia historia ya ndege hii ina mwaka mmoja tu toka ianze kutengenezwa kiwandani.Lakini pia ukiangalia flight movement records zake inaonyesha imeruka Mwezi August 2016 kwa muda wa saa moja na dakika tisa kama sehemu ya majaribio.Hii ni dalili kuwa tunaenda kuwa na ndege mpyaaa,ingekuwa enzi za ujana wetu miaka ya 80 tungesema "ndege mmaaaaaa"!!PONGEZI KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA TANO.

Nimeambatanisha "details" za ndege hiyo,ambapo ili watu wasione tumeingizwa chaka bado ina Reg# ya Canada ambayo sisi tutaibadilisha vile tunavyotaka.Hakika ndege hizi ni rafiki kwa mazingira ya viwanja vya Tanzania na usafiri wa ndani.Itasaidia kutua hata katika viwanja "korofi" kama Mtwara,Kigoma,Tabora,Iringa,Songea,Dodoma(japo nasikia inafanyiwa ukarabati) na viwanja vingine kama Arusha,Mwanza,Znz,Tanga na Mbeya.
WELCOME TO THE MARKET ATCL.....THE WINGS OF THE KILIMANJARO image.jpeg image.jpeg image.jpeg

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment