Wednesday 24 August 2016

Re: [wanabidii] ETI RAIS MAGUFULI ‘AMEWACHOKOZA’ CHADEMA!

I second you brother Muhingo. Nadhani hata makala yenyewe ukiisoma kwa kina utaona aliyeandika katumia fasihi tu, lakini anachokizungumzia ni hicho hicho Mkuu.

2016-08-25 9:30 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Agenda muhimu kutolipuliwa.
Tukitaka kujua nani kachokoza mwenzake tuanzie mambo yalikoanzia. Tukianzia kwenye Tamko la Rais ataitwa mchokozi.
Nakumbuka mambo yalianzia pale rais alipotekeleza aliyoyaahidi. Huo sio uchokozi.
Kilichofuata ni CDM kubeza na kusema ni dictator (Huo ni/si uchokozi?
Rais akatamka Huo ni/si uchokozi?
Tukifuata mtiririko huo tutajua nanik kachokoza na kelele zitaisha.

Naamini CDM haiina fanatics wa kusikiliza kila kinachosemwa bila kukichambua. Wakichambua matamshi ya viongozi wao wataorodhesha kila alichokifanya Rais (serikali yake) na kupima comment za viongozi wao naa kuamua la kufanya.
Waanzie rais na safari za kushtukiza.; Kukamatwa kwa wakwepa kodi; Kuwasimamisha kazi wahalifu serikalini ili wachunguzwe; Kuanziasha kampeni ya madawati; Kuhamia Dodoma. Kazi hizi zote CDM walion ni makosa. Baadaye wakaema hawapingi kila kinachofanywa na serikali ya Magufuli.
Wakipitia mlolongo huo tunatarajia UKUTA kuwa na viongozi hao na walevi na wavuta bangi na vibaka tu.
Tuijadili mada objectively
Muhingo
--------------------------------------------
On Wed, 8/24/16, Daniel Mbega <mbega.daniel@gmail.com> wrote:

 Subject: [wanabidii] ETI RAIS MAGUFULI 'AMEWACHOKOZA' CHADEMA!
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Wednesday, August 24, 2016, 11:28 PM

 ETI RAIS MAGUFULI
 'AMEWACHOKOZA' CHADEMA!HAK'YANANI Rais John
 Pombe Joseph Magufuli 'umewachokoza' Chadema. Na tayari
 wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
 wamekaa 'mguu sawa' kutekeleza amri 'tukufu ya kamanda
 wao' Freeman Mbowe, ya kufanya maandamano nchi nzima hapo
 Septemba Mosi, 2015 kupinga kile ambayo kiongozi huyo na
 chama chake wanakiita 'Udikteta' ndani ya Serikali ya
 Awamu ya Tano. Soma: http://goo.gl/uZA3m2

 --
 DANIEL MBEGA
 INVESTIGATIVE JOURNALIST, BLOGGER, RESEARCHER &
 PUBLISHER
 CELL: +255 767 939 319/ +255 715 070 109
 WHAT'S APP: +255 656 331 974
 BLOGS: www.kilimohai.wordpress.com
                www.brotherdanny5.blogspot.com

 "Kama
 hawatuwekei mgombea mzuri, kwanini watutawale?"
 ~ Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dar es
 Salaam, 1995




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--
DANIEL MBEGA
INVESTIGATIVE JOURNALIST, BLOGGER, RESEARCHER & PUBLISHER
CELL: +255 767 939 319/ +255 715 070 109
WHAT'S APP: +255 656 331 974
BLOGS: www.kilimohai.wordpress.com
               www.brotherdanny5.blogspot.com

"Kama hawatuwekei mgombea mzuri, kwanini watutawale?" Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dar es Salaam, 1995

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment