Friday 26 August 2016

Re: [wanabidii] TATIZO LA CHADEMA WANAPIMA HOMA KWA KIGANJA!

Maandamano yalishakufa? Sasa kwa nini polisi wanahangaika na kuhaha kutunisha misuli yao mijini?
Unaua nzi kwa rungu?
em

2016-08-26 6:42 GMT-04:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Kipindi hicho CDM ingeitisha maandamano yangeungwa mkono kwa wingi wa watanzania. Kukosa hoja kwa sasa wengi waliokuwa wanaunga mkono maandamano walikuwa wanaunga mkono watu au maneno CHADEMA, si sera au hitaji la kitanzania. Ndiyo maana yalikufa siku yalipotangazwa
--------------------------------------------
On Thu, 8/25/16, 'Reuben Mwandumbya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] TATIZO LA CHADEMA WANAPIMA HOMA KWA KIGANJA!
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Thursday, August 25, 2016, 3:06 PM

 Mbega;Waliokuwa/aliyekuwa
 ana moyo na mpinga ufisadi wa kweli katika CDM alishafukuzwa
 na mpaka sasa anaishi uhamishoni.Waliobaki
 hawawezi hiyo kitu na awali walikuwa wana msapoti kwa kuwa
 alikuwa Boss,hii inafanana na kipindi ya Mwl ambacho
 ukiangalia kwa makini almost mjamaa alikuwa peke yake
 wengine walikuwa wanafuata upepo.Maana
 baada ya yeye kuondoka na hatimae kufariki tumeona wimbi la
 wizi lilikuwa kubwa,hii inaonyesha walikuwa wanasubiri paka
 aondoke.Wangekuwa
 wote/wengi wao walikuwa na traits za Mwl hali isingekuwa
 hivi kwa kipindi kifupi na kwanza wangeona aibu na kuendelea
 may be kuwa waadilifu. Reuben



     On Thursday, August
 25, 2016 11:18 AM, Daniel Mbega
 <mbega.daniel@gmail.com> wrote:


  TATIZO LA CHADEMA
 WANAPIMA HOMA KWA KIGANJA!Kwa miaka kadhaa sasa,
 Chadema imejipambanua kwamba ni chama kinachopinga ufisadi
 na kiliweza kujijengea sifa na kuaminiwa na wananchi kwa
 msimamo huo, huku kikiendesha kampeni nchi nzima kupinga
 ufisadi pamoja na suala la kusamehe kodi ambalo lilikuwa
 linaikosesha serikali mapato makubwa. Waliahidi kwamba, mara
 watakapoingia madarakani – kama wangefanikiwa –
 wangeanza kusafisha mafisadi wote na kuhakikisha kodi
 inakusanywa ili nchi isiwe tegemezi. Soma zaidi: http://goo.gl/bJZ4Xl
 --
 DANIEL MBEGA
 INVESTIGATIVE JOURNALIST, BLOGGER, RESEARCHER &
 PUBLISHER
 CELL: +255 767 939 319/ +255 715 070 109
 WHAT'S APP: +255 656 331 974
 BLOGS: www.kilimohai.wordpress.com
               
 www.brotherdanny5.blogspot.com

 "Kama
 hawatuwekei mgombea mzuri, kwanini watutawale?"
 ~ Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dar
 es Salaam, 1995




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment