Wednesday, 7 October 2015

Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI

Elisha;
Hayo usemayo ni gitaa kwa mbuzi.
Mollel yupo ndani ya mahaba,hata uongee kitu gani humpati

Sent from my Huawei Mobile

'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

>Kuna wakati Mollel unanikumbusha hotuba za Idi amin alipokuwa akijieleza kama kiongozi maarufu Africa. Najua siku inafika Inzi atajipongeza kwa kushirikiana na tembo kulitingisha daraja mpaka likakaribia kuvunjika kwa sababu tu wakati tembo akivuka daraja nzi alikuwa mgongoni mwa tembo. Sina taabu kuelewa maelezo haya chini licha ya kukosa ceherency. Ninaamini unafuatilia kqmpeni zote unasikiliza ya maana na utumbo unaosemwa na viongozi wetu wagombea. Na wapiga kura wengi wanasikiliza na wengi zaidi wanafafanuliana. Hayo najua yanapuuzwa na watakaokuja kusema tumeibiwa kura na kuanza kusaidia ulimwengu kufikiri ulinzi wa taifa hili utapatikana ICC. Ukishindwa kuelewa usipayuke. Nyamaza tu. Hakuna atakayeuelewa mwisho wa uelewa wako.
>--------------------------------------------
>On Wed, 10/7/15, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
>Subject: Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
>To: "'Leticia Maruma' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
>Date: Wednesday, October 7, 2015, 2:44 AM
>
>Mama nkya huyo mzee elisa
>hua nahis anakremu,haelew anaongea nn,yeye ni kTi ya mijitu
>isioona mbele na baht mbaya hata mia hawajampa basi
>anakariri tu,kwake yeye anavokariri mbay tanzania hii ni
>lowasa,wkt cc kaama wananchi tushaaamua baada ya
>kung'amua ukweli kua lowasa si mwizi wala fisadi hata
>kidogo ccm ndo ina majizi na mfisadi papa....
>Cha kumsaidia tu ni kwamba kama alivyo dada
>yake happyness katabaz,wanaoamini kua mungu yupo mtakuja
>kuona trh 25 oct....lowasa ni chaguo la mungu,uyoke mapovu
>utukuane cc na watanzania tushaamua kumpa lowasa....marufuku
>kutoa lugha chafu kwakiongozi wetu mpendwa,kama kina kuuuma
>kaa kimya,shut uuuup..kila siku lowasa lowasa...kakukosea
>nn,mbn hutaji kina jk,kina chenge,kina tibaijuka,kina
>ngeleja  na muhonga au kwako hawa ninwaakatifu...kasha ipi
>kubwa'escrow,epA....sukar,kashfa kibao..mbn hao jamaa
>leo ni wagombea ubunge na mmewabriki na kuwaita wabrikiwa na
>mashujaaaaa....mama tibaijuka ashakataliwa live na wananchi
>lakin mmempitish a au hujui ni watuhumiwa wakubwaaa...achana
>na mzee elisa aishie na hoja zako zisizo na mashiko za
>kukariri na chuki binafsi'uzuri yeye si mungu
>Lesian
>
>'Leticia Maruma' via Wanabidii
><wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
>
>
>Sent
>from Yahoo Mail on Android  From:"'ananilea
>nkya' via Wanabidii"
><wanabidii@googlegroups.com>
>Date:Wed, 7 Oct, 2015 at 12:56 AM
>Subject:Re: [wanabidii] MAGUFULI NA
>UFISADI
>
>  Elisa, fisadi papa ni serikali
>ya CCM yenyewe (rejea EPA na Tegeta Escrow). Hivyo CCM
>ikingolewa madarakani  kisha Katiba Mpya inayotokana na
>maoni ya wananchi ikiandika--mazingira yanayofanya serikali
>kuwa fisadi yatakuwa yameondolewa. Unang'ang'ana na
>Lowassa bure unajidanganya wananchi wenyewe
>  wanajua mzizi wa ufisadi uko wapi na ndiyo sababu wameamua
>kufanya mabadiliko kwa kuongozwa na Lowassa. Patamu hapo.
>Ananilea Nkya
E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
>
>--------------------------------------------
>On Tue, 10/6/15, 'ELISA MUHINGO' via
>Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
>  Subject: Re: [wanabidii]
>MAGUFULI NA UFISADI
>  To: wanabidii@googlegroups.com
>
>Date: Tuesday, October 6, 2015, 6:49 PM

>  Hakuna kilichoisha ili mradi
>
>kinachangia kufanya uamuzi tarehe 25 October. sauli
>  alibadilishwa. baada ya kubadilishwa
>hakuendelea kutetea
>  msimamo wake wa kuwaua
>wanafunzi wa Yesu. hakuna
>  aliyejitokeza
>kuyaanika madhambi yake ili tumlinganishe na
>  Sauli
>
>  --------------------------------------------
>  On Tue, 10/6/15, 'Paschal Leon' via
>Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
>  wrote:


>Subject: Re: [wanabidii] MAGUFULI NA UFISADI
>  To: "wanabidii@googlegroups.com"
>  <wanabidii@googlegroups.com>
>  Date: Tuesday, October 6, 2015, 6:13 AM

>  achana na
>  mambo yaliyopita, nani alijua Sauli (Paulo)
>angebadilika
>  na
>  kuhubiri
>Injili? 



>       On Monday,
>October
>  5, 2015 10:42 PM, 'ELISA
>MUHINGO' via Wanabidii
>  <wanabidii@googlegroups.com>
>  wrote:

>
>     

>    Mike.
>  Wewe naweza kupata pa kuanzia kukujibu.
>Ni
>  kweli viongozi wa CCM wameharibu. Njia
>pekee ilikuwa ni
>  kuiondoa CCM madarakani
>na kuweka chama kingine makini.
>  Baada ya
>mambo mawili kutokea
>  1) Chama
>  kilichokuwa kinaonekana kuwa makini
>kushindwa kumpa nafasi
>  mtu ambaye
>watanzania walimuona kama mtu makini; badala
>  yake
>  akachaguliwa mtu
>aliyenyomwa nafasi hiyo toka CCM na huku

>akiandamwa na tuhuma lukuki za ufisadi. NA
>  2) baada ya kuona CCM imeanza kusoma alama
>za
>  nyakati na kuwanyima nafasi mafisadi
>kugombea urais,
>  badala

>yake ikamteua mtu anayejitegemea na mwenye rekodi nzuri
>  katika uadilifu na utendaji wake tena katika
>mazingira
>  magumu-Watanzania wameamua
>kuchagua mabadiliko kupitia
>  CCM.
>  Ni kweli hii inawafanya watu waliokwisha
>ichukia CCM na
>  wale

>walio
>  na sababu za kutaka kuchagua kwa kutumia misingi
>  yajiografia ya nchi kuungana kuendelea
>kuikataa CCM na
>  mgombea wake. lakini
>mazingira yanaonyesha magufuli
>  atashinda.
>ikiwa hivyo si kuwa CCM itamdhibiti Magufuli
>  bali
>  Magufuli anaizika CCM
>na kuibuka na CCM nyingine ambayo

>ilikuwepo enzi za mwalimu. Tuisubiri. haiepukiki.
>  Tutaishuhudia.

>--------------------------------------------
>  On Mon, 10/5/15, 'Mike Zunzu' via
>  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
>  wrote:

>
>  Subject: Re:
>  [wanabidii] MAGUFULI NA
>UFISADI
>    To:
>  "wanabidii@googlegroups.com"
>  <wanabidii@googlegroups.com>
>    Date: Monday, October 5, 2015, 8:05 PM
>   
>    Cha

>
>  kufurahisha kuliko vyote ni kuli CCM
>kujitambua kuwa
>    wamenyea kambi, kiasi
>kwamba wanaogopa hata
>  kutamka kuwa
>    chama hicho kinamtu anaomba
>  urais kwa ridhaa ya chama
>
>  hicho.Bahati
>    mbaya sana watu wetu
>siyo wote wanawezanua
>  vitu kama hivyo,
>    baada ya kuona wanaogopa

>kutumia jina basi wananchi
>   
>wangelikuwa
>  anajiuliza kulikoni? Mbona
>safari hii haiombi
>    kuchaguliwa,
>wamejificha chini ya mgogo wa
>  mgombea
>    wao.Kama
>    unataka
>  kufahamu CCM wapo puta, acha Mgufuli
>ashinde,
>    watamwambie wewe kazi yako ni
>kukaa mlangoni,
>  wenye funguo
>    ni sisi. Hao aliodhani

>atawadhiti, yeye ndiye
>   
>watakayemdhibiti.
>    Tuombee
>    isije ikatokea
>  mbahati
>mbaya
>  kama hiyo. 
>   
>   
>   
>       On
>  Monday, 5 October
>    2015,
>17:55,
>  'ananilea nkya' via
>Wanabidii

>  <wanabidii@googlegroups.com>
>  wrote:
>   
>     
>   
>    MAGUFULI AKICHAGULIWA
>   
>UFIDADI NA UMASKINI VITAONGEZEKA
>   
>    Ananilea  Nkya
>   
>    Watu wanaokampeni kushawishi
>  Watanzania 
>    wamchague
>John  Magufuli kuwa
>  Rais wa tano wa
>Tanzania 
>    kwa kutumia
>  kigezo cha uadilifu wanadhani ataweza 
>kuzuia 
>    serikali ya CCM kuwa fisadi na
>hivyo umaskini
>  wa wananchi
>    kupungua.
>   
>    Kimsingi 
>   
>wanajidanganya
>  maana  Magufuli
>akichaguliwa  ufisadi  wa
>    kimfumo
>unaofanywa na serikali ya CCM ili
>  chama
>hicho 
>    kibaki madarakani
>  utaendelea
>  kwa kasi na hivyo  pengo
>kati
>    ya watawala

>wachache kutajirika kufuru   na mamilioni ya
>    wananchi  maskini wa kutupa litaongezeka
>mara
>  dufu.
>   
>    Nchi yetu ilipopata

>uhuru
>    maadui wa ustawi wa wananchi
>walikuwa
>  ni watatu—adui mkuu
>    ujinga—  na adui 

>wengine wawili  wanaotokana na

>  ujinga---adui  umaskini na adui maradhi.


>   
>Lakini  katika zama hizi  za
>   
>utandawazi  na demokrasia ya vyama vingi vya
>  siasa 
>    ameongezeka adui
>mwingine hatari
>  nchini kwetu--adui 
>    ufisadi. Ufisadi 

>ameshamiri nchini baada ya mfumo wa vyama

>
>  vingi vya siasa kuanza mwaka 1992.
>   
>    Chanzo cha ufisadi 
>nchini  ni CCM
>    kung'ang'ania
>madaraka  kwa kutumia nguvu
>  ya fedha 
>na
>    hivyo serikali yake kila

>  inapochaguliwa   hugeuka kuwa
>    fisadi
>na
>  kuiba fedha  na mali za umma.
>   
>    Hivyo, ikitokea 
>Magufuli akichaguliwa 
>    wananchi wengi
>wataendelea kuwa maskini  kwa
>  sababu
>    inaelekea  Magufuli mwenyewe au
>  hajui  au aamini kwamba
>   
>chanzo  cha 
>  umaskini  nchini ni
>serikali ya  CCM  kuwa
>    fisadi  na
>kuendekeza rushwa, ubabe, giliba,
>  uongo
>na siasa
>    za maji taka kushinda
>  uchaguzi.
>   
>    Inaelekea
>  Magufuli
>hajatambua  kuwa kuzuia
>    ufisadi
>  unaozaa mafuriko ya wananchi maskini
>Tanzania
>    kunahitaji  nchi iweke misingi
>ya kikatiba,
>  lakini CCM
>
>  kwa  kukataa Katiba Mpya
>  inayotokana
>na maoni ya wananchi 

>  isiandikwe 2014 iliikataa  misingi hiyo 
>kwa sababu 
>    kinajua kinanufaika 
>kubaki madarakani 
>  kutokana na
>    udhaifu wa kikatiba
>  uliopo
>  sasa.
>   
>    CCM inachofanya
>  sasa ni
>Magufuli kuwapumbaza 
>    wananchi
>  kwamba  eti baada ya yeye kuteuliwa
>kugombea Urais
>    kwa tiketi ya CCM,
>mafisadi  wameanza
>  kuikimbia CCM.
>   
>    Magufuli
>  anataka 
>    kuwaaminisha
>Watanzania kuwa 
>  umaskini  unakabili
>    mamilioni ya

>Watanzania  umesababishwa na wanaCCM

>  walioondoka kwenye chama hicho baada ya yeye
>kuteuliwa
>    kugombea Urais!
>   
>    Pengine
>    ndiyo sababu
>  Magufuli 
>anaahidi kwenye kampeni zake kwamba
>   
>akichaguliwa Rais  ataanzisha mahakama ya
>  mafisadi kama
>   
>alivyokaririwa kwenye
>  mikutano yake ya 
>kampeni huko
>    Dodoma.
>

>    Ninanukuu:

>  ''Baadhi ya mafisadi wezi wameanza
>kukimbia baada ya
>  CCM
>   
>kuniteua mgombea urais lakini nikiingia

>  Ikulu, nitawafuata
>    huko waliko ili
>  niwashughulikie vizuri ndiyo maana
>nimesema

>  nitaunda
>mahakama ya mafisadi''
>   
>    Wananchi wanajiuliza kama ufisadi wa
>fedha 
>  na
>    mali za
>nchi unafanywa na serikali
>  inayopewa 
>dhamana ya
>    kuwa mlinzi wa fedha
>  na mali za Watanzania endapo Magufuli

>  atachaguliwa na serikali
>yake  kuunda mahakama ya
>    mafisadi,  je
>majaji wa mahakama hiyo 
>  watapata
>wapi
>    ujasiri wa kumtia hatiani
>  fisadi mkuu  (serikali) wakati
>    kiongozi
>  mkuu wa
>serikali  (Magufuli) ndiye atakuwa

>  amewateua majaji wa mahakama hiyo?  Je
>serikali inaweza
>    kujihukumu yenyewe?
>   
>    Aidha
>
>  wananchi
>  wanajiuliza   je 
>serikali  ya CCM imekuwa
>    ikishindwa 
>kuchukua hatua za kisheria
>  kudhibiti 
>ufisadi
>    wa  fedha na mali
>  za
>  umma unaofanywa na  serikali ya
>kwa
>    vile
>  nchi haina 
>mahakama maalumu ya kushughulikia kesi za
>
>  ufisadi au ni kwa vile chama chao ni mnufaika
>  wa ufisadi?
>   
>    Wananchi
>  wanauliza swali
>hili
>    kwa sababu  ipo 
>  mifano mingi  kuonyesha serikali ya
>    CCM 
>  ni fisadi .
>   
>    Mfano wa
>    kwanza: Ufisadi wa EPA kuiba kwenye 
>Akaunti
>  ya EPA benki
>   
>kuu jumla ya shilingi bilioni
>  133  mwaka
>2005/6.  Wananchi
>    walishangaa
>  kuona Rais wa Jamhuri yetu  alivyopata

>  kigugumizi  kwenye
>ufisadi huo.
>   
>   
>Wananchi wanajiuliza  ilikuwaje mlinzi

>mkuu
>    (serikali ya CCM) kama kweli 
>  haikunufaika na ufisadi wa 
>    EPA
>  haikuchukizwa na
>kitendo hicho cha aibu na kuchukua hatu
>   
>za kisheria? 
>   
>   
>Kadhalika
>   
>  wananchi
>  wanajiuliza, kama kweli wizi
>huo wa EPA


>haukuhusisha serikali yenyewe kunufaisha CCM ni kwa nini
>    serikali ya CCM ilisema waliokwapua fedha
>hizo
>  wamepewa muda
>    wa
>kuzirejesha benki  na
>  hadi leo (miaka 10
>baadaye)
>    haijawatangazia
>  Watanzania  hatma ya fedha hizo?
>   
>    Mfano wa pili: Ufisadi
>wa

>  Richmond. Kukotana
>na ukosefu wa umeme nchini serikali ya
>   
>CCM iliingia mkataba na kampuni ya kigeni

>Richmond ili nchi
>    ipate  umeme.
>   
>    Kabla

>  kampuni hiyo kuanza
>kuzalisha umeme zilitoka tuhuma
>  kwamba
>    Richmond  ilikuwa ni kampuni feki.

>   
>   
>Wakati huo Edward
>  Lowassa  alikuwa
>Waziri
>    Mkuu,  kimamlaka
>  hakuwa  Waziri wa  Nishati, lakini

>  aliamua kujiuzulu
>kulinda heshima ya serikali. 
>    Lakini
>cha
>  kushangaza baada ya kujiuzulu
>    Lowassa 
>kampuni  ya Dowans iliyoirithi

>Richmond
>    iliendelea kulipwa fedha
>nyingi
>  kila mwezi hadi zikafikia
>    bilioni 172.
>   
>    Wananchi

>  wanajiuliza  kama CCM  ilikuwa
>hainufaiki  na 
>  mabilioni
>    hayo yaliyokuwa yanalipwa 
>  Dowans  na kwamba mnufaika wa
>    ufisadi huo
>  alikuwa ni
>Lowassa  ni kwa nini Dowans

>  waliendelea kulipwa baada ya Lowassa kuachia
>ngazi? Ni
>  kwa
>    nini
>Lowassa hajafikishwa mahakamani
>  hadi leo
>kama tuhuma
>    dhidi yake zina
>  ushahidi?
>   
>    Mfano wa tatu:
>  Ufisadi 
>wa  kuuza kwa bei
>    chee  nyumba
>  za Watanzania zenye thamani ya mabilioni
>ya

>  shilingi huku 
>leo hii  serikali ikitumia fedha nyingi

>za
>    umma  kuwapangishia makazi 
>hotelini 

>  watawala.
>   
>   
>Wananchi
>  wanafahamu kuwa 
>    msimamizi  wa  

>uuzwaji wa nyumba  hizo ulifanyika 

>  wakati  Magufuli akiwa na Waziri nyumba na
>makazi.
>   
>    Karibu
>nyumba za umma
>  elfu
>   
>kumi ziliondoka mikononi mwa umma na
>  hadi
>leo Watanzania
>    hawajaelezwa
>  zilipatikana shilingi ngapi kwenye mauzo
>ya

>  nyumba hizo  na
>zilitumika kufanya jambo gani la
>   
>kuwaondolea wananchi umaskini. 
>   
>Aidha
>    katika uuzaji wa nyumba
>  za umma Magufuli anatuhumiwa 
>    kuwauzia
>  baadhi ya ndugu
>zake .
>    Wananchi
>   
>wanajiuliza kama Magufuli na Lowassa wote

>walikuwa ni
>    watendaji katika serikali
>ya
>  CCM, na  wote  ufisadi
>    umefanyika 
>  kwenye
>maeneo ambayo walikuwa na dhamana,  ni
>   
>kwa nini   leo  Magufuli anashabikiwa na
>  CCM kuwa ni
>
>    mwadilifu  ili hali  Lowassa

>akipakaziwa   ufisadi ?
>   

>  Aidha, wananchi
>wanauliza 
>    ufisadi   kwa
>  Magufuli katika kusimamia kwa niaba ya

>  serikali ya CCM  uuzaji
>kwa bei poa nyumba za umma
>    umetoweka 
>kwa vile tu anagombea Urais kwa
>  tiketi ya
>CCM na
>    tuhuma za ufisadi kwa
>  Lowassa mkataba wa Richmond umebaki
>    kwa
>  sababu tu ameamua
>kuondoka CCM na kugombea Urais   kwa
>   
>tiketi ya CHADEMA --chama kinachowakilisha
>  vyama vinne vya
>    upinzani
>vinavyoundwa Umoja
>  wa Katiba ya
>Wananchi-UKAWA?
>   
>   
>Mfano wa Nne: Ufisadi wa

>  Tegeta escrow 2014, serikali ya CCM
>ilifisadi bilioni
>  306. 
>
>  Watuhumiwa wa ufisadi huo walienea

>ofisi mbali mbali za
>    serikali 
>hadi 
>  ofisi kuu  ya  ya  nchi
>--Ikulu 

>  inayopaswa
>kuwa
>  mahali patakatifu ilihusishwa na ufisadi
>
>  huo!
>   
>    Tena
>  wananchi
>    walielezwa
>jinsi mabilioni  ya 
>  fedha hizo
>    zilivyokwapuliwa  kibabe 
>  nyingine zikibebwa  kwa magunia
>    na
>  tandarusi mchana
>kweupe.
>   

>  Watawala wa CCM waliopaswa kujiuzulu kama

>  Lowassa alivyojiuzulu 
>na kisha kupakaziwa ufisadi
>  tuliona
>    jinsi walivyosafishwa  na serikali
>  ya CCM yenyewe!
>   
>    Wananchi
>  wanajiuliza
>kama
>    ufisadi wa Richmond
>  haukuwa mkakati wa CCM wa kutumia siasa
>    za
>  maji taka kumtoa
>Lowassa  kafara wa ufisadi  kudanganya
>   
>wananchi kwamba  serikali ya CCM siyo

>fisadi  bali fisadi
>    ni Lowassa ni
>kwa
>  nini   Magufuli  kwa dhamana yake
>kama

>  Waziri wa
>Nyumba  alisimamia ufisadi wa  nyumba za
>  umma 
>   
>  CCM inamuona mwadilifu na Waziri wa

>nishati  Muhongo 
>    aliyekuwa na
>dhamana
>  wakati wa ufisadi wa Tegeta
>escrow

>  alisafishwa
>ili hali Lowassa   aliyesimamia ufisadi

>wa 
>    mkataba wa Richmond 
>anapakaziwa
>  ufisadi?
>   
>
>    Zaidi wananchi

>wanajiuliza
>    kama chanzo cha ufisadi 
>  nchini kama vile Magufuli na CCM
>    wanayotaka
>  kuaminisha
>umma ni LOwassa na wengine walioondoka
>   
>CCM,  je  ni kwa nini  serikali ya CCM

>imekumbwa na
>    ufisadi wa Tegeta
>escrow 
>  miaka saba baada ya Lowassa
>    kujiuzulu
>  uwaziri
>mkuu?
>   
>    Hakika
>ziko
>  fisadi nyingi  zilizohusisha
>    viongozi wa
>  serikali ya
>CCM  iwe ni kwenye miradi ya

>  kitaifa au kwenye halmashauri  na 
>mikataba ya mali za
>    nchi kama vile
>madini  kuonyesha kwamba 
>  umaskini 
>  wa
>    wananchi unasababisha na 
>  ufisadi wa serikali ya CCM.
>

>    Ndiyo  sababu  kwa kutumia

>  mifano hii minne
>wananchi wanajiuliza  ni kwa nini  

>CCM
>    imtoe  Edward Lowassa  kafara
>wa 
>  ufisadi  ili  hali
>    serikali ya CCM ndiyo

>fisadi? 
>   
>   
>Kadhalika
>  wananchi  wanajiuliza ni kwa
>nini
>    Edward
>  Lowassa
>ambaye ameamua  kuondoka CCM kutumia haki
>
>  yake ya kikatiba  kutimiza ndoto yake ya
>  kugombea Urais , 
>    CCM
>inamuona tishio na
>  hafai kuwa Rais?
>   
>    Kama
>  alikuwa hafai kuwa Rais  kutokana na

>  ufisadi ilikuwaje
>alipewa dhamana kubwa  ndani ya

>serikali
>    ya CCM kuanzia uwaziri hadi
>Waziri
>  Mkuu na akajiuzulu
>    uwaziri mkuu ili kuzuia

>serikali ya chama chake isianguke
>   
>kutokana
>  na ufisadi?
>   

>    Wananchi

>wanajiuliza hivi tatizo hapa ni
>    ufisadi
>wa
>  Lowassa kweli au ni CCM  kutaka

>  kung'ang'ania
>madaraka ya kuongoza  hata kama

>wananchi
>    whawakitaki tena chama hicho
>  kiongoze nchi?
>   

>  Wananchi pia wanajiuliza
>hivi
>    tatizo ni

>Lowassa ambaye anao uzoefu mkubwa wa kuongoza
>    serikali na ambaye rekodi yake 
>inaonyesha
>  kuwa ni mchapa
>    kazi au tatizo ni  kwa vile
>  anagombea   Urais kupitia
>
>  CHADEM-UKAWA 
>  na  wananchi 
>wamemkubali ingawa CCM

>  ilidhani umma ungemkataa kutokana na
>kuchafuliwa
>  kimkakati 
>    kwa  ufisadi?
>   
>    Wananchi

>  wanajiuliza  kama  Magufuli  ni
>mwadilifu  kuliko
>    Lowassa na kwamba 
>CCM  siyo inayonufaika na
>  ufisadi
>    unaofanywa na  watumishi
>  wa
>  serikali yake ni kwa nini CCM
>    wamekataa
>  kuandika
>Katiba Mpya inayotokana na maoni ya
>   
>wananchi  ili kuweka misingi ya kikatiba

>kuziba mianya 
>    kwa  serikali ya
>chama
>  chochote  kuwa fisadi wa fedha
>na
>    mali za

>wananchi?
>   
>   
>Wananchi
>    wanajiuliza ni kwa nini CCM 
>inahaha 
>  kumzuia Lowassa 
>    kuwa Rais  wa Jamhuri 

>kama CCM  haiogopi   hatari ya
>   
>kuachia
>  chama kingine kuingia madarakani
>wakati nchi
>    haijaweka misingi ya kuzuia
>serikali kuwa
>  fisadi na hivyo
>    wanaogopa kuwa  serikali
>  ya CHADEMA  na UKAWA nayo itakuwa
>    fisadi
>  kama ilivyokuwa
>serikali ya CCM?
>   
>   
>Wananchi wanajiuliza  kama  Magufuli  ni
>
>  mwadilifu  kuliko Lowassa na kwamba  CCM 
>  siyo
>    inayonufaika na
>ufisadi unaofanywa na
>  serikali yake ni
>kwa
>   
>  nini CCM wamekataa
>  kuandika Katiba Mpya
>inayotokana na maoni


>ya wananchi  ili kuweka misingi ya kikatiba itakayoziba
>    mianya   serikali ya chama chochote 
>kuwa
>  fisadi wa fedha
>   
>na mali za wananchi?
>   
>
>  Vile
>    vile
>  wananchi
>wanajiuliza, kama Rais Jakaya Kikwete ambaye
>    mwaka 2005 alipigiwa kampeni na   CCM 
>kuwa
>  ni mwadilifu,
>   
>kama anavyonadiwa  Magufuli
>  sasa 
>lakini kwa miaka 10
>    umaskini wa
>  wananchi umeongezeka –deni la taifa 

>  limeongezeka kila
>Mtanzania  anatakiwa kulipa shilingi
>   
>800,000/-—je Magufuli atakuwa na ubavu gani
>  wa kuifanya
>    CCM na
>serikali yake 
>  isiendelee kuwa fisadi?
>
>   


>Ni kutokana na hoja hizi ndiyo
>    sababu
>  wananchi wengi wanaona kumchagua Magufuli
>kuwa Rais
>    wa Tanzania ni kuchagua
>ufisadi na 
>  ni
>  kuchagua mamilioni
>
>  ya watanzania waendelee
>  na umaskini.
>HAIKUBALIKI.
>   

>  Tena  wakati mamilioni ya
>
>  wananchi
>  wanaendelea kuwa maskini
>watawala wa serikali ya
>    CCM, familia
>zao, wapambe wao kwenye kampeni
>  na
>marafiki
>    zao   wataendelea
>  kujitajirisha kufuru na kwa kujigawia
>    fedha
>  na mali 
>zinazopaswa kunufaisha Watanzania wote.


>    Ndiyo sababu wananchi
>  sasa
>    wanahamasishana
>kutambua kuwa
>  kumchagua Magufuli ni
>    kuichagua CCM na  ni

>kama  kumpa  tena  ya ulinzi mlizi

>  mwizi!
>   
>    Wananchi wanaona
>  ni
>    afadhali kuichagua CHADEMA-UKAWA  kwa
>  sababu kwanza
>    mgombea 
>wake wa Urais 
>  Lowassa  huenda
>akaonyesha
>    uadilifu na
>  uchapakazi  wa hali ya juu 
>kuwathibitishia
>    Watanzania
>  kwamba CCM amepakaziwa na kutolewa

>kafara ufisadi
>    ili CCM iendelee
>kubaki
>  madarakani bila kujulikana
>kwamba
>    serikali
>  yake
>ndiye malkia wa ufisadi nchini.
>   
>    Wananchi wanatambua kuwa

>
>  kuirejesha CCM  Ikulu   kasi ya 
>umaskini itaongezeka
>  kwa
>
>  wananchi wengi  kuaendelea kukosa 

>kipato, kukosa elimu
>    bure na bora hadi
>chuo
>  kikuu kuondoa adui ujinga na 
>    wizi, 
>  biashara chafu,
>uvunjifu wa haki za binadamu  na 
>   
>serikali kuwa mbabe, dikteta mminya

>demokrasia 
>    vitaongezeka na hivyo
>kuvuruga
>  amani ya nchi yetu.
>   


>Hivyo   ni muhimu serikali ya
>    CCM
>ikaacha
>  sauti na maamuzi ya wananchi
>isikike katika


>uchaguzi mkuu  tarehe 25 Oktoba 2015  ili endapo 
>    wananchi wataamua  kumchagua  Lowassa
>kama
>  Rais
>  wao
>    kupitia CHADEMA  inayowakilisha
>  vyama vinavyounda   Umoja
>
>  wa Katiba ya
>  Wananchi (UKAWA),  
>waandike Katiba Mpya 
>    inayotokana na
>maoni ya wananchi na
>  wasipofanya hivyo
>    uchaguzi wa  2010 

>wananchi wawanyang'anye madaraka.
>   
>    Katiba mpya siyo tu 

>
>  itampunguza madaraka ya Rais kuhusu
>uteuzi wa watendaji
>    ikiwa ni pamoja na
>majaji wa mahakama, bali
>  pia  itaweka
>    misingi ambayo  mihimili 
>  mitatu ya utawala wa nchi
>
>  ---Serikali,
>  Bunge na Mahakama 
>vitakuwa haviingiliani.


>    Kwa hivyo serikali ya
>chama
>    chochote ikiiingia madarakani na
>ikafanya
>  ufisadi
>   
>itawajibishwa na wananchi nao
>  wataacha na
>wizi na ujambazi
>    wa kutumia
>  silaha kujitajirisha kama watawala wao
>wanavyoiba
>    fedha za umma kwa kutumia
>ujambazi
>  wa
>  kalamu.
>   
>    Katiba Mpya ya

>wananchi
>    ikiandikwa, serikali
>ikifisadi
>  fedha na mali za wananchi
>    itashtakiwa 
>  na 
>majaji hawataogopa  kuihukumu serikali
>   
>bila  kuipendelea kwa sababu hawatakuwa na
>  woga wa 
>    kupoteza
>ajira.


>    Hayo ndiyo
>   
>mabadiliko
>  wanayotaka wananchi  wa
>Tanzania katika


>kukomesha ufisadi wa kimfumo ili kuepusha  ongezeko la
>    wananchi masikini wa kutupa
>kunakohatarisha
>  amani  na umoja
>    wa  kweli  katika nchi

>yetu.
>   
>    Lakini CCM
>na
>  serikali yake vikitumia rushwa,
>    ubabe na
>  uchakachuaji 
>katika uchaguzi wa tarehe 25 na 
>   
>kushinda uchaguzi, tuendako serikali ya CCM
>  itafanya 
>    ufisadi 
>mkubwa zaidi,  tena
>  ikitumia  ubabe,
>udikteta na
>    dharau kubwa

>  kwa  vyama vya upinzani na wananchi kwa

>
>  ujumla.  Mungu ibariki Tanzania.
>   
>    Note: Ninaruhusu 
>yeyote anayetaka kutumia
>  ,
>    kuchapisha au kusambaza andiko hili
>  afanye hivyo.
>   
>   
>    Ananilea
>    Nkya
>     E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
>   
>    --
>
>  Send
>    Emails to wanabidii@googlegroups.com
>

>    Kujiondoa Tuma Email
>  kwenda
>   
>
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
>    Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>   
>    Disclaimer:

>  Everyone posting to
>    this Forum bears the

>sole responsibility for any legal

>  consequences of his or her
>  postings, and hence statements
>    and
>facts must be presented responsibly. Your

>continued
>    membership signifies that
>you
>  agree to this disclaimer and
>    pledge to
>  abide by our
>Rules and Guidelines.
>    ---
>    You received this message

>  because you are
>subscribed to the Google Groups
>   
>"Wanabidii" group.

>  To unsubscribe
>    from this
>group and stop
>  receiving emails from it,
>send an
>    email to

>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>    For more options, visit

>
https://groups.google.com/d/optout.
>   
>      
>   
>   
>   
>--
>   
>    Send
>  Emails to wanabidii@googlegroups.com
>

>     
>   
>    Kujiondoa
>  Tuma Email kwenda


>
>    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
>  Utapata Email ya
>   
>kudhibitisha ukishatuma
>   
>     
>   
>   
>Disclaimer:
>   

>  Everyone posting to this Forum bears the
>sole
>  responsibility
>   
>for any legal consequences
>  of his or her
>postings, and hence


>statements and facts must be presented responsibly. Your
>    continued membership signifies that you
>agree
>  to this
>   
>disclaimer and pledge to abide by
>  our
>Rules and
>    Guidelines.

>

>    ---
>   

>  You
>received this message because you are subscribed to
>  the
>    Google Groups
>"Wanabidii"
>  group.
>   
>    To unsubscribe
>  from this group and stop receiving emails


>  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>   
>    For more options,
>visit

>https://groups.google.com/d/optout.
>   

>  --

>Send
>  Emails to wanabidii@googlegroups.com

>  Kujiondoa Tuma Email
>kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
>  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

>  Disclaimer:
>  Everyone posting to
>  this
>Forum bears the sole responsibility for any legal
>  consequences of his or her postings, and
>hence statements
>  and facts must be
>presented responsibly. Your continued

>membership signifies that you agree to this disclaimer
>  and
>  pledge to abide by our Rules and
>Guidelines.
>  ---
>  You
>received this message
>  because you are
>subscribed to the Google Groups

>"Wanabidii" group.
>  To
>unsubscribe
>  from this group and stop
>receiving emails from it, send an
>  email
>to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>  For more options, visit

>https://groups.google.com/d/optout.

>       


>  --

>
>  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

>   

>
>  Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
>  Utapata Email ya

>kudhibitisha
>  ukishatuma

>   

>  Disclaimer:

>  Everyone posting to this
>Forum bears the sole
>  responsibility
>  for any legal consequences of his or her
>postings, and
>  hence

>statements and facts must be presented responsibly. Your
>  continued membership signifies that you
>agree to this
>  disclaimer and pledge to
>abide by our Rules and
>  Guidelines.

>  ---

>
>  You received this message because you
>are subscribed to
>  the

>Google Groups "Wanabidii" group.

>  To unsubscribe from this
>group and stop receiving emails
>  from it,
>send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

>  For more options,
>visit
>
>https://groups.google.com/d/optout.


>  --
>  Send
>Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>
>  Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
>  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

>  Disclaimer:
>
>Everyone posting to this Forum bears the sole
>responsibility
>  for any legal consequences
>of his or her postings, and hence
>
>statements and facts must be presented responsibly. Your
>  continued membership signifies that you agree
>to this
>  disclaimer and pledge to abide by
>our Rules and Guidelines.
>  ---
>  You received this message because you are
>subscribed to the
>  Google Groups
>"Wanabidii" group.
>  To unsubscribe
>from this group and stop receiving emails
>
>from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>  For
>  more options, visit
>
>https://groups.google.com/d/optout.
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
>Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to
>this Forum bears the sole responsibility for any legal
>consequences of his or her postings, and hence statements
>and facts must be presented responsibly. Your continued
>membership signifies that you agree to this disclaimer and
>pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message
>because you are subscribed to the Google Groups
>"Wanabidii" group.
>To unsubscribe
>from this group and stop receiving emails from it, send an
>email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit
>https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>
>--
>
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>

>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>kudhibitisha ukishatuma
>

>
>Disclaimer:
>
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
>for any legal consequences of his or her postings, and hence
>statements and facts must be presented responsibly. Your
>continued membership signifies that you agree to this
>disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>Guidelines.
>
>---
>
>You received this message because you are subscribed to the
>Google Groups "Wanabidii" group.
>
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails
>from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>
>
>--
>
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>

>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>kudhibitisha ukishatuma
>

>
>Disclaimer:
>
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
>for any legal consequences of his or her postings, and hence
>statements and facts must be presented responsibly. Your
>continued membership signifies that you agree to this
>disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>Guidelines.
>
>---
>
>You received this message because you are subscribed to the
>Google Groups "Wanabidii" group.
>
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails
>from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment