Saturday 29 November 2014

Re: [wanabidii] Ajabu Ya Wabunge Wa Nchi Ya Kusadikika...!

Ha ha ha ha sikusudii ila ni kusadikika

On Nov 29, 2014 10:44 PM, "Maggid Mjengwa" <mjengwamaggid@gmail.com> wrote:


Ndugu zangu,

Wasadikika hawaishiwi maajabu. Ngoma Kuu ya Sakata la Eskroo imehitimishwa leo. Tayari yametolewa mapendekezo, kuwa Uwanja Mkuu wa Ndege kwenye nchi ya Kusadikika uitwe ' Dar es Kroo International Airport' . Ni kwa kuwa Dunia sasa inaifahamu zaidi nchi ya Wasadikika kwa Sakata la Eskroo!

Na ajabu ya Wabunge wa Nchi ya Kusadikika ni ukweli kuwa, siku ile Profesa wao aliyebobea katika masuala ya miamba na madini, na hata amejulikana ulimwenguni kote, aliposema, kuwa mmoja wa Wabunge wa Nchi ya Kusadikika, Wole Soyindeka, kimsingi alifeli Form Four na hivyo hakuwa na akili ya kumkosoa Profesa. Na Profesa alikuwa tayari kutoa CD kwa Wabunge kuangalia na kutafakari kama Mbunge huyo anastahili kuwa mwanachama kwenye chama kikuu cha nchi ya Wasadikika. Wabunge Wasadikika walimshangilia sana Profesa wao.

Ajabu ni juzi hapa, kwenye Bunge hilo hilo. Mbunge aliyefeli Form Four, Wole Soyendika, alisimama na kumwambia Profesa wa Miamba kuwa hana lolote isipokuwa ni dalali wa Mafisadi. Wabunge Wasadikika walimshangilia sana Mbunge mwenzao aliyesemwa na Profesa kuwa alifeli Form Four!

Naam, kwenye Nchi ya Kusadika wanaamini pia, kuwa anayecheka mwisho ndiye aliyefaidi utamu wa kucheka!

Maggid ,
Msamvu, Kitongoji kwenye Nchi ya Kusadikika.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment