Tuesday 1 January 2013

RE: [wanabidii] Analojia to digitali

Analog to digital system kwa Kiswahili safi inapaswa kuwa analojia kwenda mfumo wa kidijiti, siyo digitali.
Tuacheni uzembe wa kufikiri kwenye masuala ya lugha. Nimeona hadi hotuba ya Rais ya jana ina kosa hili wakati BAKITA walisharekebisha. Sijui ni wana wanaoandika hotuba ya Rais kwa akili za kizembe namna hii?
 

Date: Tue, 1 Jan 2013 09:26:16 +0300
Subject: [wanabidii] Analojia to digitali
From: skasambo@gmail.com
To: Wanazuoni@yahoogroups.com
CC: wanakenya@googlegroups.com; progressive-kenyans@googlegroups.com; janetmaro@gmail.com; m.b.assoumani@usa.net; wanataaluma@googlegroups.com; youngprofessionals_ke@googlegroups.com; sitimohamed.2012@gmail.com; mbeniconnect@yahoogroups.com; smchangama@gmail.com; wanabidii@googlegroups.com

Salamu za mwaka mpya 2013.
Kuna hivi dikoda za Digtech zinatangazwa sana itv na eatv...wapi zinauzwa na kama kuna mwenye uzoefu nazo atujuze.
Asante
On Dec 29, 2012 9:48 PM, "Yona Maro" <oldmoshi@gmail.com> wrote:

 

Ndugu Benn Haidari


Ahsante kwa mchango wako , nina swali moja kwako .

Je unadhani vyakula asili vinavirutubisho vya kutosha vinavyoweza kupambana na hali ya sasa ya kimaisha ?

Je vipi kuhusu ubora wa vyakula hivi kuanzia kwenye ardhi inayopandwa , maji yanayotumika kunyeshea na aina nyingine ya utunzaji kufananisha na  Hivi vya kisasa ?

2012/12/29 <benn.haidari@aland.net>
Waheshimiwa,
Wiki iliyopita kabla ya Christmas, nilialikwa kuwa mgeni rasmi huko visiwa vya Komoro kwa kujadili masuala haya ya vyakula kutoka pande za ulaya ambavyo vimepigwa marufuku huku Ulaya kwaajili ya madhara mbali mbali.
Katika mijadala hiyo ambayo ilikuwa kwenye semina na workshops mbali mbali mbali za wiki 2 tulijaribu kutiliya mkazao vyakula vyetu vya Kiswahili ambavyo Wazee wetu walikuwa wakivitumiya kwa karne nyingi.
Katika semina hiyo, tulikuwa na wataalamu mbali mbali kama Professor Bakri Othman from U.S.A. ambawo wameonesha kitaalamu kuwa nchi nyingi za Kiaafrrika zinatumiwa kuwa jaa la vitu vilivyooza huku Ulaya.
Kwa hivyo sijastaajabu kuona mjadala huu, hapa kwenye mtandawo, na itabidi serikali zetu watiye mkazo kutumiya local products zetu zaidi katika mikahawa yetu,  madukani na nyumbani pia. Ni muhimu sana kuwasomesha watoto wetu kupenda vyakula vyetu vya jaddi ambavyo vina siha zaidi kuliko hivi vyakula vya ulaya.
Katika vitabu vingi vyangu vya mapishi ambavyo vinapatikana kwenye Amazon.com, nimeonesha ule ustaarabu tulikouwa nawo miaka mingi iliyopita, ya vyakula, na ustaarabu huu unapoteya.
 
From: Yona Maro
Sent: Saturday, December 29, 2012 6:45 PM
Subject: [PK] VYAKULA VYA GMO MADUKANI KWETU
 


>
> Ndugu zangu
>
>
> Nilikuwa natafuta vyakula Fulani Fulani vya watoto na moja ya kitu nilichokuw...

--
*************************************************************************************************
Geniuses Training and Business Services
Certificate and Diploma in Teaching, Training, Business Management & Entepreneurship, Legal Studies, Social Media & Marketing, Project Management, Multimedia Development, English and Literature Studies, Children Studies, Psychology, ICT Foundation Course
Call 0705297307 or 0786695083 or Email to: info@geniusesltd.com
 
*************************************************************************************************
TO ADVERTISE HERE: email: amosogal @ gmail.com
*************************************************************************************************
To subscribe:progressive-kenyans+subscribe@googlegroups.com:
Unsubscribe:progressive-kenyans+unsubscribe@googlegroups.com
 
 


--
*************************************************************************************************
Geniuses Training and Business Services
Certificate and Diploma in Teaching, Training, Business Management & Entepreneurship, Legal Studies, Social Media & Marketing, Project Management, Multimedia Development, English and Literature Studies, Children Studies, Psychology, ICT Foundation Course
Call 0705297307 or 0786695083 or Email to: info@geniusesltd.com
 
*************************************************************************************************
TO ADVERTISE HERE: email: amosogal @ gmail.com
*************************************************************************************************
To subscribe:progressive-kenyans+subscribe@googlegroups.com:
Unsubscribe:progressive-kenyans+unsubscribe@googlegroups.com
 
 


__._,_.___
Reply via web post
Reply to sender
Reply to group
Start a New Topic
Messages in this topi...

.

__,_._,___


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment