Wednesday 30 January 2013

Re: [wanabidii] DR W P SLAA APITILIZA UMRI WA KUSTAAFU

Ni vema tukawa na mijadala yenye tija.Viongozi wengi wa kisiasa, wengi wao wanagpombea nafasi hizo wakiwa na umri mkuwa wengi wao wakiwa ni wastaafu kwenye utumishi wa umma. Mathalan, mtakubaliana na mimi kuwa 3/4 ya madiwani wote Tanzania ni wastaafu serikalini. Pia wastaafu ktk nafasi mbalimbali za utumishi wa umma kama vile wakuu wa idara nyeti serikalini kama vile aliyekuwa Kamishna wa polisi Kanda maalum NDG Tibaigana naye mara tu baada ya kustaafu alikwenda kwao Muleba kugombea ubunge ingawa baadaye kura hazikutosha.Kombe,Mboma vivo hivyo. Kwa hiyo hapa tuangalie uwezo na uzalendo wa mtu katika kuongoza , sisi tuachana na proppaganda mbofu mbofu

Paul Kessy-Mtwara



From: "nevilletz@gmail.com" <nevilletz@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January 31, 2013 7:39 AM
Subject: Re: [wanabidii] DR W P SLAA APITILIZA UMRI WA KUSTAAFU

Mbona mnakwenda mbali? Muulizeni Steven Masato Wasira, Samuel Sitta, George Mkuchika wana umri gani?
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

-----Original Message-----
From: "hmallomo@yahoo.com" <hmallomo@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thu, 31 Jan 2013 04:17:48
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: RE: [wanabidii] DR W P SLAA APITILIZA UMRI WA KUSTAAFU

Dr. Salim, Malecela wao waligombea wakiwa na miaka mingapi? Acha kuwa biased
Larry

-----Original Message-----
From: Yona F Maro
Sent:  31/01/2013, 1:06  am
To: Wanabidii
Subject: [wanabidii] DR W P SLAA APITILIZA UMRI WA KUSTAAFU


Ndugu zangu

Ukisoma Wasifu wa Dr W P SLaa inaonyesha amezaliwa 29 October 1948 na
mwaka 2010 wakati anagombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA
alikuwa na miaka 62 miaka 2 zaidi ya umri wa Kustaafu kwa mfanyakazi
wa Umma kwa Tanzania .

Mwaka 2015 akigombea tena kwa tiketi ya CHADEMA au CHAUMA atakuwa na
miaka 67 amepitiliza miaka 7 ya kustaafu .

Tukumbuke wanasiasa vijana wamewahi mara kadhaa kutoa maoni yao kuhusu
umri wa Umri wa kugombea Urais upunguzwe na uwe na kikomo .

Tunaweza tusikubaliane katika mambo mengine lakini suala la ukomo wa
umri ni muhimu kwa maslahi ya Nchi yetu na watu wake .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.




0 comments:

Post a Comment