Tuesday 29 January 2013

RE: [wanabidii] Wakristo kutokula mnyama aliyechinjwa na Muislam

Mimi nafikiri kuna kitu zaidi ya haya tunayoyaona na pia ukiangalia haya yamekuja wakati wa utawala huu tena kipindi cha baada ya uchaguzi mkuu 2010 wakati viongozi wa chama tawala walipokosa hoja za msingi na matokeo yake ndio hayo chokochoko zimekuwa nyingi sana na waliyoyaanzisha wamekaa kimya nao wanalalamikia kwa mbaali sana.

Kwa hali hii Tanzania yenye Amani na utulivu kama wanavyojisema wamedumisha haipo tena, sababu ni kuhamishia akili za tumbo kichwani, mimi mtu anayeongelea ubaguzi wa DINI wale ni wakristo na hawa ni waislamu sipendi hata awepo hapa duniani hakupaswa kuwepo kabisaaaaa.

Haya ndio MAUA ya kuhubiri UDINI walioupanda  kwenye majukwaa ya siasa MATUNDA yako njiani tuyasubiri maana ya Mtwara tulikaa kimya yametokea ndio kila mtu yuko kule.

Tatizo tunapenda kutibu majeraha tu hatujui kama makovu hayatibiki ambayo huwa yanaacha maswali ambayo hayana majibu.

 

 

safety has no luck play your role

Emmanuel G Mbise | Mine Captain Conventional| African Barrick Gold (Pty) | Phone: +255 (22) 2600 508 Ext: 6061 |  Mobile: +255755347135 Fax: +255 (22) 2600 222 | Address: Bulyanhulu Gold Mine, African Barrick Gold, P.O. Box 1081, Dar es Salaam, Tanzania | Email EMbise@africanbarrickgold.com

 

From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On Behalf Of Hildegarda Kiwasila
Sent: Wednesday, January 30, 2013 1:17 AM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Wakristo kutokula mnyama aliyechinjwa na Muislam

 

Daima wakristu wanapokuwa na sherehe makwao humuita muislamu kuchika mnyama wa sherehe-mbuzi, kondoo, kuku, ng'ombe ili waislamu waweze kushiriki sherehe hiyo ya mlo. Waislamu kuchinja ktk machinjio ya umma na sherehe za mjumuiko nao kwa upande wa dini nyingine haijawa tatizo. Huyo mkristu anayegoma ana lake jambo. Atafute lingine hatopata support ya mtu yoyote ni destruri ya jamii ya kiafrika kabisa TZ kukubali moslem wachinje Wasira was right. Hata baadhi ya sherehe mfano kifo-watani ndio wapikao SIO mfiwa ama sivyo mfiwa ukianza kupika mwenyewe watakushangaa. Shetani kaivaa nchi. Bado mengine yaja. Mfano itaanza- 'kila mtu wa dini fulani asome shule za dini hizo, atibiwe hospitali za dini yake etc.' watu watazalia mlangoni mwa facility hizo kwa kutokupowewa wapate huduma. Mungu atusaidie.

--- On Tue, 29/1/13, matinyi@hotmail.com <matinyi@hotmail.com> wrote:


From: matinyi@hotmail.com <matinyi@hotmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Wakristo kutokula mnyama aliyechinjwa na Muislam
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 29 January, 2013, 19:02

Tanzania kwishinehi. Ujinga wa waasisi wa udini. Haya ni mavuno.



T-Mobile. America’s First Nationwide 4G Network

----- Reply message -----
From: lucsyo@gmail.com
To: "Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii] Wakristo kutokula mnyama aliyechinjwa na Muislam
Date: Tue, Jan 29, 2013 12:29 pm


Hili tamko jamani mbona limekaa ki mrengo wa kushoto, na tena limetolewa na chombo kikubwa kama hicho


Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment