Wednesday 30 January 2013

Re: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?

kama tunataka kuwa wakweli na kuondoa kuogopana na unafiki tunaitaji nchi serikali moja tu. Na tutapunguza gharama kubwa sana, na hizo pesa  zinazoweza kuingizwa kwenye maendeleo kama shule na hospitali kuliko kuendesha dudu la serikali mbili au tatu.


From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, January 30, 2013 6:30 PM
Subject: Re: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?

Hapo ndipo nawaona ndugu zetu wa Zanzibar kuwa watu wa ajabu sana. Yaani mpaka wanatuchagulia na jina?
em

2013/1/30 Said Issa <saidissa100@yahoo.com>
>Natamani hata baada ya kutimia mgawanyiko unaopigiwa chapuo, upande wa bara ubaki kuitwa TANZANIA tu,
 
Adam, kama kutamani basi wanatamani wengi na sio peke yako, lakini kwa bahati mbaya dunia ya leo haiendi kwa matamanio yetu.
Kuhusu kutumia jina la Tanzania naona Wazanzibari washalijibu hilo suala na labda nikudokeze kidogo hapa chini kutokana na barua ya wazi aliyopelekewa ndugu yetu mmoja.
"....sote tunajua kuwa jina la Tanzania ni zuri na tunalipenda sana. Itakuwa vigumu na kinyume kwenu nyinyi kujiita tena Tanganyika, lakini Muungano ukivunjika sio nyinyi wala sio sisi watakaoweza kulitumia jina la Tanzania isipokuwa kwenye mabuku ya historia tu. Hapatokuwa  na uwezekano wa watu wa Bara kuamua kuendelea kujiita Watanzania. Wabara kuamua kuendelea kujiita Watanzania - in a diplomatic lingo that would amount to willfully fooling the world....".

Jamal Abdel Nasser alitamani (wakati  umoja wa Egypt na Syria unavunjika ile 1961) ili Egypt ibakie kuitwa United Arab Republic (UAE) - due to his strong sentiments of collective Pan-Arab nationalism, lakini haikuwezekana na ikabidi iendelee kuitwa Egypt.

Rais wa Urusi Bw. Vladimir Putin inasemekana wakati USSR inasambaratika na akiwa yeye kama boss wa KGB alitamani (kama unavyotamani wewe), kuwa Urusi peke yake ichukue jina la USSR, lakini haikuwezekana na ikabidi jina la USSR liende na maji.

Ushauri wetu ni kuwa, tumieni jina lile lile lenu la Tanganyika kwani litaleta maana zaidi, lakini kama hamtolikubali tena jina lenu la zamani ... na mtataka kushikilia kuitwa Tanzania, basi labda baada ya Muungano kuvunjika mjiite TANGANIA which is very close to our beautiful name of Tanzania!
The name TANGANIA encompasses Tanzania, Tanganyika and even Tanga. What a great and a beautiful name this will be !"
 
 

Sent: Tuesday, January 29, 2013 1:05:00 PM
Subject: RE: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?

Hakika Bariki. Tanzania moja. Nata,ani hata baada ya kutimia mgawanyiko unaopigiwa chapuo, upande wa bara ubaki kuitwa TANZANIA tu, sio Tanganyika. Kiukweli; ni ama tunauhitaji muungano au hatuutaki. Wazo la serikali moja lililomnyongelea mbali malecela enzi za uongozi wa rais Mwinyi, lilikuwa wazo bora! But wishes are never horses!
-----Original message-----
From: Bariki Mwasaga
Sent:  29/01/2013, 18:57
To: wanabidii
Subject: Re: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?



Mimi ingekuwa ni uamuzi wangu, tungebaki na jitu linaitwa Tanzania
tu....kwangu ni bora basi tukawa na "lander" kama huko Ujerumani kuliko
kuwa na Serikali sijui mbili ama tatu. Lakini kwa sababu haya
yanashindikana basi Serikali 3 ndiyo mbadala wa ninachopendezewa nacho


2013/1/29 Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>

>  Baraka,
>
> Sihitaji kupiga kampeni yoyote lakini ni lazima watu wazima wenye akili
> timamu tujadiliane kwa kuangalia uhalisia wa mambo na si ushabiki,
> kuchanganya mambo ama hata unafiki. Ndiyo maana nimesema, kama watu
> hamuutaki uvunjeni tu huu muungano badala ya kuota ndoto za miujiza. Porojo
> za muungano wa mkataba za Karume na Seif ni mfano mmoja wa uongo na unafiki
> kwa kuwa hakuna kitu kama hicho bali wanachokisema wao ni kuuvunja na kisha
> kubakia na ujanjaujanja. Hali kadhalika mawazo ya Chadema kwamba tuwe na
> serikali ya muungano nusu-mkate hayawezekani. Hakuna serikali nusu-mkate
> duniani kwa kuwa serikali ni chombo kamili chenye mamlaka ndani na nje na
> hasa pale inapofikia kwenye masuala yanayotegemea sovereignty.
>
> Malalamiko kwamba eti Zanzibar ina wimbo, bendera, na vidudu vingine, ni
> malalamiko kama ya watoto kulia vidue vya kuchezea. Mbona kila jimbo
> (wanaita state) la Marekani lina vitu hivyo na zaidi? Mbona kila jimbo
> (wanaita country) la Ujerumani lina vitu hivyo na zaidi? Mbona kila jimbo
> (wanaita nchi pia, nchi ndani ya dola moja) la Uingereza lina vitu hivyo na
> zaidi? Tukishakuwa na vya Tanganyika tutapata nini cha zaidi?
>
> Wazo kwamba tuwe na serikali tatu lakini yenye serikali ya muungano ndogo
> (dhaifu) linazua mambo mengi ambayo nashangaa kwa nini watu hawajiulizi
> kwayo. Mfano. Tukiwa na serikali ya muungano yenye wizara nne au tano, au
> sita, yale mambo yasiyokuwa ya muungano yatabakia kwenye serikali za
> Zanzibar na Tanganyika, mathalani suala la mazingira, elimu, maji, nishati,
> madini, ujenzi, n.k. Je, itakuwaje pale tutakapohitajika kusaini
> makubaliano ya kimataifa? Waziri yupi atasaini na kwa mamlaka yapi kisheria
> (za kimataifa)?
>
> Ngoja niweke kirahisi zaidi. Kwenye sheria ya kimataifa itakayotambulika
> ni sovereign state ya TANZANIA. Kama hii Tanzania haina usimamizi wa
> masuala, tuseme ya mazingira, ni nani atayesimamia mazungumzo na utiaji
> saini wa masuala ya mazingira huko duniani wakati Tanganyika na Zanzibar
> hazina sovereignty?
>
> Chadema walisema kwamba tushirikiane kwenye diplomasia lakini kwenye
> ushirikiano wa kimataifa kila mtu aende kivyake. Hebu nieleze,
> inawezekanaje? Eleza kwa ufahamu wako.
>
> Aidha, ina maana kwamba kwenye jumuiya kama SADC au AU sisi tutakuwa na
> Tanganyika na Zanzibar lakini kwenye eti "diplomasia" tutakuwa pamoja - *
> kivipi?* Sovereignty iko kwa nani? Sera ya nje iko kwa nani? Diplomasia
> ni mbinu ya utekelezaji wa siasa za kimataifa, sasa mnawezaje kuwa pamoja
> kwenye diplomasia lakini kwenye ushirikiano wa nje hamko pamoja? Hii ni
> alinacha!
>
> Kushindwa kutambua huu mvurugano ni dalili kwamba Watanzania hatujui
> tunadajili nini na ndiyo maana ile blogu ya Kwetu ni Zanzibar iliona kwamba
> walichosema Chadema na walichosema CUF na Seif na Karume ni sawa wakati
> ukiviangalia ni vitu viwili tofauti kabisa.
>
> Lakini pia watu msibweteke na suala la IDADI YA SERIKALI. Jambo la msingi
> ni ubora wa mfumo kabla ya kuangalia idadi ya serikali - idadi ya serikali
> ni matokeo ya mfumo na kanuni (principles), pengine na malengo ya kitaifa.
>
> Matinyi.
>  ------------------------------
> Date: Tue, 29 Jan 2013 18:22:25 +0300
> Subject: Re: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?
> From: bmwasaga@gmail.com
> To: wanabidii@googlegroups.com
>
> hahah Matinyi piga kampeni mawazo yako yakubalike kwa Watanzania walio
> wengi kinyume na hapo hakuna mabadiliko
>
>
> 2013/1/29 <msiwahili@gmail.com>
>
> **
> Matinyi,
> Ni serikali moja tu au Zanzibar waachiwe waende zao kwa amani.
>
> Mwamba
> Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
> ------------------------------
> *From: *matinyi@hotmail.com <matinyi@hotmail.com>
> *Sender: *wanabidii@googlegroups.com
> *Date: *Tue, 29 Jan 2013 10:14:35 -0500
> *To: *<wanabidii@googlegroups.com>
> *ReplyTo: *wanabidii@googlegroups.com
> *Subject: *Re: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?
>
> Chadema is totally misled in this. Sad.
>
>
>
> T-Mobile. America's First Nationwide 4G Network
>
> ----- Reply message -----
> From: "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com>
> To: <wanabidii@googlegroups.com>
> Subject: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?
> Date: Tue, Jan 29, 2013 10:01 am
>
>
> Lakini, bara tunahitaji serikali ya nini? Kikwete ni rais wetu na amiri
> jeshi mkuu, kwa nini mnataka kutuongezea viongozi?
> Mimi naunga mkono Chadema lakini sijaona mantiki ya kuwa na serikali tatu.
> Ni matumizi juu ya matumizi na matatizo juu ya matatizo tu. Zanzibar hawana
> jeshi na hatuwezi kuwa kwenye mizani sawa, a million people versus 45
> million.
> em
>
> 2013/1/29 Said Issa <saidissa100@yahoo.com>
>
> > >Mbowe na wafuasi wa CHADEMA wako sahihi kusema ziwepo serikali tatuMbowe
> > na wafuasi wa CHADEMA wako sahihi kusema ziwepo serikali tatu
> >
> > Yes!  Now you are talking sense brother!
> > Sasa sio tuseme tu, lakini na nyinyi huko Bara piganeni mpate hio
> serikali
> > yenu ya Tanganyika.
> > Waungeni mkono hao Chadema, kwani wao wanaonesha kuwa they are very
> > practical na sio wa midomo mitupu kama wengine.
> >
> > >Je vitambulisho vya Tanzania vitakuwa vya aina ngapi?
> >
> > Sijui hapa Nd. Mngonge unazungumzia vitambulisho gani, lakini kama ni
> > passports, basi passports zote zitakuwa kama zilivyo hivi sasa isipokuwa
> > kwa nyuma zitaandikwa :
> > THE GOVERNMENT OF TANGANYIKA or THE GOVERNMENT OF ZANZIBAR.
> > Kwahivyo, mtu ukimpa passport yako atajua mara moja kuwa wewe ni
> Mtanzania
> > lakini unatoka either Tanganyika au Zanzibar. Hili naona Chadema
> wakichukua
> > nchi 2015 litakuwa
> > ni jambo rahisi sana kukubaliana nao, kwasababu muelekeo mzuri wanao
> > tayari.
> > Tukeshakubaliana hilo na baadae kila mtu akawa na sarafu yake na
> wakilishi
> > wake wa nje (diplomats), basi hatuna tena cha kugombania. Itakayobakia
> > itakuwa ni kuchapa kazi tu!
> >
> > ...bin Issa.
> >
> > N.B.
> > I hope Matinyi will not see this msg.
> > Kama Admin utaweza kufanya yeye asiipate msg hii nitashukuru sana,
> > kwasababu sina mood ya ugomvi kwa leo.
> >
> >  ------------------------------
> > *From:* mngonge <mngonge@gmail.com>
> > *To:* wanabidii@googlegroups.com
> > *Sent:* Tuesday, January 29, 2013 3:42:17 AM
> > *Subject:* Re: [wanabidii] Kwa nini serikali tatu?
> >
> > Nafikiri sababu ya msingi wanayosimamia CHADEMA ni pale Mbowe
> > aliponukuliwa akisema "tayari wakitoa uhuru wa Zanzibar kuwa na Rais,
> > bendera na wimbo wao wa taifa"
> > Ukiangalia kwa makini uwepo wa serikali tatu unaletwa zaidi na kitendo
> > cha wazanzibar kutaka kuwa na nchi yao inayojitegemea. Kama hilo
> > lisingekuwepo sidhani kama tungekuwa na mjadala unaohusu muungano.
> > Wote tungependa tuwe na serikali moja ya kitaifa na hivyo kila kitu
> > kuwa sawa kati ya bara na visiwani.
> >
> > Mbowe na wafuasi wa CHADEMA wako sahihi kusema ziwepo serikali tatu (
> > Tanganyika au Tanzania bara, Zanzibar au Tanzania Visiwani na Serikali
> > ya Muungano). Kama Zanzibar wanapenda kutambuliwa kama wazanzibar
> > chini ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iweje Tanganyika isiendelee
> > kutambuliwa kama Tanganyika na watanganyika wake? Nafikiri jibu liko
> > wazi, ni ama kuwa na serikali moja au tatu hiki kiini macho cha kuwa
> > na serikali mbili ambapo tuna serikali ya muungano na serikali ya
> > Zanzibar kitaendelea mpaka lini? Je vitambulisho vya Tanzania vitakuwa
> > vya aina ngapi?
> >
> > 2013/1/29 Ntunaguzi Ntiyakunze <ntunaguzin96@gmail.com>:
> > > Wanabidii,
> > >
> > > Nanukuu kauli moja ya mwenyekiti wa CHADEMA katika kikao cha Kamati Kuu
> > (CC)
> > > juzi ambapo agenda moja kubwa ilikuwa ni kupitisha mpango mkakati wa
> > mwaka
> > > 2013 ili kushinda chaguzi zote kuanzia serikali za vitongoji, vijiji na
> > > mitaa mwaka 2014 na Uchaguzi Mkuu 2015.
> > >
> > >
> > > Katika suala zima la Muungano, Mbowe alisema uwepo wa serikali tatu
> > > hauepukiki kwa kuwa tayari Tanzania Visiwani wameshakuwa na serikali
> yao
> > > hivyo ni jukumu la Watanzania Bara kupata serikali ya Tanganyika na
> kisha
> > > kuwepo na serikali ndogo ya Muungano. Alisema serikali tatu inawezekana
> > > ikiwa viongozi wataacha unafiki wa kusema muungano utavunjika huku
> tayari
> > > wakitoa uhuru wa Zanzibar kuwa na Rais, bendera na wimbo wao ya taifa.
> > > Tunawaunga mkono wenzetu Wazanzibar katika kupigania uhuru kamili na
> kwa
> > > sasa sisi ndio tunaoonekana wa ajabu kushindwa kuuliza serikali ya
> > > Tanganyika," alisema.
> > > Swali;
> > > Je kuna sababu za msingi ambazo CHADEMA wanazo mpaka kufikia hatua ya
> > > kuzitaka serikali tatu tofauti na ilivyo hivi sasa?
> > >
> > > --
> > > Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> > > International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
> > >
> > > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> > > ukishatuma
> > >
> > > Disclaimer:
> > > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
> > legal
> > > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
> must
> > be
> > > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
> > agree to
> > > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > > ---
> > > You received this message because you are subscribed to the Google
> Groups
> > > "Wanabidii" group.
> > > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
> an
> > > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
> > >
> > >
> >
> > --
> > Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> > International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
> >
> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> > ukishatuma
> >
> > Disclaimer:
> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
> legal
> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
> be
> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
> > to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > ---
> > You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> > "Wanabidii" group.
> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
> >
> >
> >
> >
> >  --
> > Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> > International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
> >
> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> > ukishatuma
> >
> > Disclaimer:
> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
> legal
> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
> be
> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
> > to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > ---
> > You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> > "Wanabidii" group.
> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
> >
> >
> >
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
>
>
>
> --
> Bariki G. Mwasaga,
> P.O. Box 3021,
> Dar es Salaam, Tanzania
> +255 754 812 387
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>



--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.




 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


0 comments:

Post a Comment