Wednesday 17 October 2012

Re: [wanabidii] Ushindi wa Dialo, Je ni ushindi wa Mtandao mpya

uchambuzi huu haujakaa sawa, hauko wazi. hebu fafanua basi kidogo bosi!

2012/10/17 Fred Alphonce <fredrick197958@yahoo.com>

Habari wanajukwaa, jana uchaguzi wa CCM Mwanza ulifanyika na mkiti mpya ni Antony Diallo, aliwahi kuwa Mbunge wa Ilemela.
Ushindi wake umezua maswali mengi kama ataweza kuwaunganisha wana CCM ukizingatia huko nyuma akiwa mbunge alikuwa na tuhuma nyingi 
moja wapo ni kuwagawa wabunge wa mkoa wa Mwanza hasa pale walipotaka kuwa na sauti moja kuleta umoja na kutetea ajenda yenye maslahi kwa Mwanza.

Diallo atakuwa "kaziliwa mara ya pili" ili alete umoja au ndiyo mwendelezo wa siasa za ubabe na jeuri ya fedha iliyompa ushindi?

Kumbuka mtandao uliomwingiza JK madarakani baadhi ya wadau wake leo hii pia wamo katika harakati kama za wakati ule kuingiza safu za wagombea watakaoshinda kwa malengo ya kupata uteuzi wa Urais 2015.

Kilichotokea Mara ni kama Mwanza. Makongoro alianguka kwa shinikizo la "wakubwa" waliomwaga fedha kwa wajumbe wa mkutani mkuu vilivyo,
hali kadhalika juzi na jana kati ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Mwanza fedha wamepewa mpaka unajiuliza, Uenyekiti una maslahi gani kifedha ili
"utapowekeza" upate faida katika mtaji wako 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 



--
"Vision is the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782 636963
website: www.peercorpstrust.org or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment