Sunday 30 August 2015

Re: [wanabidii] Re: "CCM imejipanga kuhakikisha inapata ushindi katika Uchaguzi ujao"

Hata wavue nguo watembee uchi Rais wetu ni lowasa rasmiii
Lesian

'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 
Nimenukuu kipande hiki kwenye kauli za mkuu wa nchi akikemea kauli za uvunjifu wa amani, ukisoma kati ya neno na neno, na siyo kati ya mstari kwa mstari, katika sentensi hiyo utakuta kuna maneno yanayosema "CCM kuhakikisha imepata ushindi uchaguzi ujao". Kikawaida watu kwenye uchaguzi hutumia maneno ya yamkini, kwa kama CCM itashinda, kusema kuhakikisha, ina maana by any means. Na vitisho vya kupita nyumba hadi nyumba, je Tanzania inataka kunakili mbinu za wa south wakati wa ubaguzi, maana ndiyo ilikuwa njisi ya kulinda utawala wao usiangushwe.
Wakati huo huo, viongozi haowa ngazi za juu hwajasikia mgombea akitishia watu TZ itakuwa Libya kama CCM haitashinda, kauli hiyio ina maana gani. Kwa nini kufumbia macho upande mmoja, na kuona kiltama upande mwingine?

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment