Sunday 30 August 2015

Re: [wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri

Mihingo hatukuelewi. Tunataka mabadiliko bila kujali nani anayaleta.


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date:
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri


Kichwa hiki cha habari kinaonekana kinachochoea ukaburu  na ubaguzi.
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Sun, 8/30/15, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sunday, August 30, 2015, 6:53 AM

Watanzania wameikasirikia
CCM. Wamekasirika na kuweka bifu vifuani mwao. Tuombe kuja
kufika uchaguzi wawe wameamua kuua kunguni wala si kuchoka
kitanda chote. Watakosa pa kulala.
Ni haki
na kweli kuwa mchanganyiko wa Lowasa na Sumaye utakuja
kuleta ya Sudani ya kusini. Yaani ugomvi kati ya Kir na
machari. Hawa wamepatanishwa na nini na lini? Wote walikuwa
CCM. hao wao ndiyo CCM. Wakishatoka CCM basi inabaki CCM
mpya. Lakini kwa umbumbumbu wa wengine wanaweza kuendelea
kuishambulia CCM kumbe CCM iko UKAWA inaendesha uCCM
huko.
Kila mtanzania anatarajia mabadiliko.
Na lazima atayapata. Yanaweza kuletwa na UKAWA (CCM B) au
CCM original. Yani CCM iliyorekebishwa. Tunahitaji
kuwasaidia watanzania kuliona hilo. Bahati nzuri wameanza
kuliona.
--------------------------------------------
On Sun, 8/30/15, 'mpombe mtalika' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject:
[wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam,
tusubiri
  To: "ELISA MUHINGO' via
Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Sunday, August 30, 2015, 7:56 AM
 
 
 
  Huku Sumaye na
  Lowassa, kule
Mengi na Rostam, tusubiri
 

AMA kweli Wahenga walisema; ndugu

wakigombana chukua jembe
  ukalime,siku
wakipatana chukua kapu ukavune.
 
 
  Lakini pia upo usemi wa
wanasiasa kote
  duniani wa kwamba
  katika siasa,hakuna urafiki wala uadui wa
kudumu, bali
  kinachoangaliwa zaidi
  nimaslahi ya kisiasa!
 
  Historia inashuhudia misemo yote hiyo
  miwili kwa sasa
  ikitimia
katikakipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa
  Oktoba 25, mwaka huu.
 
 
  Huku tunawaona wanasiasa
wawili
  mahasimu, Edward Lowassa na
  FrederickSumaye wakiungana na kuwa wamoja,
kule tunawaona
  wafanyabiasharawawili
  mahasimu, Dk. Reginald Mengi na Rostam Aziz
nao
  wakiwawameungana. Tusubiri
  tuone huko tuendako!
 
 
  Wiki iliyopita, Agosti
22,
  mwaka huu, waziri mkuu mstaafu,
  Sumaye,alitangaza
  rasmi
kuachana na Chama cha Mapinduzi
  (CCM),
akisemaameamua
  kujiunga na Umoja wa Katiba
ya Wananchi (Ukawa), unaoundwa
  navyama
vinne vya
  siasa nchini vya Chadema, CUF,
NCCR-Mageuzi na NLD kwa lengo
  kuongeza
nguvu ya
  kisiasa upande wa Upinzani ili
hatimayekupatikane huko chama
  chenye nguvu
na
  kinachoweza kuaminiwa

naWatanzania.
 
 
  Niseme mapema hapa kwamba binafsi,
  hadi sasa sijui ni

Watanzaniawangapi wanaweza kushawishika na kukiamini
chama
  chochote cha

Upinzani katika idadi ya vyama hivi tulivyonavyo
  atakachojiunganacho

Sumayeambaye hakuwahi kuaminiwa na Watanzania hao hata
  katika miaka yakeyote 10
  ya
uwaziri mkuu.
 

Ninachokikumbuka, huyu ndiye waziri
  mkuu
pekee katika
  uongozi wakealiyepachikwa jina
la waziri mkuu zero au sifuri
  na Watanzania
hao
  haopamoja na wachora vikatuni katika
baadhi ya magazeti
  yetu.


 
  Ninachoamini bado, kama
alivyosema
  Sumaye mwenyewe wakati wa
  akitoatamko lake hilo la kuhama CCM wiki
iliyopita, huyu ni
  mwanasiasasisimizi
  tu katika wanasiasa wa nchi hii!
 
  Ndugu zangu, huko Ukawa
alikokwenda
  Sumaye ndiko aliko
  aliyekuwahasimu wake mkuu wa kisiasa katika
siasa za ndani
  ya CCM,

Lowassa,ambaye alitangaza rasmi kuhamia huko Julai 28,
mwaka
  huu, kabla yaumoja

huo kumkabidhi mikoba ya kuwa mgombea pekee wa urais wa
  Jamhuriya Muungano wa

Tanzania kwa tiketi ya Ukawa.
 
 
  Kabla ya wawili hao kuchukua
uamuzi
  huo, wakiwa bado makada
  wa CCM,wote walijitokeza na kuwa miongoni mwa
makada 38 wa
  chama

hichowaliochukua na kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa
kuwa
  wagombea waurais

katika uchaguzi wa mwaka huu.
 
  Hata hivyo, kutokana na haiba yao ya
  kisiasa ndani na nje ya
  CCM,
wotewawili hao majina yao yalikatwa katika hatua za
  mwanzo kabisa, wala hayakuingia
  hata ndani ya kikao cha Kamati Kuu
kujadiliwa!
 
 
  Kwa yeyote anayefuatilia siasa za
  ndani ya CCM, anafahamu

kwambaLowassa na Sumaye, walikuwa hawaivi kisiasa. Mara
  kadhaa,
  Sumayeamejiapiza
mbele ya chama chake na mbele ya waliokuwa

wanachamawenzake,
  akisema endapo CCM
ingemteua Lowassa kuwa mgombea wa

urais,basi yeye
  angejitenga na chama
hicho.
 
 

Kama ambavyo karibu viongozi wakuu
  wote wa
Chadema na kambi
  yaupinzani kwa ujumla
ilivyokuwa ikimtuhumu Lowassa kwamba
  ni
  fisadiasiyestahili kukabidhiwa madaraka ya juu
ya kuongoza
  nchi, ndivyo pia
  Sumaye alivyokuwa akimnanga Lowassa kila
anapopata fursa
  yakuzungumzia masuala
  ya rushwa na ufisadi.
 
  Kwa mfano, Novemba 2013, katika
  mkutano mmoja na waandishi
  wa
habari,Sumaye alilalamika kuhujumiwa na watu aliodai kuwa
  mahasimu wake
  wakisiasa
katika mbio za urais za mwaka 2015, hasa kwa
  kuingilia katimialiko
  yake ya
kijamii anayoipata ili kuwa mgeni rasmi.


 
  Malalamiko hayo ni mbali
na yale
  aliyoyatoa mwaka 2012 baada
  yakushindwa katika nafasi ya Mjumbe wa
Halmashauri Kuu (NEC)
  Taifakuwakilisha
  Wilaya ya Hannang, mkoani Manyara, akisema
wazi kuwa
  baadhiya mafisadi wa ndani
  ya CCM, walitumia fedha nyingi kuhakikisha
kwambamshindani
  wake, Dk. Mary Nagu,
  anamwangusha.
 
 
  "Siwataji, hata ninyi
mnawajua,"
  aliwahi kukaririwa Sumaye
  baada yakutakiwa na wandishi wa habari
kuwataja mafisadi
  wanaomjumu
  kwenyemialiko yake ya shughuli za kijamii
pamoja na kumwaga
  fedha wilayanikwake
  ili ashindwe ujumbe wa NEC.


 
  Wakati fulani pia, mbele
ya wandishi
  wa habari, Sumaye, bila
  kutajajina la Lowassa, aliwahi kukaririwa
akisema: "Fisadi
  huliibia taifafedha
  nyingi kiasi cha wananchi kutaabika, halafu
akiitwa
  kwenyeharambee anatoa
  kijisehemu tu cha fedha alizofisadi kwa njia
ya
  rushwakukandamiza maendeleo ya
  watu.
 
 
  "Rais Kikwete amesema kuwa rushwa
  inaweza ikafanya CCM

ikashindwa.
 
  Mimi naamini,
kama CCM itapitisha
  majina (ya wagombea
wake
  wa urais2015) kwa kuangalia rushwa,
chama kitaanguka, bahati
  nzuri
  Mwenyekitiameliona hilo, siamini kama
watapitisha watu ambao
  watakiangusha.
 
 

Wakipitishwa hao, sitaweza kukaa nao,
  hata
kama sitahama."
 
  Hizo ni
baadhi tu ya nukuu za Sumaye
  katika matukio
na
  nyakatimbalimbali akizungumzia msimamo
wake kuhusu rushwa na
  mafisadi,
  lakininyingi ya kauli zake hizo, kwa vyovyote
vile
  akizielekeza kwa Lowassa.
 
 
  Hata
hivyo, Sumaye huyu wa sasa,
  aliyeamua
kumfuata Lowassa
  Ukawa,amekaririwa na
baadhi ya vyombo vya habari nchini
  katika
tukio hilo
  lawiki iliyopita akisema:
"Ambaye ameshakaa serikalini
  katika
nafasi mbalimbali
  ni Lowassa. Hawa wengine
(aliogombea nao urais ndani yaCCM)

hawajaendesha
  Serikali, wamekwenda shule
tu."
 
  Kwamba Lowassa
ambaye siku zote Sumaye
  alikuwa
akikiaminisha
  chamachake, CCM, kwamba ni
fisadi na mtoa rushwa mkubwa,
  akisema
kama
  CCMitampitisha mwanasiasa huyo
kugombea urais, yeye hatakuwa
  sehemu
yachama
  hicho, leo hii ndiye tunayeambiwa
na Sumaye kwamba
  alikuwaanafaa kuteuliwa
kwa
  sababu tu amekwishashika nafasi
mbalimbali
 
  serikalini,
anafahamu kuendesha
  Serikali!
 
 
  Huyo ni
Sumaye na Lowassa, wanasiasa
  ambao huko
nyuma
  walikuwa katikamkoa mmoja wa Arusha,
wakiwa na uhasama
  mkubwa wa kisiasa,
kabla
  yaMkoa huo kugawanywa na kupatikana
mkoa mwingine wa
  Manyarauliowatenganisha
  kiutawala.
 


  Katikati ya mshangao huo wa Sumaye na
  Lowassa, katika
  kipindi
hikihiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015,
  tunawaona pia mahasimu

wawiliwa kibiashara hapa nchini, Dk. Mengi na Rostam Aziz
  wakiweka tofautizao
  za muda
mrefu pembeni na kuungana kumtafuta mgombea wao wa
  uraismwaka huu.
 
 
  Kwa wenye kumbukumbu na
wanaofuatilia
  matukio mbalimbali
  yanayoendelea nchini watakuwa wanakumbuka
tukio la Mei 26,
  mwaka huu, siku
  ambayo wafanyabiashara wawili hao maarufu
nchini walivyokaa
  mezakuu moja. Hilo
  lilikuwa tukio la kutano wa wamiliki wa vyombo
binafsi
  vyahabari nchini,

kupitia umoja wao wa MOAT na waandishi wa vyombo vya
habari
  vya ndani na nje,

uliolenga kuzungumzia, pamoja na mambo mengine, hisia za
  MOAT kuhusu miswada
  miwili
iliyokuwa ikitazamiwa kuwasilishwa na Serikali
  bungeni ili kuwa sheria

kamili. Muswada wa Huduma za Vyombo vya Habari pamoja na
  Muswada wa Haki ya

KupataHabari.
 
 
  Swali kuu lililotawala vichwani mwa
  baadhi ya wadadisi wa

mambowalioshuhudia tukio lile la Mei 26, 2015, la Dk.
Mengi
  na

Rostamkukumbatiana na kukaa meza moja, lilikuwa ni, je;
  miswada hiyo miwiliya

Serikali ndiyo iliyowaleta pamoja wafanyabiashara hao
wawili
  maarufu katika
  nchi
hii au ni Uchaguzi Mkuu wa Oktoba na vitalu vya gesi
  asilia na mafuta?
 
 
  Kwanini swali hilo?
Itakumbukwa kwamba
  Aprili 23, 2009, Dk
  Mengi, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa
Makampuni ya IPP,
  alitaja kwa majina
  wafanyabiashara watano akiwatuhumu kuwa
mafisadi papa hatari
  kwa uchumi wa
  Taifa hili, miongoni mwa mafisadi wasiopungua
10 aliodai
  kuuyumbisha utawala wa
  Rais Jakaya Kikwete.
 
 
  Katika madai yake hayo, Dk.
Mengi
  alikaririwa na baadhi ya
  vyombo vya habari nchini akisema: "Nchi hii
ina mafisadi
  ambao kila kukicha
  wanaiyumbisha nchi. Hawazidi hata kumi. Lakini
kuna watano
  ambao ni mafisadi
  papa. Ukitokea kupingana nao tu kutokana na
ufisadi wao,
  wanakuona wewe ni adui
  mkubwa."
 

Dk Mengi, siku hiyo akiwa kwenye
  mkutano
mkubwa na vyombo
  vya habari, alitaja majina
ya mafisadi papa hao watano,
  wakiongozwa na
Rostam
  Aziz na wengine wanne ambao sina
sababu ya kuwataja
  hapa.


 
  Baada ya kutaja orodha
hiyo ya
  wafanyabiashara mafisadi
  papa, Dk. Mengi alieleweka vyema kwa
Watanzania, hasa wale
  waliokuwa
  wakimwamini na kumkubali kutokana na msimamo
wake wa
  'uzalendo' na 'utetezi wa
  wazawa.'
 

Wakati Watanzania hao wakiendelea

kutafakari orodha hiyo ya
  mafisadi papa
pamoja na matendo yao kwa Taifa hili, siku 10
  baadaye, yaani Mei
  2, 2009,
Rostam Aziz naye aliitisha mkutano mkubwa pia wa
  waandishi vyombo
  mbalimbali
vya habari vya ndani na nje na kumrushia

makombora mazito Mwenyekiti
  Mtendaji huyo
wa IPP.
 
 

Dk Mengi alitajwa na Rostam Aziz
  kwamba
yeye ndiye fisadi
  mkubwa ndani ya nchi hii,
akimfananisha na fisadi nyangumi.
  Rostam
alikwenda
  mbali zaidi, akidai kuwa na
vielelezo kibao ambavyo
  angeviwakilisha
mikononi
  mwa Jeshi la Polisi ili waanze
kumchunguza dhidi ya vitendo
  vyake hivyo
vya
  kifisadi nyangumi.
 
 
  Katika kipindi hicho cha
misuguano
  baina ya wafanyabiashara
  hao wawili, kiasi cha kupachikana majina ya
mafisadi papa na
  mafisadi nyangumi,
  Rostam alikuwa bado ni Mbunge wa Igunga na pia
Mjumbe wa
  Kamati Kuu na

Halmashauri Kuu ya CCM.
 


  Takriban miaka mitatu

baadaye, baada ya Rostam Aziz kudaiwa
  na
Dk.Mengi kwamba amekuwa akishiriki katika vitendo
  vinavyoiyumbisha nchi hii,

kwa maana ya Julai 13, 2011, mwanasiasa huyo aliamua
  kujiuzulu ubunge huo wa

Igunga pamoja na nyadhifa nyingine zote hizo alizokuwa
nazo
  ndani ya CCM,
  akidai
kuwa dhamira yake ya dhati kabisa imemtuma


  aachane na siasa uchwara za ndani ya
  chama chake hicho ili
  sasa
aweze kutumia muda wake kushughulika na biashara
  zake.
 
 
  Je, uhusiano huu mpya wa Dk Mengi na
  Rostam Aziz,
  uliowafanya
wazike tofauti zao na uhasama wao na kwa pamoja
  kuamua kumuunga
  mkono kisiasa
Lowassa katika mbio zake za kuusaka urais,

unabeba siri gani?
 

Nihitimishe makala haya kwa
  kuwakumbusha
Watanzania kwa
  ujumla wa imani zote, kwamba
katika Biblia (Mathayo 7:6,
  12-14),
imeandikwa
  hivi: "Msimpe mbwa kilicho
kitakatifu, wala msiwape
  nguruwe lulu zenu
wasije
  wakawakanyaga, wakawageuka na
kuwararua."
 
 
  Ikulu ni mahali patakatifu, watu wasio
  wasafi si mahali pao.
  Gesi
asilia na mafuta yaliyopatikana Mtwara pamoja na maeneo
  mengine ya nchi
  hii, Bara na
Visiwani, ni lulu ya uchumi wa nchi hii, ambayo
  kamwe Watanzania
  hawawezi
kuitoa lulu yao hiyo na kuwakabidhi wasiofaa!
  Tutafakari sasa na hata

Oktoba 25.
 
  Chanzo
RaiaMwema
 
  Toleo la 420,28
Aug 2015
 
 
 
 
 
  --
 
  Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
 

---
 
  You received this
message because you are subscribed to the

Google Groups "Wanabidii" group.


  To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment