Monday 31 August 2015

Re: [wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri

dada hilda umenena hasa...

Tanzania ilipofika wanasiasa hawajui tunataka nini na sisi hatujui tunataka nini....ndomaana wakipanda majukwaani wanasema upupu mtupu badala ya mambo ya msingi,,,,....nilitegemea mzee wa ukawa don aje afafanue vitu kwa hoja akaishia kuleta ngonjera ....


Tamimu Adamu Gillo.
Young Journalist.
Songea,Tanzania.
 +255753337420
"Vijana kwanza"

2015-08-31 7:15 GMT+03:00 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Ndio sawa kabisa, Paschal Wote Sisi  Mafisadi.

Hata Wananchi wenyewe Mafisadi. Mtu unachukua cutomary land yako unamkabidhi mgeni mhamiaji haram kutoka nchi jirani, unamuoza mwanao, kisha unasaidia achaguliwe na anachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kijiji. Anakuja anahamia na nduguze na mifugo kibao inayoleta madhara katika mazingira. Unamsaidia apate kitambulisho cha kupiga kura, cha uraia-Mtanzania huyo!!

Upo kijijini umekaa kutwa unakunya pombe na kunadi mazao ya wenzako udalali na kuwaibia kuwapa bei ndogo ila wafunge lumbesa; jibaba kutwa udalali tiketi za mabasi kuonea masikini wenzako kisa -beer na kuku kwa mama ntilie. umeacha mashamba vijijini, upo mjini jibaba kutwa barabarani. Kisha jibu Lowasa au Mangufuli-akukamate usinywe pombe, akukamate kijijini akufunge kamba ukandike nyumba yako na tope, nyasi za bure msitu umezunguka nyumba yako.

Wenzenu wamechimba bwawa la maji kwa mikono yao wapate maji wewe unaleta mifugo unaiingiza kunywa maji unachafua yanajaa mikojo, kelimikali za kupe ma kinyesi (ona picha-mifugo toka Monduli kuingia kijiji cha Mkulazi Ngerengere na Nyumba mahala ambapo nyoka zipo, wanyama pori, tope na maji vibwawani vya bure-hawezi kukandika mwaka nenda rudi). Wenye mifugo wana uwezo hata wa kuchimba bwawa kwa mashine wakichangizana. Wanabomoa wigo waliojenga wenzao kuzuia mifugo wanatia mifugo bwawani  inaharibu maji hayo ya kijani sasa, wanasepa zao au wanafanya hivyo daily. Viongozi na mgambo au polisi wenye silaha wakija-wanatoa rushwa ya mihela-njaa inawafanya wachukue hela na kutokujali UTU. Wakienda wananchi waathirika-kuchapwa bakora, matusi, dharau! Unakuwa mtumwa kwenu, kwenye customary land yenu, kwenye juhudi zenu za maisha zinaharibiwa na wananchi wenzako kila kona-kuuza mazao, mazingira, unapotaka kupanda bus, zahanati unapotaka huduma-nurse anataka rushwa,
 michango ya kijiji mpate huduma-mwenyekiti anasepa na hela. Tumeharibikiwa budi tujirekebishe.


Bado mnategemea bila kubadilika kiakili, kimatendo sisi watanzania Rais ajae atashusha maendeleo yetu binafsi. Yako wewe binafsi kukukamata ufanyekazi kijiji na ofisini usikae ukabofya simu na kudai rushwa yeye atafanya hivyo; ufuge na ulime kisasa kiendelevu akuchape viboko na hutaki kuzingatia ushauri. Ngoja aje yule asiye na woga atujaze katika makarandinga kuturudisha tulikotoka tukalime; kamata omaomba wengine wana mikono miwili, macho, miguu wameongozana na vitoto wanavitesa kutwa eti masikini wanaombaomba na kulala na vitoto barabarani vinavyobakwa daily; akamate wanaozurura na mifugo kuitoza pesa kwa kuiuza kulipia uharibifu na wao kuwajengea fence wasitoke huko wafuge kisasa na kiendelevu-Ndio tunataka hii. Aje wa bomoa bomoa kila jengo lililomita 60 kando ya mto na bahari na katika mapito ya mabomba ya gas, maji na barabara na waliojenga bondeni maeneo hatarishi. Nitafurahi sana kama atabomoa kuanzia mtoni mpaka kigogo, jangwani na salanda
 bridge na mabote yote nchini wanakojaza mchanga ili wajenge mabwalo ya magereji. kwani mvua na mafuriko yakija wanatia gharama na aibu pia kwa kulala vituo vya basi vya rapid bus transport kwa DSM.

Unalala na mtoto kituoni wakati umeuza nyumba kariakoo, magomeni au kiwanja Tabata kwa mamilioni 200+ kisha unalaumu serikali? Unapelekwa Mabwepande- ni yale yale! Unauza, unarudi mabondeni. Mwaka huu Elnino yaja. dalili za mafuriko na mvua hatarishi zinaonekana bara la Hindi na Tsunami huenda ikaja. ndio kwanza tunajaza magunia ya takataka mpaka vituo vya rapid bus transport magunia na viroba vimejaa.

Mkopo wa chuo umenunua gari ya kusotasota unatoka bwenini hadi darasani daily kwa gari? wenzetu ulaya wanakwenda masomo elimu ya juu college kwa baiskeli na anatoka mbali sisi hapa na hapa kwa gari tu masikini hasa? Foleni barabarani familia moja magari 4+ kila mtu na lake njia moja. Hata barabara zipanuliwe vipi hatutapunguza foleni. Toza kodi kubwa ya gari ili waingie akili watapiga kelele. Mwanafunzi angetumia mkopo kuboresha nyumba ya kwao, kuanzisha biashara wazazi wajikwamue wapate baiskeli ya kupelekea nyanya sokoni. Wewe kutwa upo samakisamaki unajionyesha kwa chupa za bia kwa hela ya mkopo.

Sasa kila mtu anajikosha na kusema ataleta hiki bure, hakutokuwa na kodi hata za mazao, elimu bure hadi university-nchi gani haitozi kodi? wana viwanda, wanatuuzia magari, vivalo na kutupa vyakula vya misaada kutokana na kodi watozazo. Hakuna parking ya gari, baiskeli, pikipiki etc bila kodi ya siku, mwezi, robo, nusu au tiketi ya mwaka. Mashine ya kodi mpaka kwa muuza mchicha barabarani. Unalipa kodi kwa kila unachokifanya na una namba yako na ukisababisha ajali Bima yako ya ajali inapanda makato yake automatically. Hapa hizo mashine za kodi hatuzitaki hata muuza mtumba barabarani anakuuzia kiatu cha 20 elfu lakini asitoe kodi-tunaandamana. Huko kwenye wachimbaji madini uharibifu mazingira na uchafuzi wa maji hautezamiki pamoja na uasherati na ulevi-nani katuroga? Haya uje uwape Uhuru wasizingatie sheria kama utakavyo wasitoe kodi, wazagae watakavyo!? Tunahitaji watendaji watakaozingatia Sera, Mikakati, Sheria za kila sekta mpaka za Kodi ili tutoke hapa
 tulipokwama.

Akikosa kikazi ofisini -usimuhamishe fukuza kazi kama ni kibaka. Akijenga juu ya bomba la maji, mafuta, ndani ya barabara na akiziba barabara kaweka kiosk-bomoa bila fidia na alipie gharama za ubomoaji. Akilima milimani bila makinga maji-peleka ktk kamati ya Sheria Kata na kijiji kihusike kukagua kuona sheria za kila sekta zinazingatiwa. tuache lelemama, tujirekebishe kimatendo, kimtazamo na fikra na kitabia. Ama sivyo hatutobadili matatizo yaliyopo-Yatakuwa Yale yale ya kila siku. Watanzania tuliowengi mitazamo finyu, kufuata mkumbe, kupenda vishuke kama mvua ya masika. Ndio maana wanahama huku, kwenda kule kujipinga wenyewe. Kumbadili mbongo mitazamo-hata kama ni msomi kuna utata na ndio maana tupo hapa tulipo na wasomi ndio hao hamahama vyama na kuweka ahadi za alinacha wakiwa wamelimbikiza mashamba ya estate plantation za zamani za GVT pamoja na mengine mengi. Mungu atusaidie vita isizuke uchaguzi uishe salama. Wote Mafisadi kiakili (unawaza mihela
 ukipata uongozi mihela ndio utampa kura) au kimatendo (unahonga upate uongozi au unaibia taifa kiwazi).

--------------------------------------------
On Mon, 31/8/15, 'Paschal Leon' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Monday, 31 August, 2015, 5:52

 watu wote
 mafisadi, sijaona hata mmoja, wanazidiana tu kwa ufisadi,
 kuanzia serikali ya kijiji hadi serikali kuu; nani sii
 fisadi?



     On Sunday, August
 30, 2015 9:34 PM, 'jbifabusha' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com> wrote:



  Mihingo
 hatukuelewi. Tunataka mabadiliko bila kujali nani
 anayaleta.

 Sent from Samsung
 Mobile


 -------- Original message
 --------
 From: 'ananilea nkya' via
 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 Date:
 To:
 wanabidii@googlegroups.com
 Subject: Re:
 [wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam,
 tusubiri


 Kichwa hiki cha habari kinaonekana kinachochoea
 ukaburu  na ubaguzi.
 Ananilea Nkya
  E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

 --------------------------------------------
 On Sun, 8/30/15, 'ELISA MUHINGO' via
 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

  Subject: Re: [wanabidii] Huku
 Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri
  To: wanabidii@googlegroups.com
  Date: Sunday, August 30, 2015, 6:53 AM

  Watanzania wameikasirikia
  CCM. Wamekasirika na kuweka bifu vifuani mwao.
 Tuombe kuja
  kufika uchaguzi wawe wameamua
 kuua kunguni wala si kuchoka
  kitanda chote.
 Watakosa pa kulala.
  Ni haki
  na kweli kuwa mchanganyiko wa Lowasa na Sumaye
 utakuja
  kuleta ya Sudani ya kusini. Yaani
 ugomvi kati ya Kir na
  machari. Hawa
 wamepatanishwa na nini na lini? Wote walikuwa
  CCM. hao wao ndiyo CCM. Wakishatoka CCM basi
 inabaki CCM
  mpya. Lakini kwa umbumbumbu wa
 wengine wanaweza kuendelea
  kuishambulia CCM
 kumbe CCM iko UKAWA inaendesha uCCM

 huko.
  Kila mtanzania anatarajia
 mabadiliko.
  Na lazima atayapata. Yanaweza
 kuletwa na UKAWA (CCM B) au
  CCM original.
 Yani CCM iliyorekebishwa. Tunahitaji

 kuwasaidia watanzania kuliona hilo. Bahati nzuri wameanza
  kuliona.

 --------------------------------------------
  On Sun, 8/30/15, 'mpombe mtalika'
 via
  Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>

 wrote:

   Subject:
  [wanabidii] Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi
 na Rostam,
  tusubiri
   To:
 "ELISA MUHINGO' via

 Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
   Date: Sunday, August 30, 2015, 7:56 AM
  
  
  
   Huku Sumaye na
   Lowassa,
 kule
  Mengi na Rostam, tusubiri
  

  AMA
 kweli Wahenga walisema; ndugu

  wakigombana chukua jembe
  
 ukalime,siku
  wakipatana chukua kapu
 ukavune.
  
  
   Lakini pia upo usemi wa

 wanasiasa kote
   duniani wa kwamba
   katika siasa,hakuna urafiki wala uadui wa
  kudumu, bali
  
 kinachoangaliwa zaidi
   nimaslahi ya
 kisiasa!
  
   Historia
 inashuhudia misemo yote hiyo
   miwili kwa
 sasa
   ikitimia

 katikakipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa
   Oktoba 25, mwaka huu.
  
  
   Huku tunawaona
 wanasiasa
  wawili
  
 mahasimu, Edward Lowassa na
  
 FrederickSumaye wakiungana na kuwa wamoja,

 kule tunawaona
   wafanyabiasharawawili
   mahasimu, Dk. Reginald Mengi na Rostam
 Aziz
  nao
  
 wakiwawameungana. Tusubiri
   tuone huko
 tuendako!
  
  
   Wiki iliyopita, Agosti

 22,
   mwaka huu, waziri mkuu mstaafu,
   Sumaye,alitangaza
  
 rasmi
  kuachana na Chama cha Mapinduzi
   (CCM),
  akisemaameamua
   kujiunga na Umoja wa Katiba

 ya Wananchi (Ukawa), unaoundwa
   navyama
  vinne vya
   siasa nchini vya
 Chadema, CUF,
  NCCR-Mageuzi na NLD kwa
 lengo
   kuongeza
  nguvu
 ya
   kisiasa upande wa Upinzani ili
  hatimayekupatikane huko chama
   chenye nguvu
  na
   kinachoweza kuaminiwa

  naWatanzania.
  
  
   Niseme mapema hapa
 kwamba binafsi,
   hadi sasa sijui ni

  Watanzaniawangapi wanaweza
 kushawishika na kukiamini
  chama
   chochote cha

  Upinzani katika idadi ya vyama hivi
 tulivyonavyo
   atakachojiunganacho

  Sumayeambaye hakuwahi
 kuaminiwa na Watanzania hao hata
   katika
 miaka yakeyote 10
   ya

 uwaziri mkuu.
  

  Ninachokikumbuka, huyu ndiye waziri
   mkuu
  pekee katika
   uongozi wakealiyepachikwa jina
  la waziri mkuu zero au sifuri
   na Watanzania
  hao
   haopamoja na wachora vikatuni katika
  baadhi ya magazeti
   yetu.


  
   Ninachoamini bado, kama

 alivyosema
   Sumaye mwenyewe wakati wa
   akitoatamko lake hilo la kuhama CCM wiki
  iliyopita, huyu ni
  
 mwanasiasasisimizi
   tu katika wanasiasa wa
 nchi hii!
  
   Ndugu
 zangu, huko Ukawa
  alikokwenda
   Sumaye ndiko aliko
  
 aliyekuwahasimu wake mkuu wa kisiasa katika

 siasa za ndani
   ya CCM,


  Lowassa,ambaye alitangaza rasmi kuhamia
 huko Julai 28,
  mwaka
  
 huu, kabla yaumoja

  huo
 kumkabidhi mikoba ya kuwa mgombea pekee wa urais wa
   Jamhuriya Muungano wa

  Tanzania kwa tiketi ya Ukawa.
  
  
  
 Kabla ya wawili hao kuchukua
  uamuzi
   huo, wakiwa bado makada
  
 wa CCM,wote walijitokeza na kuwa miongoni mwa
  makada 38 wa
   chama

  hichowaliochukua na
 kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa
  kuwa
   wagombea waurais

  katika uchaguzi wa mwaka huu.
  
   Hata hivyo, kutokana na
 haiba yao ya
   kisiasa ndani na nje ya
   CCM,
  wotewawili hao majina
 yao yalikatwa katika hatua za
   mwanzo
 kabisa, wala hayakuingia
   hata ndani ya
 kikao cha Kamati Kuu
  kujadiliwa!
  
  
   Kwa
 yeyote anayefuatilia siasa za
   ndani ya
 CCM, anafahamu


 kwambaLowassa na Sumaye, walikuwa hawaivi kisiasa. Mara
   kadhaa,
  
 Sumayeamejiapiza
  mbele ya chama chake na
 mbele ya waliokuwa


 wanachamawenzake,
   akisema endapo CCM
  ingemteua Lowassa kuwa mgombea wa

  urais,basi yeye
   angejitenga na chama

 hicho.
  
  

  Kama ambavyo karibu viongozi
 wakuu
   wote wa
  Chadema na
 kambi
   yaupinzani kwa ujumla
  ilivyokuwa ikimtuhumu Lowassa kwamba
   ni
   fisadiasiyestahili
 kukabidhiwa madaraka ya juu
  ya kuongoza
   nchi, ndivyo pia
   Sumaye
 alivyokuwa akimnanga Lowassa kila
  anapopata
 fursa
   yakuzungumzia masuala
   ya rushwa na ufisadi.
  
   Kwa mfano, Novemba 2013, katika
   mkutano mmoja na waandishi
   wa
  habari,Sumaye
 alilalamika kuhujumiwa na watu aliodai kuwa
   mahasimu wake
  
 wakisiasa
  katika mbio za urais za mwaka
 2015, hasa kwa
   kuingilia katimialiko
   yake ya
  kijamii anayoipata
 ili kuwa mgeni rasmi.


  
   Malalamiko hayo ni
 mbali
  na yale
   aliyoyatoa
 mwaka 2012 baada
   yakushindwa katika
 nafasi ya Mjumbe wa
  Halmashauri Kuu
 (NEC)
   Taifakuwakilisha
  
 Wilaya ya Hannang, mkoani Manyara, akisema

 wazi kuwa
   baadhiya mafisadi wa ndani
   ya CCM, walitumia fedha nyingi
 kuhakikisha
  kwambamshindani
   wake, Dk. Mary Nagu,
  
 anamwangusha.
  
  
   "Siwataji, hata ninyi

 mnawajua,"
   aliwahi kukaririwa Sumaye
   baada yakutakiwa na wandishi wa habari
  kuwataja mafisadi
  
 wanaomjumu
   kwenyemialiko yake ya shughuli
 za kijamii
  pamoja na kumwaga
   fedha wilayanikwake
   ili
 ashindwe ujumbe wa NEC.



  
   Wakati fulani pia,
 mbele
  ya wandishi
   wa
 habari, Sumaye, bila
   kutajajina la
 Lowassa, aliwahi kukaririwa
  akisema:
 "Fisadi
   huliibia taifafedha
   nyingi kiasi cha wananchi kutaabika,
 halafu
  akiitwa
  
 kwenyeharambee anatoa
   kijisehemu tu cha
 fedha alizofisadi kwa njia
  ya
   rushwakukandamiza maendeleo ya
   watu.
  
  

   "Rais Kikwete amesema kuwa rushwa
   inaweza ikafanya CCM

  ikashindwa.
  
   Mimi naamini,
  kama CCM
 itapitisha
   majina (ya wagombea
  wake
   wa urais2015) kwa
 kuangalia rushwa,
  chama kitaanguka,
 bahati
   nzuri
  
 Mwenyekitiameliona hilo, siamini kama

 watapitisha watu ambao
   watakiangusha.
  
  

  Wakipitishwa hao, sitaweza kukaa nao,
   hata
  kama sitahama."
  
   Hizo ni

 baadhi tu ya nukuu za Sumaye
   katika
 matukio
  na
  
 nyakatimbalimbali akizungumzia msimamo
  wake
 kuhusu rushwa na
   mafisadi,
   lakininyingi ya kauli zake hizo, kwa
 vyovyote
  vile
  
 akizielekeza kwa Lowassa.
  
  
   Hata

 hivyo, Sumaye huyu wa sasa,
   aliyeamua
  kumfuata Lowassa
  
 Ukawa,amekaririwa na
  baadhi ya vyombo vya
 habari nchini
   katika

 tukio hilo
   lawiki iliyopita akisema:
  "Ambaye ameshakaa serikalini
   katika
  nafasi mbalimbali
   ni Lowassa. Hawa wengine

 (aliogombea nao urais ndani yaCCM)

  hawajaendesha
   Serikali,
 wamekwenda shule
  tu."
  

   Kwamba Lowassa
  ambaye
 siku zote Sumaye
   alikuwa

 akikiaminisha
   chamachake, CCM, kwamba
 ni
  fisadi na mtoa rushwa mkubwa,
   akisema
  kama
   CCMitampitisha mwanasiasa huyo
  kugombea urais, yeye hatakuwa
   sehemu
  yachama
   hicho, leo hii ndiye tunayeambiwa
  na Sumaye kwamba
  
 alikuwaanafaa kuteuliwa
  kwa
   sababu tu amekwishashika nafasi
  mbalimbali
  
   serikalini,
  anafahamu
 kuendesha
   Serikali!
  

  
   Huyo ni
  Sumaye na Lowassa, wanasiasa
   ambao huko
  nyuma
   walikuwa katikamkoa mmoja wa Arusha,
  wakiwa na uhasama
   mkubwa wa
 kisiasa,
  kabla
   yaMkoa
 huo kugawanywa na kupatikana
  mkoa mwingine
 wa
   Manyarauliowatenganisha
   kiutawala.
  


   Katikati
 ya mshangao huo wa Sumaye na
   Lowassa,
 katika
   kipindi
  hikihiki
 cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015,
  
 tunawaona pia mahasimu


 wawiliwa kibiashara hapa nchini, Dk. Mengi na Rostam Aziz
   wakiweka tofautizao
   za
 muda
  mrefu pembeni na kuungana kumtafuta
 mgombea wao wa
   uraismwaka huu.
  
  
   Kwa
 wenye kumbukumbu na
  wanaofuatilia
   matukio mbalimbali
  
 yanayoendelea nchini watakuwa wanakumbuka

 tukio la Mei 26,
   mwaka huu, siku
   ambayo wafanyabiashara wawili hao maarufu
  nchini walivyokaa
   mezakuu
 moja. Hilo
   lilikuwa tukio la kutano wa
 wamiliki wa vyombo
  binafsi
   vyahabari nchini,

  kupitia umoja wao wa MOAT na waandishi wa
 vyombo vya
  habari
   vya
 ndani na nje,

  uliolenga
 kuzungumzia, pamoja na mambo mengine, hisia za
   MOAT kuhusu miswada
  
 miwili
  iliyokuwa ikitazamiwa kuwasilishwa
 na Serikali
   bungeni ili kuwa sheria

  kamili. Muswada wa Huduma za
 Vyombo vya Habari pamoja na
   Muswada wa
 Haki ya

  KupataHabari.
  
  
  
 Swali kuu lililotawala vichwani mwa
  
 baadhi ya wadadisi wa


 mambowalioshuhudia tukio lile la Mei 26, 2015, la Dk.
  Mengi
   na


  Rostamkukumbatiana na kukaa meza moja,
 lilikuwa ni, je;
   miswada hiyo miwiliya

  Serikali ndiyo iliyowaleta
 pamoja wafanyabiashara hao
  wawili
   maarufu katika
   nchi
  hii au ni Uchaguzi Mkuu wa Oktoba na vitalu
 vya gesi
   asilia na mafuta?
  
  
  
 Kwanini swali hilo?
  Itakumbukwa kwamba
   Aprili 23, 2009, Dk
  
 Mengi, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa

 Makampuni ya IPP,
   alitaja kwa majina
   wafanyabiashara watano akiwatuhumu kuwa
  mafisadi papa hatari
   kwa
 uchumi wa
   Taifa hili, miongoni mwa
 mafisadi wasiopungua
  10 aliodai
   kuuyumbisha utawala wa
  
 Rais Jakaya Kikwete.
  
  

   Katika madai yake hayo, Dk.
  Mengi
   alikaririwa na baadhi
 ya
   vyombo vya habari nchini akisema:
 "Nchi hii
  ina mafisadi
  
 ambao kila kukicha
   wanaiyumbisha nchi.
 Hawazidi hata kumi. Lakini
  kuna watano
   ambao ni mafisadi
   papa.
 Ukitokea kupingana nao tu kutokana na

 ufisadi wao,
   wanakuona wewe ni adui
   mkubwa."
  

  Dk Mengi, siku hiyo akiwa
 kwenye
   mkutano
  mkubwa na
 vyombo
   vya habari, alitaja majina
  ya mafisadi papa hao watano,
   wakiongozwa na
  Rostam
   Aziz na wengine wanne ambao sina
  sababu ya kuwataja
   hapa.


  
   Baada ya kutaja orodha
  hiyo
 ya
   wafanyabiashara mafisadi
   papa, Dk. Mengi alieleweka vyema kwa
  Watanzania, hasa wale
  
 waliokuwa
   wakimwamini na kumkubali
 kutokana na msimamo
  wake wa
   'uzalendo' na 'utetezi wa
   wazawa.'
  

  Wakati Watanzania hao
 wakiendelea

  kutafakari
 orodha hiyo ya
   mafisadi papa
  pamoja na matendo yao kwa Taifa hili, siku
 10
   baadaye, yaani Mei
  
 2, 2009,
  Rostam Aziz naye aliitisha mkutano
 mkubwa pia wa
   waandishi vyombo
   mbalimbali
  vya habari vya
 ndani na nje na kumrushia


 makombora mazito Mwenyekiti
   Mtendaji
 huyo
  wa IPP.
  
  

  Dk Mengi
 alitajwa na Rostam Aziz
   kwamba
  yeye ndiye fisadi
   mkubwa
 ndani ya nchi hii,
  akimfananisha na fisadi
 nyangumi.
   Rostam

 alikwenda
   mbali zaidi, akidai kuwa na
  vielelezo kibao ambavyo
  
 angeviwakilisha
  mikononi
  
 mwa Jeshi la Polisi ili waanze
  kumchunguza
 dhidi ya vitendo
   vyake hivyo
  vya
   kifisadi nyangumi.
  
  
  
 Katika kipindi hicho cha
  misuguano
   baina ya wafanyabiashara
  
 hao wawili, kiasi cha kupachikana majina ya

 mafisadi papa na
   mafisadi nyangumi,
   Rostam alikuwa bado ni Mbunge wa Igunga na
 pia
  Mjumbe wa
   Kamati Kuu
 na

  Halmashauri Kuu ya
 CCM.
  



   Takriban miaka mitatu


  baadaye, baada ya Rostam Aziz kudaiwa
   na
  Dk.Mengi kwamba amekuwa
 akishiriki katika vitendo
  
 vinavyoiyumbisha nchi hii,

  kwa maana ya Julai 13, 2011, mwanasiasa huyo
 aliamua
   kujiuzulu ubunge huo wa

  Igunga pamoja na nyadhifa
 nyingine zote hizo alizokuwa
  nazo
   ndani ya CCM,
   akidai
  kuwa dhamira yake ya dhati kabisa imemtuma


   aachane
 na siasa uchwara za ndani ya
   chama chake
 hicho ili
   sasa
  aweze
 kutumia muda wake kushughulika na biashara
   zake.
  
  

   Je, uhusiano huu mpya wa Dk Mengi na
   Rostam Aziz,
  
 uliowafanya
  wazike tofauti zao na uhasama
 wao na kwa pamoja
   kuamua kumuunga
   mkono kisiasa
  Lowassa
 katika mbio zake za kuusaka urais,

  unabeba siri gani?
  

  Nihitimishe makala haya
 kwa
   kuwakumbusha

 Watanzania kwa
   ujumla wa imani zote,
 kwamba
  katika Biblia (Mathayo 7:6,
   12-14),
  imeandikwa
   hivi: "Msimpe mbwa kilicho
  kitakatifu, wala msiwape
  
 nguruwe lulu zenu
  wasije
  
 wakawakanyaga, wakawageuka na

 kuwararua."
  
  
   Ikulu ni mahali patakatifu, watu wasio
   wasafi si mahali pao.
  
 Gesi
  asilia na mafuta yaliyopatikana Mtwara
 pamoja na maeneo
   mengine ya nchi
   hii, Bara na
  Visiwani, ni
 lulu ya uchumi wa nchi hii, ambayo
   kamwe
 Watanzania
   hawawezi

 kuitoa lulu yao hiyo na kuwakabidhi wasiofaa!
   Tutafakari sasa na hata

  Oktoba 25.
  
   Chanzo
  RaiaMwema
  
   Toleo la 420,28
  Aug 2015
  
  
  
  
  
   --
  

   Send
  Emails to
 wanabidii@googlegroups.com
  
    
  
  
 Kujiondoa Tuma Email kwenda


  
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya
   kudhibitisha
 ukishatuma
  
    
  
   Disclaimer:
  

  Everyone
 posting to this Forum bears the sole

 responsibility
   for any legal
 consequences
  of his or her postings, and
 hence

  statements and
 facts must be presented responsibly. Your
  
 continued membership signifies that you agree
  to this
   disclaimer and
 pledge to abide by
  our Rules and
 Guidelines.
  

  ---
  
  
 You received this
  message because you are
 subscribed to the

  Google
 Groups "Wanabidii" group.


   To unsubscribe from this
 group and stop
  receiving emails
   from it, send an email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  

   For more options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.
  

  --
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com

  Kujiondoa Tuma Email
 kwenda


 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma


  Disclaimer:
  Everyone
 posting to
  this Forum bears the sole
 responsibility for any legal
  consequences
 of his or her postings, and hence statements
  and facts must be presented responsibly. Your
 continued
  membership signifies that you
 agree to this disclaimer and
  pledge to
 abide by our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message

 because you are subscribed to the Google Groups
  "Wanabidii" group.

 To unsubscribe
  from this group and stop
 receiving emails from it, send an
  email to
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For
 more options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send Emails to
 wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment