Thursday 17 January 2013

[wanabidii] Research za Talaka

Ndugu wanabidii, nafanya research kuhusu talaka, naomba yeyote ambaye amewahi kuona au amefanya research kuhusu talaka kwa tanzania anisaidie manake nimeshindwa kabisa kupata kazi za hapa tanzania. natanguliza shukrani zangu.
Festo

0 comments:

Post a Comment