Friday 4 January 2013

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] JAJI WARIOBA KUKUTANA NA WANAHABARI KESHO, JUMAMOSI, JANUARI 5, 2013, OFISI ZA TUME, JIJINI DAR ES SALAAM KUANZIA SAA 4:00 ASUBUHI

Noted kaka!!

Sent from my iPad

On 4 Jan 2013, at 11:10 asubuhi, "Omega S. Ngole" <omegangolle@yahoo.com> wrote:

Wakuu,
Kwa taarifa - Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Jospeh Warioba, ataongea na Wanahabari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Tume kesho, Jumamosi, tarehe 5 Januari, 2013, kuanzia saa 4:00 asubuhi katika Ukumbi wa Mikutano uliopo 'Ground Floor' katika jengo la Ofisi za Tume jijini Dar es Salaam. Kwa rejea, ofisi za Tume za Dar es Salaam zipo mkabala na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mtaa wa Ohio.
 
Vyombo vyote vya Habari vinakaribishwa
-------
 
Omega S. Ngole,
Principal Information Officer,
Constitutional Review Commission (Tanzania),
Ohio Street, 
PO Box 1681,
Dar es Salaam,
Tel: +255 (0) 22 2133425,
Fax: +255 (0) 22 2133442,
Mobile: +255 (00 757 500800,
Website: www.katiba.go.tz

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group, send email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 

0 comments:

Post a Comment