Thursday 3 January 2013

[wanabidii] FW: [jamian] Re: Mudavadi unveils his team on friday

 
AAWW ,
 
Ndugu Zangu ,
 
Haya muamko ni huu kuna zaidi ya huu na ni mara ya kwanza kupata chama kina Muslims
wa mstari wa mbele kabisa ikiwa National Chairman Hassan Omar (Seral) na National
Organizing Secretary Kassim Ali Sawa (Tangaza) hapa ndipo pakushika ni mara ya kwanza
kwa history ya Kenya yetu na zaidi ajuwae ni Bwana Mola na Inshalla atatufunguliya kulla la
kheri . Naomba tusitukuliye kuwa nasema hivi kuwa ni kidini no way . But tutaweza kusema
na kusikiwa juu kuliko sasa .
 
Kwa hivo ni wakati wetu sasa wa kujiunga nao tushikane mikono na kuleta maendeleo 
haswa hapa kwetu na Kenya nzima letu ni letu natumai mwafahamu nasema nini .
Tuna azma kufunguwa Offices Coast Province nzima na mujuwe tuko na Watarajiwa 
Issa Timamy na Suleman Shahbal wako nyuma yetu Inshallah kwa hichi chama na mbali na
hao walotajwa hapo chini . 
 
Tusikae nyuma ndugu zangu let us do it this time we change again . Tulijaribu 2007
tulipata nini kama Muslims allot of promises , lakini hapa no promises ni mapenzi yetu
na mpaka lini tutafuata pesa nane . Wacha wajuwe kuwa Coast Province wameamka na we
need change and really change .
 
So tupeni maoni yenu baada ya kusoma hizi zote emails wajibu museme tusikiye kauli
zenu .  
 
Hussein Abbas  
 


To: jamian@yahoogroups.com
From: badiriziki@yahoo.com
Date: Wed, 2 Jan 2013 23:49:31 -0800
Subject: Re: [jamian] Re: Mudavadi unveils his team on friday

 

By this morning the list has added other three names to become five from which MM
has a wider choice. Abbas Guleid of the Kenya Red Cross,Farah Maalim - Deputy
Speaker and Yusuf Haji the Defence Minister and a die hard KANU member.


Every effort by the MMs' fire fighters is made to come up with the best choice in order
to lure the only biggest tribe in Kenya - the Muslims. Dr. Arale - in charge of the UDF''s
fire fighters spends sleepless nights in ensuring his contacts and influence within the 
Somali community to provide MM with the excellent choice and bring another heavy
storm in the national political landscape after the parting ways between the UDF and
TNA/URP alliance.  

It is agreeable to many that this is the only political sound option MM has so far.

             
...
.................. 

Badi Riziki
+254 727391298


--- On Wed, 1/2/13, mohamed ahmed <badiriziki@yahoo.com> wrote:

From: mohamed ahmed <badiriziki@yahoo.com>
Subject: [jamian] Re: Mudavadi unveils his team on friday
To: jamian@yahoogroups.com
Date: Wednesday, January 2, 2013, 6:43 AM

 
All,
 
The UDF planned Delegate National Conference on Friday is expected to unveil
the final team that is going all the way to March 04 general election. After what
befell Musalia Wa Mudavadi,it's anticipated after his endorsement MM is gonna
name his runningmate whose name is a secret weapon and a surprise to many.
 
However,both pundits/crirtics are predicting that MM will choose a muslim as his
running mate. Whether this is true or not,we are told the two names afloat are
Abdulkadir-former chairman parliamentary committee on constitutional affairs or 
the Mombasa aspirant for governor-Suleiman Shahbal. Our source though tells us
that Suleiman Shahbal is still adamant to accept the offer.
 
Please your take on this. 

             
...
..................

Badi Riziki
+254 727391298




__._,_.___
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (3)
Recent Activity:
And hold fast by the covenant of Allah all together and be not disunited, and remember the favor of Allah on you when you were enemies, then He united your hearts so by His favor you became brethren; and you were on the brink of a pit of fire, then He saved you from it, thus does Allah make clear to you His communications that you may follow the right way.
.

__,_._,___

0 comments:

Post a Comment