Thursday 17 January 2013

Re: [wanabidii] Research za Talaka

Nakushauri ufanye research yako kwenye kijiji kimoja wapo cha mikoa ya pwani maana my experience talaka nyingi ziko ukanda huo kutokana na mila na desturi za watu wa ukanda wa pwani, sina maana maeneo mengine hakuna talaka but ukanda huu unaongoza, Chagua kijiji kimoja tu, utapata majibu ya kutosha.--- On Thu, 17/1/13, Festo Liheta <fliheta@yahoo.co.uk> wrote:

From: Festo Liheta <fliheta@yahoo.co.uk>
Subject: [wanabidii] Research za Talaka
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, 17 January, 2013, 14:20

Ndugu wanabidii, nafanya research kuhusu talaka, naomba yeyote ambaye amewahi kuona au amefanya research kuhusu talaka kwa tanzania anisaidie manake nimeshindwa kabisa kupata kazi za hapa tanzania. natanguliza shukrani zangu.
Festo
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment