Namimi nimemwelewa Waziri, ila shaka bado inatanda vinywa vyetu wengi 'kua kinachombakia Mtanzania kwenye rasilimali hizi, hasa za madini hakiendani na pato halisi'. Hii ndio inayo ongeza hasira kwa watu. Tuboreshe na upande huo.
Alexander
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January 3, 2013 3:54 PM
Subject: Re: [wanabidii] Re: serikali haijawaelewa watu wa Mtwara
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Alexander
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January 3, 2013 3:54 PM
Subject: Re: [wanabidii] Re: serikali haijawaelewa watu wa Mtwara
Meli, inayofanya utafiti wa mafuta baharini Mafia maeneo ya 'Ndagoni' imepambana na GAS nyingi sana baharini katika uchimbaji wake baharini hii gas inayotajwa kuwepo baharini karne. Kampuni ya kigeni (ya Kifaransa kama sijakosea) inafanya drilling huko majini na bomba la uchafu linamwaga nje ya bahari nchi kavu eneo maalum Ndagoni. Hii meli ndio ile ambayo maharamia wakisomali waliivamia kutaka kuiteka wakakamatwa. Kelele tupunguze tuache ushabiki potovu. GAS baharini ipo, nchi kavu. Serikali ipo katika tafiti nyingi. Mzee Nyerere aliziona raslimali hizi akasema tusivune na kuwaachia hawa wazungu waliochora ramani ya mali hizi mpaka tusomeshe vijana wetu waendeshe mitambo na kusimamia governance. Vijana tuache politiking, tusaidie mipango na mikakati mizuri na kujibidiisha ili tuweze kuwa na skills za kujajiriwa na kujiajiri kutumia raslimali hizi for development. Hii muhimu badala ya kujigawa nchi kwa ufahari na majisifa kisiasa. Wapigao kelele waonyeshe mifano mizuri ya utendaji mikoa au vijijini kwao ambako raslimali zipo lakini watu wamebweteka. Ulanzi twanywa elfu mbili kwa siku lakini kuchania elfu 5 tu kila mzazi ili fundi seremala alipo posho kwa kutengeneza madeski ya shule wala hatutaki. Misitu ipo, halmashauri inatoa miti migumu kadhaa madeski yatengenezwe na seremala wa kijijini na timu yake alipwe na wazazi-haieleweki. Ulanzi/kindi, kangara 2000/= per day x 30 days or 366 days ni kiasi gani ushindwe mchango wa elfu tano baada ya mavuno ya mwaka mara moja kwa mwaka kaya 1000+ x 5,000/= ni hela za kutosha wanafunzi wapate madeski, meza ya teacher, kabati la vitabu etc. Tunafanya? Waziri ameweka clear haswa. --- On Thu, 3/1/13, Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment