Tuesday 29 January 2013

Re: [wanabidii] NGUVU YA UMMA KULIKONI MISRI

Mabadiliko ya kidemokrasio sio kitu cha mwaka mmoja.

Mapambano kati ya walio nacho na wasionacho ili kujenga jamii inayojali watu wanyonge sio kazi ka kulala na kuamka.

Tafakari hilo

--- On Tue, 29/1/13, ELISHILIA.D.S KAAYA <kaayashilia@hotmail.com> wrote:

From: ELISHILIA.D.S KAAYA <kaayashilia@hotmail.com>
Subject: [wanabidii] NGUVU YA UMMA KULIKONI MISRI
To: "wanabidii@googlegroups.com " <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, 29 January, 2013, 18:56

Je tunajifunza nini kwa  matukio yanayotokea huko Misri? Hivi tunaweza kweli kukubali kutuliza vichwa na kutafakari kuhusiana na msitakabali wa utaifa bila kuingiza nyongo ya ubinafsi kwa kutumia kichaka cha nguvu ya Umma na kuzua  giza kuu?

Je zipo awamu ngapi za nguvu ya umma zitakazolifikisha taifa lolote katika utulivu na kasi ya maendeleo? Libya iko wapi? Katika jukwaa hili hili tulikuwa na mijadala motomoto sasa imekwisha! Au Waafrika bado tunatumiwa na wale tuwaitao maadaui zetu au tumekuwa maadui wetu wenyewe sasa?
Sent from my BlackBerry® smartphone from VodacomSent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom</div>

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment