Saturday 26 January 2013

Re: [wanabidii] Incompetence Responsible for Faulty Decision to Transport Mtwara Natural Gas for Power Generation in Dar es Salaam

I concur with Dr. Massawe and Tony. Tunaacha misingi mahususi ya maendeleo ya kikanda. Mtwara was supposed to be a Growth Pole for the Southern Corridor. Siasa zimevuka mipaka na utashi wa kitaalam


On 26 January 2013 15:12, Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk> wrote:
Abdallah,

Mimi nakubaliana na huyo mwalimu wako. Hapa tumejaza watu waliosoma mechanically tu, hawana uwezo wa kuchanganya uelewa wa kiuchumi na uhandisi katika misingi ya kibiashara.

Niliposikia maandamano ya kwanza Mtwara mimi nilihoji kama maamuzi ya kutumia dolla billion 2 kuwepa bomba la gesi Dar kama ulikuwa uamuzi jadidi; sikupata jibu na watu wakakimbilia kujibu kisiasa zaidi ya kiuchumi na kibiashara. Kwa fedha hizo tungweza kujenga mtambo wa gesi wa kutoa megawati 1200 huko huko na kuweza kujenga transmission line ya Km 1000 kupeleka umeme kwenye gridi na kuongeza uwezo wa gridi kuwa Kv 660 ili iweze kuhimili umeme huo.

Wahandisi wa umeme tu na nyenzo (power/energy) yaonekana ndio waliotoa wazo la kusafirisha gesi na kusahau kuangalia options nyingine kwavile utaalamu wa kibiashara na uchumi sio major ya wizara hiyo na nina shaka kama wizara za uchumi na biashara kama zilihusishwa.

Gesi inayoletwa kwa sasa kutoka Songosongo, inatosha kukidhi matumizi ya viwanda vya saruji, na vinginevyo na pia vinu vya umeme vilivyo hapa Dar ambavyo vingebaki kama standby kwa grid balancing purpose.

Tunaleta gesi, na bado tutabidi kujenga vinu tena kutumia hiyo gesi efficiently! Operating cost ya kutunza mitambo ya kusukuma gesi toka Mtwara na gharama za kuendesha mitambo ya umeme hapa Dar ni karibu ya mara 1.4 ikilinganishwa na shughuli hiyo kufanyika Mtwara. Ukikokotoa gharama hizi na kutengeneza cost/benefit analysis ya mradi kuleta gesi Dar utaona ujinga mkubwa uliofanyika.

Ukiacha hilo la CBA, social benefits nazo ni kubwa kwa watu wa kusini kwa nyanja mfano:
Viwanda vya kutengeneza plastics (granules) vingewekwa Mtwara, navyo gharama ya kuviendesha ingekuwa chini ikilinganishwa na Dar. Ujenzi wa makazi ya wafanyakazi wa viwanda ungefanyika mtwara na kunufaisha wananchi wa huko. Pia ajira nyingi ukiacha ya high class cadre nayo ingenufaisha wakaazi wa mtwara.

Inakisiwa kuwa maamuzi ya kuchukua gesi mtwara na kuileta Dar itaingizia taifa hasara kwenye nyanja ya viwanda na kutokidhi ushindani wa kimataifa kwa bidhaa zitakazozalishwa Dar badala ya Mtwara!

Abdallah, point ya mkufunzi wako ni halisi na ujinga wetu leo utatugombanisha na pia gharama kubwa ya kulilinda bomba itakuwa kubwa kwa maamuzi ya kipumbavu kabisa. Eti tuna watalaam, mie wanatuingiza mkenge kwa fikra njiwa zinazolitia taifa hasara. Kheri ya Nyerere aliyetuona hatuna utalaam akazuia uchimbaji wa raslimali zake hadi taifa likue.


------Original Message------
From: Abdalah Hamis
Sender: wanabidii@googlegroups.com
To: Wanabidii
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Incompetence Responsible for Faulty Decision to Transport Mtwara Natural Gas for Power Generation in Dar es Salaam
Sent: Jan 26, 2013 14:37

Dr A. Massawe/massaweantipas@hotmail.com/

I remember my Head of Department at the foreign university I did my
engineering studies saying that from his teaching experiences in
helping engineering curriculum developments abroad, found out that the
education taught in most African institutions is only meant to create
doers rather than both business makers and doers.

And it is very true, very little of the engineering or business design
science is taught nowadays in our local institutions of higher
learning and almost all the local experts are equipped with in
business or engineering design is the know how to use western
developed computer designing programs in feeding in the inputs and
retrieving the outputs mechanically-like robots.

As a consequence, in the absence of western made computer program (s),
our local experts completely fail to advice our decision makers
properly on easily understood business/engineering design problems
such as the one involving choice of option for the location of Mtwara
Natural Gas based power generation plants from the two options given:
Dar es Salaam or Mtwara.

I consider the disputed Government choice to build a pipeline for
transporting the natural gas from Mtwara for Power generation in Dar
es Salaam a faulty one because:

Dar es Salaam and its nearby surroundings could be having a lot more
of its own natural gas than Mtwara has (1);

Producing power in Mtwara and building up a new power grid to
distribute in Mtwara, Lindi, Pwani and Dar es Salaam regions would
have empowered all coastal rural and urban centers from Mtwara to Dar
es Salaam with a reliable supply of power which is connectable or
easily connectable to the national grid to enhance its reliability and
its stimulation of investing for economic growth within the whole
urban and rural coastal corridor from Mtwara to Dar es Salaam (2);

Our priority industrial development focus now should have been Mtwara
which neighbours the very rich developing Mozambique and nearer to
landlocked countries like Malawi, Zimbabwe and Zambia than Dar is to
these countries, especially aimed to grasp a significant share of the
market for manufactured goods consumption in Mozambique and in the
other nearby landlocked countries of Malawi, Zimbabwe and Zambia. If
we don't do it this way, Mozambique will and become the main supplier
of manufactured goods in our southern regions and in the other nearby
landlocked countries mentioned here (3).

Similarly, relative to Dar es Salaam, the Tanzanian towns of Tanga,
Arusha and Moshi should have also been given priority industrial
development focus aimed to conquer markets in the neighbouring Kenya
and to reverse the trend in which it is Nairobi and Mombasa exporting
almost all East African manufactured goods consumed in Tanzania,
especially in the Northern part of our country.

Was very surprised to hear a Honourable decision maker publicly
arguing that the choice to use the Mtwara natural gas for power
generation in Dar es Salaam instead of Mtwara was correct because this
power generation won't have much to offer in the form of jobs to the
people of Mtwara because it doesn't employ many, not knowing that most
important of what Mtwara would have benefited from having the power
generated in Mtwara was the reliable availability of cheap power which
stimulates investing for economic growth in our southern regions.
Again the same Honourable decision maker argued that decision was
correct because natural gas transportation via pipeline is cheaper
than power transmission via grid (yes, the cost of power
transportation via grid is almost twice the cost of natural gas
transportation via pipeline), not knowing that main determinant of
option choice in this case and in
any other similar business are the total profit returns from the two
project options during their whole life spans. The same Honourable
decision maker concluded public argument by saying that the choice of
Dar es Salaam was correct because choice of Mtwara would have resulted
into
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment