Kaka Matinyi,
For the first time umeweza kutufahamu vizuri Wazanzibari!
Kwa hilo ahsante!
Kila la kheri.
...bin Issa.
From: Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
To: Wanabidii googlegroups <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, October 15, 2012 4:56:12 PM
Subject: RE: [wanabidii] POMBE MARUFUKU ZANZIBAR..............
Nilivyoelewa:
1. Ukabaha marufuku - jambo ambalo ni sahihi kabisa (na ushoga pia).
2. Matangazo ya biashara (advertisidements) ya pombe marufuku - siyo pombe.
3. Uvutaji sigara kwenye hadhara/umati ni marufuku - unaweza kuvuta chumbani mwako.
Hakuna haja ya kupindisha hata kama mtu hukubaliani na hatua hizi.
Matinyi.
Date: Mon, 15 Oct 2012 23:51:50 +0300
Subject: Re: [wanabidii] POMBE MARUFUKU ZANZIBAR..............
From: bmwasaga@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Ila mgawo wa fedha/mapato yanayotokana na kodi za vileo na sigara wanayataka kwa kasi kubwa, sasa sijajua kwanini kuna hii marufuku.....
1. Ukabaha marufuku - jambo ambalo ni sahihi kabisa (na ushoga pia).
2. Matangazo ya biashara (advertisidements) ya pombe marufuku - siyo pombe.
3. Uvutaji sigara kwenye hadhara/umati ni marufuku - unaweza kuvuta chumbani mwako.
Hakuna haja ya kupindisha hata kama mtu hukubaliani na hatua hizi.
Matinyi.
Date: Mon, 15 Oct 2012 23:51:50 +0300
Subject: Re: [wanabidii] POMBE MARUFUKU ZANZIBAR..............
From: bmwasaga@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Ila mgawo wa fedha/mapato yanayotokana na kodi za vileo na sigara wanayataka kwa kasi kubwa, sasa sijajua kwanini kuna hii marufuku.....
0 comments:
Post a Comment