Inaonekana huyu mwanamke alifikiri wakati mgogoro unatatuliwa zziwa litaendelea kuwa mali ya Malawi. Kwa nini hakufikir wakati mgogoro unaendelea kutafutiwa ufumbuzi sehemu inayodaiwa kuwa ya Tanzania itaendelea hivyo? Kama Tanzania inafikiri sehemu ya Ziwa ni mali yake alifikiri (Tanzania) ikitoa ramani itakuwa inafananaje? Ni kama ana uhakika kuwa atapata 'haki' huko anakokwenda. Ni vizuri Tanzania ikapima kama itatendewa haki. Kama hakuna basi hakuna haja ya kwenda na kauli ya Lowasa inaweza kuwa na maana --- On Wed, 10/3/12, Charles Banda <chasbanda@gmail.com> wrote:
|
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment