Tuesday 29 April 2014

Re: [wanabidii] Siungi Mkono Adhabu ya Kifo

Ndugu KIM hahahahahhh ujue sie huo ufikiriaji wa namna hiyo tumeambiwa si mzuri tena ni kosa hasa ukizingatia watukufu wetu ndo vinara wa hayo iliobainisha


2014-04-28 12:28 GMT-05:00 De kleinson kim <dekleinson@gmail.com>:

Sijui kosa lao, wala sijafuatilia kisa ila nitachangia as sober.
Kwangu mimi hukumu ya kifo naunga mkono 100% ila sio katika mazingira yote.

Hivi mfano mtu amepewa dhamana ya uongozi mahali, kwa tamaa, na ujinga wake baada ya kupokea misaada flani/fungu kuwapelekea wananchi yeye akala na kusababishia baadhi yao kukosa huduma hizo muhimu/chakula hata kupelekea kifo. Au ni mkemia mkuu akaruhusu vyakula vyenye sumu kuingizwa nchini kumbe nyuma ya pazia kaweka mlungula mfukoni.

Mtu wa namna hiyo afanywe nini?? Hayo mataifa ya magharibi yaingilie tuone!!! Mbona walimminya Osama bila kumpa haki ya kujitetea kisheria?? Hawakutangaza atakaemuua kuna dongo nono la fedha?? I know the guy was guilt but not proven mbele ya mahakama!! Kama ndivyo wangeweka sheria kama Rwanda, "everyone is guilty until proven innocent.."

Tuwe makini, weakness ya sheria itatutudisha nyuma kimaendeleo maana watu watachukulia mwanya huo huo kujipigia magoli ya visigino!!!!

Atakaesema nina roho mbaya anisamehe maana ndivyo nilivyo na huwa najiona nimekamilika vizuri sana.

"...by citizenship am a Tanzanian, nationality African..."

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment