Friday, 10 January 2014

Re: [wanabidii] Re: RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA CHADEMA

Tuambie kwenye issue zipi wanadanganya na zipi wanasema ukweli?


Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

-----Original Message-----
From: Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sat, 11 Jan 2014 00:35:36
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Re: RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA CHADEMA

Kwa hali ilivyo haitakuwa busara.mengine yanapaswa kubaki
huko.nilitaka tu watu tuwe na akiba ya maneno.mtu anayeaminika kuwa
husema ukweli akidanganya ck fulani watu wataamini pia kasema ukweli.
So goes chadema kwa sasa. On some issues, wanadanganya.

On 1/10/14, Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com> wrote:
> Hakuna shaka kuwa Ludo anaifahamu vyema CDM. Lakini sisi watu wa inje
> tunapima mambo yanayoonekana kwa inje na kutoa mawazo yetu. Na tupo sahihi
> ktk hilo maana hatuwezi kuchangia ktk mambo yaliyofichika. Yakifichuliwa
> tutayajadili pia kama yalivyo. Jose, hebu tumwagie hapa ukweli tusioujua.
> On 10 Jan 2014 16:54, <gm26may@gmail.com> wrote:
>
>>
>>
>> Tupe fact unazozijua wewe
>>
>>
>> Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
>>
>> -----Original Message-----
>> From: Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com>
>> Sender: wanabidii@googlegroups.com
>> Date: Fri, 10 Jan 2014 19:51:27
>> To: <wanabidii@googlegroups.com>
>> Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
>> Subject: Re: [wanabidii] Re: RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA
>> CHADEMA
>>
>> Mbegu,,naitetea.labda kama haukujua msimamo wangu.ninachokisema ni
>> kuwa wengi na hata wewe nimeona kwenye baadhi ya mambo wanaongelea
>> facts ambazo dhahiri siyo kweli.hlo tu
>>
>> On 1/10/14, Edgar Mbegu <embegu@hotmail.com> wrote:
>> > Ludovick, wewe huitetei kwa sababu unaifahamu? Unashangaa kwa nini watu
>> > wanaitetea pamoja na migogoro yote? Kama hujui, jibu ni rahisi sana.
>> > Watu
>> > wamechoka... wamechoka kabisa ....
>> >
>> >> Date: Fri, 10 Jan 2014 10:54:26 +0300
>> >> Subject: Re: [wanabidii] Re: RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA
>> >> CHADEMA
>> >> From: josephludovick@gmail.com
>> >> To: wanabidii@googlegroups.com
>> >>
>> >> Socrates alipoanza kufundisha athens, alishangaa kukuta watu waliokuwa
>> >> wakiheshimika sana kama wataalamu ktk fani fulani wakiwa hawajui
>> >> lolote kuhusu fani hizo. Nami nashangaa namna baadhi ya watu humu
>> >> wanaotetea chadema,wasivyoifahamu chadema.
>> >>
>> >> On 1/10/14, Felix Mwakyembe <fkyembe@gmail.com> wrote:
>> >> > Dada Ananilea,
>> >> >
>> >> > Pole sana.
>> >> >
>> >> > Lakini waraka huu mbona umekuwepo kwenye mitandao muda mrefu, tena
>> >> > nakumbuka kuna wakati mliutolea nje na wengine walipojaribu kuhoji
>> >> > mlikuja
>> >> > juu.
>> >> >
>> >> > Leo umeletwa tena na nyingeza ya mgawo wa fedha baada ya kupelekana
>> >> > mahakamani na wakubwa kushindwa, unaletwa ikiwa ni muendelezo wa
>> >> > kuvuana
>> >> > nguo.
>> >> >
>> >> > Jambo la kujifunza kutokana na mgogoro huu ndani ya chadema, ni
>> >> > jinsi
>> >> > gani
>> >> > ubinafsi ulivyojikita katika mioyo ya wengi wa wanasiasa wetu.
>> >> >
>> >> > Sina wa kumwamini kati ya makundi hayo mawili kwa sasa, kwani
>> >> > Mwenyekiti
>> >> > naye kakiri kupokea fedha kutoka kwa kina Mkono na Rostam, watu
>> >> > wanaowashambulia kuwa ni mafisadi, kwamba Baniani mbaya kiatu chake
>> >> > kizuri,
>> >> > hapana, ni unafiki ule ule, ni usaliti ule ule kwa Watanzania.
>> >> >
>> >> > Kama tunataka kujenga lazima tuliangalie suala la Chadema katika
>> >> > sura
>> >> > zake
>> >> > zote, yote yanayoibuliwa katika pande zote hizo mbili za mgogoro
>> yapewe
>> >> > uzito sawa, tuepuke kumeza kila kitu chao wanachotupatia!!!!
>> >> >
>> >> >
>> >> >
>> >> >
>> >> >
>> >> >
>> >> > 2014/1/10 Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com>
>> >> >
>> >> >> Pia ni chuki kubwa, uzushi na propaganda za kipuuzi Kusema kuwa
>> >> >> uongozi
>> >> >> ndani ya CDM ni mpaka mtu atoke kanda ya Kaskazni au awe mchaga
>> >> >> On 26 Nov 2013 04:06, "Rwambogo Edson" <rwambogoedson@yahoo.com>
>> >> >> wrote:
>> >> >>
>> >> >>>
>> >> >>> kwa jinsi ninavyomuheshim ZITO nadhan ni muda wa yy afanye kitu
>> >> >>> kuturidhisha wanachama wenzake ili tuwe na iman nae...
>> >> >>> ------------------------------
>> >> >>> On Mon, Nov 25, 2013 8:37 AM PST ananilea nkya wrote:
>> >> >>>
>> >> >>> >
>> >> >>> >
>> >> >>> >Mwanangu Zitto,
>> >> >>> >Nimeisoma hii ripoti hapa chini. Nimetoa machozi mie mtu mzima
>> >> >>> mchana
>> >> >>> kweupe. Najililia mimi mwenyewe, nawalilia Watanzania wenzangu na
>> >> >>> naililia
>> >> >>> nchi yangu. Nalia kwa sababu kama haya yaliyoandikwa hapa yana
>> chembe
>> >> >>> ya
>> >> >>> ukweli, wewe hakuna tofauti na mtu aliyeiuza nchi yake na watu
>> >> >>> wake
>> >> >>> utumwani! What a shame? Tutapitisha wapi nyuso zetu sisi tuliokuwa
>> >> >>> tunajidai kwamba wapo vijana makini, wenye uzalendo, wasionunulika
>> >> >>> wanaopigania nchi yetu ipate ukombozi wa pili? Natoka kwenda kulia
>> >> >>> kwanza
>> >> >>> uchochoroniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
>> >> >>> >Ananilea Nkya
>> >> >>> > E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
>> >> >>> >
>> >> >>> >From: "startvdsmnews@gmail.com" <startvdsmnews@gmail.com>
>> >> >>> >To: wanabidii@googlegroups.com
>> >> >>> >Cc: machaflora@yahoo.com
>> >> >>> >Sent: Monday, November 25, 2013 8:47 AM
>> >> >>> >Subject: [wanabidii] Re: RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA
>> >> >>> CHADEMA
>> >> >>> >
>> >> >>> >
>> >> >>> >On Saturday, November 9, 2013 1:12:39 PM UTC+3, Chadema Tanga
>> >> >>> wrote:
>> >> >>> >> *Nyaraka hii imechomolewa kwa siri toka Chadema makao makuu
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> RIPOTI YA SIRI JUU YA ZITTO KABWE KWA CHADEMA
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> UCHUNGUZI WA MWENENDO WA KISIASA WA ZITTO Z. KABWE NDANI NA
>> >> >>> NJE
>> >> >>> YA
>> >> >>> CHADEMA.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> UTANGULIZI:
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe
>> ulianza
>> >> >>> kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili
>> >> >>> lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa anakisaliti
>> chama.
>> >> >>> >> Hilo liliilazimu timu ya kijasusi ya chama kuanza kufuatilia
>> >> >>> nyendo
>> >> >>> zake kwa ukaribu zaidi usiku na mchana ili kujiridhisha pasipo
>> kuacha
>> >> >>> chembe ya mashaka. Ifahamike kuwa chama kina idara ya ulinzi na
>> >> >>> usalama
>> >> >>> wa
>> >> >>> chama na viongozi wake yenye uwezo wa kufuatilia nyendo za
>> >> >>> majasusi
>> >> >>> wa
>> >> >>> nje
>> >> >>> na viongozi na wanachama wake popote walipo kwa masaa 24. Baada ya
>> >> >>> kujiridhisha kuwa mwenendo wake ni wa mashaka, bila kusita timu ya
>> >> >>> ujasusi
>> >> >>> ilianza kazi rasmi ya ujasusi dhidi ya nyendo zote za Zitto Zuberi
>> >> >>> Kabwe
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> MAMBO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI DHIDI YA ZITTO KABWE.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kumfuatilia yeye binafsi nyendo zake.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kufuatilia mawasiliano yake ya simu.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kufuatilia mawasiliano yake ya barua pepe.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kufuatilia pato lake nje ya kazi zake halali za kibunge.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> SEHEMU YA KWANZA 2008
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Chombo chetu cha ujasusi tulichokipandikiza kwa siri katika
>> >> >>> nyendo
>> >> >>> zote za Zitto Kabwe na ndani ya vikao vya mwanzo kabisa vya Zitto
>> >> >>> na
>> >> >>> viongozi serikalini, nahata vile vikao muhimu vya idara ya ujasusi
>> ya
>> >> >>> chama
>> >> >>> cha mapinduzi (ccm), kinatupa fursa ya kuweka msingi wa kuimarisha
>> >> >>> chama
>> >> >>> cha CHADEMA na kutenda haki kidemokrasia kwa maslahi ya chama na
>> >> >>> Taifa
>> >> >>> kwa
>> >> >>> ujumla:
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Mnamo Jumatatu ya tarehe 16/6/2008 saa 09:46 asubuhi, Mh Zitto
>> >> >>> Kabwe
>> >> >>> kupitia simu yake ya kiganjani namba +255754787550 alipokea simu
>> >> >>> kutoka
>> >> >>> kwa
>> >> >>> Ramadhani Ighondu mwenye namba +255717760473 ambaye ni afisa
>> >> >>> Usalama
>> >> >>> wa
>> >> >>> Taifa anayefanya kazi ikulu hivi sasa. Alijitambulisha kuwa yeye
>> >> >>> ni
>> >> >>> Usalama
>> >> >>> wa Taifa ametumwa na mkuu wake wa kazi aje aongee na Zitto,
>> >> >>> Maelezo
>> >> >>> ya
>> >> >>> msingi katika simu hii ilikuwa ni bwana Ramadhani Ighondu kuomba
>> >> >>> miadi
>> >> >>> ya
>> >> >>> kuonana kutokana na agizo la mkuu wake wa kazi.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Siku sita baadae yaani Jumatatu ya tarehe 23/6/2008 saa 07:52
>> >> >>> asubuhi, Zitto alipigiwa tena simu na Ramadhani Ighondu
>> >> >>> akimkumbusha
>> >> >>> maongezi yao waliyo fanya siku 6 zilizopita na kumuomba siku hiyo
>> >> >>> jioni
>> >> >>> waonane, ingawa Zitto alionekana kusita kidogo lakini baadae
>> >> >>> alikubali,
>> >> >>> Walikubaliana wakutane Sea Cliff Hotel, ilipofika jioni ya siku
>> >> >>> hiyo
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> akiwa na marafiki zake wawili Omar Lyasa na Abdalah Said walifika
>> Sea
>> >> >>> Cliff
>> >> >>> Hotel wakaketi na kuagiza vinywaji, Baada ya kama dakika kumi hivi
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> alipokea simu ikimuelekeza alipo bwana Ramadhani Ighondu kisha
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> akawaambia marafiki zake wamsubiri kidogo, akaondoka kuelekea
>> >> >>> aliko
>> >> >>> elekezwa…..
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Mashariki mwa lango kuu la kuingilia Sea Cliff Hotel mita kama
>> >> >>> tatu
>> >> >>> tu kuna mlango mdogo unaoelekea kwenye vyumba maalumu (VIP),
>> >> >>> chumba
>> >> >>> namba
>> >> >>> 8
>> >> >>> ndicho Zitto alichokuwa anaelekezwa kwa simu kuingia, chumba hiki
>> >> >>> kina
>> >> >>> meza
>> >> >>> moja na sofa zilizo zunguka meza ile zenye uwezo wakukaliwa na
>> >> >>> watu
>> >> >>> watano
>> >> >>> hadi sita, Ndani ya chumba kile Zitto anakutana na watu watatu
>> >> >>> ambao
>> >> >>> ni
>> >> >>> Steven Wasira, Ramadhani Ighondu na Abdalla Punja (hawa wote ni
>> TISS)
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Mazungumzo yao ndani ya chumba hiki yalianza maramoja, akianza
>> Mr
>> >> >>> Ighondu kueleza sababu za wao kumuita Zitto, kikubwa ilikuwa ni
>> >> >>> "bwana
>> >> >>> Zitto, serikali (ikulu) inakutaka uache kuibana na kuishurutisha
>> hasa
>> >> >>> kwa
>> >> >>> hili suala la Buzwagi". Tunaomba kujua shida yako kubwa ni nini?"
>> >> >>> Ighondu
>> >> >>> alihoji, Katika majibu yake Zitto anajibu, "Mimi napigania haki za
>> >> >>> watanzania, nimechaguliwa na wanakigoma na watanzania wameniamini
>> >> >>> ni
>> >> >>> wawakilishe hivyo", Lakini mashambulizi ya ushawishi yalipozidi
>> Zitto
>> >> >>> alilegeza msimamo wake.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Katika kikao hiki kilichochukua masaa mawili, Zitto anaonekana
>> >> >>> kusita
>> >> >>> sana na anaomba apewe muda akafikirie aliyoitiwa, wote wanaafiki
>> >> >>> na
>> >> >>> kukubali ombi la Zitto na kikao kinaahirishwa.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Siku tatu tu baada ya kikao cha Hotel ya Sea Cliff, yaani
>> >> >>> tarehe
>> >> >>> 27/6/2008 Zitto anakutana na Naibu Mkurugenzi wa TISS Ndugu Jack
>> Zoka
>> >> >>> jijini Arusha, hiki sio kikao chao maalumu bali wamekutana kwa
>> >> >>> mara
>> >> >>> ya
>> >> >>> kwanza wote wakiwa kwenye shughuli za kitaifa, Katika mazungumzo
>> >> >>> yao
>> >> >>> wanaonekana ni watu wanaofahamiana japo si kwa undani, Baada ya
>> >> >>> maongezi
>> >> >>> ya
>> >> >>> dakika kadhaa wakiwa wamesimama, Mr Zoka alimuuliza "Vipi vijana
>> >> >>> wangu
>> >> >>> walikupa ujumbe, umefikia wapi?" Zitto aliitikia kwa kucheka na
>> >> >>> kusema
>> >> >>> "yap
>> >> >>> nipo tayari, lakini nihakikishieni usalama wangu" Katika maongezi
>> >> >>> haya,
>> >> >>> Zoka anasikika akisema "Ondoa shaka" Kisha Mr Zoka anamuagiza
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> kuwa
>> >> >>> kesho kutwa yake aende kwa Charles Kimei (Mkurugenzi CRDB Benki)
>> pale
>> >> >>> Makao
>> >> >>> makuu, atayakuta maagizo yake huko.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 30/6/2008 majira ya saa 12:22 za alasiri, Zitto akiwa
>> >> >>> ameongozana na kijana mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Rajabu
>> >> >>> Abdala
>> >> >>> anaingia eneo la CRDB Benki mtaa wa Azikiwe, na kwenda moja
>> >> >>> kwamoja
>> >> >>> kuonana
>> >> >>> na Bw Kimei, baada ya salamu haikuchukua muda mrefu, Zitto
>> akapelekwa
>> >> >>> katika moja ya vyumba maalumu vya bank hiyo kwenye jengo hilohilo
>> >> >>> la
>> >> >>> Azikiwe, baada ya kufika katika chumba hicho Zitto alihamaki
>> kuwakuta
>> >> >>> watu
>> >> >>> wawili katika chumba hicho, mmoja alikuwa ni mfanyakazi wa bank
>> >> >>> hiyo
>> >> >>> aliyetambuliwa kwa jina laMaselina K. Kombe na mwingine hakuwa
>> >> >>> mgeni
>> >> >>> machoni mwa Zitto, alikuwa ni Ramadhani Ighondu yule wa TISS
>> >> >>> waliyekuwa
>> >> >>> naye kwenye kikao cha awali kule Sea Cliff Hotel wiki chache
>> >> >>> zilizopita,
>> >> >>> Zitto alikabidhiwa Briefcase nyekundu iliyokuwa imesheheni pesa
>> >> >>> halali
>> >> >>> za
>> >> >>> kitanzania kiasi cha Shilingi milioni 250.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Wakati hayo yakitendeka yule kijana aliyekuja na Zitto alikuwa
>> >> >>> kwenye
>> >> >>> gari aina ya Toyota Mark 11 No T 134 AAB yenye rangi nyeupe na
>> >> >>> vioo
>> >> >>> vyeusi
>> >> >>> (Tinted). Baada ya makabidhiano yaliyochukua kama dakika 10 tu, Mr
>> >> >>> Ighondu
>> >> >>> alimwambia Zitto, "tunataka utulivu, mengi mazuri yanakuja
>> utafurahia
>> >> >>> kijana," Na kisha Zitto akatoka na begi lake (Briefcase) na
>> >> >>> kuingia
>> >> >>> nalo
>> >> >>> katiga gari ile na kutokomea.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Uchunguzi umeonyesha kuwa pesa ile aliyokabidhiwa ndugu Zitto,
>> >> >>> ilitoka katika akaunti Namba 0J56708968923 yenye jina la Shani
>> >> >>> Maya,
>> >> >>> ambapo
>> >> >>> inaonyesha kuwa akaunti hii ilifunguliwa CRDB tawi la azikiwe
>> >> >>> tarehe
>> >> >>> 25/6/2008 saa 10:14 asubuhi, kisha tarehe 27/6/2008 iliingizwa
>> >> >>> kiasi
>> >> >>> cha
>> >> >>> pesa za kitanzania milioni 400. Na tarehe 30/6/2008 pesa hizo
>> >> >>> zilitolewa
>> >> >>> zote na akaunti hii ilifungwa. Madhumuni ya pesa hii kutoka CRDB
>> >> >>> kwenda
>> >> >>> kwa
>> >> >>> Zitto yanathibitishwa na kikao cha 23/6/2008 pale Hotel ya Sea
>> >> >>> Cliff
>> >> >>> kuwa
>> >> >>> ni kupunguza kasi ya Zitto kuibana serikali hasa anapo kuwa
>> >> >>> bungeni.
>> >> >>> Na
>> >> >>> kweli kasi yake iliyozoeleka kwenye kuibana serikali akiwa bungeni
>> >> >>> ikapungua na kuweka msingi wa ujenzi wa mashaka juu ya mwenendo
>> >> >>> wake
>> >> >>> wa
>> >> >>> kibunge.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> SEHEMU YA PILI 2009
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Mnamo Jumatatu ya tarehe 30/11/2009 saa 04:30 asuhuhi wakati
>> >> >>> wa
>> >> >>> maandalizi ya uchaguzi wa mkuu wa 2010, idara ya ujasusi ya ccm
>> >> >>> ilikutana
>> >> >>> kwa siri pale Moven Pick/SERENA Hotel, ndani ya idara hii wakiwamo
>> >> >>> Jack
>> >> >>> Zoka, Wilson Mkama, Kingunge Ngombale Mwiru, Jakaya Kikwete, Nape
>> >> >>> Nnauye,
>> >> >>> Fred Kimati, Steven Wasira, Ramadhani Ighondu, Martin Palakyo,
>> >> >>> Mwigulu
>> >> >>> Nchemba, Ahamed Msangi na Abdalla Punja. Katika kikao hiki
>> >> >>> yalijadiliwa
>> >> >>> mengi sana, lakini kubwa lilikuwa nikukabiliana na vyama vya
>> upinzani
>> >> >>> hususani CHADEMA, zilipangwa mbinu nyingi sana juu ya Chadema,
>> >> >>> Mbinu
>> >> >>> hizo
>> >> >>> ni kama ifuatavyo:
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kuwanunua wagombea ubunge na Udiwani (Mtakumbuka wagombea wetu
>> >> >>> kadhaa
>> >> >>> walikuja kununuliwa na chama kina ushahidi kwenye hili).
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kuwanunua VIONGOZI wajuu wa CHADEMA.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kutumia TISS kutisha wagombea na wanachama wa Chadema (Hii
>> >> >>> ilikuwa
>> >> >>> ni
>> >> >>> kuwakamata au kuvuruga mikutano).
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kuwaua baadhi ya wafuasi wa Chadema, viongozi wa Chadema na
>> >> >>> wabunge.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Lakini walitilia mkazo zaidi njia ya kwanza ,ya pili na ya
>> >> >>> tatu
>> >> >>> ambapo kikao kilijiridhisha kuwa mmoja wa VIONGOZI wa Chadema
>> >> >>> ambae
>> >> >>> ni
>> >> >>> Zitto Kabwe ni mtu wao ambaye wamesha anza kumtumia, kikubwa
>> >> >>> liandaliwe
>> >> >>> fungu tu kwa ajili yakuanza mikakati yao, Waliafikiana mambo mengi
>> >> >>> kwaajili
>> >> >>> ya uchaguzi wa mwaka ambao ungefuata, na wakakubaliana mambo
>> >> >>> kadhaa
>> >> >>> ambayo
>> >> >>> walimuagiza Mr Zoka akamwambie Zitto nini cha kufanya ili
>> >> >>> kupunguza
>> >> >>> nguvu
>> >> >>> ya upinzani.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kwa upande wake Zoka alikiambia kikao kuwa Zitto
>> >> >>> amemthibitishia
>> >> >>> kuwa
>> >> >>> yeye anawafuasi wakutosha ndani ya chama ambapo watamuunga mkono
>> >> >>> kwa
>> >> >>> lolote
>> >> >>> hivyo kikubwa ni pesa tu. Lakini kwanza kikao hicho kilimtaka Mr
>> Zoka
>> >> >>> amwambie Zitto kuwa taarifa zote zinazoihusu Chadema na za kila
>> vikao
>> >> >>> vya
>> >> >>> ndani vya chama zinatakiwa pia ziifikie timu hiyo ya kijasusi ya
>> ccm,
>> >> >>> pili
>> >> >>> walitaka Zitto apunguze ushiriki katika majukwaa ya chama na
>> shughuli
>> >> >>> nyingine za chama. Baada ya kikao sasa ulikuwa ni utekelezwaji wa
>> >> >>> maadhimio
>> >> >>> yao.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Zoezi la kikao cha tarehe 30/11/2009 linaonyesha kuzaa matunda
>> >> >>> hasa
>> >> >>> baada ya kubainika mawasiliano ya karibu sana kati ya Zitto na
>> >> >>> Jack
>> >> >>> Zoka,
>> >> >>> Kwamfano: Jumamosi ya tarehe 6/12/2009 saa 03:43 asubuhi Zoka
>> kupitia
>> >> >>> namba
>> >> >>> yake ya simu +255756809535 alimpigia simu Zitto kupitia simu yake
>> >> >>> ya
>> >> >>> kiganjani ambayo ni +255754787550, wakati wa mawasiliano yao haya
>> >> >>> ya
>> >> >>> simu
>> >> >>> Zitto alikuwa Tabata na maongezi yao yalihusu kikao cha 30/11/2009
>> na
>> >> >>> kile
>> >> >>> walichoamua timu ya kijasusi ya chama (ccm) na matakwa yao kwa
>> Zitto.
>> >> >>> Ndani
>> >> >>> ya maongezi yao yaliyochukua dakika 68, Zitto anasema, "Mr kazi
>> >> >>> hii
>> >> >>> ni
>> >> >>> nzito, vipi mmeongeza hela? Isije kuwa kama ile ya mwaka jana."
>> >> >>> Anajibiwa
>> >> >>> na Zoka kuwa "ondoa shaka una dili na Jamhuri, hela sio tatizo"
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Lakini zaidi Zitto anamshauri bwana Zoka kuwa utaratibu wa
>> >> >>> uchukuaji
>> >> >>> wa pesa ubadilike, "Mr Jack ile staili ya uchukuaji pesa kule CRDB
>> >> >>> mwaka
>> >> >>> jana ilinitisha kidogo halafu hii isije ikabumburuka vyombo vya
>> >> >>> habari
>> >> >>> vipo
>> >> >>> makini kweli sasa hivi" Anajibiwa na Bwana Zoka kuwa "Tunazo njia
>> >> >>> nyingi
>> >> >>> sana ambazo si TAKUKURU wala polisi wanaoweza kubaini, tusikilize
>> >> >>> sisi,
>> >> >>> tutakacho kuambia ujue ni salama, Haya Mr (Zitto) wewe unayajua
>> >> >>> mazingira
>> >> >>> vizuri katika nchi moja ya Ulaya?, au unaweza kutafuta mtu unae
>> >> >>> mwamini
>> >> >>> huko ili atumiwe yeye hiyo pesa na awe wa kuaminika ili tumtumie
>> >> >>> kwa
>> >> >>> vipindi hivi vyote, kisha uifuate huko au uangalie mwenyewe njia
>> >> >>> sahihi
>> >> >>> ya
>> >> >>> kuichukua huko" Suala la kumpata mtu Ulaya lilionekana kama zito
>> >> >>> kidogo
>> >> >>> kwa
>> >> >>> Zitto, kwani aliomba wawasiliane kesho yake ili awe na jibu la
>> >> >>> uhakika.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe hiyo hiyo 6/12/2009 ya Jumamosi saaa 23:05 usiku, Zitto
>> >> >>> kupitia simu yake ya mkononi namba +255754787550, alipiga namba
>> >> >>> +4915739444853, kimaongezi walionekana ni watu wanafahamiana sana,
>> >> >>> alikuwa
>> >> >>> anaongea na mwanamke ,waliongea mengi lakini kubwa lilikuwa ni
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> kuomba
>> >> >>> kupitisha hela yake kwenye akaunti ya huyu mtu. Mwanamke huyu
>> alihoji
>> >> >>> kama
>> >> >>> pesa hiyo ni nyingi na haina madhara? Lakini alijbiwa sio nyingi
>> >> >>> na
>> >> >>> haina
>> >> >>> madhara kwakuwa inatoka serikalini na chama tawala, Mwanamke huyo
>> >> >>> alizidi
>> >> >>> kuhoji zaidi, "sasa vyombo vya dola vya hapa Berlin vikinihoji
>> >> >>> nitasema
>> >> >>> nimepata wapi?" Anajibiwa kuwa "Darling huniamini? Nimesoma na
>> >> >>> wewe
>> >> >>> na
>> >> >>> nimefanya kazi na wewe, lakini huniamini? Utasema umelipwa nchini
>> >> >>> Tanzania
>> >> >>> kwa kazi yako", kisha katika maongezi ya hapa na pale dada
>> >> >>> akakubali
>> >> >>> na
>> >> >>> baada ya dakika kumi akamtumia akaunti namba 033B 33093101
>> >> >>> Berliner
>> >> >>> Bank
>> >> >>> German.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Baada ya kuipata akaunti hii Zitto hakuchelewa, akaipeleka kwa
>> Mr
>> >> >>> Zoka kwa njia ya ujumbe wa maandishi (sms), baada ya dakika 5,
>> >> >>> Zoka
>> >> >>> akampigia simu Zitto kupitia namba +255756809535 nae Zitto
>> >> >>> akapokea
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba +255754787550, na mazungumzo yao yaliyochukua dakika 6
>> >> >>> yakaendelea,
>> >> >>> Zoka aliuliza swali kuwa "Mwenye akaunti hiyo huko Ujerumani
>> >> >>> unamwamini
>> >> >>> na
>> >> >>> unamjua vema?" Majibu ya Zitto yalikuwa "Ondoa shaka Mr Jack
>> >> >>> nafanya
>> >> >>> kazi
>> >> >>> ya hatari na wewe , siwezi kukuangusha au kujiangamiza, huyu mtu
>> >> >>> nimesoma
>> >> >>> nae na ninamfahamu in and out" Zoka akajibu "ok".
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Jumatano ya tarehe 16/12/2009 majira ya saa 13:12 za mchana
>> >> >>> kwa
>> >> >>> Ujerumani akaunti namba 033B 33093101 Berliner Bank, ziliingizwa
>> dola
>> >> >>> za
>> >> >>> kimarekani 266,000 pesa hizi katika uchunguzi zimebainika kuwa
>> >> >>> zilitoka
>> >> >>> Tanzania katika Benki ya NMB tawi la NMB House jiji Dar katika
>> >> >>> akaunti
>> >> >>> namba 2231604658 yenye jina la TSA, hii ni moja ya akaunti za siri
>> za
>> >> >>> TISS,
>> >> >>> ambapo wao ndio huzisimamia akaunti zao zote kwa kutumia mawakala
>> >> >>> (TISS)
>> >> >>> walio ndani ya benki hiyo.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kujiridhisha kuwa pesa hiyo ilifika Ujerumani, kunabainishwa
>> >> >>> na
>> >> >>> mawasiliano ya barua pepe kati ya Zitto Kabwe na yule mwanamke wa
>> >> >>> kijerumani aliyemtumia akaunti ya benki, anafahamika kwa jina la
>> >> >>> Andrea
>> >> >>> Cordes, mawasiliano yaliyofanywa tarehe 17 alhamisi saa 20:34
>> >> >>> usiku
>> >> >>> ambapo
>> >> >>> Andrea kupitia barua pepe yake aco...@gmail.com anamwandikia Zitto
>> >> >>> kupitia barua pepe ya Zitto iitwayozitto...@gmail.com , Andea
>> anasema
>> >> >>> "Hey sweet, mzigo yako imefika, can we talk?" Ujumbe huu unajibiwa
>> na
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> saa 21:03 usiku huo kwakusema, "I'm so sorry my darling,
>> >> >>> nimechelewa
>> >> >>> kukujibu, I will call you soon"
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Saa 23:23 Zitto Kabwe kupitia simu yake ya kiganjani namba
>> >> >>> +255754787550, alimpiga Andrea Codes kupitia namba +4915739444853,
>> >> >>> akimweleza kuwa anashukuru kwa mzigo kumfikia, lakini anataka
>> >> >>> kumpa
>> >> >>> utaratibu wa kuichukua hiyo pesa, ambapo alimweleza kuwa atakuwa
>> >> >>> anaichukua
>> >> >>> kidogo kidogo kila mwezi kwa njia ya Western Union kuanzia dola
>> >> >>> 20,000
>> >> >>> hadi
>> >> >>> dola 50,000, wakati huo Andea Codes atakula kamisheni ya dola
>> 25,000.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Uchunguzi wa ndani umebaini pesa hiyo ilitumwa kwa Zitto ndani
>> ya
>> >> >>> miezi 8 kwa vipindi tofauti kupitia Western Union kama alivyoomba,
>> na
>> >> >>> alikuwa anachukulia maeneo tofauti tofauti hapa jijini Dar,
>> >> >>> vilevile
>> >> >>> uchunguzi umebaini kuwa mwanamke huyu ni Mjerumani aliyewahi
>> >> >>> kuishi
>> >> >>> Tanzania na amezaa mtoto mmoja hapa Tanzania, Mwanamke huyu
>> >> >>> anaitwa
>> >> >>> Andrea
>> >> >>> Cordes, anaishi Mechernich Ujerumani, mtaa namba 134, nyumba namba
>> >> >>> 141,
>> >> >>> anafanya kazi UN Women Nationales Komitee Deutschland e.V. Shirika
>> >> >>> ambalo
>> >> >>> shughuli zake huendeshea pia Tanzania. Katika uchunguzi zaidi
>> >> >>> imebainika
>> >> >>> kuwa akaunti aliyomtumia Zitto ni ya kwake binafsi, katika
>> >> >>> ushahidi
>> >> >>> tuliobaini kupitia benki iitwayo Berliner Bank yenye Code No
>> >> >>> Hardenbergstraße 32, 10623 iliyopo mjini Berlin nchini Ujerumani.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> SEHEMU YA TATU 2010
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Uhusiano usio wa kawaida na wa karibu wa Zitto na viongozi wa
>> >> >>> ccm,
>> >> >>> serikali na wale wa Usalama wa Taifa uliendelea kushamiri hasa
>> >> >>> kipindi
>> >> >>> cha
>> >> >>> kampeni na kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2010, Mfano tarehe
>> >> >>> 7/9/2010
>> >> >>> siku
>> >> >>> ya
>> >> >>> jumanne saa 11:21 asubuhi, Ahmed Msangi kupitia namba yake ya simu
>> ya
>> >> >>> kiganjani +255784277884, alimpigia Zitto kupitia simu ya kiganjani
>> >> >>> namba
>> >> >>> +255754787550 waliongea mambo mengi japo kwa muda mfupi, na jambo
>> >> >>> kubwa
>> >> >>> lilikuwa ni "vipi kuna kipya ndani ya Chadema?" Zitto alijibu
>> >> >>> "yapo
>> >> >>> mengi
>> >> >>> lakini hayana impact kwa ccm" Msangi anajibu "Ok mr nikutakie siku
>> >> >>> njema"
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Lakini mawasiliano ya simu yaliyochukua mda mrefu zaidi
>> >> >>> yalikuwa
>> >> >>> kati
>> >> >>> ya Zitto na Zoka yaliyofanywa tarehe 10/9/2010 siku ya ijumaa saa
>> >> >>> 07:04
>> >> >>> jioni na mazungumzo yao yalichukua dakika 71, Mazungumzo haya
>> >> >>> yalifanywa
>> >> >>> wakati huo Zitto akiwa katika hoteli ya Blue Pearl Ubungo, Mr Zoka
>> >> >>> alitaka
>> >> >>> kujua mambo kadhaa kuelekea Uchaguzi mkuu, kwanza alimuuliza "Mr
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> umejiandaaje, una timu ya kazi?" Zitto akajibu "nipo fiti kiakili
>> >> >>> na
>> >> >>> kimwili na nina timu ya kutosha, ondoa shaka juu yangu, kama ipo
>> hiyo
>> >> >>> hela
>> >> >>> tumeni tu Ujerumani kwenye ile akaunti, na ningeomba kukutana na
>> >> >>> mwenyeti
>> >> >>> wenu (rais JK)" Zoka lijibu "hilo halina tabu nitalifikisha sehemu
>> >> >>> husika
>> >> >>> bwana Zitto",
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Uchunguzi umebainisha kuwa akaunti namba 033B 33093101
>> >> >>> Berliner
>> >> >>> Bank
>> >> >>> ya German iliendelea kuingizwa pesa kwa nyakati tofauti kutoka
>> >> >>> Tanzania
>> >> >>> kupitia NMB akaunti namba 2231604658 yenye jina la TSA ambayo ni
>> moja
>> >> >>> ya
>> >> >>> akaunti za siri za TISS.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Mfano: tarehe 29/9/2010 siku ya juma tano, kiasi cha dola
>> 250,000
>> >> >>> kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka
>> >> >>> akaunti
>> >> >>> namba 2231604658 NMB Tanzania,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 06/01/2011 siku ya alhamisi, kiasi cha dola 240,000
>> >> >>> kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka
>> >> >>> akaunti
>> >> >>> namba 2231604658 NMB Tanzania,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 21/6/2011 siku ya jumanne, kiasi cha dola 240,000
>> >> >>> kiliingizwa
>> >> >>> kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti
>> >> >>> namba
>> >> >>> 2231604658 NMB Tanzania,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 09/12/2011 siku ya ijumaa, kiasi cha dola 255,000
>> >> >>> kiliingizwa
>> >> >>> kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka akaunti
>> >> >>> namba
>> >> >>> 2231604658 NMB Tanzania,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 02/02/2012 siku ya alhamisi, kiasi cha dola 260,000
>> >> >>> kiliingizwa kwenye akaunti hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka
>> >> >>> akaunti
>> >> >>> namba 2231604658 NMB Tanzania,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 14/05/2012 siku ya jumatatu, kiasi cha dola 250,000
>> >> >>> kiliingizwa kwenye akati hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka
>> >> >>> akaunti
>> >> >>> namba 2231604658 NMB Tanzania,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 13/12/2012 siku ya alhamisi, kiasi cha dola 255,000
>> >> >>> kiliingizwa kwenye akati hii 033B 33093101 ya Ujerumani, kutoka
>> >> >>> akaunti
>> >> >>> namba 2231604658 NMB Tanzania,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Uchunguzi umebainisha kuwa pesa zote zilimfikia Zitto kwa njia
>> ya
>> >> >>> Western Union akitumiwa dola 50,000 mpaka dola 20,000 kati ya wiki
>> >> >>> mbili
>> >> >>> mpaka mwezi mmoja.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> SEHEMU NNE: MATUMIZI YA PESA HIYO
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Uchunguzi umezidi kubaini kuwa kuanzia mwanzoni mwa mwaka
>> >> >>> 2011,
>> >> >>> kutoka kuugwa mkono na wanachadema kama mwanasiasa makini, Zitto
>> >> >>> aliamua
>> >> >>> kuunda kundi la uasi ndani ya chama. Baadhi ya waliounda kundi
>> >> >>> hili
>> >> >>> ni:
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Zitto Z. Kabwe +255754787550/756809535/713730256
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Juliana Shonza +255714669850/756359073
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Habib Mchange +255762178678
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Mtela Mwampamba +255718037358/755178927
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Gwakisa Burton +255713316790
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Eddo Makata +255757149043/655148758
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Greyson Nyakarungu +255755023503
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Adams Chagulani +255767137831
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Deogratius Kisandu +255655025609
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> John M. Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kitila Mkumbo +255754301908
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Exaud Mamuya +255767160685
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Ben Saanane +255768078523
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Timu ya upelelezi imebaini kuwa kundi hili lilikuwa linapokea
>> >> >>> fedha
>> >> >>> kutoka kwa Zitto kwa njia ya M-Pesa, Uchunguzi umebaini kuwa
>> >> >>> kuanzia
>> >> >>> 2011
>> >> >>> kundi hili lilianza kutumiwa pesa na Zitto kwa njia ya M-Pesa kila
>> >> >>> mwezi,
>> >> >>> ambapo kila mwanakundi alikuwa akipokea kati ya 150,000/= mpaka
>> >> >>> 200,000/=
>> >> >>> ,
>> >> >>> na ilipofika mwishoni mwa mwaka 2012 kundi hili sasa likawa
>> linalipwa
>> >> >>> karibu kwa wiki,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Takwimu za malipo ya wafuasi wa kundi hili kutoka kwa Zitto
>> >> >>> kwa
>> >> >>> mwaka
>> >> >>> 2012 zinaonyesha walilipwa kwa njia ya M-PESA No+255756809535 hii
>> >> >>> ni
>> >> >>> namba
>> >> >>> mojawapo ya Zitto Zuberi Kabwe:
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 25/2/2012 saa 10:09 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> +255756809535
>> >> >>> aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana
>> >> >>> Shonza
>> >> >>> +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927,
>> >> >>> Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson
>> >> >>> Nyakarungu
>> >> >>> +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani
>> >> >>> +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane
>> +255768078523,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Baada ya hapo saa 10:32 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> namba
>> >> >>> yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo
>> >> >>> Kitila
>> >> >>> +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 26/3/2012 saa 11:12 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba
>> >> >>> yake
>> >> >>> ya
>> >> >>> simu +255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi
>> >> >>> lake,
>> >> >>> Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela
>> >> >>> Mwampamba
>> >> >>> +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata
>> >> >>> +255757149043,
>> >> >>> Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu
>> >> >>> +255655025609,
>> >> >>> Adams
>> >> >>> Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane
>> >> >>> +255768078523, Baada ya hapo saa 11:43 asubuhi hiyohiyo Zitto
>> >> >>> Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/=
>> Mkumbo
>> >> >>> Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 20/4/2012 saa 09:11 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba
>> >> >>> yake
>> >> >>> ya
>> >> >>> simu +255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi
>> >> >>> lake,
>> >> >>> Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela
>> >> >>> Mwampamba
>> >> >>> +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata
>> >> >>> +255757149043,
>> >> >>> Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu
>> >> >>> +255655025609,
>> >> >>> Adams
>> >> >>> Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane
>> >> >>> +255768078523, Baada ya hapo saa 10:30 asubuhi hiyohiyo Zitto
>> >> >>> Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/=
>> Mkumbo
>> >> >>> Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 22/5/2012 saa 10:15 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba
>> >> >>> yake
>> >> >>> ya
>> >> >>> simu +255756809535 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi
>> >> >>> lake,
>> >> >>> Juliana Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela
>> >> >>> Mwampamba
>> >> >>> +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata
>> >> >>> +255757149043,
>> >> >>> Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu
>> >> >>> +255655025609,
>> >> >>> Adams
>> >> >>> Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben Saanane
>> >> >>> +255768078523, Baada ya hapo saa 11:02 asubuhi hiyohiyo Zitto
>> >> >>> Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/=
>> Mkumbo
>> >> >>> Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 28/6/2012 saa 13:51 mchana, John M. Shibuda kupitia
>> >> >>> namba
>> >> >>> yake
>> >> >>> ya simu +255754465597 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi
>> >> >>> wenzake,
>> >> >>> Habib
>> >> >>> Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba +255755178927, Gwakisa
>> >> >>> Burton
>> >> >>> +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Deogratius Kisandu
>> >> >>> +255655025609,
>> >> >>> Adams Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Ben
>> >> >>> Saanane
>> >> >>> +255768078523, Greyson Nyakarungu +255755023503, Juliana Shonza
>> >> >>> +255756359073,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Baada ya Shibuda kuwalipa 28/6/2012 saa 13:51 mchana, sasa
>> >> >>> Zitto
>> >> >>> alibadili mfumo wa malipo ukawa wa TIGO PESA +255713730256 lakini
>> >> >>> viwango
>> >> >>> vilevile na mtiririko ulele.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 22/7/2012 saa 08:17 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia namba
>> >> >>> yake
>> >> >>> ya
>> >> >>> simu +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi
>> >> >>> lake,
>> >> >>> Ben
>> >> >>> Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana
>> >> >>> Shonza
>> >> >>> +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927,
>> >> >>> Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson
>> >> >>> Nyakarungu
>> >> >>> +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya
>> >> >>> +255767160685, Kisha saa 09:38 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba
>> >> >>> yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo
>> >> >>> Kitila
>> >> >>> +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 24/8/2012 saa 09:06 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> ++255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi
>> >> >>> lake,
>> >> >>> Ben
>> >> >>> Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831,Juliana
>> >> >>> Shonza
>> >> >>> +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927,
>> >> >>> Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson
>> >> >>> Nyakarungu
>> >> >>> +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya
>> >> >>> +255767160685, Kisha saa 09:23 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba
>> >> >>> yake ya simu +255756809535 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo
>> >> >>> Kitila
>> >> >>> +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 02/09/2012 saa 09:52 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake,
>> >> >>> Ben
>> >> >>> Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana
>> >> >>> Shonza
>> >> >>> +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927,
>> >> >>> Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson
>> >> >>> Nyakarungu
>> >> >>> +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya
>> >> >>> +255767160685, Kisha saa 10:43 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba
>> >> >>> yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo
>> >> >>> Kitila
>> >> >>> +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 20/09/2012 saa 10:19 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake,
>> >> >>> Ben
>> >> >>> Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana
>> >> >>> Shonza
>> >> >>> +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927,
>> >> >>> Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson
>> >> >>> Nyakarungu
>> >> >>> +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya
>> >> >>> +255767160685, Baada ya hapo saa 10:53 asubuhi hiyohiyo Zitto
>> >> >>> Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/=
>> Mkumbo
>> >> >>> Kitila +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 24/10/2012 saa 11:18 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake,
>> >> >>> Ben
>> >> >>> Saanane +255768078523, Adams Chagulani +255767137831, Juliana
>> >> >>> Shonza
>> >> >>> +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927,
>> >> >>> Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson
>> >> >>> Nyakarungu
>> >> >>> +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Exaud Mamuya
>> >> >>> +255767160685, Kisha saa 11:52 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe
>> >> >>> kupitia
>> >> >>> namba
>> >> >>> yake ya simu +255713730256 aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo
>> >> >>> Kitila
>> >> >>> +255754301908 na John Shibuda +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 25/11/2012 saa 10:34 asubuhi, Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> +255713730256 aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake,
>> >> >>> Juliana
>> >> >>> Shonza +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927, Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata
>> >> >>> +255757149043,
>> >> >>> Greyson Nyakarungu +255755023503, Deogratius Kisandu
>> >> >>> +255655025609,
>> >> >>> Adams
>> >> >>> Chagulani +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Baada ya hapo
>> >> >>> saa
>> >> >>> 10:56 asubuhi hiyohiyo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu
>> >> >>> +255713730256
>> >> >>> aliwatumia shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John
>> >> >>> Shibuda
>> >> >>> +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Tarehe 29/11/2012 saa 12:12 mchana, Zitto Kabwe kupitia
>> >> >>> +255713730256
>> >> >>> aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana
>> >> >>> Shonza
>> >> >>> +255756359073, Habib Mchange +255762178678, Mtela Mwampamba
>> >> >>> +255755178927,
>> >> >>> Gwakisa Burton +255713316790, Eddo Makata +255757149043, Greyson
>> >> >>> Nyakarungu
>> >> >>> +255755023503, Deogratius Kisandu +255655025609, Adams Chagulani
>> >> >>> +255767137831, Exaud Mamuya +255767160685, Baada ya hapo saa 12:32
>> >> >>> mchana
>> >> >>> huohuo Zitto Kabwe kupitia namba yake ya simu +255713730256
>> >> >>> aliwatumia
>> >> >>> shilingi 200,000/= Mkumbo Kitila +255754301908 na John Shibuda
>> >> >>> +255754465597
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kundi hili lilikuwa na mipango mingi sana, lakini
>> >> >>> lengo/shabaha/dhamira ilikuwa ni moja tu nayo ni kukidhohofisha
>> >> >>> Chadema
>> >> >>> kwa
>> >> >>> manufaa ya ccm. Uthibitisho wa lengo la kundi hili unabainishwa
>> >> >>> katika
>> >> >>> mawasiliano ya simu kati ya Zitto na wanakikundi hicho, katika
>> ujumbe
>> >> >>> wa
>> >> >>> maandishi (sms) aliousambaza kwa wanakikundi hiki Zitto
>> >> >>> anasisitiza
>> >> >>> umakini
>> >> >>> ili wasije kujulikana na Chama, vilevile anawasisitiza kukisajili
>> >> >>> kikundi
>> >> >>> hiki ikiwa ni pamoja na kufungua akaunti ya benki ya kikundi hiki,
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Ujumbe mwingine aliousambaza tarehe 30/11/2012 saa 08:21 kwa
>> >> >>> wafuasi
>> >> >>> wa kundi hili kupitia namba +255713730256, unasema, "Ni lazima
>> >> >>> tukidhibiti
>> >> >>> hiki kibabu vile vile lazima tumng'oe Mbowe, Tunadanganyana tu
>> >> >>> kuwa
>> >> >>> chadema
>> >> >>> itaingia ikulu, kwanza simamieni harakati za kushinikiza kadi ya
>> >> >>> kibabu
>> >> >>> irudishwe ccm".
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Timu ya kijasusi imejiridhidha kuwa Ben Saanane alikuwa kwenye
>> >> >>> kundi
>> >> >>> hilo kwa kazi maalumu na ameisaidia sana timu hii ya ujasusi
>> >> >>> kupata
>> >> >>> habari
>> >> >>> muhimu za ndani za kundi hilo la uasi lililokuwa limejipanga kwa
>> >> >>> ustadi
>> >> >>> likitumia mbinu za kuwagombanisha viongozi wa juu wa chama hasa
>> >> >>> likilenga
>> >> >>> Mwenyekiti na Katibu mkuu, huku juhudi za kumkwamisha mwenyekiti
>> >> >>> wa
>> >> >>> BAVICHA
>> >> >>> nazo zikipamba moto na kusukwa kwa ustadi mkubwa, Kikundi hiki
>> >> >>> hakikuishia
>> >> >>> hapo tu kwani kilianzisha mradi wa kuwatukana viongozi wa Chadema
>> >> >>> na
>> >> >>> familia zao, kuanzisha tuhuma za uongo na kuzisambaza kwenye
>> mitandao
>> >> >>> ya
>> >> >>> kijamii. Lilianzisha mradi wa kuhubiri udini, ukanda na ukabila
>> ndani
>> >> >>> ya
>> >> >>> chama kwa kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
>> >> >>> Likaanzisha
>> >> >>> tena harakati za kumpindua mwenyekiti kupitia kifupi cha jina PM7
>> >> >>> (Pindua
>> >> >>> Mbowe 7) nk.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> MAPENDEKEZO YA HATUA ZA KUCHUKUA
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Baada ya kujiridhisha kuwa Zitto Zuber Kabwe Mbunge wa Chadema
>> na
>> >> >>> Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, ameasi Chama na ameunda kundi ndani
>> >> >>> ya
>> >> >>> chama
>> >> >>> linaloendesha vuguvugu la mapinduzi kwa viongozi halali wa chama
>> >> >>> kwa
>> >> >>> ufadhiri wa chama tawala ccm, ikiwa ni kinyume cha katiba na
>> >> >>> itifaki
>> >> >>> za
>> >> >>> chama, Timu ya ujasusi inapendekeza yafuatayo:
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Chama kijiridhishe bila ya kuacha chembe ya mashaka kutoka kwa
>> >> >>> wahusika wa kikundi hiki ambao ni Zitto na wenzake, Ikiwa watakiri
>> >> >>> kuhusika, Chama kiwaamuru wawaombe radhi wanachama.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Naibu Katibu mkuu ndugu Zitto Kabwe na Makamu Mwenyekiti wa
>> >> >>> BAVICHA
>> >> >>> ndugu Julina Shonza wapime wenyewe kama wanastahili kuendelea na
>> >> >>> nafasi
>> >> >>> zao
>> >> >>> za uongozi ndani ya Chama.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Ikiwa Chama kitaamua kuunda tume ya uchunguzi wa haya,
>> >> >>> wahusika
>> >> >>> wote
>> >> >>> hasa wenye vyeo kama Zitto Kabwe na Juliana Shonza wawekwe pembeni
>> na
>> >> >>> shughuli za Chama ili kupisha uchunguzi huru.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Chama kiwavue uanachama Zitto Kabwe na kundi lake lote bila
>> >> >>> kusita,
>> >> >>> hii inatokana na mikakati ya kukiangamiza chama inayoendelea ndani
>> ya
>> >> >>> CCM
>> >> >>> kwa ushirikiano wa Zitto Kabwe na viongozi waandamizi wa ccm.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kuelekea 2015, Idara ya ujasusi ya chama iongezewe nguvu na
>> >> >>> mafunzo,
>> >> >>> ikiwezekana kiundwe kikosi maalumu nje ya timu ya kijasusi iliyopo
>> >> >>> sasa
>> >> >>> na
>> >> >>> kipewe mafunzo na vitendea kazi vya kutosha kwaajili ya ulinzi wa
>> >> >>> chama
>> >> >>> na
>> >> >>> viongozi wake.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Chama kianzishe utaratibu wa semina au mafunzo ya kipindi
>> >> >>> kifupi
>> >> >>> na
>> >> >>> kati kwa makada wake jinsi ya utumiaji wa mitandao ya kijamii.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Kiundwe kitengo cha propaganda za kisiasa chenye watu weledi
>> >> >>> wa
>> >> >>> mambo
>> >> >>> na masuala mbalimbali na kipewe uwezo ili kukabiliana na propanda
>> >> >>> za
>> >> >>> chama
>> >> >>> tawala na vyama vingine.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Chama kizidi kuchukuahatua stahiki za kimaamuzi dhidi ya
>> viongozi
>> >> >>> au
>> >> >>> wanachama wanao dhoofisha harakati za mabadiliko kuelekea 2015 na
>> >> >>> baada
>> >> >>> ya
>> >> >>> 2015
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Mwisho tunawashukuru baadhi ya maafisa wa kijasusi wa mjini
>> >> >>> Berlin
>> >> >>> Ujerumani waliosaidia kupata baadhi ya taarifa muhimu kutoka
>> >> >>> Ujerumani.
>> >> >>> >>
>> >> >>> >>
>> >> >>> >> Source:
>> >> >>> halihalisi255.wordpress.com/2013/11/04/r...-juu-ya-zitto-kabwe/
>> >> >>> >
>> >> >>> >--
>> >> >>> >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >>> >
>> >> >>> >Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >>> >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> >> >>> kudhibitisha
>> >> >>> ukishatuma
>> >> >>> >
>> >> >>> >Disclaimer:
>> >> >>> >Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >>> any
>> >> >>> legal consequences of his or her postings, and hence statements
>> >> >>> and
>> >> >>> facts
>> >> >>> must be presented responsibly. Your continued membership signifies
>> >> >>> that
>> >> >>> you
>> >> >>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> >> >>> Guidelines.
>> >> >>> >---
>> >> >>> >You received this message because you are subscribed to the
>> >> >>> Google
>> >> >>> Groups "Wanabidii" group.
>> >> >>> >To unsubscribe from this group and stop receiving emails from
>> >> >>> it,
>> >> >>> send
>> >> >>> an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >>> >For more options, visit
>> >> >>> https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >>> >
>> >> >>> >--
>> >> >>> >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >>> >
>> >> >>> >Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >>> >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> >> >>> kudhibitisha
>> >> >>> ukishatuma
>> >> >>> >
>> >> >>> >Disclaimer:
>> >> >>> >Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >>> any
>> >> >>> legal consequences of his or her postings, and hence statements
>> >> >>> and
>> >> >>> facts
>> >> >>> must be presented responsibly. Your continued membership signifies
>> >> >>> that
>> >> >>> you
>> >> >>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> >> >>> Guidelines.
>> >> >>> >---
>> >> >>> >You received this message because you are subscribed to the
>> >> >>> Google
>> >> >>> Groups "Wanabidii" group.
>> >> >>> >To unsubscribe from this group and stop receiving emails from
>> >> >>> it,
>> >> >>> send
>> >> >>> an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >>> >For more options, visit
>> >> >>> https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >>>
>> >> >>> --
>> >> >>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >>>
>> >> >>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> kudhibitisha
>> >> >>> ukishatuma
>> >> >>>
>> >> >>> Disclaimer:
>> >> >>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >>> any
>> >> >>> legal consequences of his or her postings, and hence statements
>> >> >>> and
>> >> >>> facts
>> >> >>> must be presented responsibly. Your continued membership signifies
>> >> >>> that
>> >> >>> you
>> >> >>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> >> >>> Guidelines.
>> >> >>> ---
>> >> >>> You received this message because you are subscribed to the Google
>> >> >>> Groups
>> >> >>> "Wanabidii" group.
>> >> >>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>> >> >>> send
>> >> >>> an
>> >> >>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >>>
>> >> >> --
>> >> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >>
>> >> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> >> >> kudhibitisha
>> >> >> ukishatuma
>> >> >>
>> >> >> Disclaimer:
>> >> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >> any
>> >> >> legal
>> >> >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >> >> must
>> >> >> be
>> >> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >> >> agree
>> >> >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >> >> ---
>> >> >> You received this message because you are subscribed to the Google
>> >> >> Groups
>> >> >> "Wanabidii" group.
>> >> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>> send
>> >> >> an
>> >> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >>
>> >> >
>> >> > --
>> >> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >
>> >> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> >> > kudhibitisha
>> >> > ukishatuma
>> >> >
>> >> > Disclaimer:
>> >> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> >> > legal
>> >> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> must
>> >> > be
>> >> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >> > agree to
>> >> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >> > ---
>> >> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> >> > Groups
>> >> > "Wanabidii" group.
>> >> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>> >> > send
>> >> > an
>> >> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >
>> >>
>> >> --
>> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >>
>> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> >> ukishatuma
>> >>
>> >> Disclaimer:
>> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >> must
>> >> be presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> Guidelines.
>> >> ---
>> >> You received this message because you are subscribed to the Google
>> Groups
>> >> "Wanabidii" group.
>> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> an
>> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>> >
>> > --
>> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups
>> > "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an
>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment