Wednesday 29 January 2014

Re: [wanabidii] breakingnews.mdunguaji aua watu SABA Tarime

Ndugu zangu waandishi wa habari, nimewaiteni hapa kwa dharura, ili kuweza kuwafahamisha hali halisi ya mauaji yaliyotokea katika siku za hivi karibuni katika mkoa wa Kipolisi wa Tarime Rorya. Mnamo tarehe 26
Januari, 2014 majira ya saa 12.00 asubuhi huko katika kijiji cha Mogabiri
katika mkoa wa kipolisi Tarime Rorya, jambazi asiyefahamika kwa jina aliwaua kwa risasi Zakaria Mwita Marwa miaka 28 na Erick Lucas Maranya miaka 24 baada ya kukutana nao njiani. Siku hiyohiyo, majira
ya saa 4:00 usiku, katika kijiji hichohicho cha Mogabiri, jambazi huyo alimuua Robert Kisiri miaka 45 baada ya kuvamia Grocery inayomilikiwa na Chacha Ryoba na kumjeruhi mtu mwingine mmoja. Tarehe 27 Januari, 2014 majira ya 11:30 alfajiri katika kijiji cha Mugabiri, jambazi huyo alifanya mauaji tena kwa kumpiga risasi David Mwasi Matiko miaka 39 na kumpora simu yake aina ya Nokia. Katika tukio hilo, pia, alimjeruhi Machungu Nyamahemba miaka 19 ambaye bado amelazwa katika hospitali ya Tarime kwa Matibabu. 
Siku hiyohiyo ya tarehe 27 Januari, 2014 majira ya saa 2:00 usiku katika kijiji cha Nkende, jambazi huyo alimuua kwa kumpiga risasi Juma Marwa Nyaitara miaka 30. Baada ya kufanya mauaji hayo, jambazi huyo aliwapora simu zao za mkononi Chacha Magige na Masero Marigiri wote wa kijiji cha Nkende. Usiku wa kuamkia tarehe 28 Januari, 2014, jambazi huyo aliendelea kuua watu wengine watatu ambao bado majina yao hayajafahamika. Mtu mmoja alipigwa risasi wakati akiendesha pikipiki
katika kijiji cha Nkende na wengine wawili waliuawa baada ya kukutwa na jambazi huyo wakiwa wanatengeneza gari lililokuwa limewaharibikia katika kijiji cha Mogabiri.

Hadi sasa juhudi kubwa za kumsaka jambazi huyo zinaendelea kufanyika na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama pamoja na wananchi.  Aidha, mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernesti Mangu, ametuma timu maalum kutoka makao makuu ya jeshi la Polisi inayohusisha kamisheni ya Oparesheni, Upelelezi na Intelijensia kwenda kuongeza nguvu katika juhudi zinazofanyika na ngazi ya mkoa kuhakikisha kwamba, jambazi huyo anakamatwa upesi ili kuondoa hofu kwa
wananchi.

Jeshi la Polisi nchini, linatoa wito kwa wananchi wote kutoa ushirikiano ili jambazi huyo aweze kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria haraka. Mwananchi mwenye taarifa za mhalifu huyo anaweza kutumia namba ya simu ifuatayo 0754 785557.

Mkuu wa Oparesheni wa Jeshi la Polisi,
 Kamishna Paul Chagonja

On Wednesday, January 29, 2014 11:15:03 AM UTC+3, Yona Fares Maro wrote:
Ndugu Felix and Wengine ,

Vyombo vya usalama sio robots , ni wanadamu kama wewe , wana mapungufu kama wewe na wana kila hali kama wewe , hata kwenye utendaji wao ni vile vile kama wewe unavyotegemea wenzako kwa ajili ya taarifa navyo zinakutegemea wewe na wengine kwa ajili ya taarifa ili waweze kutekeleza wajibu wao vizuri na kwa hali ya amani .



2014-01-29 Mwema Felix <mwema...@gmail.com>
Jeremiah Kibwengo

Vyombo vya usalama vyetu vipo makini sana kupambana na watu wasio na silaha.

Ukitaka kuhakikisha....jaribu kufanya maandamano uone. Utashangaa jinsi defender zitakavyo tokea kila kona!!


2014-01-29 Jeremiah Kibwengo <jerry...@gmail.com>

Tanzania ni majanga tuu. Kila kukicha bora na jana. Vyombo vya usalama vimeenda likizo?

On Jan 28, 2014 4:42 PM, "Mwema Felix" <mwema...@gmail.com> wrote:
Lesian Mollel

Hili siyo tatizo la kuwa na silaha kiholela mitaani. Watu wana silaha na wanatumia ipasavyo, hakuna shida.

Huyu mtu anayeua watu Tarime, lazima atakuwa na tatizo, siyo kawaida.

Hapa wa kufanya hii kazi ni wenye mamlaka ya usalawa wa nchi haswa polisi na majeshi mengine kulingana na utaratibu wa kazi.

Muuaji ana silaha inayodhaniwa ni AK47, au SMS unadhani mwananchi kama mimi mwenye panga nitamsogelea kweli?

Hivi kweli hatuna hata zile ndogo (pilot-less) za kufanya surveillance za angani? Kikikikiki!

Hatuna hata tekinolojia ya kuweza kunasa kutokea mbali sauti za "milipuko" au sauti za risasi ili kuweza kupata location ya tukio "in real time"?

Bado tunasafari ndefu.


2014-01-28 lesian mollel <arama...@yahoo.com>
duuuuh, jamaa lengo lake nini sasa kudungua watu jamani.........silaha kua mtaani holela ndio madhara yake haya na pia watu kama hawa wanakua wamefukuzwa kazi za uaskari na walikua walenga  shabaha wazuri na serikali haiwafuatilii na maisha yao yanakua magumu wanaamua kua vichaa na kulipiza visasa to innocent people
poleni sana tarime, police na vyombo vyote za uslama lazima zichukulie tukio kama hili kama fundisho




On Tuesday, January 28, 2014 5:38 AM, Mwema Felix <mwema...@gmail.com> wrote:
----- Forwarded Message -----

Boxbe This message is eligible for Automatic Cleanup! (mwema...@gmail.com) Add cleanup rule | More info
Kwa mtindo huu, tutaendelea kushabikia majeshi ya Marekani na vikundi vyake kama SEALs n.k

Tanzania bado tunasafari ndefu sana. Mtu mmoja mwenye silaha anashindwa kupatikana? Hii si ni aibu kwa nchi?

Halafu wakuu wa usalama wanajivunia kuitwa "wakuu wa usalama", "RPC", n.k


2014-01-28 mobini sarya <mobi...@yahoo.com>
wanabidii

Mdunguaji mwenye silaha INADAIWA KUWA NI SMG ameutikisa mji wa tarime na wakazi wake baada ya kuwa watu watano kwa siku tatu mfululizo.

duru za kuaminika kutoka wilayani tarime zimeliambia shirika la habari Tanpress kwamba mtu huyo ambaye hajajaulikakana malengo yake aliingia kwenye kijiji cha mogabiri jumamosi usiku na kuwawa watu wawili akiwemo koplo mmoja ,jamaa wa meja jenero MWITA KIARO.

KESHO YAKE JUMAPILI ALIINGIA KWENYE KIJIJI HICHO KITONGOJI CHA KIBUMAYE NA KUWADUNGUA WADAU WA TBL WALIOKUWA WANABURUDIKA KIJIWENI NA KUWAACHA WAWILI WAKIWA HOI MMOJA AKIFARIKI DUNIA HATA HIVYO ,JUMA MWITA MRONI ALIFARIKI JANA ASUBUHI.

MUUAJI HUYO ALITELEMKA KUUKUBILI MJI WA TARIME IKIWA NI SAA TANO USIKU AKAKUTANA NA KIJANA MMOJA AKIWA KIJIJI CHA REBU AKAMLENGA RISASI NA KUMTOA UHAI WAKE.

KAMA VILE JESHI LA POLIS NA INTEREJENSIA ZAKE WAMEKWENDA LIKIZO JANA AU USIKU WA LEO SAA MOJA ALIFIKA KIJIJI CHA NKENDE NA KUUWA MTU MMOJA KABLA HAJAREJEA KIBUMAYE NA KUKUTA WATU WANNE WAKIWA KWENYE GARI LIMEHARIBIKA AKAANZA KUWALENGA RISASI NA KUONDOKA AKIWA AMEACHA MAITI  WAWILI KWA UCHACHE WATU SABA WAMELALA   
--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment