Monday, 27 January 2014

Re: [wanabidii] OPERESHENI PAMOJA DAIMA , ITV DAIMA , TANZANIA DAIMA

Mathew,

Sijui kama unanielewa, nimechangia kulingana na hoja, na nisipokubaliana napo mimi ni pale tunapoyaelezea mambo kwa ujumla, kwamba mtu anayetofautiana nawe katika hoja amekuwa brainwashed, hapana, hiyo sio sawa kabisa.

Sina ninayemtetea bali tupo kuchangia hoja na tunatoa mawazo yetu kulingana na nivyoiona hiyo hoja. Swala la CCM sijui chama cha Wanyakyusa hilo halinihusu, mimi simwangalii mtu kwa msingi wa dini yake wala kabila lake, ni uvivu tu wa kufikiri kila wakati mnapotofautiana katika hoja kuingiza masuala ya dini na kabila.

Ninachoamini, hakuna chama chenya malaika watupu na kingine kikawa na mashetani watupu, hilo halipo, kwa hiyo siwezi kuwa mtu wa kushangilia hata lile nisilolijua, eti kwa sababu fulani kafungua mdomo unashangilia hata kama hujasikia alichokisema!!

Siku zote nimeyachulia matumizi ya hizo dhana mbili kuwa ni kwa ajili ya maslahi binafsi, kwa sababu katika maisha ya kawaida ninayoishi sizioni, tusingeoleana iwapo hizo dhana zingekuwa zinafanya kazi.

Kwamba nitamsifia tu mtu hata kama anamwaga pumba hapana, nitamweleza unakosea, hiyo ndio asili yetu.


On 27 January 2014 18:34, Matthew Mdidi <matthew.mdidi@yahoo.com> wrote:

Mwakyembe, wewe endelea kumtetea hawa jamaa mpaka siku watakapokuambia kuwa CCM ni chama cha Wanyakyusa na CUF ni chama cha Wasokile ndipo utakapomwelewa Abdul!

From: Felix Mwakyembe <fkyembe@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January 23, 2014 6:59 PM
Subject: Re: [wanabidii] OPERESHENI PAMOJA DAIMA , ITV DAIMA , TANZANIA DAIMA

Abdul,

Mtu anapotofautiana nawe ndio hiyo brainwash, au mimi sielewi vizuri!

Watu wamefikishwa katika mkanganyiko ambao wanashindwa kupembua kati ya mchele na pumba, hivyo jambo la msingi ni kwa wahusika kuwaondolea huo mkanganyiko na sio kuwalazimisha wakubaliane na kitu kisichoelezeka.

Hapo walipofikia Watanzania, kuhoji hata wale waliowaamini kuwa ni watu wenye malengo mazuri na maisha yao, ni hatua kubwa sana ya kujitambua badala ya kupelekwapelekwa tu nao wakishangilia lakini wasijue wanachokishangilia.




On 23 January 2014 21:06, ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> wrote:
Chaga empire baada ya kuiteka sekta ya fedha na biashara nchini mwetu na elimu sasa wantaka kutawaala na siasa. Kazi kwenu watanzania kuamua wapi tuelekee


From: Paul Lawala <pasamila292000@gmail.com>;
To: <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] OPERESHENI PAMOJA DAIMA , ITV DAIMA , TANZANIA DAIMA
Sent: Thu, Jan 23, 2014 2:42:38 PM

Karim

Siyo kwamba wengine hawaelewi ukweli ni vijembe tu vya kuwakatisha tamaa CHADEMA


On Thu, Jan 23, 2014 at 1:04 PM, Abdul Karim <abdul_m_karim@yahoo.com> wrote:
Ndugu zangu wanabidii, hakuna kazi ngumu duniani kama ya kuwatetea Watanzania kwa kuwa wengi wao wamekuwa "brainwashed".

Ili kuwakatisha tamaa Chadema na ili kuhakikisha kuwa Watanzania wanakuwa misukule iliyokatwa ulimi milele, kuna kundi la watu wamekaririshwa kuimba "Chaga Empire, Chaga Empire, Chaga Empire" kama kasuku!!!

From: Dollar Kussenge <dkusssenge@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January 23, 2014 9:50 AM
Subject: Re: [wanabidii] OPERESHENI PAMOJA DAIMA , ITV DAIMA , TANZANIA DAIMA

Na ukifuatilia kwa undani utagundua uwepo wa  Chaga empire.



On 22 January 2014 21:08, Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> wrote:
Idd Makame
kufikiri ndio kazi ngumu kuliko zote ndio maana ni wachache hupenda kufikiri,bahati mbaya wewe sio mmoja wao


On Wed, Jan 22, 2014 at 2:49 PM, Reginald Miruko <rsmiruko@gmail.com> wrote:
Usisahau Habari Leo na Zanzibar Leo

RSM


On 22 January 2014 15:03, Ansbert Ngurumo <ansbertn@yahoo.com> wrote:
Idd,
Kumbe una kipato cha kuandika mashairi na tenzi zenye vina vinavyoeleweka.

Tazama na hii hapa: Tanzania Leo, Jambo Leo, Raha Leo etc. Hii ni miradi tofauti, yenye ufanano wa majina. Au na hapa tufanye spinning?

Ansbert Ngurumo
Existential Philosopher, Musician, Journalist & Media Manager
Vox Media Centre & Free Media
Tanzania

On 22 Jan 2014, at 2:48 alasiri, Idd Makame <iddmakame@gmail.com> wrote:

Bandugu Kunani Hapa ?
CHADEMA WAMEANZISHA OPERESHENI PAMOJA DAIMA , GAZETI LAO NI TANZANIA DAIMA , KITUO WAKIPENDACHO  ITV DAIMA 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata

"truth shall set you free"
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment